PART 1 | HOW I SURVIVED HESSY WA DANDORA POLICE HIT SQUAD AFTER BEING POSTED ON FACEBOOK

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • Watch part 2 here
    • PART 2 | HOW I SURV...
    Once posted on Dandora crime free Facebook page you are a marked man and your end is sealed. This is a story of Madola once a crime boss and feared in Eastlands,,He narrates his time in crime and how he escaped the dragnet of death and his journey to reforming''

ความคิดเห็น • 162

  • @ephraimgithae
    @ephraimgithae 3 หลายเดือนก่อน +3

    Uyu jamaa amecatch attention yangu sa zile amesema kuhusu mentality ya watu wa ghetto in terms of crime...aty iyo pressure inakuanga ya kutoka kuogopwa na kutambulika...that is so true...For me I was not in crime though nkiwa highschool nlikuwa na pressure ya kutaka kutambulika nakufit in na awa mabad Boyz...ghetto life is crazy...Yani the most useless things ndo ukuwa praised...stori za wizi ndo watu upenda kupiga na nani ndo mgori

  • @frashaoskah8446
    @frashaoskah8446 ปีที่แล้ว +7

    So many stories left hanging because jamaa wa interiew nkama hana time.....3/10 ratings

  • @c-lektabenstarbwoy5504
    @c-lektabenstarbwoy5504 ปีที่แล้ว +5

    Iii story inaflow haiwez kuwa ya jaba,,uwongo ni expensive kumaintain,, ya uyu inaflow naturally

  • @michaelmwasya6989
    @michaelmwasya6989 ปีที่แล้ว +7

    Kuna vitu zingine haziingiani kwa story,,,, alisema alianza crime ya kwaza akiwa almost 18yrs akiwa amemaliza high school,,,then later anasema walikosana na mzae akaenda kuishi na mabashte Koch na akasare shule...then anasema alimaliza.......gaps ni mob unless Kuna vitu anamezea kusema

    • @crazykids5779
      @crazykids5779 5 หลายเดือนก่อน

      Wacha nsikzie kwaza

  • @ceciliawambua2293
    @ceciliawambua2293 ปีที่แล้ว +27

    this guy is speaking the truth, u see this people engage in crime they want to be feared respected mostly sio poverty, because if it's poverty wakiiba izo doh akuna kitu ya maana uwa wanafanya nazo ni kubuy manguo na kwenda reggae,waiba tu ndo wajienjoy na vitu za upuzi,gals wanakubaligi hao maboy ju ya crime, those boys are feared so gals wants to be associated with them, I have seen gals even dropping school to get married to a thug, nilisoma na such people, many of them are now regretting, they use drunks because of peer pressure bad company, wanataka kuonekana hao ni watu wa mafom , this thing is very satanic unatapa ata watoy wamsonko wenye wanakaa karibu na gettohs wanaigia Kwa crime

    • @rastaradio6
      @rastaradio6 ปีที่แล้ว

      True💯

    • @indiatsiwilliams793
      @indiatsiwilliams793 ปีที่แล้ว

      It's definitely coz of poverty....rich kids will probably do it for a while but will later change coz they've got so much to lose if they continue with crime life

    • @ceciliawambua2293
      @ceciliawambua2293 ปีที่แล้ว

      @@indiatsiwilliams793 if it is poverty then Kwa nini hawafanyiagi izo dooh kitu ya maana like investment,they buy clothes, drunks then for reggae , parties and pleasing women, and when they come out of crime they are very poor they have nothing , I feel they use poverty as an excuse to join crime

  • @antonioohjones6493
    @antonioohjones6493 8 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂Dandooh Kila yut anauza uwogaa n crime zenye ashaifanya😂😂....Nwei Dandooh n mtaa, na n place ftiiisnaa.....mengi sumu!!!if u know u know.

