MO TOWN SANYA AGAWA PESA / BIBI HAJAAMINI😢 / UNGA UPO MBOGA SINA | HIVI NI KWELI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 เม.ย. 2022
- MO TOWN SANYA AGAWA PESA / BIBI HAJAAMINI😢 / UNGA UPO MBOGA SINA | HIVI NI KWELI
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
Hakika hii ni kubwa allah akufanyie wepesi katika ridhiki zako akupe mema hapa duniani na kesho akherah 🥰🥰🙏🤲kati ya hao wazee uliwapa pesa moja na mjua ni ana maisha magumu saaana😭 hakika umefanya siku yao iwe yenye furaha siku ya leo ubarikiwe saaaana kaka yangu huu ndio ubinadamu 🇴🇲 🇹🇿
Omefanya Jambo kubwa sana
yni mpka nimelia mungu akupe kila itaji la moyo wako
allah amfanyie wepes ktk kila jambo
Mo Town sanya mungu akubariki na akuzidishiye ulipotoa mwanangu ♥️
Sanya kwa hii kitu Allah akufanyie wepesi katika kazi yako
Daah sanya kiukwel umefanya jambo kubwa saaaana insha Allha mungu akuzidishie ulipotoa nimefulahi sana kuonya ulivyo wapa tabasamu ongela saaaaaana kaka
Hizo Baraka unazopokea ni zaidi ya utajiri Aisee..Baraka si kupata pesa tu,kuna kuongezewa uhai,uzima na mafanikio
Be blessed my brother
Dakika ya12 kuna cha kujifunza jamaa kakataa hela afu ghafla jamaa bajaji inaisha wese kwa Sanya afu anachukua mkwanja ambao wale wauza nguo wameikataa hvyo ridhiki ya mtu ni ya mtu tu.
Kwelii kbsaa
💯
kweli kbs
Daaah apo unga upo mboga Sina kwakweli kumenitoa machozi . 😭😭😭🙏🙏
Brother ✊🏼✊🏼 Mungu Akujalie Moyo Huo Huo Daima.
Mashallah Mungu akubariki. Sana mo na awape umri mrefu wazazi wako kwa malezi mema
Sanya kaka nimejikaza lakn wap daah😭😭😭😭 nimelia kwa fulaha ilojambo ni kubwa sana nafunga ramadhan uku naongea maneno haya namuomba mwezimungu akupe maisha malefu na akuzidishie 🙏
Toa ujinga apa unalia Lia nn
@@highthemetv7857 baki na roho mbaya hvy hvy na Channel lako hilo halikuwi
@@allysuleiman7422 hahahaha umenichekesha sana
mo umetisha m.mungu akulipeni Kila kheri
From Kenya bro on this moment unaeza isi unafanya it's like normal thing but kumbuka umefanya Jambo la busara Sana mbele za mungu...god bless your talent of any kindly situation
Mashallah ❤️ mo Town Sanya nembo ya mtaa kutoa si moyo na wala si utajiri Allah akuzidishie ulipo toa inshaallah na Allah akupe Kheri hapa duniani na kesho akhera
Umefanya nimelia hakika nataman unavyofanya vipindi vyako mungu akuzidishie
Kbs yaan
Ina uzunisha ina urumisha Sana’a mungu atupe moyo kama huu sisi vijana kuseidia watu wasio na uwezo kutoa ni moyo na sio pesa vijana tuna la kujifunza sanaa tusisaidie mtu ambae ni familia yako peke yake ama marafik zako tuseidieni watu wenye uwitaji 🤲🙏🏻😓😭
Mola akubariki sana Mo Town Sanya. Hakika kauli ya yule babangu aliyejiinamia imenitoa chozi. Mungu akuongezee Sanya🙏🙏
Umetisha sana Sanya tumeipenda bonge ya supries mungu akuongezee
mungu akujalie zaidi ya hapo ulipo toa Sanya mungu akufungulie milango yako watu wachache San wanaweza kufanya Kama wew ....eeh mwenyezi mungu mbaliki mtu wako kwa kitu alichofany ameonesha upendo mungu akufungulie akupe kazi Zaid ya hiyo uliyo nayo 😭😭🙏🙏 ujui umesaidia wangap kupitia hizo hela mungu akukupunge daaah moyo uwo uwo Sanya
Mungu akubaliki sanya love from burundi
Sanya ninependa hii zaidi. Hii nina imani itakufungulia milango ambayo ulihisi ni vigumu kuingia lakini pia ile ambayo maadui zako wanakuombea usiwahiingia, we utaingia kwa wepesi zaidi🙏🙏
Hiii kubwaaa mno alafu mwezi wa rehema huu yani neema juu ya neema.
