Ooh hapo kidogo karoho kamekaa poa kumbe masuala ya utekaji yameingia ili tu kumtoa jasmin katika house girl meipenda sanaa ♥️❣️wish ue all de best kipenziii jasmin masomo mema🙏🙏
Kilamba ushanikosesha raha aky mtu wa vichekesho na mpumbavu mwenzako ila kwa yote yataisha atapatikana tu kwa ajili ya Allah nawapenda sana family ya kolamba na mr tasha na mr kai mungu mbele nawaombea umri mrefu sana🙏🙏🤲🤲❤️💯
Mpumbavu mwenzanguuuu.Hongera sana hivi sasa kiramba mpweke mwenzio hayupo.....anyway polkea🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤congratulations to all members of House Girl🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Ila sania kimbaumbau mwiko wa pilau una tabu 🤣🤣🤣 kwani haka kasania hakasomi kakarudi chuo naangalia house girl nikiwa na furaha ya ushindi wa goal 6 💚💛
Jamani nje ya muve jasmini ameenda masomoni chuo hivyo ndio maana imewabidi waingize kipande cha utekaji wake ili kuizima nafasi yake nimeeleweka kama umenielewa gonga like
😂😂😂😂😂😂sania aki wewe watia na chumvu loo nimecheka yangu yotee😂😂😂😂😂ati alikua akiekewavijidawa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂sania kamkonde wwtu weweunavituko ❤❤ watu wangekua na roho kama ya zuu kai na zatiti na mr tasha aki hii dunia ingekua raha kilamba pole ...jasmine mungu akuongoze kwenye masomo yako na busat tv muna tisha ❤❤❤❤❤❤❤❤much lov aki munajua kuwaeka watu kwe position yao 😂😂😂sani na candy nawapenda
Saniaa na candy mnalanaa nyny nawachukiaa vibayaa sana zuu zatiti kai mama tasha tasha baba kai kilamba kibend nawapendaaaa sanaaaa muzidi kubatikiwa🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤
Mlikuwa wapi siku zote waigizaji kama nyinyi mmetisha Sana mnajuwa mpaka mnakera halafu huyu candy na saniya itakuwa kwelindotabiya zao yaani nyie miwabunifu Sana mmetisha mpaka mkatisha kweli
We Ka Sania ndio maana Kai kakuita kamkonde ni kweli linakufaa, huna maan yoyote, hata Cheitwani anakukimbia, hun, akili Mama ni Mama tu hata uzunguuuuke Dunia nzima hakuna kam Mama hata awe chizi, kazi yenu mabaya tu,kuna siku mtaaibika Mungu atawaumbua tu One day
Alafu nyie niwaulizeni Wapumbavu/Watazamaji wenzangu😅 huyu Sania ako na Wazazi kweli🤔 maana hio Roho yake na anavyomuelekeza Kendy c sahihi, Mungu hatuepushe mbali na Masoga kama akina Sania😒☹️😫
Wanaompenda zatiti na zuu naomba like ❤❤
Sania Acha uchonganishi 😢mama yake candy ajawahi muwekeya mwänâ ye sumu😊wanao kubali gonga like apa❤
😂😂😂😂😂🤣
Ooh hapo kidogo karoho kamekaa poa kumbe masuala ya utekaji yameingia ili tu kumtoa jasmin katika house girl meipenda sanaa ♥️❣️wish ue all de best kipenziii jasmin masomo mema🙏🙏
Wangapi wanaoamini mke wake na kilamba katekwa na boss wake kai🎉🎉🎉🎉
🙏
Yule Jasmin ametekwa n Sania pamoja na yule kijakazi wa chiko hayo ndio maoni yangu na Sania tunasubili atekwe na kijakazi wa Papa hapo vip patm😂
Ule conman rafiki yake papa ndo alomteka jasmin akidania ni sania
Mi nahis nikendy uyo😂
Wanaopenda zatiti kwa ukarimu wake wapi like
🙏🙏
Hongera sna zatiti kwa ukarimu wko
Aslm Alkm wapenzi watazamaji wa house girl mungu azidi kutogoza na kutupatia huai haya tujuwane kwa like na mm leo nijivunie😂😂😂😂
Walleykum salamu warahmatullah wabarakatuh
Walkm msalam warahma thulah wabarakatuh Ameen yarab inshallah
Waleykumu msalam waramathulah wabarakath
Waleikum msalam warahmatullah wabarakatuh
Walaykum salama
Wangapy tunampeda kibedu kwa jinsi anasimama na mamake ❤🎉
Napeda alivyo badirika ❤❤
Kweli anakaa kichizi lakini hataki mamàke achezewe😅
Kabisa bi mkubwa
Halafu anijichetua tu. Ila very handsome.