  • @abdiwahabnadhi4756
    @abdiwahabnadhi4756 ปีที่แล้ว +12

    Yea it is good testimony lakini bro make sure you edit this videos and remove the parts that might cause problem to these reformed youth. Although they are here trying to save the other youth but their real story might bring problems to them, so usikuwe selfish ukitafuta interview noma kisha hawa wajipate wakitafutwa na DCI.

  • @TinselTatiana-qg6qp
    @TinselTatiana-qg6qp ปีที่แล้ว +4

    Wanaume wako n wivu huku ama pia nyinyi mlikuwa mnataka interview😂😂🎤

  • @ericknyamwaro
    @ericknyamwaro ปีที่แล้ว +5

    𝙨𝙖𝙖𝙬𝙖😅

  • @Xtrim-tunu
    @Xtrim-tunu ปีที่แล้ว +2

    Civo ni Civil Servants.Iko katikati ya Kàriobangi South na Dandora.Stage ya mwisho ya R.O.G.

  • @kahbisadesigners8277
    @kahbisadesigners8277 24 วันที่ผ่านมา

    tHE NUMBER of "SaWa" mention is one thousand,seven hundred and sixteen sawa

  • @creativetelevision8134
    @creativetelevision8134 ปีที่แล้ว +25

    I need this boy please nipige story na yeye

  • @mugo5075
    @mugo5075 ปีที่แล้ว +6

    Story za jaba. Tho amefurahisha madame

  • @bravinpeace
    @bravinpeace ปีที่แล้ว +2

    Sawa😂😂😂😂sawaa

  • @marcdavid5826
    @marcdavid5826 ปีที่แล้ว +3

    Huyu jamaa si mwizi

  • @ellymzera2457
    @ellymzera2457 ปีที่แล้ว +5

    Hii story imeshika..

  • @samuelkamau196
    @samuelkamau196 4 หลายเดือนก่อน +2

    Apo ni kweli uezi toa ugeto ndani ya mgeto....kama uamini fika pale TikTok ucheki Marco meng tv

  • @janemutunga7775
    @janemutunga7775 ปีที่แล้ว +10

    Huyu boi n malisafi walai😂

  • @phoebewangechi3495
    @phoebewangechi3495 11 หลายเดือนก่อน +2

    How i wished i could be living Sivo😂😂dem days 😅😅thank God alinitoa Dando🎉

  • @sandrapaul2804
    @sandrapaul2804 ปีที่แล้ว +5

    Sawa ahh sawa ahh

    • @stephenob4046
      @stephenob4046 6 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

  • @maxwelljuma6509
    @maxwelljuma6509 11 หลายเดือนก่อน +2

    Nice story. Next time ekea story teller ata Maji

    • @edmacmedia
      @edmacmedia  11 หลายเดือนก่อน

      Huwa wanapewa plus na what to eat thank you

  • @SHARONOKORE
    @SHARONOKORE ปีที่แล้ว +6

    Hes so alive 😃 good narrator kudos 💯

  • @KelvinWara
    @KelvinWara ปีที่แล้ว +2

    Aty kasa ni kwa masmarta bro

  • @mohameddubow1904
    @mohameddubow1904 14 วันที่ผ่านมา

    Ghetto life is not eazy😊

  • @maadreece
    @maadreece ปีที่แล้ว +55

    Hii story ni uongo buana huyu boyz tumekua naye area alikua anakaziwa life ka nonsense😂

