MLIMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 มิ.ย. 2023

ความคิดเห็น • 23

  • @salminlyimo7850
    @salminlyimo7850 ปีที่แล้ว +2

    Mlima wenye vilima vyake Tanzania 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu ndiye chejoo huyu ndiye fundi machejo ooo machejooo

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt 5 หลายเดือนก่อน

    Chejoo ooooooo Asante chejoooo tuna enjoy chejoooo video zako ni noma brother

  • @emmanuelblazy1289
    @emmanuelblazy1289 ปีที่แล้ว

    Video zenye dakika nyingi ndio nzuri kwa sisi wanazi tunaopenda kufuatilia matukio ya mabasi tz.. KAZI nzuri machejo, tuwekee nyingi kwa nyingi wanazi tuburudike👍👍

  • @salamsabdullah-st9pt
    @salamsabdullah-st9pt 5 หลายเดือนก่อน

    Asante Sana chejoooo

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 6 หลายเดือนก่อน

    Hii njia ni finyu sana. Kwani wahusika hawaoni au

  • @dishonmagereza1114
    @dishonmagereza1114 ปีที่แล้ว

    Sana machejo kazi nzuuri 🔥🔥

  • @raymondjonathan173
    @raymondjonathan173 5 หลายเดือนก่อน +1

    Napakumbuka kitonga tulipotumbukia na bus la binkleb Hadi bondeni Ila tulinusurika

    • @Fundi_Machejo
      @Fundi_Machejo  3 หลายเดือนก่อน

      Duuuu pole sanaa ndugu yangu

  • @OleSindima-wt4dy
    @OleSindima-wt4dy 7 หลายเดือนก่อน

    Mwendo kali sana

  • @godfreyjohn5878
    @godfreyjohn5878 ปีที่แล้ว

    DTR la kuparamia milima🙌🙌

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo 7 หลายเดือนก่อน

    Kitonga kweli ni barabara hatari

  • @byadieuwizbaby-yb8db
    @byadieuwizbaby-yb8db 6 หลายเดือนก่อน

    Njia iyi duhhh

  • @daviscissokho9471
    @daviscissokho9471 11 หลายเดือนก่อน

    238 DTR sauti ya braza Michael ikiskika

  • @newgeneration9524
    @newgeneration9524 11 หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo baraba tunaomba iwe na njia tatu yakupanda mbili tena ziwe pana na kushika iwe moja pana. Selikali kama inaerewaga somo hiyo hapo ni hatari sana mimi ni dreva wa miaka 26 sasa napita kwenye njia hiyo nihovyo kuliko maereza hasa wa gari ya manual kupandish mbaya zaid police wanaakili za ajabu inaonesha hawana fan za udreva wanakupiga fain ukiovateki mliman ivi hawa wanaakili kweli. Mlimani gali ukichenji gia gar inafer kupanda. So ukiwa sipid angarau 30 /40 inabidi unitaidi upande hivo gar isije kufeei kupanda ikiludi nyuma tu munakufa rais wa tz tunakuomba tupanulie huyo njia iwe njia 2 kupand kushuka njia 1 pana au njia 2 tena

  • @JacklineNamundengozi
    @JacklineNamundengozi 8 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤

  • @AlamanoMsola
    @AlamanoMsola 7 หลายเดือนก่อน

    Inapanda hiyo

  • @egdldm4981
    @egdldm4981 7 หลายเดือนก่อน

    Barabara hii kwa nini isipanuliwe na kufanya njia nne?

  • @yonasimion3130
    @yonasimion3130 7 หลายเดือนก่อน

    Hapo mlikuwa mnapanda au kushuka

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 6 หลายเดือนก่อน

    Ni ubunifu mzuri hata ambao wanausikua tu mlima kitonka wanafaidi kupitia ibunifu wako.siku nyingine tupeleke hadi mwisho wa njia tuione tz kupitia chenell yako.ukiendeleza ubunifu huu kuna siku utavunja rekodi ya kuwa na watazamaji wengi

  • @user-en4mf9qp1f
    @user-en4mf9qp1f 6 หลายเดือนก่อน

    brbr ndf kwel madereva kuwa makini