uwiiuiiii nimeliy kwl mam kaumia hadi net zimekata jmn uuuh Nan km mam mam anauchungu Jap tumeumy ila mom jmn ple sn mam Mungu akutie nguvu sn jmn utapowa mamng🙏😭😭
Ivi hawa ni wasenge uyu clam ajiangalie yani msiban mwenzio kafa unahojiwa mambo ya nnje ya msiba unaongea mambo ya movie ya nin sasa kazi kulamba Domo tu ndo mana alikiba alkataa kuhojiwa kwenye msiba wa Haitham hii si saw 😢😢😢
Mungu ndie pekee anae jua Siri ya kifo cha mwanadam ila tatizo. Kwann apost halafu halafu afe hapa kuna tatizo anae lijua nimungu pekee. Ila choz la mama 😢 na dua zake inshaallalh mungu ampumzishe. Charming sehem salam
Yaan mpaka machoz yananitoka apo sio kwamba anacheka Ila analia kilio ambacho kimemfanya achanganyiliwe mpk Akili...Yaan Mwenyez Mungu Ampe ujasir mamaetu na Ampe nguvu Kwan apo Amelia mpk uchungu Hana tena
Ametuachia story sana,tumuombee apumzike kwa amani🤲🤲🤲
uwiiuiiii nimeliy kwl mam kaumia hadi net zimekata jmn uuuh Nan km mam mam anauchungu Jap tumeumy ila mom jmn ple sn mam Mungu akutie nguvu sn jmn utapowa mamng🙏😭😭
Maskini mama kama kachanganyikiwa😢mungu mpe subra na ujasiri mama huyu
Clam ako na siri ya charm kufa aongee ukweli
Ivi hawa ni wasenge uyu clam ajiangalie yani msiban mwenzio kafa unahojiwa mambo ya nnje ya msiba unaongea mambo ya movie ya nin sasa kazi kulamba Domo tu ndo mana alikiba alkataa kuhojiwa kwenye msiba wa Haitham hii si saw 😢😢😢
Ingawa nilikuwa sijawahi kumsikia sababu huwa siangalii tiktok lakini imeniuma sana mpaka nimelia inaonekana alikuwa mtu wa watu, apumzike kwa amani
Kuna kitu hapa sio bure
Duh R.I.P charming..ni safar ya kila mwenye pumzi...
Kumbe ni huyu alikufa
Ila nyie wasani mm ata sisemi ila weng mnatembelea nyota zawtu
Kwakweli charming kajua kutuliza wallah mungu alaze Roho yake pema palipo na wema Amiin inshallah 🙏🥺💔💔💔
Charming jamani umeenda kweli 😢😢😢siamini ila nakuombea kwa Allah akupumzishe kwa amani
Mungu ndie pekee anae jua Siri ya kifo cha mwanadam ila tatizo. Kwann apost halafu halafu afe hapa kuna tatizo anae lijua nimungu pekee. Ila choz la mama 😢 na dua zake inshaallalh mungu ampumzishe. Charming sehem salam
Yaan mpaka machoz yananitoka apo sio kwamba anacheka Ila analia kilio ambacho kimemfanya achanganyiliwe mpk Akili...Yaan Mwenyez Mungu Ampe ujasir mamaetu na Ampe nguvu Kwan apo Amelia mpk uchungu Hana tena
subhanallllah kumbe Ni yule anaefanya movie na kina Steve mweusi ,,, Allah amlaze pema peponii😢😭🤲
Kweli kaka kaondoka kwa njia tatanishi😢😢kitabu kizuri ndo ukurasa wa mwisho 😢pumzika salama Charming 😢
Mungu ailaze roho ya marehem mahala pema pepon Amen
Jamaniii mama kachanganyikiwa jamnii😢😢
Awa watu wana ushirikiano sanaaaa iki kikundi mwenyezi munguh awape maisha marefu clam clevo na wenzie ote munguh awazidishie
Rip charming umetuachia kumbukumbu 😢 hata best friend hajaisha hatuna budu😢