ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Sijawahi kuomba like leo naomba like watu wangu namcheki joti nikiwa Saudi Arabia 🇸🇦 💯💯💯
Hiyo like ukishaipata inakusaidia nini , pumbavu wewe..!
Nakukubali sana wangu jot evevy Friday its must to watch your video ❤️❤️😘 team joti gather here ♥️♥️ I am from Kenya 😘 we love you
Huyu mzee joti usimuache anajua😍
Anajuwa Kitambo sema wanapendeza sana na Joti 😊🤗👌
Yuko vzr sanaaa
I agree, huyu Mzee is a great actor!
joti mzee amesema doze doze yaani subiri subiri lakini wewe bado walaa 😂😂😂
Baba kapitia kula vyuku sehemu nyingine Joti wewe kula Chip's kavu zinakutosha sana🤣🤣🤣.Jot is a best
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Weka kachumbari ,weka tomato ,weka ukwaju , weka majivu , weka na mate wee shika adabu yako. Bro Jotiii hukosei😂😂😂👌🏼👌🏼👌🏼
😂😂😂😂😂😂😂🖐
Weka mateeeew
Temea na mate
🤣🤣🤣🤣🤣
Wakwanza naomba like🎉🎉
Za nini?
A
Unazipeleka wapi??
Zikusaidie nn
Boya weweee
Naskiya luwa yangu apo kbs Lingala Langues la plus belle Du monde 💥❤️❤️❤️💥💪 Drc mon pay🇨🇩🇨🇩🙏🙏
Naloba Nini eeeeh!!! niseme Nini eeeeh!!!! Tujuane basi ,🇨🇩🇹🇿🇨🇩🇹🇿
😅😅😅😅😅joti 😂 na mzee wake 😂😂best 😊❤
I just laugh like idiot dammm jot just started your own Netflix🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿
Joti unatisha hauna mshindani Ze best comedian in Tanzania Br. unajua hahaha
Sana
Joti jamani mbavu zangu ,, yaani kabla kucheck vidio uwa nacheka kichizi, wallah natamani ungekuwa uku Kenya siku Moja ningetaka kukuona live
Hehehehe mbona wateja🤣🤣🤣🤣🤣wa chips kavu🤣🤣🤣
Kama unakubaliii joti ni mwamba nione like 259hapa
Nimepofya mara nyingi lkn zinapungua like
Huyu jamaa anaweza Sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Absolutely stunning 👋🏻💖👋🏻
Hi 😘
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uyu mzee uwagaa na mpendagaa anafurahisa ajaab,,joti bhana mzee mkongwe huyu anagaa baya kabis 🤣🤣🤣🤣🤣
Best Comedian likes kwako brother 🙏🇹🇿🇹🇿JOTI
Nimewahi leo like zenu wadauu wa tunaompenda joti🥰🥰 joti temea na mate🤣🤣🤣🤣🤣
Kama unamkubali joti tujuane kwa like
🤣🤣🤣
Joti hujawai kuniangusha 🤣🤣🤣...napenda kazi zako 🥰🥰❤️..nakutazama nikiwa Qatar
Qatar wazima huko
@@abdallahibrahim13 Alhamdhullilah nipo salama
@@abdallahibrahim13 🤣🤣🤣🤣
Joti huyu mzee namkubali sanaaa tunataka uendelee nae
From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🤝
Kati ya wale top 100 Nami nipo 🤣🤣🤣🤣🤣naombeni like zenu
Daaaah nimechelewa tena basi hata like 50 naomba
Alafu pia tu subscribe kwa wingi joti afikishe 1 million 💪💪💪
Mtu wa 100 like kwangu please
Huyu mzee anajua sana aisee
Joti wenoma kabisa anae kubali joti anipe like tafadhali 🙏🙏
Never disappoint😂
😂😂😂😂😂uyu mzee jaman jot is so creative
So happy to see such a legend in this project. Keep it up
Joti🤣🤣
Natazama kutoka hapa Kenya, aisee huyu mzee amefanya hii comedy inoge kabisa,,,
We umekuja saa ngp mmh wamenileta wasamaria wema hawaapa😂😂😂😂
Mtoto mwehu baba mwehu ni majanga tu 🤣🤣🤣 eti tia na majivu mtoto weka na mate baba koma wee hahaha
Joti huyu mzee usimuache ako Sawa maskini wazee wenzake wote waliaga, king majuto, small
im praying for you my brother @mlewateamfis. Mlewa uzidi kufika mbali kupitia kipaji chako
Weka na mate,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 love from Rwanda 🇷🇼
🤣🤣🤣🤣daaaam,,,
Joti huyu mzee anafaa kufanya nae kazi 💯🫶
Jmn uyu baba nampenda bure anajua Lingala 😃 kwani anatokea wapi
Duuu! nishai anani pigia kiepe kavu kavu leo umeingia chakikike 😂😂😂😂😂😁😁😁
😂😂😂😂😂😂😂 temea na mate
Joti umenichekesha et au tuongeze mtaji wa chipsi 🤣🤣🤣... et na hakili za kuvukia barabara 😅😅
Joti hapa tz huna mpinzani wakitaka wasitaki ww best comedy in tanzania%
Kabisa
Nice joti, lakini kiukweli unapendeza sana sana ukiigiza kama dada kiboga ...kuna namna kwa dada kiboga unavaa uhalisia kabisa...
