KWANINI NILIACHA UKRISTO- RAMADHAN KURIA BIN KAGUO NCHINI OMAN
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ก.ย. 2024
- Tafadhali subscribe kwenye TH-cam channel yetu ya STRAIGHT PATH DA'WAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu. Number za simu+254722600533 au +254777600777 (Ramadhan Kuria Kaguo)
Sheikh Ramadhan hayo maneno yako bado ni daawa imetosha Mungu akupe wepesi katika maisha..kazi unayofanya ya daawa ni ngumu tunafahamu ila tupo pamoja na wewe hadi peponi inshallah..
I can a test to these I took me three years of wanting to change to be a Muslim I was scared at first , when I took the liberty of being a Muslim
It was like a burden on my back was taken away
Alhamdulillah I cried, I was happy mum heart was filled with happiness
Alhamdulillah
Alhamdulillah.
😢😢 MashaAllah ❤❤
sheikh Ramadhan Allah akubariki sana umeniongezea imani mimi nilikua sijui uislam ila kupitia vipi ndi vyako nimejua mengi sana kuhusu uislam
Hapa kweli ndo tunasema Mungu alikuongoza. Na bwana Ramadhan uling'ang'ana kutaka kujua ukweli. Ninachojivunia zaidi ni kwamba pesa sio kigezo Cha kukufanya usilimu. Niko na Imani Insha Allah Pepo utaiona na uingie. Ustadh Ramadhan wewe ni jiwe, mwamba
Sote Allah atulipe Jannah
Allahumma amiin
Masha ALLAH mungu atawaongoza familia yako isha ALLAH watasilimu
Amiin thumma amiin
MA SHAA ALLAH RAMADHAN SHEIKH MZURI NA DAWAH KATIKA DINI YETU YA KIISLAM
Mashallah sheikh this story of urs motivates me as one who also changed from Christianity to Islam ,Alhamdulillah
Wewe ni mulongo kama ulivyo mrongo
@@puretv8742 uwongo wangu uko wapi?
Mashallah
@@puretv8742 wivu ni ya nini sasa ?
MashaAllah ! Baada ya kuwa Muislamu , FRIDAH sasa umekuwa FARIDA
Allah amuongoze na atuongoze sote na inshallah watakuja ingia kwenye uislamu wazazi wako inshallah
Sheikh Ramadhan unajitahid kupigania dini yetu ya kiislam kwa kutoa dawah na kusilimisha wasiowaislamu,Allah (SWT) akujaalie firdaus.
may Allah bless Ramadhan Kuria .i will never forget this sheikh.
Why
السلام ورحمة الله وبركاته
Vipi tuchangie ??
Nimefurahi sana kuona umealikwa Oman Allah akujaalie afya na swiha na mwakani tuonane Makkah. 😊 aamiyn
amin sote piya allah atu fikishe uko insha allah
Brother Ramadhan kwangu mimi nakuona wewe ni mmoja ya walinganizi bora nafatilia vipindi vyako popote nilipo na nakuombea kwa Mungu akupe umri mrefu na nguvu katika shughuli zako
Mimi naipenda Ile ya Daawa Mtaani, one to one
Allah akuzidishie
Shekhe Ramadhan nakupenda kwaajili ya Allah.
Maashallah Allah akuongeze na akufanyie wepesi inshaallah uweze kupata vifaa
Maa shaa Allah sheikh wetu Ramadhan tumekumiss kule dawaa channel.in shaa Allah ukirudi kazi iendee biidhnillah.
Ma Sha Allah tabarakallah sheikh wetu Allah akupe afya njema n akuzidishie elimu
Maalim Ramadhan namkubali sana namfatilia sana nampenda kwaajili ya Allah karibu Tanzania
Masha Allah TabarakAllah masheikh wetu Allah Awahifadhi
Allah akuzidishie elmu, umri, afya njema, amani na akufanyie wepesi wa kazi ya daawah Sheikh Ramadhan Kuria Kaguo Amiin Thumma Amiin
Waislamu aibu hii. Ubahili kama huu kanisani haupo ndo maana dini yetu haiendelei
Amiin
ALLAH atazidi kukuongoza na kukufanyia wepesi kwa kila jambo Allahumma Amiin Amiin yaarabi Amiin
May Allah reward you bro Ramadhan. We beg Allah awafunulie Uislam wazazi waweze kuiona Nuru. Ameen ameen.
