Inaumiza sana kinachofanywa na serikali kwa Wamaasai kuwaingiza kwenye umaskini na kuwaacha na utajiri wa ofisi ya Mungu na chama cha aridhi yao. Mungu awape nguvu Wanaharakati hawa. Haki itashinda dhuluma hii
Endeleeni kujipendeza hivo hivo kwa Maccm, mie nataka waendelee kuwatesa mpaka mpate akili. Ooooh Chama chetu Chama chetu, hiyo ndo faida na shukurani ya hicho Chama chenu. Mie nakereka sana watu kujipendekeza badala ya kuungana na kua na nguvu na sauti ya pamoja, hakuna Serikali ilowahi kuwashinda Raia wake. Unganeni mchukue Hatua kwa pamoja.
Mbaraksalum hata wakiwasifu sikiliza wanavyojieleza utagundua kuwa ni sawa na kuwapalia makaa ya moto vichwani mwao kwa laana wanayoitoa mbele za Mungu juu ya utawala huu usiotaka kuusikiliza ukweli juu ya uongo wao,unyama,ubinafsi, tamaa,na roho ya kutuangamiza wananchi wake kama nzige na viwaji jeshi wanavyoangamiza mazao mashambani tufe na njaa na umasikini! Yupo MUNGU mbinguni na ndani yetu,Tunapoomba anasikia maombi yetu,tunapoomba anajibu!
Huyu sio mwanaharakati! Unawezaje kumsifia mtu anaekudhulumu? Namshangaa sana , na ndio imekuwa ngao kubwa ya ccm kuendelea kuwafix. Uoga na unafiki utawamaliza
Usi wekee ety ajuiii anajuwa ila utulifu wake tuuu kwani nani alitowa taarifa yakwamba pori tengefu la loliond iwe pori laakiba sini yeye kwa hyo mwabie life unajuwa hili jambo inayo fanyika kwetu loliondo
Mama yenu au Kipenzi cha Dollars na Waarabu Hakuna chenu hapo wacha Samia atafune nchi aondoke atakapokuja mtanzania kama Magufuli ndio mtakuwa huru kwasasa hela Kwanza Haki, utu, uraia ndipo Ije vilevile kwasa hakuna WA kuwasikiliza Ndg zangu wamasai na wafugaji wote Tanzania
Mwandishi umefanya kazi kubwa CCM Watashindwa Tu
Justice will prevail and seen to be DONE. Congratulations mama wa Kimasai Wanaharakati wa dhati.
Hongera mama usinyamase hatakidogo
Poleni
Inaumiza sana kinachofanywa na serikali kwa Wamaasai kuwaingiza kwenye umaskini na kuwaacha na utajiri wa ofisi ya Mungu na chama cha aridhi yao.
Mungu awape nguvu Wanaharakati hawa.
Haki itashinda dhuluma hii
Ndugu zangu tuongozwa na binge la ulaya inauma xn,
Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana
Hongera sana mama. Nganashe Mungu akulinde sana
Endeleeni kujipendeza hivo hivo kwa Maccm, mie nataka waendelee kuwatesa mpaka mpate akili. Ooooh Chama chetu Chama chetu, hiyo ndo faida na shukurani ya hicho Chama chenu. Mie nakereka sana watu kujipendekeza badala ya kuungana na kua na nguvu na sauti ya pamoja, hakuna Serikali ilowahi kuwashinda Raia wake. Unganeni mchukue Hatua kwa pamoja.
Mbaraksalum hata wakiwasifu sikiliza wanavyojieleza utagundua kuwa ni sawa na kuwapalia makaa ya moto vichwani mwao kwa laana wanayoitoa mbele za Mungu juu ya utawala huu usiotaka kuusikiliza ukweli juu ya uongo wao,unyama,ubinafsi, tamaa,na roho ya kutuangamiza wananchi wake kama nzige na viwaji jeshi wanavyoangamiza mazao mashambani tufe na njaa na umasikini! Yupo MUNGU mbinguni na ndani yetu,Tunapoomba anasikia maombi yetu,tunapoomba anajibu!
Nikuchukua hatia umoja ni nguvu
😢😢😢😢
Safi sana wee mama. Una akili kuliko kiongozi mkuu wa..... 😅
Yaani nawaambia ndugu zangu tusichague chama tuchague viongozi bora
Huyu sio mwanaharakati! Unawezaje kumsifia mtu anaekudhulumu? Namshangaa sana , na ndio imekuwa ngao kubwa ya ccm kuendelea kuwafix. Uoga na unafiki utawamaliza
Usi wekee ety ajuiii anajuwa ila utulifu wake tuuu kwani nani alitowa taarifa yakwamba pori tengefu la loliond iwe pori laakiba sini yeye kwa hyo mwabie life unajuwa hili jambo inayo fanyika kwetu loliondo
HAYA ENDELEENI KUIKUMBATIA NA KUIVUMILIA. CCM, HADI MFE WOTE KIJINGA. WENYE AKILI TUMESHA ICHUKIA NA KUIHAMA CCM.,
Mama yenu au Kipenzi cha Dollars na Waarabu
Hakuna chenu hapo wacha Samia atafune nchi aondoke atakapokuja mtanzania kama Magufuli ndio mtakuwa huru kwasasa hela Kwanza Haki, utu, uraia ndipo Ije vilevile kwasa hakuna WA kuwasikiliza Ndg zangu wamasai na wafugaji wote Tanzania
Binge la ulaya lilipiga kura ya kuwaondoa wamasai ngorongoro,warabu na wamagaribi wathamani kubwa kwenye nchi hii kuliko xx wazawa yumeisha😭😭
WEWE NDO HUWEZI KUHAMA SISI TUMESHA ACHANA NA CCM, CHAMA CHA MAUAJI NA UTEKAJI WATU
Mtafia na chama chenu, dawa ya kuwaadabisha hao ccm ni kuchagua chama kigine, msifanye makosa tena