Laiti ungelijua gharama ya uendeshaji inatoka upande gani,na nani anaeifanya Chadema isogee mbele usingelisema hayo. Na hii leo hatima ya chama na sio hatima ya kiongozi imefika
Kwa nini hutoba ya Tundu Lissu imekatwa?Mimi nilifikiri niko peke yangu ninayetumia mtandao wa Yass,nimegundua kumbe mitandao yote hotuba hii imekatwa,kwanini Serikali inafanya hivyo kwa Tundu Lissu?
Lissu anatakiwa na watu wote huyu mtu ana Nia safi sana na watanzania ila walio Karibu nae hawamtaki lissu kwa maslahi yao kuna mbinu chafu hapa kwenye uchaguzi huu hata kama lissu anakubalika na wote ila kwa maslahi ya mbowe hayuko tayari kuondoka Wala hata ondaka kaeni tayari kupata suprise wanafanya mbinu chafu kama CCM mbowe abakie kuwa m.kiti chadema is over you will see soon
Mungu akusimamie sana Tundu Antipas Lissu
Ammiun
We mwenyez mungu..tunaomba ufanyany njia pasipo nanjia..huyu baba awe kiongoz wetu tunamuhitaj San..🎉🎉🎉 big up lissu
Amen
Lissu hakika kwangu mimi ni kiongozi bora sana ninaekuamini leo hii hakika utashinda kwa kishindo kikubwa labda ushindwe kwa mbinu tofauti
Mweshimiwa umeongea vizur sana tena sana nakuombea mungu upite utuongooze
Lisu mungu akuinuwe
Lissu lissu our chairman
Mkuu wangu Mungu atatenda mambo makubwa kwako.
Kweli Mungu anaenda kutenda
All the best lissu 🙏🙏 Mungu akusimamie ushinde
Mbowe anawazunguka wenzake ameweka chama kama kivuli cha kupatia pesa kutoka kwa watawala
Funga mdomo wako kwa matusi yako ushindwe Pepo likutoke
Dats bizness
Laiti ungelijua gharama ya uendeshaji inatoka upande gani,na nani anaeifanya Chadema isogee mbele usingelisema hayo. Na hii leo hatima ya chama na sio hatima ya kiongozi imefika
Naunga mkono hoja
Tundu lisu💪
Lissu oyeee
The greatest Tundu Lissu
Siasa ya Tanzanian bado iko chini, people should open there mind and give this man opportunity. Lissu tunamkubali uku kenya
Nakuombea sana mzee wangu..
lisuuuuu🎉🎉🎉🎉🎉
Amina, mwenyezi MUNGU akubariki sana Amina
#2ndulissu❤ ongezaspana wanakataana #lissu ongeza spana❤🎉
Jaman lisu Mungu Yuko na wew mda wote nasi tunakuombea
Amina
Amen
Apite tu huyu baba lisu namkubali sana
nakuombea upite jembe langu nakupenda
NEXT PRESIDENT UNITED REPUBLIC OF TANZANIA TUNDU LISU 🇹🇿
Lissu all the best
Lisuu uko vizuri baba
mungu mtangulie lissu katika uchaguzi mkuu taifa
Lissuuu hoyee
Tupo pamoja nawewe kamanda pambana people 👍
Jembeeeee lisu
Mungu murete risu jaman
All the best kamanda
Tuko pamoja sana
Wewe ni mwanaume hapa nchini🔥🔥
Ni wakati wajumbe wajue ss tunamtaka lisu na heche wajumbe chonde chonde
Uk😅 vizuri baba
Ingekua jambo la kujivunia kwa Mbowe, kukabidhi uongozi wa Chama kwa mtu kama Tundu Lissu na Heche
Atusaidie mwenyezi mungu. Lisu ashinde
Wajumbe wajumbe msifanye kosa tunataka upinzani wa kweli kupitia Tundu Lisu hao wengine mtapoteza muda wenu bure
Lissu ndie atakayetusaidia kuipa challenge serikali iliyopo madarakani
Mungu atawale tunawatakia uchaguzi mwema:
Jaribuni mbinu chafu, tunawaachia chama chenu cha baba mkwe shemeji,
Chadema kumechangamka Sana leo
Lisu anafaa kwa kipindi hichi
Kwa nini hutoba ya Tundu Lissu imekatwa?Mimi nilifikiri niko peke yangu ninayetumia mtandao wa Yass,nimegundua kumbe mitandao yote hotuba hii imekatwa,kwanini Serikali inafanya hivyo kwa Tundu Lissu?
