ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

ALLY KAMWE" WAMEFUNGWA NA TIMU YA DARAJA LA 6/YANGA NDIO TIMU TISHIO/WAJIANDAE KUPOKEA GOLI 10

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024
  • Leo July 17,2023 Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ally Kamwe ameeleza maandalizi yao kuelekea Msimu mpya wa Ligi kuu ya NBC.
    Aidha Ally Kamwe amesema kikosi chao kimekamilika kwa Asilimia zote na kipo tayari kutoa ushindani mkubwa kwenye mashindano yote watakayoshiriki na watafanya vizuri

ความคิดเห็น • 35

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 หลายเดือนก่อน +2

    KIUKWELI Kabisa yaani APO KWENYE Thank you NIMEKUKUBALI SANA Positive

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana Kamwe -- " Nitafurahi sana tukimnyoosha Jemedari na timu yake " kono la nyani tena " ili kufunga kinywa chake.

    • @peterkandaya565
      @peterkandaya565 หลายเดือนก่อน

      Angalie na nyie maije mkapigwa 6 - 0 manake mlishawahi kuchezea halafu sio ya mchongo Kama ya kwenu ya kununua wachezaji😅😅😅😅😅

  • @user-uf8ot1mq8c
    @user-uf8ot1mq8c หลายเดือนก่อน +4

    Mwaga makopa Ally Kamwe

  • @PrinceYanga-pl6rm
    @PrinceYanga-pl6rm หลายเดือนก่อน +2

    Nakukubali kakak

  • @Ommybabaa47
    @Ommybabaa47 หลายเดือนก่อน +2

    Simba inacheza na Sevilla yeye haja zaliwa akaandike MABANGO ya MZEE MAGOMA 😅

  • @SamsonDaniel-ch2jn
    @SamsonDaniel-ch2jn หลายเดือนก่อน +1

    Ila jemedari saidi anazingua Sana

  • @EliakimuBura
    @EliakimuBura หลายเดือนก่อน +3

    Ahahahahahah ali kamwe we ni mwamb😊😊😊😊

  • @francepaul7711
    @francepaul7711 หลายเดือนก่อน

    Mwenyekiti 🙌🙌🫶🫶

  • @JoshuaKashongole
    @JoshuaKashongole หลายเดือนก่อน +1

    Yani ni ham na huyo bin kazumar vbya mnooooo

  • @kigura_jr
    @kigura_jr หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi anahisi kasikia vibaya 💛💚💛💚

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m หลายเดือนก่อน

    Kweri kafungiwa Koro cta moja na Tim ya chini Toka misr

  • @chuggamwachaa-kb7iv
    @chuggamwachaa-kb7iv หลายเดือนก่อน +2

    Wewe nawasiwasi nawewe unaweza ukawa ubwabwa

    • @UmmyHamisi-ru2rw
      @UmmyHamisi-ru2rw หลายเดือนก่อน

      Na ww ni mchele mchele mxeew 😏

  • @gharibbilal9180
    @gharibbilal9180 หลายเดือนก่อน

    Ali Simba huyoo

    • @Itselars77
      @Itselars77 หลายเดือนก่อน

      Wewe ndo simba😂😂

  • @prince783
    @prince783 หลายเดือนก่อน +1

    Kwaio nyie wakubwa kuliko ahly

  • @Yuleyule-u6c
    @Yuleyule-u6c หลายเดือนก่อน

    Simba ilicheza na Sevilla inayocheza na Madrid pia.watani Bado Hamna jipya SEMA mnajitafuta ongezeni bidii maana hata hiyo Augsburg inajitafuta pia.

    • @SalvatoryMbigili-m2f
      @SalvatoryMbigili-m2f หลายเดือนก่อน

      Inategemeana sevilla walikuja wafanya usafi wa uwanja still wakawafunga😂😂😂😂😂😂😂

    • @Yuleyule-u6c
      @Yuleyule-u6c หลายเดือนก่อน

      @@SalvatoryMbigili-m2f 😁hutaki kuamini kuwa Sevilla ilicheza na Simba na alikuwa nafasi ya nne La Liga Spain!! Mbona yanga itacheza na Augsburg ambayo ilikuwa nafasi ya11 bundesliga.

    • @Itselars77
      @Itselars77 หลายเดือนก่อน

      ​@@Yuleyule-u6c😂😂 Sevilla walikuja kutalii ndo maan hata mechi wakatalii bado wakawakanda na mlivyo washamba mkaomba viatu 😂😂

  • @alitante4279
    @alitante4279 หลายเดือนก่อน +1

    Magoma mmoja sawa na Utopolo wotee 🐸

    • @KennedyJohn-p1i
      @KennedyJohn-p1i หลายเดือนก่อน

      Kaa utulie kolo ww

    • @moshielfesty7992
      @moshielfesty7992 หลายเดือนก่อน

      Acheni kuteseka

    • @matiankomola2391
      @matiankomola2391 หลายเดือนก่อน

      Mangoma ni Kibaraka wenu, hamtafanikiwa!

    • @user-yr4pv2vj7m
      @user-yr4pv2vj7m หลายเดือนก่อน

      Wewe Koro turia Tim yenu ya UNGA mwana Kono Ra nyani.tena

  • @user-pj4mx2ro4h
    @user-pj4mx2ro4h หลายเดือนก่อน +1

    Watakuwa wamecheza na mamaako

    • @user-ox1eg1ej6u
      @user-ox1eg1ej6u หลายเดือนก่อน

      Inakuumaee. Nyooo. Koliii

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂😂 🎉🎉🎉🎉

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m หลายเดือนก่อน

    Subrini makoro ringi. I.anze.mtakoma Kono Ra nyani .Rina wausu

  • @VeronicaEmmanuel-t2v
    @VeronicaEmmanuel-t2v หลายเดือนก่อน +1

    Ila uyu mwamba eti kunawatu wanatumiwa Whatsapp maendeleo ya tmu zao hii imeenda na wamekula SITA

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 หลายเดือนก่อน

      Huyu dogo anamuudhi mpaka aliyetoa mkojo wake kumtengeneza

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 หลายเดือนก่อน

    Kamwe hao wanawavizia wachezaji wetu. Tuwe makini.