Asie jua maana kamwe ha ambiwi maana.kuna mijitu hata haina akili ina comment ujinga tu eti akamatwe we una fikiri huyu mzee mjinga kujieleza.Mzee anatoa shukrani kwa marehemu baada ya kumsaidia na kuanzisha maisha yake mapya ya kitumishi.Huyu ni Raia mwema na alikubali kujisalimisha ili awe huru na ili akubalike katika jamii yake.Mungu ailaze Roho ya Marehemu pema peponi Amina.
RIP Mrema. Anaweza kueleza ni sehemu ya wasifu wa marehemu msikivu na mchapa kazi kumbuka alikuwa ni waziri wa mambo ya ndani ya nchi hivyo huyu mzee (jambazi wa zamani) alikuwa anamhusu moja kwa moja.
Ubarikiwe sana mzee kwa kuacha ujambazi na kumponea Bwana Yesu kuwa mwokozi wako. Na Mungu aendelee kukutumie ili ukashuhudie wengine kuwa Yesu anaweza kubadilisha watu 🙏🙏
Nyie wapumbavu mnaotoa povu Si ajabu huyu ni mjomba wenu alikuwa anaiba Mali za watu na kuwagawia Eti mwingine anasema hamna aliye mkamilifu fala kweli ww....kama haujawahi kuibiwa utaona pouwa tuu...
Alishatumikia adhabu ya maovu yake kwa Sasa hawezi shitakiwa. Hakuna kesi iliyokwishaamuliwa na kuhukumiwa inaweza Anza Tena upya as new case hakuna. Hii Ni confession. Mnaotaka akamatwe alishakamatwa kwa hayo anayoeleza Sasa hawezi kamatwa Tena. Just enjoy the confession only by now
Na nyie wa andishi wa Habari wengine muwe na usikivu wakati mnapo mfanyia mtu mahojiano na sio una uliza swali ambalo tayari lishajibiwa na mzungumzaji unae mhoji katika mahojiano.kinyume na hapo unakuwa kama haupo makini katika kazi yako uandishi.Huyo mzee ni mtu mzima maswali mengine aliyo ulizwa alishayajibu ktk mazungumzo yake ndo maana mkampandisha hasira na wakati mna muuliza baadhi ya maswali.ikumbukwe kwamba communication skills ni muhimu katika kazi ya uandishi.Tena natoa ushauri kwa channel muhimu kama hii mnapo rusha habari hakikisheni mna edit hadi kwenye speech ya waandishi maana wa andishi wasio fahamika ni wachache sn wenye taaluma ya hii tasnia ya habari hivyo wasije wakashusha brand ya chanell kisa tu wamechangia maicrophone.Asanteni sn
Asie jua maana kamwe ha ambiwi maana.kuna mijitu hata haina akili ina comment ujinga tu eti akamatwe we una fikiri huyu mzee mjinga kujieleza.Mzee anatoa shukrani kwa marehemu baada ya kumsaidia na kuanzisha maisha yake mapya ya kitumishi.Huyu ni Raia mwema na alikubali kujisalimisha ili awe huru na ili akubalike katika jamii yake.Mungu ailaze Roho ya Marehemu pema peponi Amina.
RIP Mrema. Anaweza kueleza ni sehemu ya wasifu wa marehemu msikivu na mchapa kazi kumbuka alikuwa ni waziri wa mambo ya ndani ya nchi hivyo huyu mzee (jambazi wa zamani) alikuwa anamhusu moja kwa moja.
Ubarikiwe sana mzee kwa kuacha ujambazi na kumponea Bwana Yesu kuwa mwokozi wako. Na Mungu aendelee kukutumie ili ukashuhudie wengine kuwa Yesu anaweza kubadilisha watu 🙏🙏
Poleni sana sanahaaa kweli alikuwa mtu mzr sanahaaa
M mungu ampumzishe kwa amani mzee wetu
Milad ayo naomba uniunganishe na huyu mzee ili aje ashuhudie kanisani kwangu cos Yesu anapenda watu kama hawa waliokuwa majambazi afu akawaokoa ❤️❤️
Unataka umpige sadaka sasa??