Mungu akusaidie lisu tunakuitaji sn utuvushe
Mwenyekiti wetu
Kwaiy hotuba ya LISSU mnaizua
Sisi tunamtaka lisuuuuuuuu
Hongera Sana Baba Lisu nakukubali sanasana
Nakuombea ushinde
Unatosha kuwa Mwenyekiti na Wajumbe wasipofushwe na viroba vya Abdul🎉
Nipo hapa
Mungu akulinde wewe LISSU unafaa kuwa mwenyekiti wa CHADEMA taifa
Lissu unaweza na utashinda kwa kura nyingi
Kila raheri mkuu
Mungu akutangulie na akupe ushindi siku hii ya leo
Tundu antiphas lisu mungu yupo pamoja nawe
Utusalimie mama abdul
Ulishinda ukiwa ubergiji utashindwaje leo mwamba Mungu akutangulie mwamba
Haki Tundu lisu unafaa sana
Mmmh haya tutaona tuko hapa😢😢😮
All the best kamanda Lissu!
Baba lisuuu for changes i like
Iisu mungu tuna kutegemeha sanasana
#Simba.. TAL
Ok,lisuuuu ushindi wako
Unatosha
Mbona kama ana hirizi mkononi😮
❤
Lissu Ni ngome .
Mwamba tuachie nafasi
Lisu wewe unafaa kuwa kiongozi tunakuombea ushindi
Lissu 4 change
Umepita wewe Rais yesu akulinde
Shida iko huko chini wapiga kura wajumbe msidanganywe mlete freeman mbowe lmekula kwenu
Wajumbe tunawapenda mleteni lissu.
All the best lisu
Kwa mafanikio ya chama mzee mh tundu lissu umepita kwa nguvu ya mungu amini
Mh tundu lissu mangu akujalie maisha marefu tunajua kwa utashinda unyekiti tumesho mbowe
Wajumbe chonde chonde tuleteen lisuu ndo ana weza kum chachafya mama samia
Lisu👍💃💃😂😂😂
Hii chadema ni kubwa tuache utani
Lissu Taifa linakuhitaji.Mungu akufanyie wepesi ushinde Nafasi ya Mwenyekiti.Mungu akushindie
Lissu anatakiwa na watu wote huyu mtu ana Nia safi sana na watanzania ila walio Karibu nae hawamtaki lissu kwa maslahi yao kuna mbinu chafu hapa kwenye uchaguzi huu hata kama lissu anakubalika na wote ila kwa maslahi ya mbowe hayuko tayari kuondoka Wala hata ondaka kaeni tayari kupata suprise wanafanya mbinu chafu kama CCM mbowe abakie kuwa m.kiti chadema is over you will see soon
bila kupindisha maneno lissu anatufaa kwa time hii
Ewe mwenyezimung tunaomba lisu apewe fimbo yamusa amen
Chadema mpyaaaaaa laasana
Kitendo alivyofanya mbowe bila ya kushauriana na chama kisiasa hakileti picha nzuri
Mabadiliko
Amtegemea mwanadamu amelaaniwa. Yeremiah 17:5 au 5:17 kama sikosei
Loo huyu jamaa ana data za hatarii tumwombee tu
Wajumbe msituangushe tunamhitaji Lissu.
Hakika mungu ninae kuamini hutatuacha lisu ndie tunae mtaka akawe kiongozi wa cha chetu
Mungu baba uliyejuu tunaomba umuinuwe huyu simba wa nyika,atusaidie watanzania tuko hoi
Mm nipo mlimani tayari nalinda kura nasubili lisu atangazwe
Bravo
Tunawaombea ndugu zetu
lisu hata ukipata sio kiongozi hana karama hiyo kwanza ana majungu anaishi kwa hisia ana dharau
mkiona kunasitofaham tumieni kura za wazi kila mgombea akae na watu wahesabiwe
Emungu tusmamie katka uchaguzi huu ss ni wamoja umalizike salama✌️
Lissu ni yeye
Lisu oyee
Lissu
Lisu Hoye
Masaa5 views 63+... Believe me, 24hrs views 100k+❤
Lisuuuiuu uchaga wa kizamani basi😅