⚠️MAREKEBISHO⚠️ Tunaomba radhi kwa kukosea kutamka mwaka wa kuzaliwa wa Mother Teresa, alizaliwa mwaka 1910. Bongo Fasta tunafanya kazi kwa weledi sana,hivyo kila tunachokiongelea kuhusu mtu yeyote,kimefanyiwa utafiti makini,tunatanguliza samahani kama utakwazika kwa namna moja au nyingine.
Kuhusu utakatifu, anajua yeye na Mungu, ila Alifanya kazi nzuri na akijua kusimamia wito wake. Santé Jastin, kwa taarifa nzuri, wengine wameona Umekosea ila mm nimejifunza a lot.
Mwenye kujua utakatifu wa mtu au uovu wake ni Mungu pekee, mwenye kutoa hukumu ni Mungu pekee, tunachojua alifanya mengi mazuri, hizo tuhuma mtuletee na evidence
Kweli kabisa na alifaliki akiwa Dodoma DCT nunge hombolo kwa ajali ya ndege na kabuli lake lipo adi leo apo walizika vipande vya mwili wake tu kama ukumbusho
uelewi tu hakuna watu wabaya kama hawa wanaojifanya watakatifu kwa unyenyekevu wa kimwili lkn moyoni hakuna kitu kwani wenzie na hawa c ndio walipata kesi ya ulawiti wa watoyo hakuna utakatifu wa bikira mafia zaidi ya kuokoka na kumpa Yesi maisha halisia c kwa kuigiza
hayo mapungufu ni km ya binadamu wengine..ni Mungu tu aliye mkamilifu pekee sisi wengine ni wakosefu tu..ni kama wewe ulivyosema mother Teresa kazaliwa 2010 kumbe ni kosaa. Nobody is perfect
Taarifa za watu waliojitoa maisha kumtumikia Mungu ungeziacha haswa Mother Theresa usijipatie laana ,mikosi ya bule na hawezi kujitetea manake hayupo Duniani .
Habari zipo nyingi yanini kufukuwa makaburi ya watumishi waliojitoa maisha yao yote ,kesha sema alitokewa na Yesu mbona asiogope kumsimanga.ahsante kuniunga mkono tukemeo vitu vingine siyo kilakitu tukubali nisawa na kumsaidia kubeba dhambi,laana.
Aki binadamu ana Asante,ata ujuwi story yaka vizuri,aliishi pia kenya langatt,alisadia masikini wengi sana,usisaau yy akukuwa malaika pia anamapunguvu yake
Hata huelewi unachosema baba yake alikuwa anamiliki kampuni kubwa sana ya ujenzi na aliwacha utajiri wao wote akaenda kuishi na masikini nchini india .
It's unfortunate how human beings twist the best in a person till it becomes the worst for publication....being a saint does not mean perfection....it means trial beyond human levels.......next time dig deeper to establish the challenges she underwent in her life journey to qualify to her sainthood
Anyway everyone has his/her own strengths/weaknesses therefore spending more times looking for the weakness of a dead it doesn't concern any,why can't you learn from that and be more perfect,???She did her best to please God alone but because of poverty she decided to coz if you were in such a situation what could have you done????For sure it wasn't like Jesus who had the power over everything and Theresa was a human being just like you and me.Another quiz is why is that when she shared the injections the sick couldn't die????That shows her strong Faith in God so my humble request is let's try to revisit our own personal life and learn how to do good and please alone Be blessed
"Let no one be found among you who ... practices divination or sorcery, interprets omens, engages in witchcraft, or casts spells, or who is a medium or spiritist or who consults the dead. Anyone who does these things is detestable to the LORD, and because of these same detestable practices the Lord your God will drive out those nations before you. You must be blameless before the LORD your God." (Deuteronomy 18:10-13, NIV)
Alichopata ni kidogo, mahitaji yalikuwa mengi.. hata katika vituo vyetu rasmi vya tiba wahudumu wanashindwa kutenda kadiri ya miongozo. Mother Theresa alifanya zaidi ya uwezo wa kawaida wa binadamu
baada ya miaka kumi na tisa tangu kufariki ndio alitangazwa kuwa mtakatifu na sio miaka tisa.....kazi yenu ina makosa mengi sana na mnahesabu makosa ya uongo ya st. mother teresa hapa..... mother teresa of Calcutta, pray for me.
