You so tarented my sister fill so proud for you're good music, keep on doing so god will protect you. Nashindwa niseme vp zaidi ila mziki ni mzuri sana, #kachumbabunulaonfire
Thanks sis.Saida for putting out good music., I wish I speak your language but the video gives me a good explanation. Pan-African love from this Nigerian village woman.
You never DISAPPOINT us your fans mama so keep up the good work maan twapendag san nyimb zak xan japo kua wengn ka sie huag ha2elew kila unchaokising 👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽.
Da ' napenda sana saut ya saida . yaan inafarj, inatia moyo , huchoki kuisikiliza kila Mara. yaan unatani irudiwe rudiwe tu ...... sauti ya kumtoa nyoka pangoni .....( ila tafsr kidogo na ss tuelewepo)
Ngoma hii inaweza kuwa ya karne kati ya nyimbo alizowahi kuimba Saida haina pakukosoa meseji,video wimbo wenyewe ni wa kiwango cha juu sana kwangu ni wimbo na video bora ya mwaka 2018 ongera management mliofanikisha hii ngoma keep t up !
Kama hauelewi lugha kama Mimi na umependa wimbo hebu niwaone we love you #saidakarol
As a munyankole from Uganda, I appreciate our common language.
kweri Mimi ni msukuma ila kwahuu wimbo kachumba bunula no mzuri sana
Hongera nyimbo nzuri dada
Kama unaamini saida kaloli kaludy kwenye gem gonga #like hapa
edigar gidioni p
Saf sana
Wahaya tupo wangapi aiseee
Ntawatambua kwa k like
wengi tu
petty joffy ogumile Petty
+datiuce d nigumile
aaaaaa
olinkai mawe
+datiuce d mwanza
I don't understand any word she's singing about but I am in love with the here... real Africa Queen.
One love to all African. From Guinea Bissau 🇬🇼
Hakika we ndo Malkia wa nyimbo za asili Tanzania, ahsante kwa wimbo mzuri mwingne tena, Mola azidi kukuongoza ktk kazi zako.
tamuu sana ngoma kalii 🔥🔥🔥beat💯💯💯dubai imetufikia
Wachaaaa weee wimbo mzuriii. ...wake za wahaya tupoo 😊😊😊
Mm hii tanzania kwel itakuja niikane kweli? mmmh siasa inaniboa najikuta mziki ukini flash narudi upya wangu, embu like kama uko kama mm #fire
Kwa wale mnao juu Kihaya , hebu tusaidieni kutafsiri hili goma kali
Good song kwa kweli nipo kwa Rwanda na nausikiliza hii nyimbo kwa kweli inanipa radhaaaaa sanaaa
Wataelewa
Wa bukoba
Me naaangalia video Naona ikovzr
Im a munyankore from Uganda and appreciate our common language
nikweri huu wimbo kachumba bunula ni mzuri
Huyu Dada Karoli Ni Hazina ya taifa.maana anaimba kwa msimamo.habadiliki hachuji,Wala haigi Cha mtu.hongera saida.apewe mauws yake
Saida Karoli is a queen
Hata Kama sielewi matamshi yake ngoma iko sawa
Akatanda ninkala.,,nchumbila akakawa,,mwami aaaaaaaahh amaju gabika bingi,,,
wakola muno mkaile ekyo wakikola
ngoma kali sana natamani siku moja saida awe mke wang wa ndoa nampenda sana karibu zanzibar
Legend, penda sana Saida Super Naturally @KACHUMBA
Safiii sanaaaaa dada
Tosoroza choka mawe , safi sana kachumba munula
Nikiona nimekengeuka narudi youtube kuona nyimbo ya Akothee na Saida karoli kujikumbusha mi n mwafrika na kujivunia
Mob love
P
daimon
huyu Dada anasauti yahatar sana
Yet another beautiful song mama saida Karoli. Much love from Minnesota
Mama uyoooo karud safiii xana
Nakupenda tu dada saida kaloriiii
....nakasautiii sautii kako kalivo
...katamu by ##Tondi ##sanga#
Imba kiswahili Saida hatuelewi wengine aaaaaa
saidaaaaaaaaa oyooooo
Who else watching this sweet song 2024 🎧💓
Umeikuza lugha yetu ya kihaya 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Eliv TV yani rahaa kabisa kihaya kirungi
+Maria Matiku nikwo
Maana ya wimbo huu ni nn ?
nakukubali. mama wagila mayo 😘😘😘😘 kaimbo kalungi mno😊😊😊😊
wapi wahaya gonga like kama umemuelewa ma saida😊😘😘😘
Nipe maana ya huu wimbo na mie nijue kilichoimbwa
Daaah! Hongera saida kalori sauti yako naikubali ni org
Saida, Vaa imba na Cheza kiasili zaidi uspotee kwenye gem.
Lol I'm Nigerian and I love the beat and sound
Gonga like kama Umeikubali hii ngoma. tamu sanaaa 👍👍
tamia.nakupenda san saida
You so tarented my sister fill so proud for you're good music, keep on doing so god will protect you. Nashindwa niseme vp zaidi ila mziki ni mzuri sana, #kachumbabunulaonfire
i dont understand what you are saying,i like the way you say it!music is universal language!u dont to catch the meaning of the words to like it!
I have no idea what she's saying or how I got here but her voice reminds me of my mom. It's so soothing.
nakuelewa sana kutoka norway na mimi njo the first kuona ii song
jamn huu wimbo ni mzr ad Raha Kama umeupenda like
HOW MANY LIKES FOR DIAMOND PLATNUMZ for UPLIFTING THIS LEGEND ARTIST BACK FROM HER FEET?
aki i love this mama for many years na anaroga kuroga.. waaaaaaaaaaah saida juuuuuuuuu. ebu sikizeni huo mziki. u enjoy hata kama huelewi maneno
I love her voice.. and she have dop songs... thou cant understand these one i lov it
mama unajua sana ebu fanya kolabo na diamond platinum tumemic kuxkia mzki mzur kutoka kwa legand wawl
Very fantastic song even if I do not understand the language used. BIG UP SAIDA , I LIKE YOU.