Weka na mate 🔥😂😂😂😂
Uyo mzee ni kipaji sana
Jot mzee huyo mkongwe wa fram usimwache❤❤❤❤🙏🙏🙏
Hapa nina akili za kuvukia barabara tu🤣🤣😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣Mzee bhn et chakula gan wakat anaona nimaji🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Joti mbwaa kabisa ndomana kamezaliwa pipiroo😂😂🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂dah et wamenileta wasamalia wema hao hapo🏃
😃🤣🤣😃😃😃😅🏃
Peace love and blessings from me in Kenya
Nalobakaning yoyo teuoo 😁
Ati weka na mate🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nakumbuka kipindi hivyo mambo nayo, :jailed sanaa group huyu mzee aliigiza igizo akiitwa mashaka
Mambo hayo kaole sana group
Nimeskia vibaya vipi naskia ata kwa ben manjiwa🤣🤣🤣🤣
Sisi wakongomani tunawasapoti sana. Tunawafurahiyaga tukisikiya munaimba nyimbo za lingala
Nyimba inaitwaje hii naomba nisaidie
Wapi Sopa?Wapi Kanyinyi?Hawa jamaa wanachangamsha sana shows...
Joti anaboa sana tunamtaka kanyinyi
Eeh Hamna Mbuzi 😜😩 Mme FAIL 🤣🤣🤣🤣🤣
Babu we m congo bana 😂😂😂😂😂
Aliefaham dozee dozeee
😂Temea na mate..we shika Adabu yako
Kanileta wasamaria wema.😁😂😀😂😂
Unajua Babu kibongo bongo ww number 1
Mzee namkubali sana
Kkkkkkkkkkkkkk jamani nafurahi kusiya lingala mimi ni mkongomani
Yote tisa kumi ivyo vichipsi vimeni toa udenda🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 nitakutumia kama vimekutoa udenda
Nguvu moja twende sawa 💪😂
Jamani baba umetisha
Wa 90 Mimi nimechelewa Nataka like kwa wote wenye roho mbaya wenye roho nzuri sitaki like zenu🙏
Joti jamani 😂😂😂😂 eti hatujamchafua mtu
Mzeee mjanja sana kwa kweli
MBAVU yupo WAP yupo vzr Sana mnamsaau sana
joti mshenzi amempiga bonge la dole ktk kitovu baba ake 😁😁😁😁
😂😂😂😂😂😂ali iyo chips kavu je mngeagiza na iyo nyama ingekuwaje
Mzee mbembe noma xana
Nakubari sana jotii
Joti na huyo mzee metisha 🤣🤣🤣
Doze doze 😂😂😂😂
Wa kwanza leo naomba like zenu 😅😅😅😅
Joti Leo mzee wamjini kakuwezaa
Wote wapo vizuri sana sana
Joti ur the best naombeni like jaman
Huyo mzee anajua sana 😄😄😄😄
Jott jamani hahahahaha 🤣🤣
Hapo kwenye doze doze🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii tabia ya kuomba likes Sasa imekuwa ugonjwa. Mimi sitaki mtu alike comment yangu. Kama nawe unakerwa na wanaoomba like, ebu gonga like hapa
baba anasema wewe haukusoma code😂😂
Hahahahaha aaaaaaaaaa jamani jamani joti
Pamban broo unaweza
😂😂😂😂😂 Jiongeze hahahahaha
Baba una mikono michafu 😂
Wa kwanza ngoma like zenu wadau
Mpeni maua yakeee😂😂😂😂
Et wamenileta wasamalia wema🤣🤣🤣😂😂😂
hii inafaa kwa watoto wasumbufu
Nishai kazi nzuri
Nimekubali mwimbo 😂😂 atasielewi ❤❤
Sijawahi kuomba like leo naomba like watu wangu namcheki joti nikiwa Saudi Arabia 🇸🇦 💯💯💯
Hiyo like ukishaipata inakusaidia nini , pumbavu wewe..!