    • @michellekokonya463
      @michellekokonya463 ปีที่แล้ว +4

      😂😂 exactly felt so too ... Story za base

    • @nashgatu
      @nashgatu ปีที่แล้ว +15

      why do this 😂 sasa ata syke imeisha ya kuwatch

    • @Haustine3507
      @Haustine3507 ปีที่แล้ว

      Za jaba😂😂😂

    • @micaangote2138
      @micaangote2138 ปีที่แล้ว

      UKO SURE🤣 KUMBE TUNAPIMWA APA

    • @georgeogutu4771
      @georgeogutu4771 ปีที่แล้ว +4

      0:29

  • @Saraphineh.1
    @Saraphineh.1 10 หลายเดือนก่อน

    We wacha story madollar😂😂😂😂😂😂sasa mbona unadaganya yawa 😂😂

  • @pattokamaa
    @pattokamaa 5 หลายเดือนก่อน

    Civil servant

  • @favouredkamau
    @favouredkamau ปีที่แล้ว +1

    Nipee No yake

  • @YazzbeatsofficialMusic
    @YazzbeatsofficialMusic ปีที่แล้ว +21

    He is quite a story teller

    • @catalystke
      @catalystke 11 หลายเดือนก่อน

      fr

  • @athmanboanza4603
    @athmanboanza4603 ปีที่แล้ว +5

    Bro anatoa story poa but interviewer concentration Iko chini you ask funny questions..

  • @blessedent4387
    @blessedent4387 8 หลายเดือนก่อน +1

    sawaaaa😂😂

  • @denniswachira4596
    @denniswachira4596 4 หลายเดือนก่อน

    Saawa😂

  • @nancylaura6039
    @nancylaura6039 4 หลายเดือนก่อน

    Huyu kitu ilimuokoa ni damu ya mamake ya ukuhya hakua na damu ya wizi huyu. 😊

  • @aliabdullahi6710
    @aliabdullahi6710 ปีที่แล้ว +3

    Tunataka part 2 mkuu

  • @timmusumba5846
    @timmusumba5846 9 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu vile walihama "Civo" mpaka mumenunuliwa "PS2" na video games inaonyesha hakulelewa Kwa shida!

  • @SANCHOZ254
    @SANCHOZ254 ปีที่แล้ว +1

    Mbona slang ya eastlando iko present tense 😂😂

  • @linvi_chemutai
    @linvi_chemutai หลายเดือนก่อน

    I really love his compassion at such a young age, he had the love of Jesus that you cant teach.

  • @lonesharkandrew
    @lonesharkandrew ปีที่แล้ว +1

    Unajua Bayano😁?

  • @eddymaweng1294
    @eddymaweng1294 ปีที่แล้ว +3

    Kureform ndio form...

  • @clintonmucheru6861
    @clintonmucheru6861 ปีที่แล้ว

    Press na prezzo man toa uyu boy kwa dimanga afanye kazi apate riziki alishe fam yke
    Sonko saidia yut man ajitoe kwa wizi

  • @nyamweyajoseph244
    @nyamweyajoseph244 7 หลายเดือนก่อน

    H😂😂😂😂huyo jamaa ni story teller 😅

  • @dnwkenya532
    @dnwkenya532 ปีที่แล้ว +3

    He was my class mate salute

  • @vincentohdellboss9051
    @vincentohdellboss9051 ปีที่แล้ว +2

    Stori za jabaaa hizi...real thugs awatokeangi kwa interview after kureform waubaki stori inatolewa kwa news, TMK wanaume

    • @BazeChillsport
      @BazeChillsport 6 หลายเดือนก่อน

      John Kiriamiti alikuwa Churchill Show....
      Tafuta documentaries hata za walami uone lazma moja abaki....to tell a story....

  • @gmchats5335
    @gmchats5335 8 หลายเดือนก่อน +2

    Sawa basi!!

  • @alexwasike979
    @alexwasike979 ปีที่แล้ว +6

    I dont feel like these guys should be forgiven ati coz they have changed ...pay for what you did wrong