Saida natamani sana kufanya na wewe kitu Kali sana ni Dr LEONE from Kenya d,a
Kihaya Live...Wimbo mzuri sana wa kihaya..
The language is slightly similar to Runyoro Rutoro of Western Uganda 🇺🇬
What does kacumba bunura mean?
Ngoma kali sana 🙅♂️🙅♂️🙅♂️😚😚😚😚😚😚🙈🙈🙈penda sana wewe . Nakuomba utuwekee na nyimbo zako zote za zamani .
Mmh hapana kwa kweli
hongera Sana saida wimbo mzuri Sana jamani
*Twenda sawa kwa kugonga like team **#KAROLI** ngoma kali*
Ahsante nakukubal kwa kuitambulisha lugha yetu Mungu azidi kukulinda katika kazi yako
She beautiful her voice is 👏👏👏💋💋💋👌👌 . Please sing some parts in no Swahili we love your music mummy. Perfect vocal voice
Saida hukosei njia! Endelea mbele tu.
Thanks sis.Saida for putting out good music., I wish I speak your language but the video gives me a good explanation. Pan-African love from this Nigerian village woman.
saida n mzur jaman.
Mama na heshima zake, lots of love from kenya
mama etu anajitahidi sana hongera yake
Saida akori je ne comprends op votre langue mais je t'adore 💜 et tj es très joli 💗💕❣️💖💞💋💟💘💘
Mama unajua kwenda wakati, umetisha sana
Saumu Hassan mambo
unanigambira stupidi mbere ya my waifuuuu.....Very nice song...Flamingo is maguru garaigara is kuemerera..😄😄😄😄
Godfrey Raphael blo umetisha sio kwa lugha iyo. From nibebe FM radio station bukoba
niwe wenka.. big up shangaz
Asante sana..mama saida kwa mzk mzur... sauti yenye kipaji cha asiri
Daaaah mawe Yaani nyimbo tamu hata maana sielewi ila zinanifanya nalia jamani muziki safi Melody nzuri daaaaah
Kazi nzuri saida we ni malkia wa kihaya
You never DISAPPOINT us your fans mama so keep up the good work maan twapendag san nyimb zak xan japo kua wengn ka sie huag ha2elew kila unchaokising 👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽.
Team mziki mtam mkowapi gonga like 200
Tanzania hii Ni Saida klKaroli na Rose Muhando tuu
maze hii inaweza
Her voice is so melodious!
aky saida wallah mi mkenya lakn napenda songs zako xana...god blees u.....
Muziki mzuri unaishi
Japo kilugha icho sikielewii lakin wimbo huu nimeupenda anytym nauskiza
nakukubali sana dada ngu wakola kutuburudisha yani hii sms inanikumbusha rafiki yangu anafanyiwa hvy da saida noma
napend
kwenye mambo ya mziki na kukubali wewe 2 na hii baada ya 10 watengeneza limix % respect
Da ' napenda sana saut ya saida . yaan inafarj, inatia moyo , huchoki kuisikiliza kila Mara. yaan unatani irudiwe rudiwe tu ......
sauti ya kumtoa nyoka pangoni .....( ila tafsr kidogo na ss tuelewepo)
Nakukubali kachumba bunula
Eliv TV
Daimond
M naangalia video tuuu,lugha nawaaachiaaa wahaya
Nyalila akatanda mkazi wangu,wakola saida akaimbo kalige
Hapo xawa dada saida asante kutuburudisha.
saida oli number One nakupenda
Ila ww saida ukiendelea kuimba kilugha chako utakosa fans. Mm siwezi sema nyimbo maana hakuna chochote nimeelewa humu. 😎 😎 😎 😎
Wakola ma said a, Luanga wenene,agendelele kubabela ,amoi na abanyans boona aboliukwashanya naboi bkb moja , bb
ongera sana Dada saida nakukubli kwa nyimbo zuli
Wakola waitu
Naipenda hii nyimbo hadi nauguwa mwenzenu jamani...
bonge la ngoma Ma Saida Kaloli wagira mayo munooh munoonga
Mama kuimba kikabila hatukatazi Ila jitahidi kuweka na kiswaili ILI Walio wwengi tuelewe
Ngoma hii inaweza kuwa ya karne kati ya nyimbo alizowahi kuimba Saida haina pakukosoa meseji,video wimbo wenyewe ni wa kiwango cha juu sana kwangu ni wimbo na video bora ya mwaka 2018 ongera management mliofanikisha hii ngoma keep t up !
Nimeurudia mara kadhaa kutizama na kusikiliza ni wimbo mkali sana
Sanaa ni ujumbe na burudan nimekosa ujumbe lkn nimeburudika.,.,🙏
mayo akaimbo kaikairege mno homukama akubere waitu
wambona,,,alige omkaile natishaa
Saida Unakipaj kikubwa sana ila ingekuwa vyema uwe unaimba unachanganya KISWAIL na KIKABILA nusu kwa nusu eli tupate kukuelewa japo kidogo
Kiswahili hakipandi vizuri, msamehe, ukisikiliza interview zake utakubali kwamba bora aimbe kilugha
Athumani Kitogo ok
Hapa nyumbani naonekana kama chizi kwa sababu ya wimbo wako... du.
Nakuulila muala waitu
Nice songs mama 😅😅❤❤❤