am a big fan mo town sanya u hav been creative and amazing keep pushing bro be blessed umefanya kitu kikubwa sana Allah barik inshallah
Maash Allah sanya ...mungu akuzidishie rizki zako zaid ya ulio toa...god bless you brother
Sanya big up hii ndio reality life yetu kwa tz kisha una plan kufanya biashara ndogo ndogo mgambo anakuja kukukamata mfano kama yule mshikaji wa mwanza na ndizi zake wakati home sio powa paka kalala jikoni daah ime ni pain hiki kipindi tuheshimu kazi zetu zilizo barikiwa na mungu mtaani maisha magumu sana 🤦♂️🇹🇿🇦🇪
Mo taun anaonekana tu n broh flan mwenyew roho yake toka hata hajaingia kweny media❤️✊🏾 nkbl broh Jah akubless kweny arakat zako🙏
Sanya kaka umeua kwa hili God bless you
Kubwa sana hili Mwanakwetu.
Much love $ JahBless U MO.💯✔🏁
Kipindi chenye afya katika vipindi vyote #motownsanya
tuliopitia msoto tunajua umuhimu wa mchango anaoufanya mo town sanya kwa wanaharakati
Huo ndo UNYAMA SANYA...bless up 👊
Allah azipokee Dua zote ulizoombewa juu Yako maadui zako washindwe upande viwango vya juu 🙏
Daaah kaka, hili jambo ulilolifanya limeniguza sana, Mungu azidi kukubariki kaka na azidi kufunguwa milango kwaajili ya maisha Yako na familia yako
Hao walokataa wanaimani zakishirikina masikini ila usijali sanya ndochangamoto za kazi mungu akubariki 🤲
Mungu awazidishie wote mliotoa 🤝🏻🙏🏻
Inshallah my flavian 😍
Watanzania ni wakalimu na wepesi wakushukuru🙏❤️❤️👆
Sana 😍💕💕💕
Daaaaah mwanaume nimelia mzazi mungu atusaidie tukiwa nacho tujitahidi kutoa kwa wasiojiweza
This is so touching god bless you mo
The way anatoa kitu.... anakumbuka kitu... wote tunapitia magumu ktk maish... mo tawn ... this one is heart touch all over de world.... bless you brodar🙏
Mungu akuzidishie
Mungu akuzidishie umenigusa mpaka nimejisikia kutokwa na machozi
Mo Salute i repeat SALUTE sanaa bro kama Ulivyowafurahisha hawa wazeee wallah Milango yako ya kheri inazidi kufunguka bro mungu akuongoze uzidi kuwa na script nzuri zaid ya hizi MASHALLAH
Daaah so heart touching wallhy...... Mungu awabariki wte wanaotoa kwa ajili ya kukumbuka wanyonge haswa kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan.... Ehbuaneee Sanya Mungu akuongezee maradufu ulipopunguza
Mungu akubariki Sanya niwachache wanaowez kufanya ivo nafarijika sana
Masha Allah mungu akuzidishie palipo pungu,
Kubwa sanaa hii bro hadi nmelia mzee wenye uhitaji wapo wengi sana mtaani af unakutana na mshamba wa maisha anachezea hela inauma saaana. Be blessed bro Much Respect Kwako 👊
ni kweli kabisa Kuna watu wengine ni wazembe sana KWENYE maisha.
