Dudubaya is a genius.... we missed you saana ukiwa "Ukraine"... Kenya bado tunakutambua saana, from Seattle USA... zidi kuwapa hekima watoto wa jana!! (Nakupenda Tu).. tulicheza saana iyo ngom huku Kenya kitambo hicho kwa club saaana.
Kaka mamba ze dudu Mungu huwa analipa hapa hapa duniani , baadhi ya media walikuzushii mkorofi na kuleta chuki juu yako saivi umegeuka dhahabu kila media inatamani enteview na ww Mungu mwema
Zamani nilikua najua Dudubaya no mtu mbaya sana lumber jamaa ana madini sana tangu nianze kufuatilia interview zake nimemuelewa hongera kaka endelea kuwa elimisha wadogo zako
Your matured bro nice SN Kaka upo matured mnoooo kichwani huo ndo ulegend tunaoutaka Kaka fact still fact MTU Leo huwez simama Leo unamdis P FUNK LEO NOOOO
Unashindwa kuelewa dudu baya baba levo anaongelea ushabiki kwamba yeye aliongelea hasira sio kwamba hana akili usitumie nguvu kubwa hvo kumjib baba levo
Dudu zuri Oil safi Konki Masta Putin Huyu jama ana akili nyingi sana Alafu yupo humble sana. Hio cheko yako unaweza itumia kwa biashara pia kwenye intro music
Dudubaya unaongeya lamaana sana nakupenda sana apo😆😆😆🇨🇩
Dudubaya is a genius.... we missed you saana ukiwa "Ukraine"... Kenya bado tunakutambua saana, from Seattle USA... zidi kuwapa hekima watoto wa jana!! (Nakupenda Tu).. tulicheza saana iyo ngom huku Kenya kitambo hicho kwa club saaana.
Mr Putin
broo uko vizuri sana nafatilia sana interview zako huwa hupendi kupidisha mambo
Mwanzo mwisho inaschekesha 😂😂😂🤣🤣🤣Salam sk amesha divorce mara 4 wale wanawake na watoto wanamlelea wenzake wanaume😂🤣🤣🤣
Kwenye akli DUDU BAYA unayo vizuri kabisa
Konki Master umejua kuwajibu wasenge hao wanajisahau sana kujiona hakuna kma wao
Kabisaaaaa
Mziki wa zamani ndo ulikua mziki uyo Salam sk umekosea kumgusa majani apa mziki usonge mbele bifu siyo mpango
👊✔
Wewe mtangazaji fuata taaluma yako acha uchochezi wa kijinga
uyu dd baya n kaka wa taifa
Yan we mdudu Leo umeongea vizur xana mpaka nmekupenda!! Leo umeongea point zenyewe!
Sema dudu ni mkweli sana kama jambo halijui haliongelei hivyo hamuonei mtu
Afu akiwa hajalewa ndo interview zake zinakuwa smart Sana
Konki leo kanufurasha yaani sema kweli watu ongea wanana break viboroto hii baba leo kasema
dudu baya unaongea fact sana jamaa nakukubali xana
Kwel dudu baya mwana halakatii sanaa mkwel sana
Wasanii na wanahabari wengeungana na koniii, wengeboresha maisha yao kwa kutokudhulumiwa haki zao!!
Huyu jamaa anaongeaga ukweli tu sema huwa hawamkubali watu
Yani nikituwa tz makutafuta dudu
Genius Dudu
Dudu baya nakupenda sana broo msema kweli wewe ni njembe kama hayati magufuli mungu akubaliki
Unajua kila taarifa bro haya ya sk nkuwa sijui
wasafi mafala. wametepweta. sisi ndio tunajua mziki ulipo toka. hawa wasafi maboila tuuu. mambwa
Kaka mamba ze dudu Mungu huwa analipa hapa hapa duniani , baadhi ya media walikuzushii mkorofi na kuleta chuki juu yako saivi umegeuka dhahabu kila media inatamani enteview na ww Mungu mwema
Très sage le gars😁😁😁😁😁! Big fun from Kinshasa. "Nakupenda tuu, gisi ulivo nakupenda tuu, sura kama ngumi...🤣🤣🤣🤣" Shoutout Legend🙏🏼✊🙌
ⁿ0
Puttin endelea kuikomesha marekan na washilika wake Nato Dudu weee mbya kinouma unaogea fact kama brother mtaa inakukubali kaka
Zamani nilikua najua Dudubaya no mtu mbaya sana lumber jamaa ana madini sana tangu nianze kufuatilia interview zake nimemuelewa hongera kaka endelea kuwa elimisha wadogo zako
100%
Una akili konki nakupenda sana APA congo
Naomba namba zenu za watsapp
🤸🤸🇺🇲🇺🇸
Very funny, mtu mzima dawa
Kwanza unasainije mkataba usio kufaa??
