DIAMOND PLATINUMZ AOMBA HAJI MANARA AFUNGULIWE NA TFF AULIZA KWANI AMEKOSEA NINI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • DIAMOND PLATINUMZ AOMBA HAJI MANARA AFUNGULIWE NA TFF AULIZA KWANI AMEKOESA NINI

ความคิดเห็น • 665

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 7 หลายเดือนก่อน +14

    Simbaa na manara blood moja❤ udugu ni kufaana kweli simba umeongea❤

  • @mudibojaffar9269
    @mudibojaffar9269 7 หลายเดือนก่อน +37

    HAUJUI‼️🦁..Ni Simba Na Manara Dangote🎉

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 7 หลายเดือนก่อน +19

    Hamisa Shikamoo ❤❤

  • @judithkatabaro3294
    @judithkatabaro3294 7 หลายเดือนก่อน +28

    Amisa na nandi 😂sio vizur jaman mbona mne pendeza sana kumzidi mke wa mtu jaman amisa🎉🎉🎉🎉🎉 nandy 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mme tisha sana jamanalie kubali mavazi ya hao watu tujuane

  • @InsideBest25k
    @InsideBest25k 7 หลายเดือนก่อน +24

    chemistry between diamond and haji ...blood moja

  • @roselinemoshi5008
    @roselinemoshi5008 7 หลายเดือนก่อน +39

    Kusema ukweli ukimwangalia Haji Manara akili kubwa sana!

  • @HappyCupcakes-eo8fd
    @HappyCupcakes-eo8fd 7 หลายเดือนก่อน +6

    Diamond mungu akupe uhai mrefu,upendi unafki umefunguka kiukweli manara ni jembe haswa

  • @InnocentCherryDumplings-rg1tj
    @InnocentCherryDumplings-rg1tj 7 หลายเดือนก่อน +18

    Kbs mod na manara wanapendanasana Allah awazidishiye mapenzi

    • @uwasesifa7563
      @uwasesifa7563 7 หลายเดือนก่อน

      Wenye Tabia moja wanapendana sio shida.

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly 7 หลายเดือนก่อน +13

    Hongera Kaka haji❤❤❤❤

  • @mbokanitaribo5106
    @mbokanitaribo5106 7 หลายเดือนก่อน +31

    Kweli sisi wote wa kongomani tuliopo apa marekani tumependa mpira wa Tanzania 🇹🇿 kwajili ya BUGATTI AJI MANARA lakini wa Tanzania mnawivu sasa

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 7 หลายเดือนก่อน +1

      Mtovu wa nidhami sio suala la wivu kama mnampenda mwambieni aache lopolopo

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@taseleli9181utovu wanidhamu upi unaoweza kumfungia mtu miaka yote hii?? Tumia akili

    • @subirajohn728
      @subirajohn728 7 หลายเดือนก่อน

      Umeonaa eeeee Wana wivu Wana roho mbaya wavivu wao wamekalia midomo juuuuuu tu 😳

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 7 หลายเดือนก่อน

      Mungu awalinde

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 7 หลายเดือนก่อน

      Sana sisi washamba

  • @awetumtengera1147
    @awetumtengera1147 7 หลายเดือนก่อน +9

    Bugati ni mmoja tu, bugati baba lao, mondi baba lao🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💚💚🇹🇿🇹🇿

  • @ramadhanbigirimana2617
    @ramadhanbigirimana2617 7 หลายเดือนก่อน +15

    I'm verry verry suport this of mondi saying truth, of Manara

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 7 หลายเดือนก่อน +4

      😂😂andika kwa lugha ya kiswahili tafadhari

    • @introverthustler
      @introverthustler 7 หลายเดือนก่อน +1

      @@nancyg8664 ni kivumbiii 😂 😂 😂

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 7 หลายเดือนก่อน

      @@introverthustler 🤣🤣

    • @emmanuelgwaay4773
      @emmanuelgwaay4773 7 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@nancyg8664😂😂😂😂......
      Tumvumilie, practice makes perfect!!