MashaAllah ustadh Ramadhan Allah akuongoze Leo dunian na kesho akhera
Allahuakbar allah akusimamie na atusimamie naatuongoze katka njia iliyonyoka sisi na vizazi vyetu allah inusuru diniyako na atunusur waislam sote ulimwenguni amin
Allah akuzidishie afya njema, elimu na ufahamu uzidi kuifanya kazi ya mitume in shaa Allah na Allah atakulipa
Subuhanallah Alihamdhulillah Alahuakibaru Allah akuongoze kwa kila hatua unayo piga na awajalie ufahamu wote familia zetu wenye hawaja amini Allah awafanyie wepesi na urahisi
Omani imaani amaani MashaaAllah 🙏
Mashaa Allah great work continue with the work of Daawah. Bring people from astray to the nur (light) bi'idhnilahi
Allah azidi kukuongoza Insha Allah
Walleikum sallam warahamatullah wabarakatuh mashAllah ustadh Allah akupe umri mrefu uendelee na daawah inshAllah
Mashaallah Allah akuzidishie
Jazzakallah, Tabarakallah, Allah akubariki sana Tena sana ustadh Ramadhani kuria bin Kaguo . Allah akuhifadh.
Allah akupe mwisho mwema shekhe Ramadhani binafsi nakufuatilia sana na navutiwa na upambanaji wako katika dini
Mashallah sheikh naomba uje utulinganie hii sehemu tunaishi kwa sababu napata changamoto sana mahali nilipo
Naomba utume message Kwa WhatsApp +254722600533 au +254777600777
Hakika ALLAH humuongoa amtakae.ALLAH akukutanishe na kipenz chetu Mtume MUHAMMAD swala na salaam ziwe juu yake.
Allahuma ameen 🤲
Ameen yaraby
Sheikh Ramadhani Allah akuzidishie Mimi nipo comores ila nakufuatilia sana
Mashallah
Amiin insha'Allah mungu atawaongozaa wazazii wako insha'Allah waonee nuruu❤
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh, karibu sana Ustadh wetu
Alhamdulillah
JazakaAllaahu'khayran
Ahlus Sunnah tuko na itikadi tofauti na Ibaadhi au
Ma Ibaadhi
Huyu Ustadh Rashid Shukery ni Ibaadhi
Baadhi ya itikadi yao ni
Kupinga Kumuona Allaah siku ya Qiyaamah kwa Waumini
Ziko Aayah nyingi kutoka katika Quran na Sunnah (Hadith)zinasema kuwa
Waumini watamuona Allaah siku ya Qiyaamah
Baadhi ya itikadi zao ziko karibu sana na Shia au M'aShia .
Hata vitabu vya ki Ibaadhi ni
Marufuku Saudi Arabia
Allaah Atupe Hidaayah
MA SHA ALLAH 😢😢SHEKH RAMADHAN NIMETOKWA MACHOZI KWA HII DOCUMENTARY YAKO SABABU NI NYINGI ILA IN SHA ALLAH TUPO PAMOJA BIIDHNLAH
Mashaallah mashaallah sheikh ramadhan nakupenda kwa ajili ya allah
MASHA'ALLAH...May Allah guide and bless you always..
Alla akuwezeshe kumtumikia daima kwa afiya
Mashaallah sikosi vipindi vyako
Allah akulipe Jannah
@@StraightPathDawah .Allahummah Ameen Yaarab
😢😢😢 wallah maneno yako ni mazito sana ulioyaongeaa na hakika yametugusa sisi waislamu ,Allah akulipe pepo ya firdaus Ameen
Masha Allah Ustaz Gakuo
NI Kaguo
SUBHANALLAH ALLAHU AKBAR
Mashaallah jazakumllah kheir amiin mola atawaongoza ktk din y haki very soon inshaallah
Mashaallah mungu akubariki ndugu Ramadhani Kuria. Allah akuzidishie uchamungu akusamehe dhambi zako na Allah akufanyie wepesi Kila utakapo kuwa. Ningeomba niweze pata copy ya hicho kitabu "UISLAM KATIKA MUANGAZA WA QUR'AN NA BIBILIA".
