Shangwe la Wanakwaya Mwanza Kwa Askofu Musomba,Wasimamisha Kanisa Zima, Askofu Aimba Nao kwa Furaha

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 26

  • @joyceamakobewameyo9195
    @joyceamakobewameyo9195 2 ปีที่แล้ว +2

    Catholic choirs are nowadays the best at singing and dancing.Something that was unheard of in the 70s. Things change indeed 👏

  • @dianamahendekamahendeka1344
    @dianamahendekamahendeka1344 2 ปีที่แล้ว +1

    Waoooo kua mkatoriki Raha sana

  • @athanassylas7469
    @athanassylas7469 2 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana kondaksta na mpga kinanda hongeleni

  • @jovituskyagara7121
    @jovituskyagara7121 2 ปีที่แล้ว

    Asante wanakwaya wakatoliki.. hapo ndio nasikiaga na kuona uzuri wa katoliki. Mbarikiwe sana

  • @lusiyuskinikuli9989
    @lusiyuskinikuli9989 2 ปีที่แล้ว +1

    Safii nimeinjoy kwakweliii

  • @brunotinda4810
    @brunotinda4810 2 ปีที่แล้ว +1

    Good job 👏 👍

  • @thewhisperske883
    @thewhisperske883 2 ปีที่แล้ว +1

    Catholicism and indeed evangelisation at its zenith

  • @mariyamsalalah8204
    @mariyamsalalah8204 2 ปีที่แล้ว +1

    🛐🙏❤️

  • @christinemutindi7624
    @christinemutindi7624 2 ปีที่แล้ว +1

    Wonderful mass much blessed

  • @vassy1976
    @vassy1976 2 ปีที่แล้ว +2

    Lovely 🤩

  • @yohanambano872
    @yohanambano872 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @alexbenedict5378
    @alexbenedict5378 2 ปีที่แล้ว

    Yes

  • @gonzalob7774
    @gonzalob7774 2 ปีที่แล้ว

    Benedict wako vzr sn nawakubali sn hasa huyo kwaya master anajua kuwaongoza vzr wenzake

  • @joseeandrew7343
    @joseeandrew7343 2 ปีที่แล้ว

    viongozi wa Kiroho Maskofu na mapadri niwaombe kusimamia vigelegele kucheza kusiko kuwa na afya ndani ya kusali mara mbili kupitia wimbo mimi nafikiri ni bora kama huimbi kaa kimya utafakari wimbo kuliko kupiga makelele hasiyo isha wakati wimbo unapoimbwa.Tuombe sana sana Roho Mtakatifu aweze kutuongoza katika hili

    • @jovituskyagara7121
      @jovituskyagara7121 2 ปีที่แล้ว

      Huu ni wimbo wa kushukulu so furaha zaidi na vigelegele. We sio mkatoriki nini!!? Nyimbo za roho mtakatifu zipo na za ukimwa zipo pia

    • @clementpeter1607
      @clementpeter1607 2 ปีที่แล้ว +2

      Soma vizuri biblia usitoe hoja Kama hujui biblia ukisoma isaya inakwambia piga kelele usiache na upaze sauti Kama,na zaburi ya 47:7 inakwambia imbeni kwa akili na zaburi 150 inakwambia kila mwenye pumzi na amsifu Bwana,.acha watu wamfurahie Bwana mbinguni hakuna tafakari au kukaa kimya nikumsifu Bwana mda wote,usiwe mtu wa mapokeo aliyo yakataa paul

    • @jovituskyagara7121
      @jovituskyagara7121 2 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa umenena vema,, nashangaa mtu anasema vigeregere sio!! Huyo sio mkatoriki inaonyesha.

  • @kastulihayshi2703
    @kastulihayshi2703 2 ปีที่แล้ว

    Nashukursana kanisakatoriki limenitoambali

    • @clementpeter1607
      @clementpeter1607 2 ปีที่แล้ว

      Mungu hana kanisa ndg Mungu anaangalia moyo unao mtukuza na usio tenda dhambi,tujifunze sana hili hasa sisi tunao dhani kuwa dini zetu ni za kweli,

    • @mugophilip4480
      @mugophilip4480 2 ปีที่แล้ว

      No comments,

  • @mathiasmageni8568
    @mathiasmageni8568 2 ปีที่แล้ว

    Best

  • @timothyjulius5615
    @timothyjulius5615 2 ปีที่แล้ว

    Nzuri ila nilicho fundishwa ukiona ekarist inaenda taberinqkul innabidi upige magoti au mi ndo nimekalili vibaya

  • @johndaniel9367
    @johndaniel9367 2 ปีที่แล้ว

    mt benedict kwaya bugando hooyee

  • @kazimilkazimil8615
    @kazimilkazimil8615 2 ปีที่แล้ว

    Wapi hapo

  • @divisamassengo9293
    @divisamassengo9293 2 ปีที่แล้ว

    Nimeamini kama na pona