Nampeda pia❤,maua yake🎉🎉🎉🎉🎉hayo apooo🎉🎉🎉🎉🎉
Busati inabidi mtafte muhusika ambae ataweza kukaa kwenye nafasi ya jasmin pia tunamtakia jasmin masomo mema ❤❤❤❤❤❤
Amiin amiin nitamsi san jasmine jamni 😢😢😢🎉🎉🎉❤❤❤
Wamesha muonyesha we hujamuona yupo
Ndo yup je na yeye alikua anaigiza humu au
@@EradiusSeverian ndio
Apana ni mgeni anaitwa Lizzy @@EradiusSeverian
Waliopenda. Umakini wa mama tasha kuwajibu wakina jordan wanipe ata like 10 tu. Zitanitosha
Mimi hapa
@@AbdulHamidBakar asante.
Mama Tasha anajuaa bana❤❤❤
Mama Tasha ni mama mwema na yupo makini saana.
Mama tasha nimama mwenye busara
Hamjambo nyote huko movie inasemaje🎉🎉🎉🎉kumosa mke wa kilamba kumekuwa na huzuni
Hatinaye leo nimekuwa wakaribu from USA 🇺🇸 nawapenda sana ❤️ ❤
Mama tasha una akili ya kuwaza mbali sana wameshidwa kujua alipo tasha 🎉🎉🎉❤❤❤
❤❤
Wanaompenda mam Tasha tujuane Kwa like😅hapa
Mungu atuepushe na mashoga kama sania, hakuna mama asiempenda mwanae❤
Kweli kabisa yani kazi ni kuambiana mauongo tu ataki kuona watu wakipendana
Sania kabaya walai😂😂😂
Kweli kabisa yani sani mkali na nusu
Nimtihani kabisa
@@ZipporaAbigailAchieng-ui1tekijuso kama mbaaz mbich😏
Mamake Tasha hongera she so intelligent excellent mum
Sasa ndo naamin akili Tasha anachota wapi
Ambao tunajua duniani kuna watu wema kama Tasha,Zatiti, kazi,zuu baba mkwe zuu ❤
Na chisa masozi rahma na bozeni
Na yusufu pia na mimi na wengine wanao fatilia busati tv@@YusuphChisagwa
Wanao mpenda zuu na zatiti naomba like❤❤
Wewe kendy huyo sania anakuweka motoni na utakuja Jutia na kurudi kwa mzazi kuomba msamaha hizo pesa zikishaisha
Yenu
Bora candy anapo kwa kwenda huyo sonia sijui anaishi wapi
@@sharifabahar9905 atakwenda wapi huko
Kazi nzuri 45 nimewahi leo❤❤❤❤
Kilamba ushanikosesha raha aky mtu wa vichekesho na mpumbavu mwenzako ila kwa yote yataisha atapatikana tu kwa ajili ya Allah nawapenda sana family ya kolamba na mr tasha na mr kai mungu mbele nawaombea umri mrefu sana🙏🙏🤲🤲❤️💯
🎉🎉tunao mpenda zatiti kwa upole wake n ukarimu wake mugonge like .n pia tunamtakia jasmin masomo mema❤❤❤❤🎉
Mpumbavu mwenzanguuuu.Hongera sana hivi sasa kiramba mpweke mwenzio hayupo.....anyway polkea🎉❤🎉❤🎉❤🎉❤congratulations to all members of House Girl🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Ila sania kimbaumbau mwiko wa pilau una tabu 🤣🤣🤣 kwani haka kasania hakasomi kakarudi chuo naangalia house girl nikiwa na furaha ya ushindi wa goal 6 💚💛
Mimi sania simupendi 😢 gonga like hapa tuenderey
KaSania kakonde kanaroho mbaya muona ety pia hako kavaa sare na kendy😂😂😂 acha niche mie kendy laana ya mama yakuandama heri wangemteka tu kendy
Nyi n machizi kendi na Sania but mama n mama
Sahii mnakalisha Sana House girl
Inakuwaje mnashindwa kumtumia bibi wa Zuri 😅 mke wa Kilamba🎉 angepatikana mapema
Chai ya rangi bila cha kutafuna mnajua vipi inaunguza 🎉🎉🎉yenu kutufilisi
Sania kamkondee acha roho mbaya basi muogope mungu mana umezidi mno😢😢😢😢
Kitawaramba na candy wake
😂😂😂
Kisania ni kibinti kibaya sana na anasumu ambayo hata sio ya maziw wala kupona hospitali ndio maana hanenepi ng'o😢😢😢😢😢😢
