Amisa na nandi 😂sio vizur jaman mbona mne pendeza sana kumzidi mke wa mtu jaman amisa🎉🎉🎉🎉🎉 nandy 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mme tisha sana jamanalie kubali mavazi ya hao watu tujuane
@@ladislausngoyinde4384Hata uwo utamadini wa kiafrika Kwa waislamu haifai kusherekea birthday kama Ivo, labda uwe utamadini wakiafrika Kwa wakristo TU.
ungemwambia tu kuwa hii ni biashara na Hajj anajibrand lakin kwa ngoma za kiafrica kila mtu anacheza popote pale anapoisikia ili mladi iwe ni ya Mila yake lazima imguse moyo @@ladislausngoyinde4384
Haji manara ni muislamu wa ajabu sana muogope mungu huwo ni ukafiri unoufanya hapo mungu anakuona na aibu anatutia waislamu wawahi uchafu uchafu uchafu.
Hamisaaa wanguuuu❤❤❤❤❤❤❤❤❤KIBOKO YA WASANII WAKIKE. MISAAAAAAA MSHONO NA NGUO. LUV U MISAAAAAAA. Full kujiamin. Kajua KUWAFUNIKAAA. wake wamond wotee😂😂😂😂😂
Na sio Hamisa tu hata aunt Ezekiel na wengine wengi,Ile promo ya manara,asicheze na watoto wa mjini hata uoya kinyama sana, zai kaua Kwa gauni la kwanza tu,lkn Hilo la pili hapana👁️ sijapenda,mi naenda nyumbani kula chapati na marage😡
Ni kweli ni unyama gani..mimi ni wa kwanza kuwa kipaumbele ktk mpira baada ya kufuatilia mbwembwe za haji..alinishawishi nikazama kwenye team yangu..nilichovya mguu tu kuwa alama ya team ila sikuwa in deep..ila Manara alinifanya niwe indeep mpaka page yangu ya fb..napost habari za mpira kuhusu team yangu..yote haya ni ushawishi wa haji na mbwembwe zake.
Mpira haupo ivo nasibu na mpira kila siku unakuwa kwa kasi kuliko at mziki manara siyo kama wamemfungia wamemuondoa kbx kwenye mpira cz alipokuwa anaelekea ni kisababisha at ligi kufungiwa tatizo mdomo ajiongeze tyuu hajafungiwa amefukuzwa kwenye boli kbc
Mobeto unafocer kutumia rafudhi ya English hadi kwenye kuimba unajikuta unaalibu hadi wimbo wenyewe unaimba out of key wadada poa wa mjini hacheni swaga za kuiga kuongea kama wazungu ongeeni tu kimakonde chenu mtaeleweka
Hivi jamani tokea lini TANZANIA ikaitwa ULAYA, hebu punguzeni UMALAYA na kujifananisha na wazungu. Punguzeni shobo na kupotosha watu. Hakuna sherehe ya pete katika uislam bali kuna ndoa na sio kwenda uchi
Mond Leo umesema kweli upuuzi wa karia serikali inaangalia tu wakati feitoto alikabwa kidogo yakatoka maeleekezo,huku ni kunyanyapaaa wengine haipendezi hata kidogo
Aise braza Haji Manara kiukwel ww ni bonge la mbunifu Sana nimetaza jinsi ambavyo mtangazaji wa T.V yko anavyoongea kifaransa aise hii SF sna coz watangazaj wengi wa TZ wanaingia lugha moja vzr na yapili which is kingereza wa chapia sna!! Sasa kwa ww kuwa na mtangazaji anae zungumza kifaransa hyo nifaida kubwa sna nanifundisho kubwa sna kwa media nyingine hongera sna aise
Simbaa na manara blood moja❤ udugu ni kufaana kweli simba umeongea❤
HAUJUI‼️🦁..Ni Simba Na Manara Dangote🎉
Hamisa Shikamoo ❤❤
Amisa na nandi 😂sio vizur jaman mbona mne pendeza sana kumzidi mke wa mtu jaman amisa🎉🎉🎉🎉🎉 nandy 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mme tisha sana jamanalie kubali mavazi ya hao watu tujuane
chemistry between diamond and haji ...blood moja
Kusema ukweli ukimwangalia Haji Manara akili kubwa sana!
😂
Diamond mungu akupe uhai mrefu,upendi unafki umefunguka kiukweli manara ni jembe haswa
Kbs mod na manara wanapendanasana Allah awazidishiye mapenzi
Wenye Tabia moja wanapendana sio shida.