Allah ampe mwisho mwema Sheikh Ramadhan, anafanyakazi kubwa sana
Amiin
Ustad ramadhan mansha allah nakupenda sana Ustad
ALLAH akupende zaidi
Ramadhani kuria Allah akuhifadhi sheikh lety
Mashaa Allah baarakallahu fiik
Asallam aleikum warahmatulahi wabarakattu, SUBHANALLAH, ALLAAAAAAHU AKBAR, Allah akuifadhi sheikh Ramadan, Maneno yako imenifungua akili, na waisilamu tafadhali tumuunge mkono sheikh watu, na kila anafanya kazi mzuri ya dawah, kazi ya dawah sirahisi kama vyenye tunafikiria ni kazi ngumu...... na waislimu tusiwe wabishi, Allah awape nguvu afia na umri mrefu, Amiin.
Maa shaa Allah.Daawwa mitaani Ina nibamba sana, na inanstija nzuri sana. Sheikh endekea mayo.
Asallam aleikum
Sheikh Wangu Rashid
Punguza kidogo pupa
Una haraka ya kuuliza
Tunakupenda Sana sheikh Rashid
Na mgeni wetu
Maa shaa ALLAH , MUNGU akufungulie milango ya Baraka na neema sheikh wng Ramadhani kw kazi unayoifanya
Mashallah Sheikh Ramadhan kukuja Omani.
Mashallah shekh Ramadhan Allah Barik
Masha Allah vile vile sheikh ahamed deedat alikua anambia watu wafanye daawa atakama ni kwa haya moja na ndivyo ilianza mashallah mungu akuzidishie
جزاكم الله خيرا
Mungu akupe afya nyema
Waleykum Salam warahmatullah wabarakatuh
Masha Allah!
Kazi iendelee👊👊
Bwana Ramadhan Allah akuzidishie hekma
MashaLLAH
Masha-Allah beutiful mabrook barakallah
Asalam alaykum
Warahmatullah wabarakatuh
Ma Shaa Allah
Tabaraqallah
Yale maswali nilikuwa najiuliza
Kuhusu background yako
Sheikh wetu Ramadhan Kuria bin Kaguo Leo nimepata majibu
Alhamdulillah
Pia sheikh wetu Shukery
Allah awalipe badali
Mashaallah, tabaraka Allah
Masha Allah MashaAllah MashaAllah
Mashallah mwenyezi mungu amuhifadh inshallah
Maashaallah baarakallah mashekh wetu mungu atuongoze sote na atupe mwisho mwema
Huyo alikuwa.hajui ukristo
Mashaallah,jazakallahul khaiiir,waba'dal khair,jannatul firdaus nuzula maajamiiilmuuminiin,waqauluhuu taalaa,innamaa nutw imukumliwajhillahi,laanuriidu minkum jazaawwala shukuuraa,swadaqallahul adhwiim,kazinjema.
Allah akuhifazi sheikh
Sheikh Ramadhan namkubali sana. Nafarijika na vipindi vyake nikiwa kazini bandari dubai
Allah akubariki
MashaAllah..may Almighty Allah bless you brother Ramadhan.
Mashaallah Allah akupe kujalie mema
Masha ALLAH tabaraqallah. 💞💞💞💞💞
Mashallah uwislam nuru 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Maa shaa Allah.Mwenyezi Mungu akubariki
Allah amuongoza ampendae MashaAllah
Mashaallah
MashaAllah Allah azid kuwalinda masheikh wetu Nasie pia wallah mpk machoz yanitoka
Maa shaa Allah jazakhalaherih
Mashallah sheikh wetu
ManshAllah🤲🙏🙏❤❤❤❤❤💙💙💙💙
Mashallah barakallah...👏👏
Masha Allah ❤️❤️❤️
Manshalla ❣️🙏
Mashaallah kakaau mungu akujalie sana uclam
Mashaallha
Ramadhan kuria Wallah Allah s.w atakulipa kama umehusika kumfanyia dhulma sheikh mwaipopo yale machozi aliyotoa na mioyo yetu iliyoumia kwa ajili yake Allah akailipe dhidi yako kama unahusika
Alimfanyia nn shekhe mwaipopo?
A very dedicated sheikh keep up the spirit
Jazzakallahu kheiran Allah akuzidishie imani na akulipe jannatul firdaus kwa juhudi yako ya fy sabilillahi
Masha ALLAH
Allah alikuchagua uje uwe suluhisho la waisilamu wapya vipi wasaidiwe kupata elimu Allah akumiminie Baraka bin kaguo na wote wanafanya kazi hii ya mitume in shaa Allah mafikio yawe jannatu firdaus siku ya kiama
Mashaallah mashaallah
Masha Allah /mkono kwa mkono had peponi
Masha Allah, Allahu Akbar
Mansha Allah
Masha Allah tabarakallah