    • @OscarDzombo
      @OscarDzombo 7 หลายเดือนก่อน +2

      😂😂😂daah kilikuja na Meli kweli bt ungeandika tu kiswahili ndugu

  • @mrsab303
    @mrsab303 7 หลายเดือนก่อน +19

    Thank diamond ❤❤❤

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 7 หลายเดือนก่อน +143

    Uislamu Tanzania UNASOROTEKA🇰🇪🇰🇪🇸🇴🇸🇴

    • @user-gs1ef7rv6p
      @user-gs1ef7rv6p 7 หลายเดือนก่อน +13

      Kweli kabisa kakaangu huko kusherekea birthday muislamu mzima Bora hiyo pesa angeipeleka kwenye vituko vya mayatima

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb 7 หลายเดือนก่อน +20

      Mkiwa na njaa mnawaza mengi

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 7 หลายเดือนก่อน +11

      Utamaduni wako usilazimishe kwa wengine, na wewe fuata utamaduni wa kiafrika basi tuone

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 7 หลายเดือนก่อน +7

      ​@@ladislausngoyinde4384Hata uwo utamadini wa kiafrika Kwa waislamu haifai kusherekea birthday kama Ivo, labda uwe utamadini wakiafrika Kwa wakristo TU.

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 7 หลายเดือนก่อน

      ungemwambia tu kuwa hii ni biashara na Hajj anajibrand lakin kwa ngoma za kiafrica kila mtu anacheza popote pale anapoisikia ili mladi iwe ni ya Mila yake lazima imguse moyo ​@@ladislausngoyinde4384

  • @hajisimaikhatib9002
    @hajisimaikhatib9002 7 หลายเดือนก่อน +13

    Haji manara ni muislamu wa ajabu sana muogope mungu huwo ni ukafiri unoufanya hapo mungu anakuona na aibu anatutia waislamu wawahi uchafu uchafu uchafu.

    • @emmanueldavid9506
      @emmanueldavid9506 7 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe baki na uisilamu wako

    • @emmanueldavid9506
      @emmanueldavid9506 7 หลายเดือนก่อน +1

      Achana na maisha ya mtu/watu

    • @sabeenamshana1043
      @sabeenamshana1043 7 หลายเดือนก่อน +3

      Ukiwa maskini na akili Yako inakusaliti

    • @Gml-wi5nv
      @Gml-wi5nv 7 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@sabeenamshana1043Bora umesema 😂

    • @issawamba6233
      @issawamba6233 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kama kweli wewe ungelikuwa unanijari dini ya kiislamu hakika hata hiyo video au shughuli ya manara usingeifuatilia.

  • @digoMastar-zf4ji
    @digoMastar-zf4ji 7 หลายเดือนก่อน +8

    Safi sana dangote umempa ukweli haji hiyo yamwisho mtoto Gani wakiisilamu anaoa Kila kukicha😂😂mondi safi sana

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly 7 หลายเดือนก่อน +6

    Tim zailisa mpooooo❤❤❤❤❤

  • @hawanaiye-pt6xv
    @hawanaiye-pt6xv 7 หลายเดือนก่อน +12

    Point mond

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 7 หลายเดือนก่อน +20

    Hili ndo vaz ambalo Tanzania hii halijawah tokea kuvaliwa😂😂😂😂😂😂😂ila haji sifa zitakuua,wakat hapo hamisa kamzid had bibi harus Kwa kupendeza😅😅

  • @InsideBest25k
    @InsideBest25k 7 หลายเดือนก่อน +1

    Madada wawili wamependeza sana ...Maa shaa Allah !Zailissa mrembo Maa shaa Allah!

  • @BerthaModest
    @BerthaModest 7 หลายเดือนก่อน +39

    Wanawake wa mondi ni wengi snaaa apo😂😂😂mnaulizia zuchu zuchu wa nn

    • @singasinga2663
      @singasinga2663 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahaaja sema Umeongea Kweli Mwanetu

    • @Callkingb
      @Callkingb 7 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 7 หลายเดือนก่อน +2

      Zuchu Ka fichwa!!!! Kahifaziwa......yeye ndie Bibi harusi wa Africa!!!!!!!

