Msimulizi wa hii habari napenda nikurekebishe. Charles Wood aliweka version tu ya wimbo Malaika lkn bodo wimbo unabaki wa Kenya/Tz. Charles SI mtunzi hawezi kuwa mwenye wimbo. Mzungu atatunga vipi wimbo wa kiswahili
Kweli skio la kufa hakisikii dawa. Yan mjomba even after heard the story bado ukazania tu. Kauskize vzr na mskize Miriam Makheba. Alkuja gundua na akatoa heshima kw kusema ni wimbo kutoka Tanzania.
Kwani wakenya hawaongei kiswahili jamani... Sioni tofauti ya kiswahili cha Mombasa na cha Tz.... Ila inashangaza mtu ama watu wanaojiona wamiliki wa lugha .. give credits when it's due.
Aki mapenzi
Good story 🇹🇿
oooh Mzee Adam Salim Mallya, from kibosho -Moshi Kilimanjaro Tanzania, was talented man, we thank for his life
Asante sana ...very insightful...nimependa sana ❤❤
Msimulizi wa hii habari napenda nikurekebishe. Charles Wood aliweka version tu ya wimbo Malaika lkn bodo wimbo unabaki wa Kenya/Tz. Charles SI mtunzi hawezi kuwa mwenye wimbo. Mzungu atatunga vipi wimbo wa kiswahili
Safi tupe vitu adhimu
Kila cha Tanzania ni cha Kenya duuh kumbe siyo Kilimanjaro tu
Naupenda sana
Ni wimbo mzuri
Nahisi uchungu kwamba bwana Adam Salim hakufaidi kutokana na utunzi wake.
Ndo ivyo
Poor man Adam Salim
What I know wimbo ni WA Fadhili William kutoka Kenya
Kweli skio la kufa hakisikii dawa. Yan mjomba even after heard the story bado ukazania tu. Kauskize vzr na mskize Miriam Makheba. Alkuja gundua na akatoa heshima kw kusema ni wimbo kutoka Tanzania.
It's because you believe Everything you see on social media@@dixonmoto
Kwani wakenya hawaongei kiswahili jamani... Sioni tofauti ya kiswahili cha Mombasa na cha Tz.... Ila inashangaza mtu ama watu wanaojiona wamiliki wa lugha .. give credits when it's due.