🛑FRIJI BOVU: SIMBA HII YA DEBORA FERNANDES MAVAMBO NA AHOUA KUNA TIMU ZITAKULA KUMI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- FRIJI BOVU: SIMBA HII YA DEBORA FERNANDES MAVAMBO NA AHOUA KUNA TIMU ZITAKULA KUMI , #footballclub #simba #simbasc #wasafi #yanga #azamfc #football #live #globaltvonline #millardayo
Tatizo la Azamu ni kukumbatia viongozi wengi wa Uto ndomana wakicheza na Simba wanakamia Sana ukilinganisha na Uto! Njia rahisi ni kufukuza viongozi wote wenye mapenzi ya Simba na Uto!!!!!
❤simba weka love
Simba inatia raha jamn ukiangalia unaenjoy sanaa ❤🎉🎉🫶🏽
😅ooo
L
😅
28:20 28:21 nnn
This is 🦁💪
😂😂😂😂Kaka mnanifuraisha sanaaaa ✌🏽
W frij bovu n shabik wa simb lilia
Friji bovu mm nakuunga mkono chasambi acheze makocha wasipokemewa wataendelea kupoteza vipaji vyawachezaji tuendelee kuwasema wabadilike
Ahua huyu ndio mchezaji wangu wa msimu huu yeye na mashaka mashaka
Unasema ukweli uongozi wao haupo makini kuiandaa timu
Aise! Nikiwa napita pita humu, nikishawaona tuu! Huwa siwapit mpo vizurii sana ktk uchambuzi! Hata ukaaji ni wa kipekee mnabirimita vizuri sana! 🎉🎉🎉
Jaman chasambi mbona hachezi ubaya ubela Nathan kumuona anachezea talehe 31
Hajitahidi kwenye mazoezi huyooooo
Colombia sio hoja wana uwezo wa bori inawezekana huko Colombia ni wauza magimbi
🦁🦁
Ebwana ni mnyama nimekushitukia wewe unaipenda simba
CHASAMBI ACHEZE!
Nawaomba tu msianze kumchanganya kocha tusifanye makosa tulio kuwa tunafanya enzi za chama kwa robatinyo kocha tunacho taka ni matokeo na magoli mengi na sio kumpangia kocha amesha onyesha mwanga mwacheni cha misingi tumwoombee asipoteze mechi asitoe sare na atoke na clean sheet kila mtu atacheza kama ana kitu bado mapema sana
Azam wameamua kuliaibisha taifa kabixaaa
Hawa simba watafunga sana
Kila xiku unaixifia ximba coz yang w n xhabik wa simba lilia
Yanga yanini sasa hiyo no timu ya mashoga mobeto
Dahh huyo dogo kanifanya nimeze taksima 😂😂😂 pumbavu zake dahh dogo unampeleka friji bovu
Mbn frij bov unaongea kama sio mtu wa mpira?,,,,ladaki apambane
Friji bovu eeeh tuliza mtori nyama zipo chini atacheza xana tu uyo chasambi ndio kwanza safar inaanza
Azam usajili wao mbovu na coach sio mzuri ona mechi walivyocheza na Yanga wachezaji hawajitoi ni Fei sal tu pale
Magoli waliofungwa na Yanga yote ukabaji sio wa timu ya ushindani mechi ilikua draw au kufungwa mbili kama wangejito hamna kitu pale
Frigi wewe ni mtu hasa unajua sana huna kujiona upo na furaha sana napenda kazi yako.
Timu inaposhinda wazawa wapewe nafas ya kucheza sio lazm kumaliza wachezaj hawo hawo
Kaka nikweli kbs Azam Kun fesal na kamiko na silaa bc😂😂😂
TUMWACHIE KOCHA TUSIMPANGIE KIKOSI NDY TUTAFELI.
Simba walimuuza Haruna Moshi siku nne kabla ya mechi na Yanga na Ikafungwa goli la Mussa mgosi kama mnakumbuka Yanga washamba wengi ndio maana club hipo ktk mfereji wa pombe hakiliyao itakuaje
Hahahaha❤❤❤❤