Nakukubali sana wangu jot evevy Friday its must to watch your video ❤️❤️😘 team joti gather here ♥️♥️ I am from Kenya 😘 we love you
Huyu mzee joti usimuache anajua😍
Anajuwa Kitambo sema wanapendeza sana na Joti 😊🤗👌
Yuko vzr sanaaa
I agree, huyu Mzee is a great actor!
joti mzee amesema doze doze yaani subiri subiri lakini wewe bado walaa 😂😂😂
Baba kapitia kula vyuku sehemu nyingine Joti wewe kula Chip's kavu zinakutosha sana🤣🤣🤣.Jot is a best
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Weka kachumbari ,weka tomato ,weka ukwaju , weka majivu , weka na mate wee shika adabu yako. Bro Jotiii hukosei😂😂😂👌🏼👌🏼👌🏼
😂😂😂😂😂😂😂🖐
Weka mateeeew
Temea na mate
🤣🤣🤣🤣🤣
Wakwanza naomba like🎉🎉
Za nini?
A
Unazipeleka wapi??
Zikusaidie nn
Boya weweee
Naskiya luwa yangu apo kbs
Lingala Langues la plus belle Du monde 💥❤️❤️❤️💥💪 Drc mon pay🇨🇩🇨🇩🙏🙏
Naloba Nini eeeeh!!! niseme Nini eeeeh!!!! Tujuane basi ,🇨🇩🇹🇿🇨🇩🇹🇿
😅😅😅😅😅joti 😂 na mzee wake 😂😂best 😊❤
I just laugh like idiot dammm jot just started your own Netflix🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🇹🇿
Joti unatisha hauna mshindani Ze best comedian in Tanzania Br. unajua hahaha
Sana
Joti jamani mbavu zangu ,, yaani kabla kucheck vidio uwa nacheka kichizi, wallah natamani ungekuwa uku Kenya siku Moja ningetaka kukuona live
Hehehehe mbona wateja🤣🤣🤣🤣🤣wa chips kavu🤣🤣🤣
Kama unakubaliii joti ni mwamba nione like 259hapa
Nimepofya mara nyingi lkn zinapungua like
Huyu jamaa anaweza Sana 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Absolutely stunning 👋🏻💖👋🏻
Hi 😘
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uyu mzee uwagaa na mpendagaa anafurahisa ajaab,,joti bhana mzee mkongwe huyu anagaa baya kabis 🤣🤣🤣🤣🤣
Best Comedian likes kwako brother 🙏🇹🇿🇹🇿JOTI
Nimewahi leo like zenu wadauu wa tunaompenda joti🥰🥰 joti temea na mate🤣🤣🤣🤣🤣
Kama unamkubali joti tujuane kwa like
🤣🤣🤣
Joti hujawai kuniangusha 🤣🤣🤣...napenda kazi zako 🥰🥰❤️..nakutazama nikiwa Qatar
Qatar wazima huko
@@abdallahibrahim13 Alhamdhullilah nipo salama
@@abdallahibrahim13 🤣🤣🤣🤣
Joti huyu mzee namkubali sanaaa tunataka uendelee nae
From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🤝
Kati ya wale top 100 Nami nipo 🤣🤣🤣🤣🤣naombeni like zenu
Daaaah nimechelewa tena basi hata like 50 naomba
Alafu pia tu subscribe kwa wingi joti afikishe 1 million 💪💪💪
Mtu wa 100 like kwangu please
Huyu mzee anajua sana aisee
Joti wenoma kabisa anae kubali joti anipe like tafadhali 🙏🙏
Never disappoint😂
😂😂😂😂😂uyu mzee jaman jot is so creative
So happy to see such a legend in this project. Keep it up
Joti🤣🤣
Natazama kutoka hapa Kenya, aisee huyu mzee amefanya hii comedy inoge kabisa,,,
We umekuja saa ngp mmh wamenileta wasamaria wema hawaapa😂😂😂😂
Mtoto mwehu baba mwehu ni majanga tu 🤣🤣🤣 eti tia na majivu mtoto weka na mate baba koma wee hahaha
Joti huyu mzee usimuache ako Sawa maskini wazee wenzake wote waliaga, king majuto, small
im praying for you my brother @mlewateamfis. Mlewa uzidi kufika mbali kupitia kipaji chako
Weka na mate,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 love from Rwanda 🇷🇼
🤣🤣🤣🤣daaaam,,,
Joti huyu mzee anafaa kufanya nae kazi 💯🫶
Jmn uyu baba nampenda bure anajua Lingala 😃 kwani anatokea wapi
Duuu! nishai anani pigia kiepe kavu kavu leo umeingia chakikike 😂😂😂😂😂😁😁😁
😂😂😂😂😂😂😂 temea na mate
Joti umenichekesha et au tuongeze mtaji wa chipsi 🤣🤣🤣... et na hakili za kuvukia barabara 😅😅
Joti hapa tz huna mpinzani wakitaka wasitaki ww best comedy in tanzania%
Kabisa
Nice joti, lakini kiukweli unapendeza sana sana ukiigiza kama dada kiboga ...kuna namna kwa dada kiboga unavaa uhalisia kabisa...
