Lissu Atema Cheche Mkutano Mkuu CHADEMA, Awashukuru Wajumbe, "Sina Ugomvi Binafsi na Mbowe"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 176

  • @SowetoBanks
    @SowetoBanks 11 วันที่ผ่านมา +24

    Mungu akusimamie sana Tundu Antipas Lissu

  • @TunuAgast
    @TunuAgast 11 วันที่ผ่านมา +15

    We mwenyez mungu..tunaomba ufanyany njia pasipo nanjia..huyu baba awe kiongoz wetu tunamuhitaj San..🎉🎉🎉 big up lissu

    • @Rm2024-x3d
      @Rm2024-x3d 11 วันที่ผ่านมา +1

      Amen

  • @Keputchelo1621
    @Keputchelo1621 11 วันที่ผ่านมา +23

    Lissu hakika kwangu mimi ni kiongozi bora sana ninaekuamini leo hii hakika utashinda kwa kishindo kikubwa labda ushindwe kwa mbinu tofauti

  • @aproniajohn8703
    @aproniajohn8703 11 วันที่ผ่านมา +8

    Mweshimiwa umeongea vizur sana tena sana nakuombea mungu upite utuongooze

  • @thenkyoulojas4185
    @thenkyoulojas4185 11 วันที่ผ่านมา +17

    Lisu mungu akuinuwe

  • @think-tank1428
    @think-tank1428 11 วันที่ผ่านมา +24

    Lissu lissu our chairman

  • @FrancisMndoa
    @FrancisMndoa 11 วันที่ผ่านมา +19

    Mkuu wangu Mungu atatenda mambo makubwa kwako.

  • @KassimThomas
    @KassimThomas 11 วันที่ผ่านมา +20

    All the best lissu 🙏🙏 Mungu akusimamie ushinde

  • @JacksonBoaz-yu8uk
    @JacksonBoaz-yu8uk 11 วันที่ผ่านมา +33

    Mbowe anawazunguka wenzake ameweka chama kama kivuli cha kupatia pesa kutoka kwa watawala

    • @joshuaswai8203
      @joshuaswai8203 11 วันที่ผ่านมา

      Funga mdomo wako kwa matusi yako ushindwe Pepo likutoke

    • @godsson5954
      @godsson5954 11 วันที่ผ่านมา +2

      Dats bizness

    • @pilatomwambujule4634
      @pilatomwambujule4634 11 วันที่ผ่านมา +2

      Laiti ungelijua gharama ya uendeshaji inatoka upande gani,na nani anaeifanya Chadema isogee mbele usingelisema hayo. Na hii leo hatima ya chama na sio hatima ya kiongozi imefika

    • @davidchambulila6318
      @davidchambulila6318 11 วันที่ผ่านมา

      Naunga mkono hoja

  • @kileoisaac
    @kileoisaac 11 วันที่ผ่านมา +13

    Tundu lisu💪

  • @lusajomwaipopo5042
    @lusajomwaipopo5042 11 วันที่ผ่านมา +14

    Lissu oyeee

  • @nestor384
    @nestor384 11 วันที่ผ่านมา +12

    The greatest Tundu Lissu

  • @mariozulu5743
    @mariozulu5743 11 วันที่ผ่านมา +2

    Siasa ya Tanzanian bado iko chini, people should open there mind and give this man opportunity. Lissu tunamkubali uku kenya

  • @zakayomasingoti9238
    @zakayomasingoti9238 11 วันที่ผ่านมา +15

    Nakuombea sana mzee wangu..