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 7 หลายเดือนก่อน

      Hahaha lini? ​@@BarbaraPatience-qt9cc

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hao michepuko mke ni Zuuuu

  • @InnocentCherryDumplings-rg1tj
    @InnocentCherryDumplings-rg1tj 7 หลายเดือนก่อน +7

    Wallah na mimi kusema nijuwe mupira wa tanzania niju ya hajji kbs

  • @mkamimtatiro3449
    @mkamimtatiro3449 7 หลายเดือนก่อน +9

    Point gani mwambie aache kuropoka ni mwanamichezo mzuri ila asiwe anapitiliza na yeye mmwambie ukweli

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 7 หลายเดือนก่อน

      Kwani kosa gani kama hilo umewahi kusikia linaadhibiwa miaka kama ya mbakaji??

  • @PhinaGeorge-o5m
    @PhinaGeorge-o5m 7 หลายเดือนก่อน +22

    Umeongea point

  • @user-pt7lc4xu3d
    @user-pt7lc4xu3d 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ongera sana aji Asante sana diamond

  • @KapondaZenaida-g3z
    @KapondaZenaida-g3z 7 หลายเดือนก่อน +15

    Elbugat 🔥🔥🔥

  • @AkidaNzambah
    @AkidaNzambah 7 หลายเดือนก่อน +2

    NI KWELI USENAYO,,LKN HAO SIO WAWAKILISHI WETU WA UISLAAM,,PIA UNA MAANA YA KUZOROTA AU,,

  • @user-gb3fk1yt8n
    @user-gb3fk1yt8n 7 หลายเดือนก่อน +8

    Maashaallah

  • @mugaboemmanuel2468
    @mugaboemmanuel2468 7 หลายเดือนก่อน +1

    Tunakupenda kutoka Rwanda 🇷🇼🇷🇼🇷🇼

  • @TaarabChannel
    @TaarabChannel 7 หลายเดือนก่อน +15

    Mupitie na kwangu wapenzi ❤

  • @Wsdddjsssnd
    @Wsdddjsssnd 7 หลายเดือนก่อน +1

    Oyoooooo simba la masimba dangote ❤❤❤kiukweli haji afunguliwe jmn mm nmeupenda mpira kupitia manara ❤❤

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n 7 หลายเดือนก่อน +8

    Hamisaaa wanguuuu❤❤❤❤❤❤❤❤❤KIBOKO YA WASANII WAKIKE. MISAAAAAAA MSHONO NA NGUO. LUV U MISAAAAAAA. Full kujiamin. Kajua KUWAFUNIKAAA. wake wamond wotee😂😂😂😂😂

    • @pendochimammy5013
      @pendochimammy5013 7 หลายเดือนก่อน

      Kabisa Hamissa kiboko ya wote nampenda sana ❤❤❤❤

  • @LindaMbilinyi-n3n
    @LindaMbilinyi-n3n 7 หลายเดือนก่อน +5

    Haji asifunguliwe napiga duwa kila cku adhabu iongezeke anakeraaa sanaa

  • @abdallahajiomari9525
    @abdallahajiomari9525 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kwani hy daimond ninani yy na haji wote wanakosea uslamu maisha gn hy ya kujionesha mbele za watu

    • @Sangaadam
      @Sangaadam 7 หลายเดือนก่อน

      Mind your own business Bro,Mbinguni kila mtu anaenda kivyake..... Sasa huku umefata nn?