Mama Tasha nakupongeza akili imekomaa umetulia Upo Vzr Pongezi sana Kwako
Msicheleweshe sasa maana usiku mzima jana nimekuwa nikiitafuta
Kilamba ukwaju anahuzunisha mpumbavu mwenzake katekwa muiten bibi ya zuri afanye manenoz basi
Wanaopenda zatiti kwa ukarimu wapi like
Wakwanza mimi nahomba like japo kumi tu tafazali 😢😢😢
Eti unahomba Duuh 😂😂😂😂
Zitakusaidiaje
Unahomba😂😂😂
Kuomba NDIPO kufanya NN kwan😂
Weeeee Eti unahomba tena 😮😂😂😂😂😜
wala wote tulio chukia kiramba kumkosa mpumbavu mwenzake tujuane hapa
Kaz nzuri San jaman
Jamani nje ya muve jasmini ameenda masomoni chuo hivyo ndio maana imewabidi waingize kipande cha utekaji wake ili kuizima nafasi yake nimeeleweka kama umenielewa gonga like
Wanao mpendae zatiti na Tasha wawe pamoja naomba like zenu please naomba
Wa kwanza like za kutosha
Msiseme hamjaona walking style ya Mr Tasha ❤
Sania na candy waende na wao chuo 😂
🤣
Si kungewaka moto huko chuo🤣🤣🤣
Frm 254......Zuri nakukubal mama we n mtu na ½.....ila umakin zaid na batuli. Like nkulike.
Nais waliomteka mpumbavu huu mchezo anausika bos wa Kai
Ndio
Kumbe mr Tasha upo vizuri mkono wa mazoezi nikajua kai ata kuzingua kizembe
Wanao penda zatiti na zuu naomba like ❤❤❤❤🎉🎉
😂😂😂😂😂😂sania aki wewe watia na chumvu loo nimecheka yangu yotee😂😂😂😂😂ati alikua akiekewavijidawa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂sania kamkonde wwtu weweunavituko ❤❤ watu wangekua na roho kama ya zuu kai na zatiti na mr tasha aki hii dunia ingekua raha kilamba pole ...jasmine mungu akuongoze kwenye masomo yako na busat tv muna tisha ❤❤❤❤❤❤❤❤much lov aki munajua kuwaeka watu kwe position yao 😂😂😂sani na candy nawapenda
Saniaa na candy mnalanaa nyny nawachukiaa vibayaa sana zuu zatiti kai mama tasha tasha baba kai kilamba kibend nawapendaaaa sanaaaa muzidi kubatikiwa🙏🙏❤❤❤❤❤❤❤
Jamanii mpumbavu mmoja amepoa ana huzuni ya kupotelewa na mpumbavu mwenzake pole kiramba ukwaju atapatikana tu mpumbavu mwenzio
This is first love From Mozambique 🇲🇿❤💞
Mlikuwa wapi siku zote waigizaji kama nyinyi mmetisha Sana mnajuwa mpaka mnakera halafu huyu candy na saniya itakuwa kwelindotabiya zao yaani nyie miwabunifu Sana mmetisha mpaka mkatisha kweli
Jameni mpumbavu mwenzetu ana majonzi Hana wa kumliwaza,,,,,,❤❤❤
Mwenda tenzi na omo maregeo ni ngamani,,,,huu msemo umfikie kendy
Tajiri kend umemuona kaka jambazi kashusha kofia kwa 😂😂
Assalam alaykumu walhama tullahiwa barakatuh! Sifakamilifu dhimusta khiki Allah subhanau wataala
Kiukweli Sania tuwachane nakuigiza inaonekana ndiouhalisia wake maana nimtumwenye tumanenotwingi alafunimpoto shanaji sasa kakutana na kichwamji Candy ndoasalale
Candy utakujajutia nishakwambia Muzazi nikama Mungu wapili huokigunanjia ayendelee kukupotosha utajutia kilicho tumauna zalia
Tasha Zatiti Kay Zuu nawaspliti kwakweli maana mume onyesha ushilikianowenu na Mungu awabaliki
Naombeni like zenu kamasi wacho shi
Asante🎉🎉🎉🎉
Wanao mkubali mama tasha 🎉🎉
Hakika Kuna watu wema na marafiki wa kweli kama Tasha, zatiti,Kai zuu na bamkwe
🙏🙏
