MBWADUKE:OHOOO! BEKI KIBOKO YAO NI HUYU/ MAGOLI YA OVYO-OVYO SASA BAASS..!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024
  • Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...

ความคิดเห็น • 46

  • @charleslucas4365
    @charleslucas4365 9 วันที่ผ่านมา +3

    Mbwaduke nakukubali sana

  • @deogratiusdaud3577
    @deogratiusdaud3577 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mkuu unaumanya kisawasawa mpira wa miguu
    Big up!

  • @lesemomole6286
    @lesemomole6286 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mchambuzi wangu Bora wa muda wote huwa namaliza bando kwa kusikiliza uchambuzi wake
    God bless you brother

  • @user-cz7lp1le4e
    @user-cz7lp1le4e 9 วันที่ผ่านมา +2

    Big up mbwaduke pamoja sana

  • @AbelJoseph-ef8bf
    @AbelJoseph-ef8bf 4 วันที่ผ่านมา

    Baba unajua sana nakupenda unajua sana

  • @setheliazery8168
    @setheliazery8168 9 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli umekuwa mwalim mzuri wa ball na enjoy sana kwa statistics unazotoa , thanks

  • @farajmanuar3589
    @farajmanuar3589 9 วันที่ผ่านมา +2

    Uchambuz mzur sana mwl wa mpira..

  • @nicholausrutayuga4458
    @nicholausrutayuga4458 7 วันที่ผ่านมา

    Asante Mbwaduke

  • @user-rg7tx2cc1l
    @user-rg7tx2cc1l 8 วันที่ผ่านมา

    Anayejua anajua 🎉🎉🎉🎉

  • @Mariampaul-me7qo
    @Mariampaul-me7qo 6 วันที่ผ่านมา

    We mchambuzi wangu boraa kwasasa❤

  • @AbdumajidAjnan
    @AbdumajidAjnan 5 วันที่ผ่านมา

    Nakukubari sana we baba

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  5 วันที่ผ่านมา

      Kwa taarifa rasmi ziIilizotolewa na Kamwe ni kwamba bado yupo kikosini Yanga.

  • @ramadhanimteluye9233
    @ramadhanimteluye9233 9 วันที่ผ่านมา

    Thanks alot mwamba, tupatie uchambuzi wa FADLU DAVIDS tafadhali

  • @adv.benedictpius
    @adv.benedictpius 9 วันที่ผ่านมา

    Umbile mnara🔥🔥🔥🔥🔥

  • @zakayomgaya2758
    @zakayomgaya2758 9 วันที่ผ่านมา +2

    ❤❤❤❤❤❤💪💪💪💪💪💪💪

  • @WilliamFilipatali
    @WilliamFilipatali 9 วันที่ผ่านมา

    Unajua sana

  • @frankmwinuka6298
    @frankmwinuka6298 9 วันที่ผ่านมา +1

    Magoli ya mangungu na wenzake hayo

  • @sharifusaidi461
    @sharifusaidi461 9 วันที่ผ่านมา +1

    Kipaji kikubwa sana

  • @AllyAlly-g2o
    @AllyAlly-g2o 9 วันที่ผ่านมา +1

    Kwel nakubal jaman huy mwamba huna mpinzan kwa style ya uchambuz wako

  • @peterzephania-n7z
    @peterzephania-n7z 9 วันที่ผ่านมา

    Nakukubali sana kwa uchambuzi wa bori

  • @allyhuyu1892
    @allyhuyu1892 5 วันที่ผ่านมา

    Kwani kuna anateseka kutokana na ubora wa mnyama kwenye rankings za caf

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069 8 วันที่ผ่านมา

    Faza,kwa niaba ya mashabiki wako naomba uweke na ule uwanja wa kudisplay pitch na mchezo tuone uchambuzi kwa position kabisa,ukiwa unafanya uchambuzi.ASANTE

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 6 วันที่ผ่านมา

    Naomba nitofautiane kidogo na mchambuzi wetu huhusu sifa ya urefu japo namwamini na kumpenda sana.Tumewahi kuwa na mlinzi George Magele Masatu alikuwa mfupi lakini alikiwasha kwa hatari.Kikubwa ni uwezo wa mchezaji

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  6 วันที่ผ่านมา

      Sahihi sana Bro. Hata pale Yanga msimu wa 2022/23 Job ndiye alikuwa kinara wa kucheza mipira ya juu ingawa si mrefu wa kufikia futi 6+. Lakini mabeki wa vimo virefu wanakuwa na faida zaidi kwa mipira ya juu na pia vipaji special vya mabeki aina ya Masatu na Job si vingi.

  • @user-kn1yw2oq3o
    @user-kn1yw2oq3o 9 วันที่ผ่านมา

    Simba nguvu moyaaaa

  • @LababaZircoijoxboy-hm2ud
    @LababaZircoijoxboy-hm2ud 9 วันที่ผ่านมา

    Mwambaa,,,, mtu wa mahana kbs

  • @user-rz6bc6nf5z
    @user-rz6bc6nf5z 9 วันที่ผ่านมา +1

    Baba mwaduke ww nimwalimu wa wachambuzi wote tz,

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96 9 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @TumainiSalufu-v4i
    @TumainiSalufu-v4i 9 วันที่ผ่านมา

    Ilibidi uwe professor

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  9 วันที่ผ่านมา

      Ha ha ha haaa. Tutamfikishia ujumbe wake Mzee wa Data.

  • @josephatisidori3060
    @josephatisidori3060 9 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mwamba ni mrithi wa Kashasha hazina ya taifa💪

  • @rahimsiraju9880
    @rahimsiraju9880 9 วันที่ผ่านมา

    Simba nguvu mojaaaa

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 9 วันที่ผ่านมา

      Simba ni zamani nafasi ya tatu iko palepale tabulele raaaa

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  9 วันที่ผ่านมา

      Duuh!

  • @AbdallahChindo
    @AbdallahChindo 9 วันที่ผ่านมา

    Mkuu tunaitaji utambulisho wakocha mpya wasimbaa

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  9 วันที่ผ่านมา

      Soon...Mzee wa Data atafanya hivyo. Kaa tayari!

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 8 วันที่ผ่านมา

    Yaan wew ndo unatamanisha kukusikiliza si wajinga wanaolipwa kutwa kuchambua ujinga wape somo

  • @user-wg7cl1mc8n
    @user-wg7cl1mc8n 9 วันที่ผ่านมา +4

    Mkuu tunahitaji ushambuzi wa kocha wa simba mpya ❤❤❤❤ plz

    • @sangaelly8548
      @sangaelly8548 9 วันที่ผ่านมา +3

      Wanini?wewe churani nini?

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  9 วันที่ผ่านมา +2

      Soon...Mzee wa Data anafanyia kazi pendeklezo lako. Jiandae

    • @user-wg7cl1mc8n
      @user-wg7cl1mc8n 9 วันที่ผ่านมา +1

      @@MbwadukeStatsNtafrrahi sana kiongozi

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 4 วันที่ผ่านมา

      @@MbwadukeStats sawa mzee wa data

  • @PaulNyanda-g8h
    @PaulNyanda-g8h 9 วันที่ผ่านมา

    Simba kuna thank you ngap?

    • @MbwadukeStats
      @MbwadukeStats  9 วันที่ผ่านมา

      Mmmh...swali zuri lakini tusubiri wamalize mchakato huo.