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 7 หลายเดือนก่อน +11

    Zombi wewe ndio unajua kuongea❤😂

  • @user-mw5tq4cj9b
    @user-mw5tq4cj9b 7 หลายเดือนก่อน +1

    Jamàn Raha sana

  • @user-ci5is1tx4p
    @user-ci5is1tx4p 7 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani diamond yeye anaonge kama nani hapa nchini

    • @yasnshaban9827
      @yasnshaban9827 7 หลายเดือนก่อน

      Mtu maarufu Africa mashariki

  • @user-cy1xw9dc8q
    @user-cy1xw9dc8q 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera kwenu mmejua kupendeza

  • @JoyceKikome
    @JoyceKikome 7 หลายเดือนก่อน +10

    NILIJUA TU N BABA LEO NA MWIJAKU WANAPIGA MAKELELE😢

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 7 หลายเดือนก่อน +6

    Mama ake haji kamdekeza sana haji ndio maana analana yakuoa kuacha tuache malezi yakijinga kwawatoto

  • @bintalmasi2393
    @bintalmasi2393 7 หลายเดือนก่อน +3

    Zay has got attitudes

  • @lm6373
    @lm6373 7 หลายเดือนก่อน +2

    Husema sana mpaka inakuwa hovwoo

  • @user-bu7cs8kr1y
    @user-bu7cs8kr1y 7 หลายเดือนก่อน +7

    Nimejikuta nalia mie,jmn tunawaomba mludixheni manara wetu

  • @BilomoDigital
    @BilomoDigital 7 หลายเดือนก่อน +18

    Hata mm inaniumaa sanaaa wamrudishe manara wetu yanga ili tuwakere zaidii

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 7 หลายเดือนก่อน

      NDIOOO_🤦🏿‍♀️

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 7 หลายเดือนก่อน +1

      Asuburi muda wa kifungo chake uishe

    • @MrTop-wj7no
      @MrTop-wj7no 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@taseleli9181fala wew

  • @dominarwechungura5797
    @dominarwechungura5797 7 หลายเดือนก่อน +7

    Ukweli umeongelewa Asante sana Diamond, Haji afunguliwe

  • @redtk2971
    @redtk2971 7 หลายเดือนก่อน +5

    Napenda kuwashukru na kuwapongeza wote wazee wa comment session kwa kweli mnanichangamsha mimi mitandao hadi mama kizimkazi anawaelewa😂😅

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo 7 หลายเดือนก่อน +12

    Dah,Hamisa kapendeza zaidi kuliko mwali wetu,Yani kuliko chochote ❤

    • @queenlinda255
      @queenlinda255 7 หลายเดือนก่อน +1

      Yani anawaka vibaya

    • @maryamm7765
      @maryamm7765 7 หลายเดือนก่อน

      ❤❤❤❤

    • @judithkatabaro3294
      @judithkatabaro3294 7 หลายเดือนก่อน

      Hahahhahahah nimetoka kukoment ivyo ivy😂😂😂hamisa hana mpango mzuri kabisa hamisa uyumqenye nyeusi nilijua nandy

    • @ChristinaOnditi-el3xo
      @ChristinaOnditi-el3xo 7 หลายเดือนก่อน +1

      Na sio Hamisa tu hata aunt Ezekiel na wengine wengi,Ile promo ya manara,asicheze na watoto wa mjini hata uoya kinyama sana, zai kaua Kwa gauni la kwanza tu,lkn Hilo la pili hapana👁️ sijapenda,mi naenda nyumbani kula chapati na marage😡

    • @faudhaidd2978
      @faudhaidd2978 7 หลายเดือนก่อน

      Misa anaalikika buan❤

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 7 หลายเดือนก่อน +6

    Kuna wakati unaona wanasiasa nao ni machawa wa wafanyabiashara na matajiri

  • @Dotto-hp3qf
    @Dotto-hp3qf 7 หลายเดือนก่อน +2

    Ni kweli ni unyama gani..mimi ni wa kwanza kuwa kipaumbele ktk mpira baada ya kufuatilia mbwembwe za haji..alinishawishi nikazama kwenye team yangu..nilichovya mguu tu kuwa alama ya team ila sikuwa in deep..ila Manara alinifanya niwe indeep mpaka page yangu ya fb..napost habari za mpira kuhusu team yangu..yote haya ni ushawishi wa haji na mbwembwe zake.

