MAMA DANGOTE atamba na ROLLS ROYCE, ZUCHU adondoka na GARI hili, BARBARA wa Simba atokea namna hii
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 ก.ย. 2024
- #mamadangote #zuchu
Katika kusheherekea siku ya wanawake Duniani, Mama Dangote atumia Gari la mtoto wake 'DIAMOND' aina ya ROLLS ROYCE na kufika nalo Mlimani City ambapo shughuli za kusheherekea siku hii zimefanyika hapo.
Msanii Zuchu, CEO wa timu ya Simba Barbara Gonzalez na watu mbali mbali walijitokeza ukumbini hapo kusheherekea kwa pamoja katika siku hii.
"If you can't beat them join them" kukataa, kubisha, kubeza it won't help and change anything. Ifike mahali watu wajifunze kufurahia mafanikio ya wengine na iwe changamoto ya kujaribu au kujifunza kufanya kutoka kwa waliofanikiwa hata kwa kidogo.
Fact
Excellence
Hongera Diamond Platnumz kwa kumbrand mama katika cku yke muhimu duniani
achen chuk wapumbavu nyie mond aliwakosea nini mahasid nyie fatilien maisha yenu wapumbavu nyinyi
@@liliansingenda7492 We lugha hujui
Yani WCB nzima kila mtu ni star
Mpaka mfanya kazi za ndani akifanya jambo fulani, lazma ita trends
😆
😂😂😂
Hadi house girl 👧…, sababu ni vyombo vya Habari vina njaa na havina Habari muhimu za kutueleza…
😂😂
@@kitunganolwebo7570 🤣🤣🤣
Maman yetu kula raha kuza kuzuri
Kwani pale kuna ubaya gani mtu kutumia kitu chake anakuwa anatambia watu
Mashallah ❤️ enjoy mamaangu majungu,husda, chuki waachie wenyewe na hawatofanikiwa kamwe kwa hasadi zao,tazama comments zao sasa za chuki tuu walichokariri wao kiki tuu hahaha 😂 njaa mbaya 😂
Ni kweli kabisa ni wakati wake huu wenye wivu wajinyonge!
Anaanza kushuka dk 2:45 usipoteze muda
🤣🤣🤣
Mbona kma Gari halina plaque number
Ni Plate numbee na sio plaqurle number,
Hilo gari halijakatiwa bima na kampuni za bima zakibongo zimegoma kutoa bima maana gari lenyewe ni mtaji wao wote wa bima mara nne yake so plate number atapata je?
Levels🔥
Nice
Love you ❤️ mama
Iyo Benz na rosros mbona azina NAMBA❔❕🙄🙄🙄
Edwin Edward: kama gari hazina plate number na zinakubalika kupita barabarani bila kufungwa ujuwe hao wamekuwa juu ya sheria wamekubalika kabisa
Placket number iko wapi jamanii…🤔!? Halafu nazani hiyo ni gari kama zingine 🙄
Kitungano: comment yako haina maana if you have nothing to say don't say anything
@@svt3 na wewe una maana gani
@@kitunganolwebo7570 gari zote ni kama zingine all have black tyres and pass in the same road tafuta pesa nunuwa gari isio kama zingine stop criticising other people achievement
@@svt3 Kwanini topic iwe gari jamani…🙄…!!??
@@kitunganolwebo7570 comment yako ya kwanza ni wewe umezungumzia plate number na gari tena unauliza kwa nini topic iwe gari? Stop confusing yourself 🙄🙄😏😏
Mama hata kitamba vaa kichwani hauta kuwa mtoto leo tunajuwa pesa ndio inayo kuchezea hivyo ila angalia rais mama samiya utamshinda vigezo gani na pia anajisiti kila anapo kwenda hauja katazwa kuchezea pesa ya mwanao ila kumbuka kujisitiri masikini na tajiri anaye kumbuka mungu kila siku ni masikini angaliya msikitini wengi unawaona wakina nani wengi ila dunia ni mapito
Mziguwa: ukivaa wewe na mama yako yatosha roho ndiyo inaesabika siyo vitambaa kichwani wengi wanaweka vitambaa ila makahaba wakubwa
Mzigua mpuzi wewe roho mbaya
Ww mm akoanavaa achakuingilia maisha yWatu ww mbora sana au
Tanganyika mmbo mengii🤣🤣🤣 umaskini upungue
YANI QUEE DARLIN NDIO WAMEMTUPA KABISA HATA HAWAMSAPOTI
Siumpost ww
Wameanza kiki mpaka tarehe11tutakoma
Kama hujapata au umepoteza namba yako ya Nida Fanya hivi 👉th-cam.com/video/u9CRjL1d-0U/w-d-xo.html
Kuna lijamaa lime vimba kwakua nime msifia Bana boy
Ww msifietu bwana wako hakunatakae kuchukia
Maisha ya ustaaa stresss tupuuuuu bora vanesa mdeee kaolewa Na rotimi wake marekani katulia mziiiki ulimpa stresss kujibrand kuwekeza utokeee mbele ya kamera na gari kali ukodi nguo mpya mabodigadi uwalipe show off za mitandao fake life wakiumwa wanaomba mashabiki tuwachangie
Ulishamchangia star gan ww kaupuku ac
@@chrismachumu7047 😂😂😂💪
Bana boy kashusha kitu huko nyie kagari kamoko ni shidaaa
Weye yako iko wap na bana boy ni mtanzania au mbona huna akil umasikin utakuuwa
Lkn hi ya mondi ndo gali zaidi kushinda hiyo Lamborghini urus ya Huyo boya
Wew family yenu na mkijichanga ukoo mzma mna weza kununua na siyo hii V8 t au its
Bana boy halipi code Tanzanian unamusifia ju ya nini?
