Mimi ni mnyamwezi halisi, nataka nieke sawa hapo japo mwana kama kaficha kdgo! Kule tunatumia hili neno eneo hili!? Mtu akienda choo baada ya kumaliza kujisaidia hatumii maji anajishenta yani anasaga makalio chini kufuta kinyesi au mtoto anafutwa na majani au dongo bunzi na vingine! Ndo asli ya neno kujishenta na kushenentwa! 😂😂😂😂
Wewe ni baba mwenye numbaa au baba muumba mbingu na ardhi. 😂😂😂 sideee. Nikiwa na stress zangu natafuta cleap za side. Na ipo ile pale nilipoandika badilisha andika sijui nani hivii😂😂😂😂😂 side sheenziii
Side Kama side 😃😃😃😃😃 Noma Sana mwamba sisi kwetu Dua tu....pamoja sana
Daah najivunia atakama sio but tabora mwenzangu akifany kitu nasapot saaana keep it br
Natarajia kukuona unafanya interview na vyombo vikubwa vya habar mdogo wangu keep it up 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wewe side mmi shabikiwako nakupenda sana nakupa mauwa yako🎉🎉🎉🎉🎉
Nimejifikiria nimeona noma kupita bila kukoment #mboka manyema keep it up broh
Mboka Noma sn nyumbani kwenu napakubari kichizi yaani
Vizuri Sana #kanyukatv tupo pamoja
Mwamba you are very talented
Big up
Hahaha uyu jamaa daah ana tuvunja mbavi asa kwa Mimi mwanayanga
Wow🤗🤗🤗
Kaka unajuwa sana
Mzee wa kushenyetaa😂😂😂 makini sanaaa mzee
Unyamwezini moja iyoooooooooo
naipenda sana ile clip ya nassoro kapgiwa horn na trekta akapgza baiskel chini😂😂😂😂😂😂
Side na Mkalimani OG nashindwa kabisa kuwatofautisha🤔
Side kala mbwa usiku badala ya mbuzii😅😅😅😅
Utatuua kaka dah noma sana mwanangu
From🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 nakukubali
Mi nilikuwa nadhan ni mwaisa mwenye hyo sauti bac😂😂😂
Sema side so mzima uyu😅😅😅😅
Huyu jamaa huwa ananichekesha xana😂
Hongera sana kijana kwa kazi nzuri , Mungu akubariki usonge mbele zaidi
Pamoja sana wa home
Daaa mungu akujarie side kamaside adi uku usumbiji 😂😂😂😂😂😂
Side hustler sana
CG FM tabora mitaa ya madafu, bravooooo
Mzee wa kushenyentea😂
unajua sanaaa side side
Washenyente washenyente 😂😂
Kushenyeta ni kiha hicho
Hongera sana kijana side, Mungu akuinue zaidi.
Kumbe ni Mwanatabora mwenzangu dah nilipenda Kripu ya shuti lililogonga mwamba la Aziz Ki dhidi ya Mamelodi
Mzee wa kuwa shenyenda
Nakubali kaka uko vizuri❤
Nakubali Sana Mwamba side km side big up
Kijana wetu makini mungu ambarikiiii saaan
Kazi nzuri👍👍👍
Hilo Neno alikua akilitumia Sana Baba levo
Kikubwa mapambano tyuu broo
Side kama side
Niliekuwa namfikiria sio huyu mtu kabisaa.
Me nilianza kufuatlia kitambo toka enzi izo za manula yaani we jama hushikiki
😂😂😂 twende kati
Nimechekaaaaa😅😅😅
Side kama side p1
Hongera sana mate
Side nakukubali sana
Kushenyentwa ni neno ambalo lishakua maarufu mjin🤣🤣🤣🤣
Side Kama side itume ilee ya jumaa maafandee haoo
Mimi ni mnyamwezi halisi, nataka nieke sawa hapo japo mwana kama kaficha kdgo! Kule tunatumia hili neno eneo hili!? Mtu akienda choo baada ya kumaliza kujisaidia hatumii maji anajishenta yani anasaga makalio chini kufuta kinyesi au mtoto anafutwa na majani au dongo bunzi na vingine! Ndo asli ya neno kujishenta na kushenentwa! 😂😂😂😂
OYA SIDE KAMA SIDE 😂
Side big up sana😅
Upo fresh side 🇨🇦🇨🇦
Side ako ka t-shirt kamekutoa..
Aaaaaaaaah kuvaaa aka tuu mshaanza kutuchunaa mnataka tutembee uchi ndo mjue hatuna hela
Hii ilinivunja mbavu aisee😂😂
Ilekali@@Fantastic.-gm1eo
Wewe ni baba mwenye numbaa au baba muumba mbingu na ardhi.
😂😂😂 sideee.
Nikiwa na stress zangu natafuta cleap za side.
Na ipo ile pale nilipoandika badilisha andika sijui nani hivii😂😂😂😂😂 side sheenziii
Mzee wa kushenyenta
Kama kanzu nyanyuka 🤣🤣 shot crip
SIDE pamoja na KIMWAGA Nyie ni Wasumbufu Saaana aisee Endeleeni kutupa burudaniiiii 😂😅😁😃
Nc
Dah 🤣🤣🤣🤣🤣
Side kama side...shenzi kabisa😂😂😂
Uko poa sana
Kimwaga 😂😂😂😂😂😂😂
Home boy kiloleni moja mboka manyemaa
Side wee noma sana😂😂
Pambana tajiri
Anazingua😂😂😂
Jamaa unajuwa
Nakuangalia nikiwa pemba side kama side
Side kam side hahahahhahh
Side kama side unatisha sana
Antisha uyo side km side
Side km side
nassoro.😂😂😂....side km sde
Sinde😅😅😂😂
😂😂😂😂😂 duh
Mtoto kautaka,,,,hatuna mda twende kati
😂😂😂😂
😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
😂😂
Kushenennwa kinyamwezi
Side Kama side
side kama side
😂😂😂😂
Side kama side
Side kama side
😂😂😂😂😂