Dudu Kiukweli nimecheka mpaka nikalia 🤣🤣🤣🤣 konk âme divorce Mara 4
Mtangazaji unaongea sanaa ..uliza swali fupi then mwache mwamba atoe madini...Dudubaya yuko vizur
Your matured bro nice SN Kaka upo matured mnoooo kichwani huo ndo ulegend tunaoutaka Kaka fact still fact MTU Leo huwez simama Leo unamdis P FUNK LEO NOOOO
Dudubaya namkubali sana 😂😀😀😀
Mamba oilchafu yani unaongea kama watu 100🔥👍
daaaa ginues
Leo umeongea nimekuelewa. Umemlinda p funk.. 🤧
Dudu baya amekuja kunichekesha tu😂😆😆😆😆
Unashindwa kuelewa dudu baya baba levo anaongelea ushabiki kwamba yeye aliongelea hasira sio kwamba hana akili usitumie nguvu kubwa hvo kumjib baba levo
Huyu jamaa leo kaongea point sana na ana furahisha kip it up bro Mzee wa Oil chafu mambaaaa
mwamba kaongea 🤔 kuna muda jamaa anaakili sana
Uliza maswali kama mwandishi wa Habari…
Dudu big up
Ukivunja mbavu zako mm simo subscribe hii page ili uwe wakwanza kupata video zangu 🙏🙏🙏
Haahahahahahahhahah dah aise 😅
ukosawa sana broo
Kazungumza ukweli safi Sana👍
Dud baya 💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
Kumbe machawa munajuwa kama munaropokaga sana 🤣🤣🤣🤣
DUDU BAYA, ONGELEA MZIKI WA BONGO NA ACHANA NA SIYASA,
Sasa siasa iko wapi hapo.
Brother una kichwa kikubwa sn chenye madini ya thamani kubwa..
Huyuuuu dudu baya ni Oskido wa South Africa au Snoop wa America
😂😂😂😂😂😂😂😂
Salute kwa dudu baya
Mamba issue ya P fank kutukanwa na baba levo umeongea point sana kweli dogo hakufanya powa
Chizi karogwa tena ebu tulia maneno weka akiba
Putin,nakuelewa saaana,unaongea point saana,@harmonize_tz uje uone huku
Yaaa nimekuelewa dudubaya
Dudu baya kumanisha nini
Dudubaya ni mtu anaeongea VITU Kwa uhalisia
Ulicho ulizwa na unacho jibu tofaut
Anthon Budoda@ Wewe pekeyako ndio humuelewi ila Sisi Tuna Muelewa..
KONK!KONK!KONK MASTER!
Dudu baya unaongea point sana
Huyu mwandishi nae unaongea sana
Konki
Konk Konk master oil chafu ukichafua itakuchau👍
Dudu baya ni P dank nikama Doctar Dre wa America au Oskido wa South Africa
😅😅😅koki so funny aisee
Dudubaya safi
Mtangazaji mzuri.
Hasumbui wala kukatakata mtu kwenye interview
Dudu baya heshima yako ni kubwa sana kwa watu wenye uelewe na wny akili. Wewe ni wewe
Mamba unaniua😀😀😀😆😆🤣🤣
Genius konki nakukubali saana mwamba😎😎🤣🤣
Sanaa baba
Hiyo ngoma Moto🤣🤣🤣🤣sija imenyaa aisee ama ndiyo mdundo wa ngoma zetu😋
Nakukubali sana dudubaya. Wewe mkweli kabisa
Mwanza mwanza kisesa bujora home 🏡🏡🏡🏡🏡🏡 konk konk master bedroom door
Dudu mbaya ni comedian kiplani.umenivunja mbavu.🇰🇪
100%🇵🇰🇵🇰🇵🇰🇵🇰
Dudu zuri
Oil safi
Konki Masta Putin
Huyu jama ana akili nyingi sana Alafu yupo humble sana.
Hio cheko yako unaweza itumia kwa biashara pia kwenye intro music
Big up brother
kama kuna siku umeongea point ni leo rispect broo
Konk hafungwii ndomana💅💅💅💅
Dudubaya wewe ninoma unaongea ukweli
Big up wanahabari interview znatufanya tuenjoy na tuwajue wasanii wakongwe na wapya wanauwezo gan wa kuongea na akili zao.safi sana dudu baya uko poa.
Daaaah nime cheka san😅😅😅😅
Respect Putin
dudu baya nimekuelewa vizur sana
huwa naenjoy na kucheka sana nnapochk interviews za brazza konki🤣😂
Daz kendo Allah, 2002
Booster hapo nitengeze channel
Unajua kujibu maswali💥💥💥
Interview za nyie wasukuma mko vizuri mno upo we na fid Q aiseee hongereni mko vizuriii sn
Konki master
Mtangazaji unajua kuchonganisha mshenzi wewe
😂😂😂😂
Bro that watch is hot 🔥🔥
Konki💪💪💪💪
.Big Fact
Konki 😂😂😂😂
dudu is very wise, wanawake wanajikaranga kwa mafuta yao 😂😂😂😂
We mwamba una una Akili sana
Konk master uko vizur
Your true legendary