Wakaazi wa Taita Taveta waandamana kumsuta mbunge kwa kile wanachokitaja kuwa kutokuwa na imani naye
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ค. 2024
- Wanaharakati na Wakaazi wa Taveta mpakani mwa Kenya na Tanzania kaunti ya Taita Taveta wanaendeleza maandamano ya amani wakimsuta mbunge wa Taveta John Okano Bwire kwa kile wanachokitaja kuwa kutokuwa na imani na afisi yake.
Kenyans are taking back their power
This time round, waheshimiwa wamo taabani, people want accountability & transparency
glad we are waking up
I'm proud of my Kenyan people.We demand accountability.From the MPs, Governors and the president.
This is what Kenya needs. Tupunguze wizi wa pesa za uma. The money collected as taxes is enough for 56M Kenyans, but it goes into the pockets of a few.
Tuwache wizi wa pesa za umma!
We are saying no to bad leadership. Kudos my countyzens
Please Ruto should formulate Iebc we want to recall mps now
Ila kweli hata kuna vijiji havina stima
Gen z kazi hiyo imepatikana😅