  • @PaulHuncho-v3u
    @PaulHuncho-v3u 11 วันที่ผ่านมา +3

    lisuuuuu🎉🎉🎉🎉🎉

  • @OlivaMHANDO
    @OlivaMHANDO 11 วันที่ผ่านมา +5

    Amina, mwenyezi MUNGU akubariki sana Amina

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka 11 วันที่ผ่านมา +2

    #2ndulissu❤ ongezaspana wanakataana #lissu ongeza spana❤🎉

  • @Asumanikibona
    @Asumanikibona 11 วันที่ผ่านมา +16

    Jaman lisu Mungu Yuko na wew mda wote nasi tunakuombea

  • @givenpeteryamawasa6327
    @givenpeteryamawasa6327 11 วันที่ผ่านมา +16

    nakuombea upite jembe langu nakupenda

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 11 วันที่ผ่านมา +4

    NEXT PRESIDENT UNITED REPUBLIC OF TANZANIA TUNDU LISU 🇹🇿

  • @MichaelGilasi
    @MichaelGilasi 11 วันที่ผ่านมา +8

    Lissu all the best

  • @LameckLanje
    @LameckLanje 11 วันที่ผ่านมา +5

    Lisuu uko vizuri baba

  • @paulojohn9608
    @paulojohn9608 11 วันที่ผ่านมา +8

    mungu mtangulie lissu katika uchaguzi mkuu taifa

  • @JoackimKavaya
    @JoackimKavaya 11 วันที่ผ่านมา +13

    Lissuuu hoyee

  • @richmgomba7102
    @richmgomba7102 11 วันที่ผ่านมา +2

    Tupo pamoja nawewe kamanda pambana people 👍

  • @SurprisedCorgi-kn2sm
    @SurprisedCorgi-kn2sm 11 วันที่ผ่านมา +9

    Jembeeeee lisu

  • @markoshem-ij6cf
    @markoshem-ij6cf 11 วันที่ผ่านมา +9

    Mungu murete risu jaman

  • @HamisiMatumla
    @HamisiMatumla 11 วันที่ผ่านมา +4

    All the best kamanda

  • @emanueljohn-xy7je
    @emanueljohn-xy7je 11 วันที่ผ่านมา +8

    Tuko pamoja sana

  • @BarakaMarco-j3j
    @BarakaMarco-j3j 11 วันที่ผ่านมา +12

    Wewe ni mwanaume hapa nchini🔥🔥

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 11 วันที่ผ่านมา +13

    Ni wakati wajumbe wajue ss tunamtaka lisu na heche wajumbe chonde chonde

  • @LameckLanje
    @LameckLanje 11 วันที่ผ่านมา +3

    Uk😅 vizuri baba

  • @kalisajohn3659
    @kalisajohn3659 11 วันที่ผ่านมา +5

    Ingekua jambo la kujivunia kwa Mbowe, kukabidhi uongozi wa Chama kwa mtu kama Tundu Lissu na Heche

  • @JeremiaMagaka
    @JeremiaMagaka 11 วันที่ผ่านมา +5

    Atusaidie mwenyezi mungu. Lisu ashinde

  • @denisianubitse5601
    @denisianubitse5601 11 วันที่ผ่านมา +5

    Wajumbe wajumbe msifanye kosa tunataka upinzani wa kweli kupitia Tundu Lisu hao wengine mtapoteza muda wenu bure

  • @frankernest5795
    @frankernest5795 11 วันที่ผ่านมา +9

    Lissu ndie atakayetusaidia kuipa challenge serikali iliyopo madarakani

  • @WebyNgogo-nj3fx
    @WebyNgogo-nj3fx 11 วันที่ผ่านมา +7

    Mungu atawale tunawatakia uchaguzi mwema:

  • @HijaSaid-t6c
    @HijaSaid-t6c 11 วันที่ผ่านมา +6

    Jaribuni mbinu chafu, tunawaachia chama chenu cha baba mkwe shemeji,

  • @simonmagembe7416
    @simonmagembe7416 11 วันที่ผ่านมา +6

    Chadema kumechangamka Sana leo

  • @AfwilileNisaidie
    @AfwilileNisaidie 11 วันที่ผ่านมา +5

    Lisu anafaa kwa kipindi hichi

  • @ChundwaTobias
    @ChundwaTobias 11 วันที่ผ่านมา +4

    Kwa nini hutoba ya Tundu Lissu imekatwa?Mimi nilifikiri niko peke yangu ninayetumia mtandao wa Yass,nimegundua kumbe mitandao yote hotuba hii imekatwa,kwanini Serikali inafanya hivyo kwa Tundu Lissu?

  • @LucyJackson-h8i
    @LucyJackson-h8i 11 วันที่ผ่านมา +7

    Mungu akusaidie lisu tunakuitaji sn utuvushe

  • @EdmundGewe
    @EdmundGewe 11 วันที่ผ่านมา +1

    Mwenyekiti wetu

  • @joelthomas-mx6gm
    @joelthomas-mx6gm 11 วันที่ผ่านมา +5

    Kwaiy hotuba ya LISSU mnaizua

  • @JohnMakao-is9fm
    @JohnMakao-is9fm 11 วันที่ผ่านมา +4

    Sisi tunamtaka lisuuuuuuuu

  • @AffectionateIsoscelesTri-yz7li
    @AffectionateIsoscelesTri-yz7li 11 วันที่ผ่านมา