Si kitu cha kushangaza Wewe ni Nani kwa waliomtangaza kuwa mtakatifu,, hii inaonyesha kuwa unaweza kujikataa hata mwenyewe kuwa wa kiume au kike, Chukua hii itakusaidia, ETI MIMI NAKATAA
Wewe pia mbona unatuhuma?Tuhuma Bwana Yesu Mungu na Mwema alituhumiwa kutaka kuteka ufalme.....Tuhuma ni kitu cha kawaida kwa wafuasi waadilifu wa Bwana Yesu....acha kuchafua watu wa Mungu kama unataka kazi yako idumu..Psalm 105:15 "Do not touch My anointed ones!
Mi si mkatoliki na hina lqngu ni teresa ila ni wa amabie sometimes we fight the flesh in secret but we as humans we can be good..don't judge only God knows what humans go through some of us will make heaven because of grace...hata saa hi mi saidia watu ila mi mwenyewe na struggle na thambi flan nq mungu hqjqnihukumu niko hapa leo kwasababu mungu ananibadilisha
Jaman inabidi muelewe hii ni historia na mtu anavyoleta historia anakua kafanya utafiti wa kina,,,,,, wangap viongoz wa kikristo au kiisilam baadhi yao wanafanya mambo yasiyofaa na wanajifichia kwenye dini? Ndiyo maana wanakwambia Iman yako ndo itakuongoza, Ahsante Justn Shedy sasa twende kazi.
Sisi tunachokijua ni kwmba Mother Theresa ni mtakatifu huo uovu mnaujua nyie. Afu msimuliz mbona huna references, naskia tu inadaiwa by which source?????
Kwa waislam mtu anapokufa hairuhusiwi kusema maovu yake tunamuachia mungu ndie atahukumu..lingine ni kua ukitaka kutubia dhabi zako unamuomba mungu moja kwa moja bila kupitia kwa yeyote yule hata awe mtakatifu vipi dhambi zako na toba yako ni baina yako na mola wako pekee.
Akuzaliwa 2010..umekosea I think it was 1910
😂😂😂😂 unachomaaaa..!!
hapo maana hata mm nimecanganyikiwa
⚠️MAREKEBISHO⚠️
Tunaomba radhi kwa kukosea kutamka mwaka wa kuzaliwa wa Mother Teresa, alizaliwa mwaka 1910.
Bongo Fasta tunafanya kazi kwa weledi sana,hivyo kila tunachokiongelea kuhusu mtu yeyote,kimefanyiwa utafiti makini,tunatanguliza samahani kama utakwazika kwa namna moja au nyingine.
Hujakosea sema kwel maana watu hudhani wazungu ndio wasafi ..... Na kila mtakatifu lazima atoke kwao tu ...
Mtakatifu Mungu pekee anamjua
Mmesamehewa
Bro napenda vipindi vyako ila hapa umekosea sana and trust me it bounce back...so disappointed
oky broo but big up👍👍
Kama umekosa story wachana na mambo ya uongo ya watu.Mother Teresa ni mtakatifu
Kuhusu utakatifu, anajua yeye na Mungu, ila Alifanya kazi nzuri na akijua kusimamia wito wake. Santé Jastin, kwa taarifa nzuri, wengine wameona Umekosea ila mm nimejifunza a lot.
Amezaliwa 26/08/1910 . Naamini ndivyo alivyokusudia lkn ulimi hauna mfupa
Upo sahihi ndugu
Kweli alikosea msimulizi! 2010 si ni juzi TU! Alimaanisha1910
Mwenye kujua utakatifu wa mtu au uovu wake ni Mungu pekee, mwenye kutoa hukumu ni Mungu pekee, tunachojua alifanya mengi mazuri, hizo tuhuma mtuletee na evidence
Japo katenda mema,Ni heri Ila binadamu hakosi mapungufu. Mtu wa kuiga Ni Maria mamaake yesu, wengine wanao lao Jambo sio bure
You have said it all, he should show us the evidence,and after all is he perfect himself
Umesahau mambo ya muhimu sana alishaanguka na ndege akanusurika jambo ambalo si kawaida pia aliwahi kutembelea Tanzania mission ya Hombolo Dodoma
Kweli kabisa na alifaliki akiwa Dodoma DCT nunge hombolo kwa ajali ya ndege na kabuli lake lipo adi leo apo walizika vipande vya mwili wake tu kama ukumbusho
Taarifa za watu waliojitoa maisha kumtumikia Mungu ungeziacha haswa Mother Theresa usijipatie laana
uelewi tu hakuna watu wabaya kama hawa wanaojifanya watakatifu kwa unyenyekevu wa kimwili lkn moyoni hakuna kitu kwani wenzie na hawa c ndio walipata kesi ya ulawiti wa watoyo hakuna utakatifu wa bikira mafia zaidi ya kuokoka na kumpa Yesi maisha halisia c kwa kuigiza
Nampenda sana uyu mama ni lafiki wa yesu wangu
Hahahaha
hayo mapungufu ni km ya binadamu wengine..ni Mungu tu aliye mkamilifu pekee sisi wengine ni wakosefu tu..ni kama wewe ulivyosema mother Teresa kazaliwa 2010 kumbe ni kosaa. Nobody is perfect
Taarifa za watu waliojitoa maisha kumtumikia Mungu ungeziacha haswa Mother Theresa usijipatie laana ,mikosi ya bule na hawezi kujitetea manake hayupo Duniani .