Ndo hvyo sisi alitutema
Haki akawapa eakina Mareale
So hukumu lakn atalipzwa huko na Moto mkubwa
Jambazi mstaafu 🤣
Kuna tofauti kati ya akili na elimu..HUYU BABA ANA AKILI
Akili ya utapeli was Kisiasa
Aliniachia manyoya
Mpaka katunukiwa tuzo ya laki 3
Anaonekana alisumbua government
Ana history kubwa sana police wamtafute awasaidie kazi kiukweli
Hahaaa
Police wenyewe wanamfahamu alikuwa jambazi ila sasa ni raia mwema
Naierewa
😂😂😂😂jambazi mstaafu
Jambazi Mstaafu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Jamaa kajua kufariji Kwa kweli.
R.I.P Mzee Mrema
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Askofu loh Mungu ni mwema
poleni sanaa
Badala ya kutupa story za marehem mnaleta story za jambaz duh bongo bn
Wajinga hawa
Marehemu hatuko naye tena anawezaje kutupatia stori?
Mungu akuinue ilimajambazi wengine waige kutoka kwako
Jambazi Mstaafu
Baba jambaziiiii mstaaafuuuuu cheo kipya
Mzee Askofu .Jamaa Yangu Upo vizuri
Huyu mzee Safi sana kawa mkweli
kweli nimempenda mzee huyu kwa kuwa muazi
Sasa Polisi Wamkamate Vipi Wakati Amesitafu Kazi Zake Jambazi Wa Zamani Uyo Ameludi Kwa Mungu Afe Akiwa Huru Japo Kama Aliuwa Akuna Msamaa
talent healing miracle ndio kanisa hilo 🤣🤣🤣
Apumzike kwa Amani 🙏 AMINA
Kunahaja kubwa yakuwatafuta watu Kama hawa ilitupate kujua mengi🤔🤔
Umewaza kama
Mimi aise
✌🏻✌🏻😁
@@mrenobishoo1118 uneonae
Mwaka 1990's laki 3 nyingi sana, nauli Dar- Mwanza tsh 1200 , Dar to Songea tsh 800
Mrema alikua vizuri kimaisha bonge la jumba aisee
Unadhani kwa nafasi alizoshika unafikiri angekuwa vibaya?
🤣🤣🤣Hili jamaa bhana et jambaz mstaafu
🤣🤣🤣
😂😂😂😂
Amestaafu au ameacha?🤣🤣
Waandishi wa Habari mjifunze jinsi ya Kuhoji’ Mnafanya hadi anapata na hasira pasipo kutarajia”
Ww ni mpunbavu huna akili, huyu mzee anamxhukuru Mlema kumsaidia pesa ya mtaji na akaacha ujambazi na sasa ni raia mwema.
@@aaSs-yf8oq Umeelewa alichosema Obilla Ezra?
Mzee karudia mara kibao mwaka 90 na bado mwandishi anauliza mwaka gani?
Nilikuwa Jambazi😂..Nilikuwa Malaya 😂😂😂
Millard Ayo mmeanza ku fail na hizo premiere zenu.