Mungu awabarik na kuwarunda nawapenda san❤❤❤
Nice movie ❤❤❤❤🎉🎉
Jaman kend utakufa mdomo waz ww sania ww ucingilie ugomvi wa ndugu. Utakuja kuumbuka vibaya
Mufanye yote tasha asitekwe km mke wa kiramba 😢😢
Tajiriii kendy😊😊😊😊😊😊😊😊
Ngoja kitamramba😅😂😂
Nimekuwa wa mwisho ❤
Anaemkubali mama tasha anipe like ata kumi
Kai na Tasha n marafiki wakweli
Leo namba moja
❤❤❤bila shaka boss wake kai ndo katuma watu wamteke jasmine mpumbavu mwenzake na kiramba ili apate taarifa za kai
Bib zuu si amtafute jaman
Yaani hakuna mtu simpendi km Sania yaani ananikera yani Bora candy ana afadhali siku hizi
Wakwanza Leo nipeni like zangu 😢😢😢😢
Candy na sania hyo sio kuingiza2 bali ni tabia zenu
kendy jitathimini sana Sania sio rafiki mwema anakupenda tu kwa kuwa una pesa ngoja ziishe utajuta
Sania mchonganishi jamanii 😢😢ipo sikuu mtalia na kusanga meno dunia itakavyo waelemeaa😢
We Ka Sania ndio maana Kai kakuita kamkonde ni kweli linakufaa, huna maan yoyote, hata Cheitwani anakukimbia, hun, akili Mama ni Mama tu hata uzunguuuuke Dunia nzima hakuna kam Mama hata awe chizi, kazi yenu mabaya tu,kuna siku mtaaibika Mungu atawaumbua tu One day
Tunaeomba tasha na Zatiti wawe mke na mume gonga like pole kilamba kumkosa mkeo
Mama tasha hongera mama unamaawaidha mazuri sana tasha na ztiti nanyi mmependezana sanna❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Nakupenda bure mamake Tasha
Mashallah uko na busara sana katika maongezi yako
Ndo naingia mjengoni 😢😢😢😢
Kna marafiki wengne wanafiki kweli kama huyu Sania
Nakupenda sanaaa mama Tasha ❤❤❤
Tasha kua makini wasikuteke jamani tunasubiri ndoa yako na zatiti wallah
Urafiki Wakai Na Tasha Niuzuli Kbx Hongera San ❤❤❤ Zuuuh & Za Titi I Love You So Much ❤❤❤ Maman Tash Unahakiri Sana😊😊
Sania wacha uchawi na fitina😢😢😢😢😢
Mmmh ukiwa na rafiki kama sania ww kwisha kabisa😂😂😂mnafiki haswa
Yan mtu kama sania sio rafiki wa kuingwa hta kidog
Jmn msije mkatuambia tena kend kaenda kusoma nitalia jmn😂😂😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Mauwa yenu nyote humu
Sania mungu akulaani
Candy laana inakuijia mama ni mama shoga angu😢
Mnatupa raha sana busati mungu awabariki kwa kazi mzuri
Tasha kua mankini sana kwamaana saii watafutwa wewe wakuteke
Jamanipumbavu mwenzangu ni umeigiza kama kweli maana niumechoka😂😂❤❤❤
Yan kweli yan amechoka km kweli
Alafu nyie niwaulizeni Wapumbavu/Watazamaji wenzangu😅 huyu Sania ako na Wazazi kweli🤔 maana hio Roho yake na anavyomuelekeza Kendy c sahihi, Mungu hatuepushe mbali na Masoga kama akina Sania😒☹️😫
Acha tu mpumbavu mwenzetu 😂😂 bora ata candy anakwao kitakapomlamba atarudi kwa mama je huyo sania sijui ataenda wapi😂😂
Ukiwa na rafiki kama sania utafika mbiguni unachoka sana wallah Mr Tasha kuwa makini hao wanampago wao
Sania kendi mtafika mbinguni haliyakua mechoka
Sabas ww sania watak pesa tu tangu lini mama akaekea sumu mwanawe
Tunawapenda sana wahigizaji wetu mnatupa vitu viziri sana mungu awabariki sana natena awahinuwe kenyekazi kazi zenu
Busati hongera sana yani mko vizuri
Kazi nzuri ❤❤
We thania ww acha kumpoteza kend