    • @edmacmedia
      @edmacmedia  ปีที่แล้ว

      So you are a saint?? Kila mtu hukosea

  • @susankabiru4897
    @susankabiru4897 ปีที่แล้ว +1

    Hii story na jaba .....acha tu ....😂❤

  • @caltoncarl6504
    @caltoncarl6504 3 หลายเดือนก่อน

    Me to I have a story edmac

    • @edmacmedia
      @edmacmedia  3 หลายเดือนก่อน

      gani hio Calton

  • @agathaauma5995
    @agathaauma5995 ปีที่แล้ว +2

    part 2 loading ama

  • @xopapii
    @xopapii 9 หลายเดือนก่อน

    bro even made the interviewer laugh
    ....funny guy

  • @rastaradio6
    @rastaradio6 ปีที่แล้ว +4

    The first time Madolla started his confession,Adi ingikuwa ni Mimi kumjudge,This boy has a bright future..He is saying everything to believe his story 🔥🔥🔥#Reform

  • @philipvirgil8081
    @philipvirgil8081 ปีที่แล้ว +2

    Next episode pliz

  • @benardkiniti6033
    @benardkiniti6033 ปีที่แล้ว +5

    The most boring thug story ave heard,the interviewer huna maswali watu wanataka kuskia

    • @SHARONOKORE
      @SHARONOKORE ปีที่แล้ว +6

      Kaskie vibaya uko kwenyu 🥴

    • @mbuguwahtv7107
      @mbuguwahtv7107 ปีที่แล้ว

      Ebu give examples of probable questions the interviewer should ask

    • @TinselTatiana-qg6qp
      @TinselTatiana-qg6qp ปีที่แล้ว

      Enda ukatoe ur interesting story

  • @gasmask1130
    @gasmask1130 ปีที่แล้ว +1

    Sawaaaa😂😂😂😂

  • @edwinmahianyu1513
    @edwinmahianyu1513 ปีที่แล้ว

    I assure u hakuna mtu ashai engage Kwa crime anaweza peana ctory they are ever quiet

    • @BazeChillsport
      @BazeChillsport 6 หลายเดือนก่อน

      John Kiriamiti alikuwa Churchill Show na yeye ndiye kama Godfather hiyo industry coz of dem dayz

  • @daudsuleiman2252
    @daudsuleiman2252 ปีที่แล้ว +2

    NICE GUY.HE IS STORY TELLER

  • @tonysilva9929
    @tonysilva9929 ปีที่แล้ว +1

    WORK ON NOISE REDUCTION

  • @dadw7920
    @dadw7920 ปีที่แล้ว

    I hate the "sawaaa" at the end of his statements & the term "ariifff." I hate ghetto slang.

    • @BazeChillsport
      @BazeChillsport 6 หลายเดือนก่อน

      Kaskie vibaya hukooo kwenyu...
      Shembeteng' for life😅..
      Nyongwaaa

  • @dodyblacky2542
    @dodyblacky2542 ปีที่แล้ว +1

    Good job manze keep it up !👊🏾👊🏾

  • @minorityreport5096
    @minorityreport5096 9 หลายเดือนก่อน

    madollar mwenyewe

  • @mwenyeji-
    @mwenyeji- ปีที่แล้ว +1

    This guy 😂😂😂😂

  • @IvyMwangi-wx6vc
    @IvyMwangi-wx6vc 9 หลายเดือนก่อน

    Mbona wezi hukua na ka innocent face? Khaiii

    • @BazeChillsport
      @BazeChillsport 6 หลายเดือนก่อน

      Enda Facebook uingie group inaitwa Nairobi Crime Free ...
      Innocent faces 😅😅😅iko Kwa tu Kwa Goole 😅....

  • @nyasimigeoffrey7737
    @nyasimigeoffrey7737 9 หลายเดือนก่อน

    killing me anytime he says sawa!!!

  • @martinboogua2430
    @martinboogua2430 ปีที่แล้ว

    Sawa 😂😂

  • @festusokinda4702
    @festusokinda4702 ปีที่แล้ว

    Jaba lazima

  • @annnzisa5659
    @annnzisa5659 7 หลายเดือนก่อน

    Karibu akue handsome

    • @edmacmedia
      @edmacmedia  7 หลายเดือนก่อน

      sawa,,,

  • @MoffatMariga
    @MoffatMariga ปีที่แล้ว

    😂

  • @samuelmuriuki5849
    @samuelmuriuki5849 ปีที่แล้ว +1

    Such a story teller..

