Mwandishi uko vzr sana... Hao wabunge wa aina hiyo ni wachumia tumbo tu ila mungu anawaona! kwa kuwa waliapa kutumikia wananchi na leo wanatumikia familia zao yeye aliye juu ndiye atakayetujibia haya yanayoendelea "INSHA AAL-LAH"
Japo mimi sio mwana chama wa chama chochote nchini lakiki sela za selikali ya awam ya Tano zilieleweka na matunda tuliyaona ingawa kila selikali inamapungufu yake R.I.P J.P.M
Basi bana uyu jamaa mbunge Alitumia nguvu mingi sana kuingia bungeni, kuna jamaa alishinda kwa kura,lakin mahakaman alishindwa haha😂😂. Mbunge wang kajua kutuaibisha ila fresh
Haya ni masala tongue hatatufikisha kokote na haya yakindelea kubaki Tanzania itabaki ni nchi iliyodai uhuru wa atakayekuwa kiongozi na siyo wa wananchi wake. Wananchi na hasa watanganyika tupambane tena kudai uhuru awamu ya pili Kwa ajili ya maendeleo ya "watu" wote.
Ukitaka kuja ujinga wangu nipe mda nijieleze kwani nitakuwa nauza ujinga wangu kwa wanaojua mambo waandishi ni wapelelezi jifunze kuwajuwa watu wa ajabu na waganga njaa mwalim nyelele alisema hivi Kuna wanasiasa Malaya Malaya hivi sijui ninani nisaidieni
Kama ingekuwa ni maswali ya mtihani angepata F. Nakerwa na ujasiri wake wa kujibu maswali kwa haraka lakini hayaendani yaani yuko kigeugeu. Nimejifunza ni lazima kuwa making unapohojiwa na mtaalam wa habari hakikisha una uelewa mpana
Kule kwetu mtu ambaye hana anacho simamia.Mtu ambaye yupo tayari kusimama na upande wowote ilimradi upande huo unashibisha tumbo lake,anaitwa MBUZI WA MNADA .YAANI MBUZI WA KUPIGWA MNADA!!
Dhahir huyo "mbunge" wa JPM Hasunga hakuna lolote lenye maana analolisema au alilolisimamia; lakini tunawezaje kutaraji huyu awe na msimamo wowote wa maana ilhali huyo Rais mwenyewe hana msimamo ktk jambo lolote?? Anaahidi haki na mabadiliko na utangamano kwa maneno, lakini matendo yake ni upupu mtupu! Anateua watu waovu kuanzia polisi, mahakamani akiteua majaji mpaka kwenye chama chake! Amediriki hata kumsingizia Mbowe kesi isiyo na dhamana, kisha akaifuta yeye mwenyewe! Watu wabaya wengi amewakumbatia, ikulu si mahali pa heshima tena sasa, uwongo unasemwa wazi na unafumbiwa macho na Rais kana kwamba hakuna uongozi ktk ikulu ya TZ (mfano yule mkalimani kule Chato aliyetoa tafsiri ya uwongo ya kauli ya Rais Ramaphosa wa RSA). Mifano ni mingi na inachukiza sana.
Nimemkubali sana MWANDISHI na nimempuuza sana mbunge kwa majibu sawa na ya mtoto wa chekechea.AIBU
Utoto wa kitoto ukifanywa na mtu mzima ni aibu isiyo na kipimo, wanafanya mambo ya kitoto huku wanajuwa ni mambo ya kitoto.
Mwandishi uko vzr sana... Hao wabunge wa aina hiyo ni wachumia tumbo tu ila mungu anawaona! kwa kuwa waliapa kutumikia wananchi na leo wanatumikia familia zao yeye aliye juu ndiye atakayetujibia haya yanayoendelea "INSHA AAL-LAH"
Duhuuuuuuuuuu ,!!!! Hatari hv uyu mbunge ameenda shule au mbn anajibu kama mjinga ambae ajaenda shule
Japo mimi sio mwana chama wa chama chochote nchini lakiki sela za selikali ya awam ya Tano zilieleweka na matunda tuliyaona ingawa kila selikali inamapungufu yake R.I.P J.P.M
Matundagani umekosa ufahamu kwasabbu magufuli aliwatiaujinga leonchihii imebaki namakesi namadeni ajabu
MBUNGE WA VWAWA BILA SHAKA MNA KILAZA KIKUBWA, HAKUNA AKILI HAPO, MAANA HAJUI HATA KAMA WALIVUNJA KATIBA.🤔🤔
Hivi nchi bado ina wabunge takataka namna hii.Huyu hastahili hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji.Majibu ya hovyooooo kabisa.
Ila kwa wananchi amboko huyu mtu anatokea pole sana kwao yaani njia ya muongo nifipi mno
Uyu ni mbunge wangu.
Hadi naona aibu😢.