Hongera Kaka haji❤❤❤❤
Kweli sisi wote wa kongomani tuliopo apa marekani tumependa mpira wa Tanzania 🇹🇿 kwajili ya BUGATTI AJI MANARA lakini wa Tanzania mnawivu sasa
Mtovu wa nidhami sio suala la wivu kama mnampenda mwambieni aache lopolopo
@@taseleli9181utovu wanidhamu upi unaoweza kumfungia mtu miaka yote hii?? Tumia akili
Umeonaa eeeee Wana wivu Wana roho mbaya wavivu wao wamekalia midomo juuuuuu tu 😳
Mungu awalinde
Sana sisi washamba
Bugati ni mmoja tu, bugati baba lao, mondi baba lao🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💚💚🇹🇿🇹🇿
I'm verry verry suport this of mondi saying truth, of Manara
😂😂andika kwa lugha ya kiswahili tafadhari
@@nancyg8664 ni kivumbiii 😂 😂 😂
@@introverthustler 🤣🤣
@@nancyg8664😂😂😂😂......
Tumvumilie, practice makes perfect!!
😂😂😂daah kilikuja na Meli kweli bt ungeandika tu kiswahili ndugu
Thank diamond ❤❤❤
Uislamu Tanzania UNASOROTEKA🇰🇪🇰🇪🇸🇴🇸🇴
Kweli kabisa kakaangu huko kusherekea birthday muislamu mzima Bora hiyo pesa angeipeleka kwenye vituko vya mayatima
Mkiwa na njaa mnawaza mengi
Utamaduni wako usilazimishe kwa wengine, na wewe fuata utamaduni wa kiafrika basi tuone
@@ladislausngoyinde4384Hata uwo utamadini wa kiafrika Kwa waislamu haifai kusherekea birthday kama Ivo, labda uwe utamadini wakiafrika Kwa wakristo TU.
ungemwambia tu kuwa hii ni biashara na Hajj anajibrand lakin kwa ngoma za kiafrica kila mtu anacheza popote pale anapoisikia ili mladi iwe ni ya Mila yake lazima imguse moyo @@ladislausngoyinde4384
Haji manara ni muislamu wa ajabu sana muogope mungu huwo ni ukafiri unoufanya hapo mungu anakuona na aibu anatutia waislamu wawahi uchafu uchafu uchafu.
Wewe baki na uisilamu wako
Achana na maisha ya mtu/watu
Ukiwa maskini na akili Yako inakusaliti
@@sabeenamshana1043Bora umesema 😂
Kama kweli wewe ungelikuwa unanijari dini ya kiislamu hakika hata hiyo video au shughuli ya manara usingeifuatilia.
Safi sana dangote umempa ukweli haji hiyo yamwisho mtoto Gani wakiisilamu anaoa Kila kukicha😂😂mondi safi sana
Uyo mond ye kaowa
Tim zailisa mpooooo❤❤❤❤❤
Point mond
Hili ndo vaz ambalo Tanzania hii halijawah tokea kuvaliwa😂😂😂😂😂😂😂ila haji sifa zitakuua,wakat hapo hamisa kamzid had bibi harus Kwa kupendeza😅😅
😂😂😂
Madada wawili wamependeza sana ...Maa shaa Allah !Zailissa mrembo Maa shaa Allah!
Wanawake wa mondi ni wengi snaaa apo😂😂😂mnaulizia zuchu zuchu wa nn
Hahahaaja sema Umeongea Kweli Mwanetu
😂
Zuchu Ka fichwa!!!! Kahifaziwa......yeye ndie Bibi harusi wa Africa!!!!!!!
Hahaha lini? @@BarbaraPatience-qt9cc
Hao michepuko mke ni Zuuuu
Wallah na mimi kusema nijuwe mupira wa tanzania niju ya hajji kbs
Point gani mwambie aache kuropoka ni mwanamichezo mzuri ila asiwe anapitiliza na yeye mmwambie ukweli
Kwani kosa gani kama hilo umewahi kusikia linaadhibiwa miaka kama ya mbakaji??
Umeongea point
Ongera sana aji Asante sana diamond
Elbugat 🔥🔥🔥
NI KWELI USENAYO,,LKN HAO SIO WAWAKILISHI WETU WA UISLAAM,,PIA UNA MAANA YA KUZOROTA AU,,
Maashaallah
Tunakupenda kutoka Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼
Mupitie na kwangu wapenzi ❤
Oyoooooo simba la masimba dangote ❤❤❤kiukweli haji afunguliwe jmn mm nmeupenda mpira kupitia manara ❤❤
Hamisaaa wanguuuu❤❤❤❤❤❤❤❤❤KIBOKO YA WASANII WAKIKE. MISAAAAAAA MSHONO NA NGUO. LUV U MISAAAAAAA. Full kujiamin. Kajua KUWAFUNIKAAA. wake wamond wotee😂😂😂😂😂
Kabisa Hamissa kiboko ya wote nampenda sana ❤❤❤❤
Haji asifunguliwe napiga duwa kila cku adhabu iongezeke anakeraaa sanaa
😅😅😅duu
Kwani hy daimond ninani yy na haji wote wanakosea uslamu maisha gn hy ya kujionesha mbele za watu
Mind your own business Bro,Mbinguni kila mtu anaenda kivyake..... Sasa huku umefata nn?