Weka na mate 🔥😂😂😂😂
Uyo mzee ni kipaji sana
Jot mzee huyo mkongwe wa fram usimwache❤❤❤❤🙏🙏🙏
Hapa nina akili za kuvukia barabara tu🤣🤣😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣Mzee bhn et chakula gan wakat anaona nimaji🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Joti mbwaa kabisa ndomana kamezaliwa pipiroo😂😂🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂dah et wamenileta wasamalia wema hao hapo🏃
😃🤣🤣😃😃😃😅🏃
Peace love and blessings from me in Kenya
Nalobakaning yoyo teuoo 😁
Ati weka na mate🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nakumbuka kipindi hivyo mambo nayo, :jailed sanaa group huyu mzee aliigiza igizo akiitwa mashaka
Mambo hayo kaole sana group
Nimeskia vibaya vipi naskia ata kwa ben manjiwa🤣🤣🤣🤣
Sisi wakongomani tunawasapoti sana. Tunawafurahiyaga tukisikiya munaimba nyimbo za lingala
Nyimba inaitwaje hii naomba nisaidie
Wapi Sopa?
Wapi Kanyinyi?
Hawa jamaa wanachangamsha sana shows...
Joti anaboa sana tunamtaka kanyinyi
Eeh Hamna Mbuzi 😜😩 Mme FAIL 🤣🤣🤣🤣🤣
Babu we m congo bana 😂😂😂😂😂
Aliefaham dozee dozeee
😂Temea na mate..we shika Adabu yako
Kanileta wasamaria wema.😁😂😀😂😂
Unajua Babu kibongo bongo ww number 1
Mzee namkubali sana
Kkkkkkkkkkkkkk jamani nafurahi kusiya lingala mimi ni mkongomani
Yote tisa kumi ivyo vichipsi vimeni toa udenda🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣 nitakutumia kama vimekutoa udenda
Nguvu moja twende sawa 💪😂
Jamani baba umetisha
Wa 90 Mimi nimechelewa
Nataka like kwa wote wenye roho mbaya wenye roho nzuri sitaki like zenu🙏
Joti jamani 😂😂😂😂 eti hatujamchafua mtu
Mzeee mjanja sana kwa kweli
MBAVU yupo WAP yupo vzr Sana mnamsaau sana
joti mshenzi amempiga bonge la dole ktk kitovu baba ake 😁😁😁😁
😂😂😂😂😂😂ali iyo chips kavu je mngeagiza na iyo nyama ingekuwaje
Mzee mbembe noma xana
Nakubari sana jotii
Joti na huyo mzee metisha 🤣🤣🤣
Doze doze 😂😂😂😂
Wa kwanza leo naomba like zenu 😅😅😅😅
Joti Leo mzee wamjini kakuwezaa
Wote wapo vizuri sana sana
Joti ur the best naombeni like jaman
Huyo mzee anajua sana 😄😄😄😄
Jott jamani hahahahaha 🤣🤣
Hapo kwenye doze doze🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii tabia ya kuomba likes Sasa imekuwa ugonjwa. Mimi sitaki mtu alike comment yangu. Kama nawe unakerwa na wanaoomba like, ebu gonga like hapa
baba anasema wewe haukusoma code😂😂
Hahahahaha aaaaaaaaaa jamani jamani joti
Pamban broo unaweza
😂😂😂😂😂 Jiongeze hahahahaha
Baba una mikono michafu 😂
Wa kwanza ngoma like zenu wadau
Mpeni maua yakeee😂😂😂😂
Et wamenileta wasamalia wema🤣🤣🤣😂😂😂
hii inafaa kwa watoto wasumbufu
Nishai kazi nzuri
Nimekubali mwimbo 😂😂 atasielewi ❤❤