As alykm sheikh wetu, hua kila siku nikisima hii aya zakaria kuomba mtoto, na alipo bashiriwa aliuza je nitapataje mtoto wakati nimekua mzee, suali langu jee wakati anaomba hakujua kua ameshakua mzee, au aliomba kabla lakin jibu likaja baada ya muda keshakua mzee ,naomba unifafanulie sheikh wangu,
Ndo maombi yake kabla hajazeeka akiwa bado akiwa kijana akajibiwa uzeen ndo maana aliulza ntapataje hali yakuwa nimesha zeeka. Nadhan umeelewa ustadh Hafidh.
Allah akulinde kwakila baya akupe uri mrefu uzidi kutupa elimu illiyo bora
Allah akuhifadhi uzidi kutuelimisha inshaallah
allah akulipe kher sheikh wetu kwa elimu yenye manufaaa
Yahaya alizaliwa nanani na Zakaria na mkewe au
As alykm sheikh wetu, hua kila siku nikisima hii aya zakaria kuomba mtoto, na alipo bashiriwa aliuza je nitapataje mtoto wakati nimekua mzee, suali langu jee wakati anaomba hakujua kua ameshakua mzee, au aliomba kabla lakin jibu likaja baada ya muda keshakua mzee ,naomba unifafanulie sheikh wangu,
Ndo maombi yake kabla hajazeeka akiwa bado akiwa kijana akajibiwa uzeen ndo maana aliulza ntapataje hali yakuwa nimesha zeeka. Nadhan umeelewa ustadh Hafidh.
Msikilze vzur shekh: amejibu sual lako vizur kama umzngayia huyo ndo Mselem Ally bingwa wa tafsir Africa masharik na kat.
Mimi sijaelewa huyu yahaya alizaliwa nanani na Zakaria na mkewe au? Sijaelewa
@@ZenaAlly-l5x ndio zakaria ,ndio maana anaitwa yahya bin zakaria