Dalili ya mtu mwenye marohani...ustadh Ali Alhaidary

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 พ.ค. 2021

ความคิดเห็น • 44

  • @mansoormannix1753
    @mansoormannix1753 ปีที่แล้ว +2

    Allah atuepushe na mtihani wa dunia na atuongoze kwa njia iliyonyooka na atuzidishie tawhid, aqidah so we may not go against Islam. Allah atume ilmu nzuri na ufahamu na atuhifadhi na fitnaa za shaitani.

  • @cayenestorm7942
    @cayenestorm7942 2 ปีที่แล้ว +4

    Niliambiwa kuwa kuna namna yaku karibisha ruhani, je ni kweli

  • @husnamohammed8374
    @husnamohammed8374 2 ปีที่แล้ว +1

    Ustadh unayosema ni kweli tupu wallah yni yote ulioyasema

  • @noorischmutisch5321
    @noorischmutisch5321 ปีที่แล้ว +1

    Assalaam aleikum warahmatullah wabarakatuh,Ustadh maneno yako nikama umezungumzia kunihusu mm,,niko hivo na nilikuwa nikitabiri kuhusu masomo yangu,mitihani ya shule,,na mambo mengine mengi..Shukran.

  • @isiyakaramadhani4550
    @isiyakaramadhani4550 2 ปีที่แล้ว +2

    Kweli kabisaaa ata ujakosea lakini mbona wengine wanataka kutibu ni ruksa kwa Allah

  • @angle3600
    @angle3600 ปีที่แล้ว

    Asante sheik mimi naona nirohanii,mungu tuepushe na shari

  • @twahamwela2158
    @twahamwela2158 2 ปีที่แล้ว +1

    Mada yako mzuri Sana sheikh baraka llahu fiyka

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6g ปีที่แล้ว

    NI DARASA MUHIMU SANA KWANGU MWENYEZI MUNGU AKULIPE KHERI NYINGI

  • @zuwenanurdeen8902
    @zuwenanurdeen8902 2 ปีที่แล้ว +2

    Swadakta100parcent

  • @saumuathman901
    @saumuathman901 2 ปีที่แล้ว

    Shukran Jazzilah kwa elmu hii

  • @husnamohammed8374
    @husnamohammed8374 2 ปีที่แล้ว +1

    Jazakallahu kheir mungu akuwezeshe uzidi kutupa elimu

    • @angunaff7294
      @angunaff7294 2 ปีที่แล้ว

      Jazakallahu kheri inshallah 🙏

  • @zuhurajuma8853
    @zuhurajuma8853 ปีที่แล้ว +1

    Asalam aleykum shekh je wale wanaoagiza pete marashi kitambaa na anataka uswali

  • @swaumumakunga2469
    @swaumumakunga2469 ปีที่แล้ว

    Masha Allah

  • @milley7185
    @milley7185 2 ปีที่แล้ว +1

    Je wale wanaomba vitu kama zawqdi sijui vitambaa au Pete ni wa aina gani

  • @kadirijuma2618
    @kadirijuma2618 7 หลายเดือนก่อน

    Asalam aleykum,tuna shkuru kwa elimu hii,shekhe mm pia kuna dalili huwa zina nitokea baazi ya seven za mwili huwa zina cheza, nayo ni maruhani

  • @faridaarafat1571
    @faridaarafat1571 ปีที่แล้ว

    Asalaam aleykum, sheikh nitajuaje kama nina rohani

  • @ashaajimtu2536
    @ashaajimtu2536 2 ปีที่แล้ว

    Aa shukran jazillah mie huota sana natokewa na wazee wenye asili ya kiarabu,kihindi ama kisomali wamevaa kanzu,na madevu,sana huwa tupo kwenye visomo ama juu ya mlima

  • @salimali9957
    @salimali9957 ปีที่แล้ว

    Maalim,kuna point umekosea hao ni viumbe usiseme ni watu

  • @kadirijuma2618
    @kadirijuma2618 7 หลายเดือนก่อน

    Na pia huwa sipendi makundi na pia sinaga kijiwe chochote, pia huwa yapanda pindi kunapo kuwa na mtu mbya, nahuwa napenda sana zikri ila
    na udi nikifika kuna uzwa dawa za asili nina tamani nilale humohumo,ila inapo simwa kuruani machozi unitoka sana tatizo nini hapo ni wa zurri aw ni wabaya?

  • @khadiaally9192
    @khadiaally9192 2 ปีที่แล้ว

    Je lohani hupada kichwani ua hawapadi

  • @gistemeke8979
    @gistemeke8979 2 ปีที่แล้ว

    Shukran sana maalim nahitaj namba yako nina mazungumzo mengi .

  • @user-pc6io7wt5l
    @user-pc6io7wt5l 7 หลายเดือนก่อน

    Sheikh sasa nilitaka nikuulize inaonesha Ishara ipi izo ndoto pale mtu aliezoea kuota halafu zikaja kukata kabisa.