Nijilipue Tena 😂😂🤣
🤣🤣🤣
Story nzr sana
😀😀😀 watanzania tunajua kuzitumia fursa hatimae wameuza kwa stori ya jamabazi mstaafu
Jambazi alikuwa anaitwa dock lee😂😂😂
R. I. P Mrema pumzika kwa amani
Daaah waandishi wa michongo wasenge kweli
Tanzania inchi ya hovyo sana , hata jambazi anastaafu na kupewa pensheni zake😃😃😄😄nimefanya nacheka msibani kweli
Eti huku ni mchumba tuu 😃😃😃😃
Jamani 🤣 police yule jambazi sugu mlie kuwa mnamtafuta
Yuko msibani Kwa mrema
Sura ya Kijambazi
Kama Noriega. Aka Pablo scoba
Millard Ayyo ...this is too low for you.. Umetengeneza brand kubwa..ningejua hvi nisingeharibu bundles zangu
fala tu ww
Umelazimishwa
Katombwe huko siye tume enjoy vzur kumuona mtu aliyewahi kuwa jambaz na baadae akamrudia mungu na wengine wanaweza kumuiga,katombwe hukoo
Ubaya uko wap hapo kunakitu cha kujifunza Kama upo kwenye maovu unaweza kuondoka na kuwa karibu na mungu wako
Kweli ulikuwa jambaz
Wazalendo wanaisha Tz.. wanabaki madunga yembe na majizi.. na hao hawafi.. sijui wamemeza hirizi?
Na Richard boom majambazi walikuwa na majina unique 🤣🤣
Huyo jamani bado hajaokoka lla ujambazi ameacha mutualieokoka huaanakuwa namabadiliko hatua hadiatuwa mimi nipokalibunae muulize unamfahamu mchungaji Aloyce ndalu
Hili ex jambazi sijui limeua watu wangapi,dah!🙌
mzee kujieleza bado
Mbengo zmefungoka
Ni smanzi lakini jambazi mstafuu anachekesha😁
Mzee ni Askofu, Nabii mke na watoto wote wapo Marekani lakini Bado Hana hata nauli ya kutosha.HII NCHI NGUMU SANA😭
Kwa hiyo unataka kusema wenye ndugu huko awakosi pesa .
@@yusuphkassimu227 Kabla ya ndg wewe unatakiwa kumsaidia Askofu na nabii wako.PUMZIKA MZEE MREMA
Hujui Tu mke hupandikiza chuki Kwa Watoto wao wasiweze wasaidia Baba zao
@@mussababu5623 Basi kazi ipo.Pumzika mzee MREMA.
mbele yako nyuma yetu R.I.P
Acheni uchawi kwani siku zote ulikuwa wapi? Mganga ww😫
Sasa kama alikuwa jambazi na ameeleza maovu yake,akamatwe na aisaidie polisi tena,ana mambo mengi ya kusimulia
Acha ujinga ww
Sasa akamatwe wa nn?hkn mkamilifu kila mtu ana maovu yake
we mpuuzi siku nyingine usikurupuke hivyo
Okoka
Nyie wapumbavu mnaotoa povu
Si ajabu huyu ni mjomba wenu alikuwa anaiba Mali za watu na kuwagawia
Eti mwingine anasema hamna aliye mkamilifu fala kweli ww....kama haujawahi kuibiwa utaona pouwa tuu...
We ni jambazi kwenda uko🤸afande kamata uyo sweka ndani😀
Silly question
#Millardayo mtafute huyu mzee ana madini mengi sana itakayo saidia vijana
Hizi sio habari za kuleta msibani kwa mtu makini kama mrema. Ujambazi watasimukia jambazi mwenyewe akifa. Toka hapa
Hahahahaha Hahahahaha
Kwer maisha safar
Bongo bwana eti jambazi mstaafu
Maswali gani ss
Oooh nkipata bunduki nafukia kwenye kabuli
Inahusu nn kumhoji kama jambazi na hapo msibani
Duuh inatisha
th-cam.com/video/6tia-5UH4MI/w-d-xo.html
DAWA YA KUMUWEKA MPENZI KIGANJANI......*#*#
th-cam.com/video/6tia-5UH4MI/w-d-xo.html
Mhm🤣
MZEE ASKOFU HUYO NI KWELI
He🙄
Jambazi msitaafu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jambaz kawa mkali gafla 😂
#davistarMata
Kwahiyo kina Elisha wapo marekani
Anhaa naanza kumwelewa
Alishatumikia adhabu ya maovu yake kwa Sasa hawezi shitakiwa. Hakuna kesi iliyokwishaamuliwa na kuhukumiwa inaweza Anza Tena upya as new case hakuna. Hii Ni confession. Mnaotaka akamatwe alishakamatwa kwa hayo anayoeleza Sasa hawezi kamatwa Tena. Just enjoy the confession only by now
BARIKIWA
Very true
Jambaz mstaafu umevaa uzi wa msimbaz...ila sio mda wa maojiano kwa kipind cha msiba ...mtafuten yy kama yy...