  • @indimulielvis7960
    @indimulielvis7960 ปีที่แล้ว

    Wueh...Harry👊👊🤣🤣🤣

  • @shirugaks7464
    @shirugaks7464 ปีที่แล้ว +1

    Hawa Jamaa wa mtaa ni great story tellers. Lakini sheng ni Kali, sukuelewa siivo ni wapi.

  • @benrick7958
    @benrick7958 ปีที่แล้ว +1

    💥

  • @broken_arrow1813
    @broken_arrow1813 ปีที่แล้ว +2

    Civo ni wapi?

    • @edmacmedia
      @edmacmedia  ปีที่แล้ว +2

      Kariobangi South

    • @chrismalekela5984
      @chrismalekela5984 ปีที่แล้ว +1

      Civil servants houses in Kariobangi south,civo ni short form ya civil servants

  • @josephinewanjiku9591
    @josephinewanjiku9591 ปีที่แล้ว +1

    Part 2 tunangoja

  • @davidwainaina1368
    @davidwainaina1368 ปีที่แล้ว

    Saaawa

  • @kelvinmathenge5677
    @kelvinmathenge5677 ปีที่แล้ว

    haha the funny thing

  • @NycMarto-zf3jo
    @NycMarto-zf3jo ปีที่แล้ว +5

    Part two waiting

  • @harrietmigide7267
    @harrietmigide7267 ปีที่แล้ว +11

    How handsome is this guy❤

    • @edmacmedia
      @edmacmedia  ปีที่แล้ว +6

      Sasa wewe si uitishe tu namba upewe 😂

    • @mamumadu2140
      @mamumadu2140 ปีที่แล้ว

      Shoot your shot Jameni..😂

    • @Melovemacolour
      @Melovemacolour ปีที่แล้ว +1

      ​@@edmacmedia 😂😂 namba itembee

    • @bantumacharia1671
      @bantumacharia1671 ปีที่แล้ว

      @harrietmigide7267 gimme your number

    • @susanmaina3130
      @susanmaina3130 ปีที่แล้ว

      Huyu ni mtoto hauoni ndevu zake ni zile za thenge.

  • @eliudone9607
    @eliudone9607 10 หลายเดือนก่อน

    Mr sawaa😂😂😂

    • @sharonjones3862
      @sharonjones3862 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂sawa

  • @Dice_KE
    @Dice_KE ปีที่แล้ว +3

    Sivo ni wapi?

    • @SecurityGie
      @SecurityGie ปีที่แล้ว +1

      Civil servants houses in kariobangi( outering)

  • @winskenya1
    @winskenya1 ปีที่แล้ว

    Part 2

  • @cedricchagwi5490
    @cedricchagwi5490 ปีที่แล้ว +1

    This guy is a storyteller hehehe inakaa movie wuuuueh!!!

  • @justusnjeru
    @justusnjeru ปีที่แล้ว +1

    Civo ni wapi

  • @immortal4660
    @immortal4660 10 หลายเดือนก่อน

    After they tell you all this story how do you help them?? Or is just a story?

  • @hommiegee3779
    @hommiegee3779 ปีที่แล้ว

    is it poice or police

  • @carolinewanjiru8694
    @carolinewanjiru8694 ปีที่แล้ว

    Audio🎧30:23

  • @Anneyy25
    @Anneyy25 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Madolla bado hajachange...

    • @donna8894
      @donna8894 ปีที่แล้ว

      Bana

    • @libertywild7507
      @libertywild7507 ปีที่แล้ว

      Unajuaje?

    • @Anneyy25
      @Anneyy25 ปีที่แล้ว

      @@libertywild7507 I cannot disclose some things lakini heri a change for real.

  • @rastaradio6
    @rastaradio6 ปีที่แล้ว +1

    Pin account number ya kusupport yut