    Hongera Sana Baba Lisu nakukubali sanasana

  • @abdallahathuman9493
    @abdallahathuman9493 11 วันที่ผ่านมา +4

    Nakuombea ushinde

  • @ndaroGamba
    @ndaroGamba 11 วันที่ผ่านมา

    Unatosha kuwa Mwenyekiti na Wajumbe wasipofushwe na viroba vya Abdul🎉

  • @JamiiPlusTv
    @JamiiPlusTv 11 วันที่ผ่านมา +5

    Nipo hapa

  • @kazisaid
    @kazisaid 11 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde wewe LISSU unafaa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa

  • @DavitusDamazo
    @DavitusDamazo 11 วันที่ผ่านมา +3

    Lissu unaweza na utashinda kwa kura nyingi

  • @PaulMwashikuba-rm5xs
    @PaulMwashikuba-rm5xs 11 วันที่ผ่านมา +5

    Kila raheri mkuu

  • @MartineJoseph-u6i
    @MartineJoseph-u6i 11 วันที่ผ่านมา

    Mungu akutangulie na akupe ushindi siku hii ya leo

  • @LoiteyoAmakoMako
    @LoiteyoAmakoMako 11 วันที่ผ่านมา +2

    Tundu antiphas lisu mungu yupo pamoja nawe

  • @SuleimanAbdallah-e1n
    @SuleimanAbdallah-e1n 11 วันที่ผ่านมา +5

    Utusalimie mama abdul

  • @isayakihongile4921
    @isayakihongile4921 11 วันที่ผ่านมา

    Ulishinda ukiwa ubergiji utashindwaje leo mwamba Mungu akutangulie mwamba

  • @wilsonletiet7852
    @wilsonletiet7852 11 วันที่ผ่านมา +3

    Haki Tundu lisu unafaa sana

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 11 วันที่ผ่านมา

    Mmmh haya tutaona tuko hapa😢😢😮

  • @yaronaWilliam
    @yaronaWilliam 11 วันที่ผ่านมา

    All the best kamanda Lissu!

  • @godfreywilliam2460
    @godfreywilliam2460 11 วันที่ผ่านมา

    Baba lisuuu for changes i like

  • @mauasaidi3345
    @mauasaidi3345 11 วันที่ผ่านมา

    Iisu mungu tuna kutegemeha sanasana

  • @ferrotechafricaltd
    @ferrotechafricaltd 11 วันที่ผ่านมา +2

    #Simba.. TAL

  • @NdomaSamwel
    @NdomaSamwel 11 วันที่ผ่านมา +2

    Ok,lisuuuu ushindi wako

  • @dionismutayoba3542
    @dionismutayoba3542 11 วันที่ผ่านมา +3

    Unatosha

  • @arnoldvictor8763
    @arnoldvictor8763 11 วันที่ผ่านมา

    Mbona kama ana hirizi mkononi😮

  • @korogweyetutv469
    @korogweyetutv469 11 วันที่ผ่านมา

  • @jacktonetiibuza9970
    @jacktonetiibuza9970 11 วันที่ผ่านมา +2

    Lissu Ni ngome .
    Mwamba tuachie nafasi

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 11 วันที่ผ่านมา +2

    Lisu wewe unafaa kuwa kiongozi tunakuombea ushindi

  • @allanmapamba4765
    @allanmapamba4765 11 วันที่ผ่านมา +2

    Lissu 4 change

  • @thenkyoulojas4185
    @thenkyoulojas4185 11 วันที่ผ่านมา +2

    Umepita wewe Rais yesu akulinde

  • @AbdullahAhmed-t7p6l
    @AbdullahAhmed-t7p6l 11 วันที่ผ่านมา +2

    Shida iko huko chini wapiga kura wajumbe msidanganywe mlete freeman mbowe lmekula kwenu

  • @salomeshongola1697
    @salomeshongola1697 11 วันที่ผ่านมา +1

    Wajumbe tunawapenda mleteni lissu.

