| VOL.9 EP 02 | KUPOTEZA KUMBUKUMBU MOYONI KUHUSU MUNGU WA MADHABAHU YAKO | MWL. TENGWA |

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 21

  • @agnessbruno3591
    @agnessbruno3591 11 หลายเดือนก่อน +3

    Neno hili ni tamu zaidi ya Sega la asali amen

  • @JANEBGOYA
    @JANEBGOYA 11 หลายเดือนก่อน

    Amen, KWELI UMEPEWA UJUMBE MWL TENGWA, BARIKIWA

  • @gloryfidelis102
    @gloryfidelis102 11 หลายเดือนก่อน +1

    Asante mwl.ni ufahamu mzito huu kuelewa unatakiwa unyenyekevu mkuu.natamani Mungu afute kabisa mafundisho yote ya kale nikimeze kitabu.

  • @alexmayemba8606
    @alexmayemba8606 11 หลายเดือนก่อน

    Barikiwe sana mtumishi tengwa

  • @danielambonisye6261
    @danielambonisye6261 10 หลายเดือนก่อน

    Amina mtumishi wa Bwana Yesu Kristo aliye hai kazi hii ni njema kabisa Mungu anifungue kabisa nifanikiwe kuyapokea na kuyafanyia kazi

  • @mabulapaul
    @mabulapaul 11 หลายเดือนก่อน

    Amen mtumishi wa BWANA

  • @maureenmgeni
    @maureenmgeni 8 หลายเดือนก่อน

    Amina na Amina.

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 11 หลายเดือนก่อน

    Naam tunasonga mbele BWANA anazidi kutuelewesha neno lake kupitia mtumishi wake,atukuzwe BWANA YESU KRISTO

  • @charleschisawillo464
    @charleschisawillo464 11 หลายเดือนก่อน

    Amina, Mtumishi wa Bwana

  • @WinneAlenzi
    @WinneAlenzi 11 หลายเดือนก่อน

    Amen amen amen

  • @reginacasimiromatias
    @reginacasimiromatias 11 หลายเดือนก่อน

    Amém

  • @estersamwel721
    @estersamwel721 11 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @HappinessMgonja-dt3wg
    @HappinessMgonja-dt3wg 11 หลายเดือนก่อน

    Mungu akupe nguvu zaidi za kusema ulichotumwa na Mungu aliye hai,naona comment ni chache Ila wàtakuelewa badae...

    • @zephrintegson
      @zephrintegson 11 หลายเดือนก่อน +1

      Nimefuatilia Kwa karibu Sana Kila clip iliyorushwa nikiwa kimya kimya ,maana Kila unabii hupimwa Kwa neno la MUNGU . Bila shaka yoyote hili ni neno la MUNGU KWELI mtumishi Mungu akutie nguvu kuyasema yote ambavyo MUNGU ameweka ndani yako Kwa ujasiri huo huo episode 8 hukumung'unya juu waombaji mitume, manabii na wachunguji. hii ndo Injili ya Yesu kanisa hasa kama ilivyo ktk mathayo 5 nakuendelea, wengi tulikuwa tumeiacha kabisa, na huenda ingesaharuka .MUNGU AMEWEKA NDANI YAKO KITU JITUNZE MBELE YAKE. UBARIKIWE SANA

  • @mmungajieanpirre4655
    @mmungajieanpirre4655 11 หลายเดือนก่อน

    🤝🙏🙏

  • @veronicajohn1689
    @veronicajohn1689 11 หลายเดือนก่อน

    Barikiwa sana Baba Kwa injili hii ya matengenezo

  • @JANEBGOYA
    @JANEBGOYA 11 หลายเดือนก่อน

    KWELI SI RAHISI KAMA TUNAVYODHANI "kulinda moyo KULIKO vyote maana ndiko zitokako chemchem za uzima" YESU MOYO WANGU NAKUPA WEWE

  • @mmungajieanpirre4655
    @mmungajieanpirre4655 11 หลายเดือนก่อน

    🙏🙏🙏🙏🙏🙏👍👍👍🧎

  • @johnjulius6986
    @johnjulius6986 11 หลายเดือนก่อน

    Mmetumwa kwa kazi moja, kuwainua manabii walio.katika vifungo....nyie mnaona mjihubirie wenyewe.....!. Mkidhani mta impact jamii na injili ihubiriwe duniani kote.
    Mnajidanganya wenyewe!
    Msipo ungana ni kazi bure.

    • @johnjulius6986
      @johnjulius6986 10 หลายเดือนก่อน

      @@GraceMamaDeborah-he3my wewe wapenda sana nifatilia.... na hicho ndicho kitakacho kusaidia kumjua MUNGU wa dunia....!
      Mwezi huu kabla haujaisha nitaianza kazi yangu iliyo nileta duniani....
      I promise you, nitakuelekeza nini cha kufanya ili umkaribie MUNGU wa kweli...

  • @johnjulius6986
    @johnjulius6986 11 หลายเดือนก่อน

    Nyie wote mnatakiwa mle matunda ya manabii wa wakubwa walio vifungoni....!
    Mkidhani nyie mmetubwa basi kuna siku mtakayo umbuka inakuja,...