Eti kazaliwa 2010
Habari zipo nyingi yanini kufukuwa makaburi ya watumishi waliojitoa maisha yao yote ,kesha sema alitokewa na Yesu mbona asiogope kumsimanga.ahsante kuniunga mkono tukemeo vitu vingine siyo kilakitu tukubali nisawa na kumsaidia kubeba dhambi,laana.
@@AlesiusAndrea1991 Na kisha akafa 1997
No body is holy under the 🌞 and above the 🌞 only GOD is HOLY.
.
Aki binadamu ana Asante,ata ujuwi story yaka vizuri,aliishi pia kenya langatt,alisadia masikini wengi sana,usisaau yy akukuwa malaika pia anamapunguvu yake
Exactly
Ila jua Kama kata mapunguv yake na sifa zake ..sisi wanadamu tu haturiziki tukielimushwa
Hehehehehe jmn alizaliwa 2010 makubwa haya tena
nashindwa😂
Kijana,Acheni kuchafua kanisa kwa taarifa zisizo sahihi
Hata huelewi unachosema baba yake alikuwa anamiliki kampuni kubwa sana ya ujenzi na aliwacha utajiri wao wote akaenda kuishi na masikini nchini india .
Aloskia 2010 agonge like
😂😂😂huyu jamaaah vipi mbona anatuchanganya katuambia kazaliwa 2010 tena anaanza kurudi miaka ya 1949 Mimi si subscribe cz runapigwa mchana 😂😂😂😂
runapigwa ndio nn ? Kukosea Ni kawaida bro 😂😂
Yesu mwenyewe alikataa kuitwa mtakatifu...!....Sembuse yeye..!...Warumi Sio ..!
Eti sema mwenyewe
It's unfortunate how human beings twist the best in a person till it becomes the worst for publication....being a saint does not mean perfection....it means trial beyond human levels.......next time dig deeper to establish the challenges she underwent in her life journey to qualify to her sainthood
@joseph Ogola,You're definitely right.
Umesema
We acha upinzani au hutaki awe mtakatifu
Enzi za ujana wake, alikuwa mzuri.. ❤😍masikini! 😢🙏
Hz n nyakati za mwisho kwa hyo wapinga Kristo n wengi kikubwa n kumuomb Mungu tyu
Unampenda sana😄❤
26 august 2010. jamaa ww fundi.
We msenge kumamako...kamwangalie profesor jamal akupe darasa kdgo..unaandika ufala2
Weee imekuaje Tena alizaliwa 2010 hapo uaminifu yangu imeanza kupotea kwako endelea na iyo uongo ngine bac
Kwani Kuna mkamilifu au asokosea mnona mpo hivi
Nasikia nyerere anataka kua mtakatifu huko😂😂 Yani nishida miujuza inatokea tuu hata ukiamua kuabudu paka sawa!!
Kivipi atafika mwaka 1948,
Na yeye kazaliwa mwaka wa 2010?’ Unatuchanganya ndugu.
Labda 1910.. Inawezekana kakosea
Eti?
pia mimi nimeshangaa kakosea miaka
Ambia serikali ya kwenu ikupee kazi
Kukosea ni kawaida
Alidhulumu nafsi yake kuishi bila kuolewa apate watoto
Nzur
Tabasamu lake tu linaelezea ukweli juu ya tabia yake. Na si ile aliyo jivika kwa miaka kadhaa.
Sasa unaeshangaa jamaa kusema 2010 ni ukosefu wa akili kwani kwa uelewa wako huo mkubwa huwezi kujiongeza kwamba mwamba kateleza tu.🙌
Mother theresa pray for us💝
Wewe mtangazaji, alizaliwa 2010?
