@@Hamis-ks1sy Wote hao ni masalafy! RADD ni katika dini wala hata usishangae...!!! Mbona hata Muhammad Mafuta zaman ashawahi kuraddiwa na Masalafy na Ruduud zipo utube! Hilo ni jambo la kawaida hata maulamaa Wanaradiana....!!! Sema hiki kitu wamekikosa Masufi na Mahizbi.... Ndo mana huwezi kuta Bachu anamradd Kishki, Yusuf Abdi wala Moh Bahero licha ya kwamba wana mafyongo mengi sana....!!! Msingi wa Al walaa wal baraa wameukosa!!!!
@@Hamis-ks1sy Ni Salafy mzuri tu from Morogoro! Kama umefatilia Radd dhidi ya kikundi cha JAI utagundua pia ni Radd ya Salafy kwa Salafy... Na hivyo ndivyo inavyotakikana! Radd anaradiwa yeyote hata kama ni Salafy mwenzako! Tatizo tunatafsiri radd kama ugomvi ndomana!
@@Hamis-ks1sy Sema hzo Ruduud sio za sasa hivi... ni za toka mwezi March 2024 kama sijasahau! Nahis ndo zimewekwa TH-cam sasa hivi!... But hakuna ugomvi wowote mkubwa unaoendelea.. Radd ni katika kuamrishana mema na kukatazana mabaya!
Hhhhhhhhhhha mnawatatiza wanafunzi wenuuuu hyaaaa kaasim mafuta wnafunzi wako aoooooo nyie hamupo kwa lengo la daaawa allah anawafitini sasa baina yenu
Nyie Wajinga acheni upumbavu... Yani Wanaradiana Maulamaa wao kwa wao sembuse sisi masalafy! Sisi sio kama nyie mahizbi,, Radd ni katika Dini na anaradiwa yeyote hata kama ni Salafy!
Mashallah shehe tunakuelewa vizuri
Hayaaa abul fadhwli Bainisha Dr.ya alakh khamiis Imaam na baina ya Dr Islaam....bainisha duktuur zao
Daawa imejaa majigambo na kujiona kila sheikh ni bora kuliko mwingine hii ni hatari kwa mustakabali wa dawaa
Radd sio ugomv kwa kiswahili ni kukosoa, na kukosoana katika da'awa hii ni sehem katika dini.
Mcheni Allah
Ni vichambo kwenda mbele
Jai waacheni hawawahusu nyiny mmefanya nn
Sasa hawa majadida wenyewe kwa wenyewe wanakulana kwisha habari yao
ACHA UJAHILI MJINGA WEWE SISI MASALAFY SIO KAMA NYIE MAHIZBI NA MASUFI.... RADD NI KATIKA DINI NA ANARADIWA YOYOTE HATA KAMA NI SALAFY!
@@ABUUBAAZNYUNGU-j4x akhy samahani huyu mzungumzaji ni sheikh wa kisalafy au?maana hata simfahamu
@@Hamis-ks1sy Wote hao ni masalafy! RADD ni katika dini wala hata usishangae...!!! Mbona hata Muhammad Mafuta zaman ashawahi kuraddiwa na Masalafy na Ruduud zipo utube! Hilo ni jambo la kawaida hata maulamaa Wanaradiana....!!!
Sema hiki kitu wamekikosa Masufi na Mahizbi.... Ndo mana huwezi kuta Bachu anamradd Kishki, Yusuf Abdi wala Moh Bahero licha ya kwamba wana mafyongo mengi sana....!!! Msingi wa Al walaa wal baraa wameukosa!!!!
@@Hamis-ks1sy Ni Salafy mzuri tu from Morogoro! Kama umefatilia Radd dhidi ya kikundi cha JAI utagundua pia ni Radd ya Salafy kwa Salafy... Na hivyo ndivyo inavyotakikana! Radd anaradiwa yeyote hata kama ni Salafy mwenzako! Tatizo tunatafsiri radd kama ugomvi ndomana!
@@Hamis-ks1sy Sema hzo Ruduud sio za sasa hivi... ni za toka mwezi March 2024 kama sijasahau! Nahis ndo zimewekwa TH-cam sasa hivi!... But hakuna ugomvi wowote mkubwa unaoendelea.. Radd ni katika kuamrishana mema na kukatazana mabaya!
Hhhhhhhhhhha mnawatatiza wanafunzi wenuuuu hyaaaa kaasim mafuta wnafunzi wako aoooooo nyie hamupo kwa lengo la daaawa allah anawafitini sasa baina yenu
Nyie Wajinga acheni upumbavu... Yani Wanaradiana Maulamaa wao kwa wao sembuse sisi masalafy! Sisi sio kama nyie mahizbi,, Radd ni katika Dini na anaradiwa yeyote hata kama ni Salafy!
Wanafunzi wa Qasim mafuta? Kuwa na adabu kijana Hawa n masheikh hakuna aliye soma kwa sheikh Qasim mafuta hapo.
Majadida kwisha habari yao
Wana makundi teleeeeee
Wenyewe kwa wenyewe wanakatana yani dahhhhh
Allah kawatia adhabu hawa
Kwa kuwadhulumu waislamu
MPUMBAVU KWELI WEWE.... RADD NI KATIKA DINI NA ANARADIWA YEYOTE HATA KAMA NI SALAFY!
TATIZO LENU MAHIZBI HAMNA MSINGI WA AL WALAA WAL BARAA!!!