Beka Flavour - Nakupenda (Official Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 มี.ค. 2024
- Mmmhh...
Nakupa sifa zote baby, unanichanganya changanya eweh baby iih,
Kwenye sita kwa sita wee fundi baby
iih..
Unanikoroga koroga sijiwezi iih eeh,
Mbalamwezi kwa kiza unanimulika mwezako me nang’aa ng’aa,
Penzi la miujiza nalopata kwako nabaki tu kushangaa,
Mbalamwezi kwa kiza unanimulika mwezako me nang’aa ng’aah,
Penzi la miujiza nalopata kwako nabaki tu kushangaa.
Chorus
Mpezi wangu nakupenda wewe tu,
Me mwenzio bila wewe si kitu,
Tumwombe mungu atuepushe vitu vitu,
Tuishi milele mpaka tuone vitukuu,
Washachelewa aah aah oweoh,
Ushawaiwa aah aah oweoh,
Washachelewa aah aah oweoh,
Ushawaiwa aah aah ooh oweoh.
Verse 2
Mmh eeh aah,
Kuna bebe zenu halafu kuna wangu ni mtu na nusu,
Penzi linawaka waka halizimi si umeme wa luku,
Kuna bebe zenu halafu kuna wangu ni mtu na nusu,
Penzi linawaka waka halizimi si umeme wa luku,
Yeye na mimi tupo sayari yetu sayari yetu,
Tumeridhiana na yetu madhaifu madhaifu.
Chorus
Mpenzi wangu nakupenda wewe tu,
Me mwenzio bila wewe si kitu,
Tumwombe mungu atuepushe vitu vitu,
Tuishi milele mpaka tuone vitukuu,
Washachelewa aah aah oweoh
Ushawaiwa aah aah oweoh,
Washachelewa aah aah oweoh
Ushawaiwa aah aah oweoh.
#bekaflavour #bongoflavour #nakupenda - เพลง
Ata mimi nmewai saana kuiona. Big up. Watu wagonge likes kuonyesha maupendo. From kenya 003
Beka tunakukubali sana, love from KE🇰🇪,waTz naombeni likes zenu plz
Mziki mzuri uwa ujifichi kama unakubalina na mimi like apa twende sawa team mziki mzuri ❤️🎧
From Dubai Bekka Flavour we love
@@AbdallaAli-ov3jg❤️🎧
Home boy
HOME BOY🎉
😊😊😊
From🇧🇮🇧🇮 napenda saaana beka tangu akia team yamoto i need like kama mnapenda comment zangu
Huu wimbo unaimbaga ila kwa uandishi huu umeuwezea....embu wekeni like za BEKA. APA.. TWENDE SAWA....📌☑️🔥
Saw
Baba watoto na Mama watoto ndani ya Ngoma kali🙏👍👍💪💪
From 🇨🇩 nafurahia kumuona baby mama wako kwenye huu wimbo
Wakenya let's support this beautiful music❤.. it's 🔥🔥
Support from Tanzania 🇹🇿 nataka likes zenyu
Zenu sio zenyu au ndio kisheng just kidding 😂😂
Beka, keep Mama mtoto wako❤🎉... Yaani mkue mzeeke wote. Blessings #Famefate
You exposed yourself kenyan eti "zenyu"
@@xfamefatetv l
Ngoma Kali Xan Hii Atimaye Tumewez Kufurahi Kaz Kubwa Hii 🎉🎉🎉
Ingoma imepeta mwenyewe kaka noma sana iyi alafu mkeho alivyo uwasasa ninoma #from congo 🇨🇩 🇨🇩 apa
Hii Couple ya Heppy na Beka ni Kali, nyimbo pia ni fire🔥🔥🔥🔥 9
Safi sana Beka….Love this Song…From Zürich Switzerland 🇨🇭 ❤❤❤❤❤
Kutoka moro tanzania we nimtupekee unae tuwakilishia kibabe kama me naongopa mniletee ap anae mshinda beka
Like zenu kwa wing kwawanao ujua mziki mzur
FLAVÒUR MUSIC worldwide 🔥🔥💯💯
Mapenzi sindo haya sasa hili ndo penzi lakweli nawaombea tu baraka zake mungu awatangulie
I swear without these bongo artists my would be so boring!! ❤🔥❤😍💯
watanzania tumsapoti kija mwenzetu bilashaka juhudi zake mnaziona @bekaflafour your the best ona nakupenda on air
What a surprise from Diamond🦁
Beka unajua kuchagua wewe ni noma aisee...nami nakupa nafasi ya kunichagulia😅
Hili pini ni kisanga jomba langu love kubwa from kenya
Tamu sanaaaaa tu... Mash'Allah ❤🇰🇪🔥🙏🙌🙌🙌✌️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🥰
Big UP from Moçambique 🇲🇿 good vibe flavor
Wimbo kali🥰🥰🥰❤️❤️🔥🇰🇪🇹🇿
Bekaa much love from.🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wow, 🎉🎉🎉❤❤ my favorite 😍
Nimeupenda sana huu wimbo. Becka flavour with a good melody. The music producer nailed it with a beautiful mixing & mastering. Melody without abusive words
The hit of the year from beka
Nakupa sifa zote @ Happy Tarmo Ori, I love this video bse of you... wewe tuuu😊
This song by now should be on trending number one,,much love from kenyan 🇰🇪 gee,,hii ni kali bruh,,wapi likes za huyu mnyama,,afu msikose kupitia kwangu pia kuna mambo🎉
Jaman video mzurii sana naomba uwe mwendelezo wa ngoma kali na video kali mungu akupe wepesi
Love the rhythm... love from America 🇺🇸 ❤️ 💙 💕 ♥️ 💖
Daaa tangu nakujuwa beka freva hii ngoma ni bonge moja la dude🙌🙌🙌
Exactly 💯 ❤❤
Jaman huyu dada ni mrembo ❤❤ mashallah
Unajua kaka
Ngoma Kali sana beka hio nakuamnia asilimia 100/
Daaah huyu dem ni chuma ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mnachelewesha nin sas tu Ndoa na Mungu atawashushia baraka tele
Wimbo nzuri sana mwanangu.