Hakuna aliyekamilika mbele za Mungu, alishudiwa mapunguvu yake, lakini anaamini kuwa Mungu alimsamehe kutokana na ubinadamu wake.
Yy n binadamu tu hawezi kuwa mkamilifu kama malaika alijitahidi mnoo kwa uwezo wake vingine TUMUACHIE MUNGU YEYE NDO MJUAJI ZAIDI YETU✍
Asante bro kwa kuandaa taarifa hii nisyo ijua
Ata utende wema kiasi gani binadamu awa wezi shindwa kukukosoa
Kwa mara ya kwanza nimemuona kwny Nyimbo ya MICHAEL JACKSON...MAN IN THE MIRROR...🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
God bless you mother Teresa ❤️ †🙏🏾
Anyway everyone has his/her own strengths/weaknesses therefore spending more times looking for the weakness of a dead it doesn't concern any,why can't you learn from that and be more perfect,???She did her best to please God alone but because of poverty she decided to coz if you were in such a situation what could have you done????For sure it wasn't like Jesus who had the power over everything and Theresa was a human being just like you and me.Another quiz is why is that when she shared the injections the sick couldn't die????That shows her strong Faith in God so my humble request is let's try to revisit our own personal life and learn how to do good and please alone
Be blessed
Why do you Muslims like talking heal about Catholics? And we will never talk about your religion????? You sucks
Nimecherewa saaana Justin duh 💪
Wa 1
God will gudge you Guys.
Everyone is judged by God
🙏🏻
🙏🙏🙏
Qqqqqqqq+
Kwakweli sijaona maovu yoyote yanayoonekana aonekane mbaya
kitambo hospitali tulikua tunadungwa na sindano moja zinachemshwa na kudunga wengine
Mungu atukuzwa daima
💥💥💥
"Let no one be found among you who ... practices divination or sorcery, interprets omens, engages in witchcraft, or casts spells, or who is a medium or spiritist or who consults the dead. Anyone who does these things is detestable to the LORD, and because of these same detestable practices the Lord your God will drive out those nations before you. You must be blameless before the LORD your God." (Deuteronomy 18:10-13, NIV)
Sio mtakatifu, Ni mwenyeheri 🥰
Tayari ni Mt,
Ni mtakatifu
Rafiki wa umasikin kama nchi za Africa baadhi wanaupenda umaskn
Umenena Kweli🥺🥺
Alichopata ni kidogo, mahitaji yalikuwa mengi.. hata katika vituo vyetu rasmi vya tiba wahudumu wanashindwa kutenda kadiri ya miongozo. Mother Theresa alifanya zaidi ya uwezo wa kawaida wa binadamu
Wewe kaka umekosa story bhn acha uongo mother Theressa ni mtakatifu
Mungu uwe nasi
baada ya miaka kumi na tisa tangu kufariki ndio alitangazwa kuwa mtakatifu na sio miaka tisa.....kazi yenu ina makosa mengi sana na mnahesabu makosa ya uongo ya st. mother teresa hapa.....
mother teresa of Calcutta, pray for me.
Msimulizi unazingua , rekebisha makosa maana hii story itakua documented na generations zijazo utazipotosha
Kabisaa
2010????????!!!!!!!!!
Kha!!!!! Kumbe mtoto wangu anamzidi uyo😂😂
Hehehe 😜 wah
Nikama mwanasiasa t wanatuenjoy akil zetu nawara hawanaga maana bali wanamarengo Yao binafsi kama miujiza ata mwana marundi alifanya
Kama umekosa story wachana na mambo ya uongo ya watu.Mother Teresa ni mtakatifu
Blessed Mother Teresa of Calcutta pray for us all!
She can't pray for us but we have to pray for ourselves
@@ibrahimbrazos2515 youre very right
Yes pray 4 urself
Nimeskia mwak 2010 au nimeskia vby
Nakataa Sio Mtakatifu
Si kitu cha kushangaza Wewe ni Nani kwa waliomtangaza kuwa mtakatifu,, hii inaonyesha kuwa unaweza kujikataa hata mwenyewe kuwa wa kiume au kike, Chukua hii itakusaidia, ETI MIMI NAKATAA
@@jamesmasanja1963 mtakatifu ni mungu tu
@@azizawadh5973 she is .. by the way nobody is asking you to agree
Mbona wakereka🥴yakuhusu ama walipwa😏😏
Wewe pia mbona unatuhuma?Tuhuma Bwana Yesu Mungu na Mwema alituhumiwa kutaka kuteka ufalme.....Tuhuma ni kitu cha kawaida kwa wafuasi waadilifu wa Bwana Yesu....acha kuchafua watu wa Mungu kama unataka kazi yako idumu..Psalm 105:15 "Do not touch My anointed ones!