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing 7 หลายเดือนก่อน +2

    Congrats Kwenu Semaji Na Zay Kwa Hatuwa Hiyo Mungu Awe Nanyiii🎉🎉🎉🎉

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 7 หลายเดือนก่อน +3

    Mashaallah

  • @willyngume1445
    @willyngume1445 7 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli kbs

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sijuwi ni lini nitapata baati ya kumuona Hamisa live❤❤

    • @user-kt9qg1mo6l
      @user-kt9qg1mo6l 7 หลายเดือนก่อน

      Nitakuunganisha nae muongee

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 7 หลายเดือนก่อน +5

    Duuh..Hamisa tabia mbaya kumfunika bi Harusi😂😂😂

  • @user-vy9pz7sk4z
    @user-vy9pz7sk4z 7 หลายเดือนก่อน +29

    Diamond umeongea pont sana afunguliwe

    • @simbascdailysimbasctanzani2835
      @simbascdailysimbasctanzani2835 7 หลายเดือนก่อน

      Mna gongwa nyie

    • @Mumewangu
      @Mumewangu 7 หลายเดือนก่อน

      Ametumwa na manara amuombee manake Diomond hanaga mambo ya mpira. Mwache kwanza Adange

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@Mumewangu😅😅

  • @allytv1714
    @allytv1714 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mpira haupo ivo nasibu na mpira kila siku unakuwa kwa kasi kuliko at mziki manara siyo kama wamemfungia wamemuondoa kbx kwenye mpira cz alipokuwa anaelekea ni kisababisha at ligi kufungiwa tatizo mdomo ajiongeze tyuu hajafungiwa amefukuzwa kwenye boli kbc

  • @vumbakingvumbaking9571
    @vumbakingvumbaking9571 7 หลายเดือนก่อน +7

    Haji hamia zako Kenya tu Kenya hawana baya tz husda Sana 🤴🦁

    • @user-eu4pk3eh5d
      @user-eu4pk3eh5d 7 หลายเดือนก่อน

      Hakuna nchi inayokosa watu wenye husda wacha kujiona m,bora kuliko wengine

  • @Chizoofficial
    @Chizoofficial 7 หลายเดือนก่อน +9

    BUGATI BUGATTI BUGATTI 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @idrisamasatu8760
    @idrisamasatu8760 7 หลายเดือนก่อน +8

    👏👏👏👏ukosaiiii sanaaaa❤❤❤❤

    • @tiktokTviral
      @tiktokTviral 7 หลายเดือนก่อน

      He so awesome diamond speaks reality

  • @stanslausmteme8455
    @stanslausmteme8455 7 หลายเดือนก่อน +1

    Aendelee kutumikia adhabu ili ajifunze na ajirekebishe nidhamu hana

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela 7 หลายเดือนก่อน

      Nidham gn Zaid ya chuki binafs na choyo na husda bas kakosea nn Kama weye wajua sema kenge wamikia miwili ww nyooo

  • @victoriapendo1730
    @victoriapendo1730 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hamisaa ❤

  • @user-jn7pi4fl5m
    @user-jn7pi4fl5m 7 หลายเดือนก่อน +2

    😢😢😢 mavazi mengine mtihani hamisha anakusanya uchafu wote wa chini yani kama dekio shida kweli

  • @feizahcathy1038
    @feizahcathy1038 7 หลายเดือนก่อน +1

    Zuchu Yuko wap

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ukweli usemwe tu kosa gani Manara kalifanya hadi kufungiwa miaka yote hii?? Sio poa kabisa mtu anafungiwa kama MBAKAJI?? jamani

  • @JosephMoseti-sv8zy
    @JosephMoseti-sv8zy 7 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu kweli

  • @godtarimo8848
    @godtarimo8848 7 หลายเดือนก่อน +2

    hiyo ni sawa kusamehewa lakini je HAJI MWENYEWE HALISHAWAI KUOMBA SAMAHANI KWAO ?