Mo unajiongezea fazila na maisha mazuri kwa hizo baraka ❤️❤️❤️🔥🔥🔥
Daaah kipindi nimeipenda Sanaa MUNGU awabaliki sanaa
Dah Sanya leo umefanya kitu kikubwa sana Mungu akuzidishe mara saba kwa uliochotoa
Amna kipind nime kipenda kama hiii
BEST PRESENTER IN TZ RIGHT NOW..MOO🔥🔥😭✊❤️❤️❤️
Kwel wew nembo ya mtaa nmekukubal big up san
Big up sanya the boss,,,napata uhalisia ni kwajinsi gani watanzania tuna shida nyingi sana and then waliopo juu kama hawao😭😭😭ni ,,,,
MashaAllah mungu akubariki
Mashallah mo😍😍😍😘😘😘😘❤️
Safi sana ILA KATI YA WATU WOTE KWA BIBI ULIJIKAza ilikuhuzunisha sana baraka za bibi dua zake zimekutia simanzi
Yooo Sanya ur blessed man if you don't know the hand Wich gives receives more so God will reward you more ....Allah bless you more 😘😘🙏
That's a big thing ma man Sanya. Jah bless you🫡🙏🏾
Woow👏👏👏 leo umefanya kitu nzuri Sana my God add maali imepunguwa the smile on their faces tells everthing yani have never commented on any of the video but this imenitouch sana
Mashallaa nimenguswa natamani na mm 1 day nitafanya ivyo ishaallaah
Kwenye maisha unaweza fanya ki2 japokuwa nikidogo lakini mwenyezi mungu akakufungulia lizki zako mungu akufungulie kwa kila umuombalo bro
Hongera Sana mo town sanya
Hii Video Imenitoa Saana Machozi Hakika Umefanya Kitu Cha Ki Mungu Ubarikiwe Saana Sanya Tunapaswa Kuwasaidia watu
😥😥😥😥😥 Allah akuwekee wepesi katika ishu zako mor town respect bro
Heart touching bro. Allah akuongezee
😥😥😥😥nimejikuta adi machoz yanilenga jmn hongera sn kaka sanya jambo zur sn ulofanya😥😥mung akuzidishie zaid yaicho ulichotowa🤲🤲🤲🤲
idea nzuri sana... ila brother mo town jifunze kuitikia "AMINA" unapotamkiwa maneno ya baraka
Sasa AMINA na Nashukuru kuna tofauti gani?
Nimeipenda iyo hongera
Mashallah tabarrakallah.🤝🤝💪💪💪
Mwenyezi mungu akuzidishie zaidi inshaAllah
Neno ubarikiwe inayotoka kwa Imani Ni zawadi kubwa sana
Bola atauku nimecheka kidogo yaani ao waimbaji sopoa Mungu akubaliki ulipo toa❤️❤️❤️❤️
Daah wa Bajaj 😭😭 kapoteza wateja
Mungu ahubariki na akuzishie kabisa ❤️❤️. Our Husband boy
chorei Quando vê o Vídeo, Deus Que te abençoes Mo Town 🇲🇿
Ele está bençoado😍
@@nicasamuel9667 Pois, Gostei Muito Oque ele Fez
@@africamz1762 muito até 🔥
Motown sanya hii nikubwa mbele za Mungu maana sadaka kwawatu wanao hangaika kwanguvukubwa kipato kidogo hata mia huwa nikubwasana
Adi nimelia jamaan noma sana mo town
Motown ubarikiwe sana be blessed bro
Mwanzo machoz yamenitoka Allah akubarik ata kidg ulicho nacho unatakiwa ugawane na wezako ila mwisho najikuta nachek na hawo VIJANA wanao imba
Waliokataa hela nilitamani ningekuwepo hapo niwapige makofi
Ubarikiwe sana nembo ya mtaa
Aisee kwa ulichokifany hap mwamb ni huruma sana mungu akubariki sana
Mungu akubariki na akuzidishie mahisha hiyo ni Upendo mkubwa sana
SANYAAAAAA WHAT SUP⭐
Be blessed brother 🙏motown Sanya
Oya sanya nakukubl kinom mungu akuzidishie riski nying n za halali kikweli hii imeniuzunish sann maish kusaidian
Mashaallah.
Bless san my big brother natamani nipate na mungu anipe moyo Kama ulionao💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻💪🏻
Penda wewe God bless ya
Ubarikiwe sana🙏🙏🙏🙏
More town Sanya umetishe 🙏🙏🙏🙏♥️♥️🔥🔥🔥🔥🔥🔥
All in all.. m0 t0wn xanyAh.. hakuna cku umewaka kama Leo mzey.. congrats..✌🏾
Mimi naomba kujua hiyo nyimbo ya kingereza inaitwaje...
Motown sanya Mungu akusimamie bro katika mishe zako,umefanya jambo kubwa sana,God bless You ninja🙏🏽
Ao jamaa wa mkoa gan Wana Imani za kishilikini Alf maisha yao mabovu
Mung akubarikk kaka mpaka ushangah🥺🥺🥰🥰🙏🙏🙏
Umefnya jambo ambalo malipo yake anayakadiria Mw/mungu... May God Bless U inshaallah
Allah awafanyie wepesi InshaAllah muwe na moyo huo wakutoa
Mo town Nembo kwelikweli
Vraiment god bless you more 🥰🥰🤲🤲🤲🤲love you from 🇧🇮🇧🇮🇸🇦🇸🇦
Sanya mungu akupe maicha marefu broo🙏
Hizi ndo story za kutupa wadau .. inafundisha so i like it
God bless brother
Masha Allah umefanya jambo zuri sana kaka mwenyezimungu akuongozee