  • @atwiyamuhamed7733
    @atwiyamuhamed7733 ปีที่แล้ว

    Asalm alekum mm n kweli nmeota niko n mtume twaenda kuswali

    • @ramadhanimaneno
      @ramadhanimaneno ปีที่แล้ว

      Mtume Muhammad (s w )alisema hakika atakae niota ndotoni basi ni kweri ameniona maana shetwani hawezi kumjia mtu kwa sura yangu

    • @dkakram2562
      @dkakram2562 ปีที่แล้ว

      Alikwambia kua yeye ni mtume sw au ulihisi ww tu

    • @awaahassan936
      @awaahassan936 9 หลายเดือนก่อน

      Mimi nilimuona akapitishwa na hewani amekalia kiti kila ubavu wake kuna malaika

  • @mariammhango6135
    @mariammhango6135 2 ปีที่แล้ว +1

    Me wanasem nin ruhan lakn ruhan hawa wakion sehm kam kun mamb y shirik wanapanda nakusem hii sehm hawtak nikae n wananiimiz swal n kutoa sadak san n ikisom quruan wanafurah san sem najiulz unasem maruhan huw hawapand ovyo il mbn haw wanapand nakuwasisitz wat wanaonizunguk waswal??je majin am ??

  • @alialhaidary3123
    @alialhaidary3123  2 ปีที่แล้ว +1

    Assalam aleikum.... Afwan ilikuwa sijaziona communits zenu na maswali yenu.... Lakini sasa nimeziona nitajaribu kuzijibu...kulingana na community standards

    • @aminaibrahim7175
      @aminaibrahim7175 2 ปีที่แล้ว

      @Ali Alhaidary Assalam Aleikum Shekh, Samahani naomba kuuliza, Utifauti kati ya Ruhani na Jinn, Je Ruhani anaweza kupandisha?Na Wakiongea kuhusu kuhimiza kufanya mema Na Kumcha Allah je ni Ruhani na Sio jinn?Na Je Katika swala unaweza kuswali Na Ruhani?Kam ni mwema nao wanaswali na we we si wanakua ndnai yako?Smaahani sna naomba Kunielewesha Shekh...

    • @user-pc6io7wt5l
      @user-pc6io7wt5l 7 หลายเดือนก่อน

      Sheikh naomba unijibu pia nami pale ndoto izo zinapotoeka ikawa mtu haoti tena inakua ishara gani

    • @user-kw5zb8lx3f
      @user-kw5zb8lx3f 6 หลายเดือนก่อน

      Shekh sisi wengne hatuoni tena ayo n mwanz tulikuwa tunaona

  • @ahmedibrahim2127
    @ahmedibrahim2127 ปีที่แล้ว

    Mafuta ya
    Yasmin je

  • @salimkarama9354
    @salimkarama9354 2 ปีที่แล้ว +2

    Hahahaha rohani ukwaju 🤣🤣🤣🤣 ati wapandwa na marohani kisha wazugumza nae Majini kweli wako but hayo ya marohani upuuzi mtu ushirikina tuu 😡

    • @JannatTahmid
      @JannatTahmid 10 หลายเดือนก่อน

      Si upuuzi inaweza kuwa haujalifikia katika kutafuta elimu na si ushirikina uo

  • @kifubayusuph8741
    @kifubayusuph8741 ปีที่แล้ว

    mn kwaka 2010 nirikuwa kira jambo baya rinarotaka kutokea naota usiku nanikifanya biasha ra naambia chakufanya usiku tea kwa kutaja jina sasa siswari na na mambo yameaharibika naishi na jini mahaba mana nimekuwa mzinifu mp3nda mahasi hatari mpaka naria je uyu arie kuwa ananiambia kira jambo usiku ninani na amekwenda wapi

  • @cayenestorm7942
    @cayenestorm7942 2 ปีที่แล้ว +2

    Na mkristo akiwa na ruhani atafanya nini

    • @alialhaidary3123
      @alialhaidary3123  2 ปีที่แล้ว +1

      Nivigumu sana mkristo kuwa na rohani...maana marohani wanafuata maadili kuhusu mavazi,ibada na mapenzi ya Mungu pamoja na roho safi....
      Ikiwa mkristo atakuwa na rohani basi kwenye moyo wake kuna chembe ya imani ndio wale marohani wakamfata...mtu huyo kama kwamba kuna vitu katika dini yake haviamini na anakaa kama kwamba anaona kuna vitu vyengine ni vya uzushi ....na kupitia hivyo inaeza mpelekea kuslimu kwa moyo wake mwema... Uliowafanya hadi marohani kumpenda

    • @binthatv2794
      @binthatv2794 ปีที่แล้ว +2

      Mimi nilizaliwa mukristo Ila nimekuwa na marohani mwonzo nikiwa mudogo Léo nimesilim nikiwa namyaka 7leo nimekuwa n'a myaka 30niko Mwenye dini sana na kuwasiliminsha wengine Léo hi n'a elimu kubwa nilisomeshwa nikilala coran nimefundishwa dini Na coran na marohani hadi Léo napewa Elim Alihamdulillah

    • @sulekhaosman8357
      @sulekhaosman8357 ปีที่แล้ว

      @@alialhaidary3123 Asalamu Aleykum warahmatullahi wabakatuh kweli elimu Ni bahari shukran sana ALLAH Akulipe Kila La kheri