  • @abdulazackabdul1894
    @abdulazackabdul1894 7 หลายเดือนก่อน +1

    Aya

  • @denisbulimwengu
    @denisbulimwengu 7 หลายเดือนก่อน +1

    Okay

  • @AmaniMaganga-xq5oe
    @AmaniMaganga-xq5oe 7 หลายเดือนก่อน +2

    Mobeto unafocer kutumia rafudhi ya English hadi kwenye kuimba unajikuta unaalibu hadi wimbo wenyewe unaimba out of key wadada poa wa mjini hacheni swaga za kuiga kuongea kama wazungu ongeeni tu kimakonde chenu mtaeleweka

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi jamani tokea lini TANZANIA ikaitwa ULAYA, hebu punguzeni UMALAYA na kujifananisha na wazungu. Punguzeni shobo na kupotosha watu. Hakuna sherehe ya pete katika uislam bali kuna ndoa na sio kwenda uchi

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 7 หลายเดือนก่อน +4

    Hamisa umeua sherehe ya wenzio😂😂😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu hatoitia baraka ndoa inayofanyiwa ushetani wamziki

    • @chire4574
      @chire4574 7 หลายเดือนก่อน +1

      Mungu pia ni mwingi wa kusamehewa... iko siku atatubu na atasemehewa

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 7 หลายเดือนก่อน

      @@chire4574 Mnafanya upuuzi wakusudi

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mond Leo umesema kweli upuuzi wa karia serikali inaangalia tu wakati feitoto alikabwa kidogo yakatoka maeleekezo,huku ni kunyanyapaaa wengine haipendezi hata kidogo

  • @suleydamour4059
    @suleydamour4059 7 หลายเดือนก่อน +3

    Free manara free manara ❤❤❤❤❤❤

  • @user-to1it9hk2z
    @user-to1it9hk2z 7 หลายเดือนก่อน +1

    Wote hao...wanasema ni Waislam....Haji M..Na Nasib A....Badilikeni jaman uislam hauendi na hamasa Bali ni kw maadili na taratibu....Mnatuabisha

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 7 หลายเดือนก่อน +1

    Abu farah uko sahihi

  • @user-ov7ge3ci6f
    @user-ov7ge3ci6f 7 หลายเดือนก่อน +2

    Uuu kmbiii nomaaa

  • @user-il1hw5hl3z
    @user-il1hw5hl3z 7 หลายเดือนก่อน +9

    Bonge la pat yani naapo bado harusi

  • @brunochoga4932
    @brunochoga4932 7 หลายเดือนก่อน +1

    Mzungumzien na mpenja mbona hatangaxiii mechi

  • @mohamedbedui9486
    @mohamedbedui9486 7 หลายเดือนก่อน +1

    Manara wanawake wanathamini nyama kuliko mtego zinduka kk, hawana mpango na ww hao shida yao bado hujaijua?

  • @assfzainab912
    @assfzainab912 7 หลายเดือนก่อน

    Kuna maskin wanakufa kwa njaa tunamaswali mbele ya ALLAH cjui tutajibu nini ALLAH atunusuru

  • @rashidmussa9659
    @rashidmussa9659 7 หลายเดือนก่อน +1

    Uislam hauja zorota Tanzania ila kuna watu wanajinasibisha na uislam ndio wamezirota ambao ni wasanii

    • @user-qq4wg7ib4k
      @user-qq4wg7ib4k 7 หลายเดือนก่อน

      Nikweli unachokisema hata mavazi yao yakujiuza na kutamanisha wengine .na mjue kila mnapotembea hio nizinaa na hizo nguo

  • @ushindingayilo9780
    @ushindingayilo9780 7 หลายเดือนก่อน +1

    Afunguliwe ili aende wap ,,,amalize adhabu,,,

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 7 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

  • @mrabsheba5153
    @mrabsheba5153 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hakuna uislam Tanzania 💯

    • @subrynerysegerow1323
      @subrynerysegerow1323 7 หลายเดือนก่อน

      Kwan huyo haji ni nan mpaka uislam usiwepo?

