Acheni wivu bhna uyu dada mzuri mbona alaf kama ni mzuri ni mzuri tu filter haiwez kukubadilisha kitu kama ni sura yake ipo na uziri bdo upo ko kama mtu ni mrembo utabaki kuwa mzuri tu hata utumie filter ☺️
Kweli dada huyu ni murembo sana. Namupenda💟🇨🇩. Nilikuwa na mupenzi wangu Rehema, "munyakyusa" mwaka 1984, pale Dar-Es-Salam. Alikuwa anatumika ku waziri ya mambo ya dani. Napenda sana wa dada wa Tanzanie. Wenu kutoka Congo-Kinshasa🙏🇨🇩💟
Watu mnasem mbay kwani amjua tiktok watu wengi wana tumia filter jaman 😂😂😂😂😂 c bora dad kuna wale wegin tiktok weupeee sas kutan nao kam wamepigwa na 💣 kule wapo softy njo uwaon sura michunusi kam yote pamoj na kutumia filter dad wawatu anahuzuri wake
Vp apo mbna filter haija take place😂😂 ...!! Anae muhoj ni bonge la black beauty 😍😍...!! Ila girls muda wanakuag wanaji selfie na filter ndio wanafkiriaga wako hivo 😂😂...!!
Kama unamkubali dada huyu Gonga like hapa
Kuna watu mna makasiriko jamani huyu dada ni mzuri sana
Acheni wivu bhna uyu dada mzuri mbona alaf kama ni mzuri ni mzuri tu filter haiwez kukubadilisha kitu kama ni sura yake ipo na uziri bdo upo ko kama mtu ni mrembo utabaki kuwa mzuri tu hata utumie filter ☺️
Manzi frani hustler sana tangia kitambo na yuko proud kuwa yeye.
Dada mtangazaji nakupenda maashalla unajielewa
Nampenda uyu sister 🥰😘♥️♥️
Kweli dada huyu ni murembo sana. Namupenda💟🇨🇩. Nilikuwa na mupenzi wangu Rehema, "munyakyusa" mwaka 1984, pale Dar-Es-Salam. Alikuwa anatumika ku waziri ya mambo ya dani. Napenda sana wa dada wa Tanzanie. Wenu kutoka Congo-Kinshasa🙏🇨🇩💟
mzuri sanaa
Watu mnasem mbay kwani amjua tiktok watu wengi wana tumia filter jaman 😂😂😂😂😂 c bora dad kuna wale wegin tiktok weupeee sas kutan nao kam wamepigwa na 💣 kule wapo softy njo uwaon sura michunusi kam yote pamoj na kutumia filter dad wawatu anahuzuri wake
maashallah ni karembo
Murembo kwakweli🥰🥰
Cream mbaya jamanini
Nimzuri sna sna ❤❤❤❤😊😊😊
Vp apo mbna filter haija take place😂😂 ...!! Anae muhoj ni bonge la black beauty 😍😍...!! Ila girls muda wanakuag wanaji selfie na filter ndio wanafkiriaga wako hivo 😂😂...!!
Mzuri dada wa watu Masikini comments za binAdamu nyei
Ameongea fact hawajubali kwamba hawana kitu love u more
Mtangazaji nakukubaligi huwa unaakili Sana mshkaj
Kumbe mndali mwenzangu ♥️♥️
Mtangazaji you have nice voice 👍
Sema tu nampenda