Muuliza maswali yuko serious had raha
Amejibu ukweli kabisa wao ni wafuasi nasiyo wabunge wa wananchi
Hawa chawa hatimaye watanyonya mpaka mavazi yetu😂😂😂
Basi bana uyu jamaa mbunge Alitumia nguvu mingi sana kuingia bungeni, kuna jamaa alishinda kwa kura,lakin mahakaman alishindwa haha😂😂.
Mbunge wang kajua kutuaibisha ila fresh
Poleni Sana watu wa vwawa, kichwa hiki!!!!!!!.
Hatuna wabunge nchi hii.
Haya ni masala tongue hatatufikisha kokote na haya yakindelea kubaki Tanzania itabaki ni nchi iliyodai uhuru wa atakayekuwa kiongozi na siyo wa wananchi wake. Wananchi na hasa watanganyika tupambane tena kudai uhuru awamu ya pili Kwa ajili ya maendeleo ya "watu" wote.
Ukitaka kuja ujinga wangu nipe mda nijieleze kwani nitakuwa nauza ujinga wangu kwa wanaojua mambo waandishi ni wapelelezi jifunze kuwajuwa watu wa ajabu na waganga njaa mwalim nyelele alisema hivi Kuna wanasiasa Malaya Malaya hivi sijui ninani nisaidieni
Huyu mbunge Hajitambuwi hata kujibu maswali ameshindwa kabisa
Muandishi wa habari uko sawa na hili jamaa linalojibu maswali lipo makin sana %
Hawa ndio wabunge wa hovyo ambao CCM inawapeleka bungeni
Huyo mbunge,haijui katiba hawasomi ni mbumbu tu.
Ukiwa ccm kubali kuwa zuzu polenisana wenye mbunge wao
Changamoto kubwa
kwaiyo tume chelewa kwaajili ya wapinzani? 😂😂😂
😆 😆 😆 😆
Aibu sana sana sana kuwa na aina ya Mbunge kama huyu
Anavojibu haraka utadhani anaakiri.
Safar yetu kama tz ni ngumu mbele ya chawa Hawa wa ccm
Hayo ndiyo majibu ya wasomi wa ccm
Hasunga Huna lolote la maana.
Bumunda lingine hilo
Haya yote Ni kupigwa kiberiti kwenye nchi yetu na tutafika tu Ni swala la Muda tu.
Hao ndiyo wabunge tunaotarajia watuletee maendeo majimboni kiukweli tz tunamtihani mkubwa sana kama mbunge haijui katiba inasema nini mtihani sana
Kama ingekuwa ni maswali ya mtihani angepata F.
Nakerwa na ujasiri wake wa kujibu maswali kwa haraka lakini hayaendani yaani yuko kigeugeu.
Nimejifunza ni lazima kuwa making unapohojiwa na mtaalam wa habari hakikisha una uelewa mpana
Kule kwetu mtu ambaye hana anacho simamia.Mtu ambaye yupo tayari kusimama na upande wowote ilimradi upande huo unashibisha tumbo lake,anaitwa MBUZI WA MNADA .YAANI MBUZI WA KUPIGWA MNADA!!
Hamna kitu humooo!!
Katiba ilivunjwa.
Dhahir huyo "mbunge" wa JPM Hasunga hakuna lolote lenye maana analolisema au alilolisimamia; lakini tunawezaje kutaraji huyu awe na msimamo wowote wa maana ilhali huyo Rais mwenyewe hana msimamo ktk jambo lolote?? Anaahidi haki na mabadiliko na utangamano kwa maneno, lakini matendo yake ni upupu mtupu! Anateua watu waovu kuanzia polisi, mahakamani akiteua majaji mpaka kwenye chama chake! Amediriki hata kumsingizia Mbowe kesi isiyo na dhamana, kisha akaifuta yeye mwenyewe! Watu wabaya wengi amewakumbatia, ikulu si mahali pa heshima tena sasa, uwongo unasemwa wazi na unafumbiwa macho na Rais kana kwamba hakuna uongozi ktk ikulu ya TZ (mfano yule mkalimani kule Chato aliyetoa tafsiri ya uwongo ya kauli ya Rais Ramaphosa wa RSA). Mifano ni mingi na inachukiza sana.
Wananchi tuwe na umakini sana katika kuchagua Wabunge wetu 2025.
Huyu baba kachoka sana hata majibu yake hayaendani na maswali anayo ulizwa
Hivi huyu ni mbunge kweli,tumekwisha
Daaah ...huyu mbunge ni aibu
Katiba na sheria ni kama karatasi tu kwa hawa maccm. Eti raisi aliona.....ni approach inayofaa!!! Shame!
Aproach
Tafsiri
Hivi kwa wanasiasa wa aina hii tutakaa tutoboe kweli waTZ?
Apa akuna mtu ni pumba tu
Majibu Pumba tupu, pumbafu kabisa.
Umekasirika, e?😆 😂 😆
Nimejiskia aibu ata kusikiliza jawabu mfu za muheshimiwa mbunge mbele ya masw
ali hai ya ndugu muandishi