Ujambazi hauna impact yyte aisee , silaha kibao afu unapewa msaada wa mtaji
Rais Alli Hassan Mwinyi alimuuliza Mrema unataka kufagia Dar je umesha maliza kufagia Arusha, Vunjo, Shumindu?...
7
@davistarmata mtafute huyu tupate storry
mbona mrema amekasirika
Police bad amjamkamat ad sas uyo
Mjifunze kuuliza maswali
Ayo tunakuombeni mumfanyie exclusive interview huyu mzee jambazi mstaafu anaonekana anamengi.
Kumbe Mrema alikuwa hana ubaguzi,RIP
Mimi alinibagua Kess kstuamnisha akala Hongo tukakosa hak achomwe na Moto mkubwa hatu hukumu ndo hvyo
Nabiiii????
🤣🤣🤣 nimecheka hapo kwenye eti bastola za kichina ukiweka kwenye mfuko wakat mwingine zinajifyatua . R.i.p mh mrema
🤣🤣😂watupie pesa maskini hao
Na nyie wa andishi wa Habari wengine muwe na usikivu wakati mnapo mfanyia mtu mahojiano na sio una uliza swali ambalo tayari lishajibiwa na mzungumzaji unae mhoji katika mahojiano.kinyume na hapo unakuwa kama haupo makini katika kazi yako uandishi.Huyo mzee ni mtu mzima maswali mengine aliyo ulizwa alishayajibu ktk mazungumzo yake ndo maana mkampandisha hasira na wakati mna muuliza baadhi ya maswali.ikumbukwe kwamba communication skills ni muhimu katika kazi ya uandishi.Tena natoa ushauri kwa channel muhimu kama hii mnapo rusha habari hakikisheni mna edit hadi kwenye speech ya waandishi maana wa andishi wasio fahamika ni wachache sn wenye taaluma ya hii tasnia ya habari hivyo wasije wakashusha brand ya chanell kisa tu wamechangia maicrophone.Asanteni sn
Wazee wa mjin hao
🤣🤣🤣
😂😂
Ushabk tu
Uokovu wa mchongo
wewe unàitwa mchungaji nani
Askar itabid awe karibu na huyu mtu atawaambia vitu vingi sana
Huyu mzee akamatwe na ahojiwe kwa kina zaidi maana ana pataje kiburi kuongea hayo yote kama sio Bado mshirika wa kazi ya ujambazi 😄😃😃
Watangazaji wengine sijui hawaelewi?mtu anawaambia alisha acha ujambazi na ndiyo maana alisalimisha silaha,lakini bado mnauliza umeacha ujambazi khaaa
Wanatakiwa 'waandishi' hawa wakasomee uandishi wa habari siyo kubeba mike tu ndiyo uandishi. Maswali yao tu, inabainisha bado kusomea kazi hiyo.
Wanatakiwa 'waandishi' hawa wakasomee uandishi wa habari siyo kubeba mike tu ndiyo uandishi. Maswali yao tu, inabainisha bado kusomea kazi hiyo.
Hujaacha muhuni wewe una wanafunzi wako
Haswa
@@zenadaudzena2849 angekuwa muisilam usingesema ameacha kafiri ni wewe unaemkataa Yesu kristo
Hilo kabila wengi wamepata pesa kwa njia hyo
Mna bore sana!
Kuokoka hakuna kafiri we
Mnaboa maswali gani hayo mnamuuliza
Mwandishi wa Habari..
Kwahio umeacha ujambazi ama?...
What a fool question