Ila tu ulikuwa ushapoteya kitambo💪💪💪🇨🇩
Dah hatari na nusu ❤❤
🇧🇮🇧🇮🇧🇮nyimbo kali east African mwezi huu
❤❤❤❤ super
Bek saf mpenzi wangu nakupenda wew tu
❤❤❤❤❤ jaman natamani ifike hata nafasi ya 2mbona nizur
Support from Kenya, nyimbo Kali ,zingatia maokoto ,kazi ifuatayo jaribu collabo na miamba upate show za nje(jux, willy Paul,masauti,scar,marioo, Bien,Nadia) uwezo unao~~wazazi hawaachani mfanyi mzazi mwenza manager wako❤
Umeamua kuwapenyeza wakenya wenzio
Kijana sauti Safi imetulia..... outer 254 iiinnn
Yan ndg yang hauna shda ya kutafuta video queen kwa7b mzaz mwenzio n mzur hongera Kwa hlo 🙏🙏🙏♥️♥️♥️
Nihatarii Sana brooo mzik mzur
I love this guy for free... His songs are always dope. Na sauti pia kabarikiwa nayo....
Manze beka flavour najua kuimba sana tu support huyo muzee afike mbali
Hujawahi agusha since day always on point
Mbalamwezi kwa giza
Unanimulika mwenzako nang'aa
Kutoka Kenya🇰🇪 Nipeni likes jamenii...uandishi wa Beka uko juu tu sana
From Congo j'ai validé
Bekaa🙌🙌🙌🙌🙌
Nyimbo zuri sana nimekumbuka mbali nilipenda sana ila kafariki
Pole sana
Nawapenda sana kweli mungu awatie nguvu katika ndowa yenu ❤️
My favorite song thanks beka for video
Nakufuatilia kutoka mombsa kenya good job bro
Bonge la video 🎉🎉🎉🎉 pokea maua yako kaka 🎉🎉🎉🎉
Nice job😊
Kichupa bro much love from kenya
Big up kazi ni noma sana mashabiki tuko nyuma yako kutoka DRC🇨🇩
🔥🔥🔥✨✨
Niswe mnafiki hii nyimbo nimeangalia zaidi yamara tano❤❤
From 🇧🇮🇧🇮🇲🇿🇲🇿❤❤❤
Love from 🇧🇮 🇧🇮🇧🇮 100%
Sija chelewa sana ila naomba muni follow jamani shabiki yenu apa kutoka congo ❤
So underrated artist
But it's one of the best
Ngoma nzuri video kali umetisha na Mama mtoto wako ❤❤❤❤
Mziki umetulia vizuri sana❤❤❤
Yaaani baada ya kusubiri my ringtone, finally the video is out. gonga likes tukisonga
beka huyu manzi ni mzuri mannina
congretulation bro. kwa nyimbo nzuri kama iyi na nakuamini sana kwakujuwa kuchaguwa wanawake wa rembo kwenye nyimbo zako napenda sana ebu nipe umoja bwana nikatiye ndani direct
Nakubali SANA beka❤❤.Nice song,i'm come from Burundi🎉🎉
Kiukweli beka wimbo mzriii snaa 🔥🔥🔥
Ila beka ana dem mzuri❤❤❤
I'm from China 🇨🇳 and i love this song since I have heard 🔥i don't understand what it says but i can feel crazy love in my deep heart .thank you man keep dropping 👑🔥
International music bro let's like guys ❤
Hongera sana bekaflavour ngoma kali saana hii kwa wapendanao❤❤❤❤
Kali sana,Mwanavocally
Está música é Fire 🔥🔥🔥🔥🔥Support from Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
🔥 wimbo mzuri saana
Watching from Zimbabwe Harare
ila huyu blaza anajuwa sana.😊😊
Zimbabwe 🇿🇼approves! Nice track
Ila wazuri jamani 🎉🎉🎉
Nice song mimi jamila kutoka uae dubai❤
Wimbo mzuri (🎉)
Good song
My favorite singer na umejua kuitendea haki nyimbo na video umeua ❤
Kuna mziki na kuna mziki mtam, huu mziki ni mtam na nusu
Good job from 🇧🇮💐
Kuimba unajua beka ❤❤❤❤❤
Moto.. love from 254
Kazi nzuri sana ❤❤❤
Video ni nzuri mno haijawahi kutokea ..❤ iko so unique
Kazi iko poa sana kaka hujawa hiniangusha
Nyimbo tamu sna💯💯💯
Beka we love you so much from Kigali 🇷🇼🇷🇼🇷🇼🇷🇼♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Mpz wangu nakupenda wew tyuuu me mwenzio be wew si kituuu gonga like kam imekubambaaa❤❤❤