Zombi wewe ndio unajua kuongea❤😂
Jamàn Raha sana
Kwani diamond yeye anaonge kama nani hapa nchini
Mtu maarufu Africa mashariki
Hongera kwenu mmejua kupendeza
NILIJUA TU N BABA LEO NA MWIJAKU WANAPIGA MAKELELE😢
Mama ake haji kamdekeza sana haji ndio maana analana yakuoa kuacha tuache malezi yakijinga kwawatoto
Zay has got attitudes
Husema sana mpaka inakuwa hovwoo
Nimejikuta nalia mie,jmn tunawaomba mludixheni manara wetu
Hata mm inaniumaa sanaaa wamrudishe manara wetu yanga ili tuwakere zaidii
NDIOOO_🤦🏿♀️
Asuburi muda wa kifungo chake uishe
@@taseleli9181fala wew
Ukweli umeongelewa Asante sana Diamond, Haji afunguliwe
Napenda kuwashukru na kuwapongeza wote wazee wa comment session kwa kweli mnanichangamsha mimi mitandao hadi mama kizimkazi anawaelewa😂😅
Dah,Hamisa kapendeza zaidi kuliko mwali wetu,Yani kuliko chochote ❤
Yani anawaka vibaya
❤❤❤❤
Hahahhahahah nimetoka kukoment ivyo ivy😂😂😂hamisa hana mpango mzuri kabisa hamisa uyumqenye nyeusi nilijua nandy
Na sio Hamisa tu hata aunt Ezekiel na wengine wengi,Ile promo ya manara,asicheze na watoto wa mjini hata uoya kinyama sana, zai kaua Kwa gauni la kwanza tu,lkn Hilo la pili hapana👁️ sijapenda,mi naenda nyumbani kula chapati na marage😡
Misa anaalikika buan❤
Kuna wakati unaona wanasiasa nao ni machawa wa wafanyabiashara na matajiri
Ni kweli ni unyama gani..mimi ni wa kwanza kuwa kipaumbele ktk mpira baada ya kufuatilia mbwembwe za haji..alinishawishi nikazama kwenye team yangu..nilichovya mguu tu kuwa alama ya team ila sikuwa in deep..ila Manara alinifanya niwe indeep mpaka page yangu ya fb..napost habari za mpira kuhusu team yangu..yote haya ni ushawishi wa haji na mbwembwe zake.
Congrats Kwenu Semaji Na Zay Kwa Hatuwa Hiyo Mungu Awe Nanyiii🎉🎉🎉🎉
Mashaallah
Kweli kbs
Sijuwi ni lini nitapata baati ya kumuona Hamisa live❤❤
Nitakuunganisha nae muongee
Duuh..Hamisa tabia mbaya kumfunika bi Harusi😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hamisa ameshindikana❤❤
Diamond umeongea pont sana afunguliwe
Mna gongwa nyie
Ametumwa na manara amuombee manake Diomond hanaga mambo ya mpira. Mwache kwanza Adange
@@Mumewangu😅😅
Mpira haupo ivo nasibu na mpira kila siku unakuwa kwa kasi kuliko at mziki manara siyo kama wamemfungia wamemuondoa kbx kwenye mpira cz alipokuwa anaelekea ni kisababisha at ligi kufungiwa tatizo mdomo ajiongeze tyuu hajafungiwa amefukuzwa kwenye boli kbc
Haji hamia zako Kenya tu Kenya hawana baya tz husda Sana 🤴🦁
Hakuna nchi inayokosa watu wenye husda wacha kujiona m,bora kuliko wengine
BUGATI BUGATTI BUGATTI 🎉🎉🎉🎉🎉
👏👏👏👏ukosaiiii sanaaaa❤❤❤❤
He so awesome diamond speaks reality
Aendelee kutumikia adhabu ili ajifunze na ajirekebishe nidhamu hana
Nidham gn Zaid ya chuki binafs na choyo na husda bas kakosea nn Kama weye wajua sema kenge wamikia miwili ww nyooo
Hamisaa ❤
😢😢😢 mavazi mengine mtihani hamisha anakusanya uchafu wote wa chini yani kama dekio shida kweli
😂😂😂😂 Atari tupu
Zuchu Yuko wap
Ukweli usemwe tu kosa gani Manara kalifanya hadi kufungiwa miaka yote hii?? Sio poa kabisa mtu anafungiwa kama MBAKAJI?? jamani
Huyu kweli
hiyo ni sawa kusamehewa lakini je HAJI MWENYEWE HALISHAWAI KUOMBA SAMAHANI KWAO ?