Tanzania muna usenzi sana
Haya bhana sisi tukipata vibanda vyakuishi pia tutapost, Japo hatujulikani 😥
Tule tumsepe
Nani kama mama.wapi kitambara Cha kichwa mama dangote mama wanguvu wewe ni muislamu mpaka ujifhathi kwa sababu ya dini yako twakupenda Bure sisi wakenya wa tanzania
Mmakonde atawanyosha mpaka mkome nie pambaneni na hali zenu
Tatzo Hana pesa #mihela
Limekujaje lammakonde hapa kama siyo ujinga wenu wamakonde 🤣🤣🤪
Inamatatiza ya akili sasa mmakonde wako nahii shunguli anausiana nini usabiki wa kijinga 😂😂😂
Atakuwa anawashwa uyu
Makonde smoro bila daimond ha trend mjini 😒😒
muda wote huo akisubil nn sasa
Kwetu jambo la kawaida watoto wana pelekwa shule na helicopter na watu hawana habari na body guard ana suburi nje ya shule akitunza hao watoto jioni helicopter yarudia watoto kuwarudisha nyumbani tuliyazoea na hakuna cha wivu kuna mitaa huku hata majirani hawajuani ndio ukakuta kila mtu na lake
😍😍😍👌👌
Afrika uuwi
Kiki zimebuma😀😄hata wie ndege
Kiki zimebuma hamna jipya
Kiki gani tena mmm chuki ni ugonjua jamani 🤣🤣🤣🤪
@@mymunamymuna4807 memtumia konde pumbu amshushe kimziki mpaka sasa hamjafanikiwa mtasubiei sana 😄😄👍
Kawaida sana
Jaribu tukuone kama ni kawaida
Kawaida ya konyo
Ndio ila kwa WCB tuu kwawengine bado atujaona Kama hv
@@ramayonline2281 kikubwa ni uhai tu , cjawah kulal njaa kam nkuvaa na vaa frsh that's why naon nikawaida sana
@@Khadija.pande6 kwan kuendesh gar kuna maajab gan ? . ndio unawez kuixh maish mzr lkn ukawa hun aman ndan ya moyo wako .
Mm nina amani kbx , nakul frxh so naon kawaid san
🚶♀️🚶♀️
Mav ya kuku kiki hizo zimepitwa na wakati
Tafuta hela
Jina lako teyari lakuchongea ,herufi za 4 za kwanza pokea ujitulize
@@ramayonline2281 kbs bro
Tafuta pesa acha makasiriko
Bonyeza link hii. Kisha share. Utaipenda
th-cam.com/video/4NJlyOmIlk4/w-d-xo.html
DAWA YA U.T.I SUGU.NA. DALILI 5.ZA UGONJWA WA U.T.I NA TIBA*#.
m.th-cam.com/video/jMlFHNMwJZg/w-d-xo.html
🙌🙌🙌🙌
kazi wana baki nayo siku hizi ni kiki tu, kwanzia maman ,ma chawa, na yeye mwenye we sadala mziki ume isha, harmonize ata wanyosha paka atuliye hakuna jipya endeleni tu na kiki zenu
🤣🤣chuki ugonjua jamani
Husda mbaya....
Nestor Assani: Harmonize nae mwanamziki? Siniiyo panya maskinini ya kimakonde bado anaendea gari ya Sarah 😁😁😁 maskini atafanya kiki na nini?
Africa star at Jay z hafanyi au doctor dr mama yake warinzi
*ANGALIA VIDEO HII ,TUTAFUTE ELA JAMANI🤔🤔*
th-cam.com/video/j388kuReU4o/w-d-xo.html
Muonesheni na anavyosali au hana ibada
Kinachochelewesha kushuka ni nini au ili waandishi wajue Diamond kafika wajae kumbe ni mama 🤣🤣 waandishi mnateseka
Basi Kaka naomba uni samee nime kosea
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌
Yan mondi Kama magufuli huwa apendi kitu chake kiwe chapekeyake2
😂sasa hao walinzi kwa bi Sandra wana linda nini!
Wasimuhibiye sheni zake za zahabu
@@rayanndizeyes3161 🤣🤣🤣
Enjoy mama dangote. Maisha mafupi mamaangu
Uyu Mama simpendei ayo mavazi yake yakitto Na wakati kishakua mtu mzima
Hapo umeona vazi gani la kitoto au uchi acha ujinga tafuta hela wewe nyau
Thats not Royce
Try to get one like that if it's easy
Upo sahihi kabisa siyo Royce
Bali ni Rolls Royce 😊
KiKi Mzee
Wapi zuchu kadondoka nosence.
Hawajamaanisha kapata ajali
DAWA YA U.T.I SUGU.NA. DALILI 5.ZA UGONJWA WA U.T.I NA TIBA*#.
m.th-cam.com/video/jMlFHNMwJZg/w-d-xo.html