Ila binadamu wanachangia sana kukatisha maisha ya watu wengi. Mungu angelikuwa anaongea na binadam basi angekuwa anaongea kusema kwa hili sijahusika na sipo kabisa.😢😢😢😢
Maisha ya mwanadamu yapo mikononi mwa mwenyezi Mungu muumba wavyote aliye na uwezo wa kuleta na kutwaa hivi tumshukuru Mungu kwa yote yawe mema au mabaya kwetu Tumuombe Mwenyezi Mungu ampe makao patakatifu pake
Poleni sana, kijana mmoja nilikuwa nampenda Sana na naikumbali kazi yake,
Wana Tiktok mjitokezee mkamzikee mwenzenuu 😭😭🤲zangu dua tuu
pole sana mwamba yote mwachie mungu kikubwa dua na mungu akawe upande wa mama
Polee bro ni mapito2 😢😢😢😢 MWENYEZ MUNGU akutie nguv
Pole sana monsuly unaonekana umeumia sana
Mtu anaweza kukusaidia kukuinua lkn ukiinuka tu anaumia. Ndio ninachokiona hapa.
Duuh pole sana
Pole sana
Daah inauma sana ila tujue kuwa dunian tunapita r.i.p
Ila binadamu wanachangia sana kukatisha maisha ya watu wengi. Mungu angelikuwa anaongea na binadam basi angekuwa anaongea kusema kwa hili sijahusika na sipo kabisa.😢😢😢😢
Mauti hana mshagao ila hatar unakufa haki ya kuwa umepotea mitandaon hamuna maana mauti ya kuja dhafala
Pole monsully Dunia tunapta
inaumaaa sanaaa
RIP bro nami pia nauzinika na kifo cha charz
Maisha ya mwanadamu yapo mikononi mwa mwenyezi Mungu muumba wavyote aliye na uwezo wa kuleta na kutwaa hivi tumshukuru Mungu kwa yote yawe mema au mabaya kwetu Tumuombe Mwenyezi Mungu ampe makao patakatifu pake
Inauma sana 😭😭😭😭
Nenda poa bro 😢😢😢
Pole 😭😭😭
Sorry 😢😢😢😢😢
Mimi sikuamini kama amekufa kbs Yani uyo wamemufanya dodocha mumupeleke msikitini ama kanisani anaweza kuwa saw Kwasababu mimi naamini kama akufa 😢😢😢😢
Ktk familia yk amn m2 alokufa hafl
Kafa jmn