Aya
Okay
Mobeto unafocer kutumia rafudhi ya English hadi kwenye kuimba unajikuta unaalibu hadi wimbo wenyewe unaimba out of key wadada poa wa mjini hacheni swaga za kuiga kuongea kama wazungu ongeeni tu kimakonde chenu mtaeleweka
Hivi jamani tokea lini TANZANIA ikaitwa ULAYA, hebu punguzeni UMALAYA na kujifananisha na wazungu. Punguzeni shobo na kupotosha watu. Hakuna sherehe ya pete katika uislam bali kuna ndoa na sio kwenda uchi
Hamisa umeua sherehe ya wenzio😂😂😂
Mungu hatoitia baraka ndoa inayofanyiwa ushetani wamziki
Mungu pia ni mwingi wa kusamehewa... iko siku atatubu na atasemehewa
@@chire4574 Mnafanya upuuzi wakusudi
Mond Leo umesema kweli upuuzi wa karia serikali inaangalia tu wakati feitoto alikabwa kidogo yakatoka maeleekezo,huku ni kunyanyapaaa wengine haipendezi hata kidogo
Free manara free manara ❤❤❤❤❤❤
Wote hao...wanasema ni Waislam....Haji M..Na Nasib A....Badilikeni jaman uislam hauendi na hamasa Bali ni kw maadili na taratibu....Mnatuabisha
Abu farah uko sahihi
Uuu kmbiii nomaaa
Bonge la pat yani naapo bado harusi
Mzungumzien na mpenja mbona hatangaxiii mechi
Manara wanawake wanathamini nyama kuliko mtego zinduka kk, hawana mpango na ww hao shida yao bado hujaijua?
Kuna maskin wanakufa kwa njaa tunamaswali mbele ya ALLAH cjui tutajibu nini ALLAH atunusuru
Uislam hauja zorota Tanzania ila kuna watu wanajinasibisha na uislam ndio wamezirota ambao ni wasanii
Nikweli unachokisema hata mavazi yao yakujiuza na kutamanisha wengine .na mjue kila mnapotembea hio nizinaa na hizo nguo
Afunguliwe ili aende wap ,,,amalize adhabu,,,
😂😂😂
Hakuna uislam Tanzania 💯
Kwan huyo haji ni nan mpaka uislam usiwepo?
Umeongea sana simba lamasimba dangote
Watanzania kila siku Raha na mtu akija uko mko nyuma kimaisha.Inua vijana kutoka kwa umasikini
Kabisa
Hamisa ume mbagua Haj manara hujampatia mkono
Diamond on point😍👍👍
Nahuhakika mond kashakula huyu demu😂😂😂
Ndo akili yako ilipofikia mwisho wa kufikir hiv unamiak mingap maan uwag unàndikaga ujing,mbon husemi kama diamond amekukula na wew
Brother diamond umeongea ukweliiiiiii🤝 kabisa yaniiii nakupenda bureee kaka yangu ngote na haji na wifi zaylisa💋❤️🔥✅
Hamisa ni dada wa manara😊
We nani mpaka uombe Afunguliwe uyu jamaaa Acha Aendeleee kukalia kuti kavu
Hamisa kuimbs haujui umaatufu tuu ndiyo umekufanya uingie kwenye mziki
Hamissa kavaa kigodoro😂😂😂
Wewe pia vaa kama rais
Hamisa ana shep wewe sio kigodoro
@@josephfrank4446Kavae na wewe mwanaume umejuaje kama na wewe umo humo humo?
nihuyu huyu manara mtoto wa kisram aliesoma dini nakuijua leo yuko hatua hiii mungu akusameh kwa kosa la kuimbatia Dunia
Swali zr sn GB
Aise braza Haji Manara kiukwel ww ni bonge la mbunifu Sana nimetaza jinsi ambavyo mtangazaji wa T.V yko anavyoongea kifaransa aise hii SF sna coz watangazaj wengi wa TZ wanaingia lugha moja vzr na yapili which is kingereza wa chapia sna!! Sasa kwa ww kuwa na mtangazaji anae zungumza kifaransa hyo nifaida kubwa sna nanifundisho kubwa sna kwa media nyingine hongera sna aise
Niko pal......
Hamisa kavaa vizuri kulio wote
Diamond umeongea hakika Mungu akutunze