Huo mwaka wa kuzaliwa we imetoa wapi ,acha kuchunguza mambo ambayo ashaweka mkono Mwenyezi Mungu
Alizaliwa mwaka 2010?
Hhhhhhh! Jamani mumenikata nguvu! Eti alizaliwa mwaka 2010! baada ya kuimaliza video nimekuja kuedit comment yangu! Nimejifunz mengi! Asante
1910
Kweli kachapia kweli hii
She's a Saint
Mmh utukufu nini?... Mtukuwa mtukufu anapaswa kuwa je?!....Mungu hatizami wema wa MTU machoni mwake bali hutizama Asili thabiti ya ndani yako.
Mi si mkatoliki na hina lqngu ni teresa ila ni wa amabie sometimes we fight the flesh in secret but we as humans we can be good..don't judge only God knows what humans go through some of us will make heaven because of grace...hata saa hi mi saidia watu ila mi mwenyewe na struggle na thambi flan nq mungu hqjqnihukumu niko hapa leo kwasababu mungu ananibadilisha
Soma tena comment yako mpnz
Jaman inabidi muelewe hii ni historia na mtu anavyoleta historia anakua kafanya utafiti wa kina,,,,,, wangap viongoz wa kikristo au kiisilam baadhi yao wanafanya mambo yasiyofaa na wanajifichia kwenye dini? Ndiyo maana wanakwambia Iman yako ndo itakuongoza, Ahsante Justn Shedy sasa twende kazi.
Haswaa my,wengjne hawaelewi hilo
Sisi tunachokijua ni kwmba Mother Theresa ni mtakatifu huo uovu mnaujua nyie. Afu msimuliz mbona huna references, naskia tu inadaiwa by which source?????
Hii mambo ya kusema hati inadaiwa haina reference kabisaa
Who are you to judge her leave that to God eeish
Hakuna mkamilifu
Ungeipitia kwanza
WA 3
Alizaliwa 2010 au me ND nmeskia vbaya
Watu bhana. Sasa hizo ni tuhuma gani. Wewe fanya basi tuone.
Unaacha kukufua makosa ya watu walio hai unaangaika na watumishi wa Mungu walio mbele za haki sio vyema kwa hili umekosea
huyu anatafsiri taarifa ambazo zipo ktk mitandao na makosa yake walishamlalamikia tangu akiwa hai
Kwaiyo walisubiri afe ndio wampe heshima yake 😏
1910
Yakobo 1:27
Hivi nimesikia vibaya au..kuwa amezaliwa agast 2010..mmh mzee umetupiga kamba
Uzuri ninaielewa tz ni I chi inayopenda umbea qwa iyo sishtuki wala nn mother Teresa ni Mt.
2010🤔
Nimesikia 2010
Kwa waislam mtu anapokufa hairuhusiwi kusema maovu yake tunamuachia mungu ndie atahukumu..lingine ni kua ukitaka kutubia dhabi zako unamuomba mungu moja kwa moja bila kupitia kwa yeyote yule hata awe mtakatifu vipi dhambi zako na toba yako ni baina yako na mola wako pekee.
Amin
Do your research well before kuropokwa....mambo ya sindano kutumika mara tatu uliyatoa wapi ? Was she really born in 2010?
Sasa twende kazi
Kusema Kweli mnapotosha watu mkitafuta views na like subscribers... twaaaa hebu wacheni uvivu tafuteni content za maana
2010 kumbe Ni mdogo wangu kabisaa🤣🤣🤣
Unazinguaaa huyoo anazaliwaa vipiii 2010 huelewiii unachoongea
Tafuta historia kamili ya kikatoloki,,,,wewe mtu mungu anakuona,,,,,wacha kupotosha watu.nugu hii
Kazaliwa mwaka kagan?? Ndugu mwandishi niweke sawa sikilizia story
Alizaliwa 26thAugust 2010!!!!😜😜😜
Mwaka 2010 ndo Teresa kazaliwa
😀😀😀😀😁
Mbn m sielew kazaliwa mwaka gan
Ata nimeshindwa
Kakosea
Usitangaze ukiwa umelewa kaka utaharibu kazi
2010 duuuu