  • @ArnoldMunuo
    @ArnoldMunuo 11 วันที่ผ่านมา

    All the best lisu

  • @BonifaceBonala-w9j
    @BonifaceBonala-w9j 11 วันที่ผ่านมา

    Kwa mafanikio ya chama mzee mh tundu lissu umepita kwa nguvu ya mungu amini

  • @JemisLaizar
    @JemisLaizar 11 วันที่ผ่านมา

    Mh tundu lissu mangu akujalie maisha marefu tunajua kwa utashinda unyekiti tumesho mbowe

  • @SHERANasibu
    @SHERANasibu 11 วันที่ผ่านมา +1

    Wajumbe chonde chonde tuleteen lisuu ndo ana weza kum chachafya mama samia

  • @AnsilaBruno
    @AnsilaBruno 11 วันที่ผ่านมา

    Lisu👍💃💃😂😂😂

  • @shebemakey2349
    @shebemakey2349 11 วันที่ผ่านมา +3

    Hii chadema ni kubwa tuache utani

  • @asacconlinemedia5343
    @asacconlinemedia5343 11 วันที่ผ่านมา +2

    Lissu Taifa linakuhitaji.Mungu akufanyie wepesi ushinde Nafasi ya Mwenyekiti.Mungu akushindie

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome217 11 วันที่ผ่านมา

    Lissu anatakiwa na watu wote huyu mtu ana Nia safi sana na watanzania ila walio Karibu nae hawamtaki lissu kwa maslahi yao kuna mbinu chafu hapa kwenye uchaguzi huu hata kama lissu anakubalika na wote ila kwa maslahi ya mbowe hayuko tayari kuondoka Wala hata ondaka kaeni tayari kupata suprise wanafanya mbinu chafu kama CCM mbowe abakie kuwa m.kiti chadema is over you will see soon

  • @MaximeMasinga
    @MaximeMasinga 11 วันที่ผ่านมา +1

    bila kupindisha maneno lissu anatufaa kwa time hii

  • @ZahiliChangwila
    @ZahiliChangwila 11 วันที่ผ่านมา

    Ewe mwenyezimung tunaomba lisu apewe fimbo yamusa amen

  • @ZahiliChangwila
    @ZahiliChangwila 11 วันที่ผ่านมา

    Chadema mpyaaaaaa laasana

  • @MohammedBwanga
    @MohammedBwanga 11 วันที่ผ่านมา +1

    Kitendo alivyofanya mbowe bila ya kushauriana na chama kisiasa hakileti picha nzuri

  • @rehemambilinyi9452
    @rehemambilinyi9452 11 วันที่ผ่านมา +2

    Mabadiliko

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630 11 วันที่ผ่านมา

    Amtegemea mwanadamu amelaaniwa. Yeremiah 17:5 au 5:17 kama sikosei

  • @amanimollel7769
    @amanimollel7769 11 วันที่ผ่านมา +1

    Loo huyu jamaa ana data za hatarii tumwombee tu

  • @Lugiko-o2j
    @Lugiko-o2j 11 วันที่ผ่านมา

    Wajumbe msituangushe tunamhitaji Lissu.

  • @GODFREYNTANGANA
    @GODFREYNTANGANA 11 วันที่ผ่านมา

    Hakika mungu ninae kuamini hutatuacha lisu ndie tunae mtaka akawe kiongozi wa cha chetu

  • @makelemohuya2723
    @makelemohuya2723 11 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu baba uliyejuu tunaomba umuinuwe huyu simba wa nyika,atusaidie watanzania tuko hoi

  • @JooLusajo
    @JooLusajo 11 วันที่ผ่านมา +2

    Mm nipo mlimani tayari nalinda kura nasubili lisu atangazwe

  • @marymremi1051
    @marymremi1051 11 วันที่ผ่านมา

    lisu hata ukipata sio kiongozi hana karama hiyo kwanza ana majungu anaishi kwa hisia ana dharau

  • @MahigaIkereso
    @MahigaIkereso 11 วันที่ผ่านมา

    mkiona kunasitofaham tumieni kura za wazi kila mgombea akae na watu wahesabiwe

  • @JoyceSikanyika-l3p
    @JoyceSikanyika-l3p 11 วันที่ผ่านมา

    Emungu tusmamie katka uchaguzi huu ss ni wamoja umalizike salama✌️

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 11 วันที่ผ่านมา +2

    Lissu ni yeye

  • @SalhaMwambe
    @SalhaMwambe 11 วันที่ผ่านมา

    Lisu oyee

  • @EliasMwita-q3x
    @EliasMwita-q3x 11 วันที่ผ่านมา

    Lissu

  • @ayubujoel
    @ayubujoel 11 วันที่ผ่านมา +1

    Lisu Hoye

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka 11 วันที่ผ่านมา

    Masaa5 views 63+... Believe me, 24hrs views 100k+❤

  • @MwakaHappy
    @MwakaHappy 11 วันที่ผ่านมา

    Lisuuuiuu uchaga wa kizamani basi😅