  • @DanTata-cy7uc
    @DanTata-cy7uc 7 หลายเดือนก่อน +4

    Umeongea sana simba lamasimba dangote

  • @leonidamachuru5960
    @leonidamachuru5960 7 หลายเดือนก่อน +10

    Watanzania kila siku Raha na mtu akija uko mko nyuma kimaisha.Inua vijana kutoka kwa umasikini

    • @EmJesho
      @EmJesho 7 หลายเดือนก่อน

      Kabisa

  • @nashonikazabukeye5259
    @nashonikazabukeye5259 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hamisa ume mbagua Haj manara hujampatia mkono

  • @aishahasan7722
    @aishahasan7722 7 หลายเดือนก่อน +3

    Diamond on point😍👍👍

  • @user-fb2tj3kc7z
    @user-fb2tj3kc7z 7 หลายเดือนก่อน +6

    Nahuhakika mond kashakula huyu demu😂😂😂

    • @XerinLogistics
      @XerinLogistics 7 หลายเดือนก่อน +1

      Ndo akili yako ilipofikia mwisho wa kufikir hiv unamiak mingap maan uwag unàndikaga ujing,mbon husemi kama diamond amekukula na wew

  • @ShadiyaCute-lq2gk
    @ShadiyaCute-lq2gk 7 หลายเดือนก่อน

    Brother diamond umeongea ukweliiiiiii🤝 kabisa yaniiii nakupenda bureee kaka yangu ngote na haji na wifi zaylisa💋❤️🔥✅

  • @marikwilliam9886
    @marikwilliam9886 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hamisa ni dada wa manara😊

  • @khalidngatigwa255
    @khalidngatigwa255 7 หลายเดือนก่อน

    We nani mpaka uombe Afunguliwe uyu jamaaa Acha Aendeleee kukalia kuti kavu

  • @imanibakili8028
    @imanibakili8028 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hamisa kuimbs haujui umaatufu tuu ndiyo umekufanya uingie kwenye mziki

  • @BongoPlatformTv
    @BongoPlatformTv 7 หลายเดือนก่อน +8

    Hamissa kavaa kigodoro😂😂😂

    • @munirahassan5969
      @munirahassan5969 7 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe pia vaa kama rais

    • @josephfrank4446
      @josephfrank4446 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hamisa ana shep wewe sio kigodoro

    • @ashaali7154
      @ashaali7154 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@josephfrank4446Kavae na wewe mwanaume umejuaje kama na wewe umo humo humo?

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 7 หลายเดือนก่อน

    nihuyu huyu manara mtoto wa kisram aliesoma dini nakuijua leo yuko hatua hiii mungu akusameh kwa kosa la kuimbatia Dunia

  • @user-lc6ce8pb9b
    @user-lc6ce8pb9b 7 หลายเดือนก่อน +1

    Swali zr sn GB

  • @kwamnkurumah8574
    @kwamnkurumah8574 6 หลายเดือนก่อน

    Aise braza Haji Manara kiukwel ww ni bonge la mbunifu Sana nimetaza jinsi ambavyo mtangazaji wa T.V yko anavyoongea kifaransa aise hii SF sna coz watangazaj wengi wa TZ wanaingia lugha moja vzr na yapili which is kingereza wa chapia sna!! Sasa kwa ww kuwa na mtangazaji anae zungumza kifaransa hyo nifaida kubwa sna nanifundisho kubwa sna kwa media nyingine hongera sna aise

  • @rajahamy9700
    @rajahamy9700 7 หลายเดือนก่อน +1

    Niko pal......

  • @user-ki4sg8yz9j
    @user-ki4sg8yz9j 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hamisa kavaa vizuri kulio wote

  • @FatmaLyego
    @FatmaLyego 7 หลายเดือนก่อน +14

    Diamond umeongea hakika Mungu akutunze