CHOZI LA MWANDISHI! INALIZA tukimkumbuka hayati Ken Walibora!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
  • Miaka miwili tangu ametuacha mwandishi Ken. Barabara ya Landhies, alikofia, iitweje?

ความคิดเห็น • 98

  • @sanaj2546
    @sanaj2546 2 ปีที่แล้ว +7

    Inna Lilah waina ilahi rajiun.
    Asante Mwana wa Ali
    Kwa kumbukumbu hizi.
    Tunamkumbuka ndugu Ken
    Mungu ailaze roho yake pema peponi.

  • @khalidabdirizak6301
    @khalidabdirizak6301 2 ปีที่แล้ว +6

    Azidi kupumzika Salama . Hakuna wa kujaza nafasi yake , hakuna ! Ahsante Ali Hassan Kwa Moyo wako wa kutuandalia kumbukumbu hai Kwa kumuenzi Hayati Walibora . Hakika ni chozi ! Machozi haswaa!

  • @sirtimothyologo4700
    @sirtimothyologo4700 2 ปีที่แล้ว +5

    Maulana na amlaze Pema Peponi. Tukija huko na tumpate.
    Watu Kama Ken hutokea mara moja moja katika kizazi.
    Buriani🙏

  • @nathanieldennis5461
    @nathanieldennis5461 2 ปีที่แล้ว +10

    The witnesses who saw what happened to Ken could have saved his life especially the one who said they called an ambulance but it took an hour to arrive, how I wish they could carry him to the nearest hospital instead of waiting for the ambulance, RIP

    • @mainadommy1346
      @mainadommy1346 2 ปีที่แล้ว +2

      Hivyo ndivyo kulivyoandikwa.Ziraili hutia watu miwani wasitambue mnachokijua na kukienzi.

  • @joshuabale4579
    @joshuabale4579 2 ปีที่แล้ว +2

    Kazi nzuri Kauleni. Mola aendelee kumlaza pema peponi Hayati Walibora.

  • @ruthnasambu5963
    @ruthnasambu5963 2 ปีที่แล้ว +3

    asante sana kwa makala haya maalum ya chozi la mwandishi. Hassan, japo ni michangu tuna piga moyo kondi kwa tumaini kuwa tutaonana na mpendwa wetu siku moja.

  • @patrickpeter8253
    @patrickpeter8253 2 ปีที่แล้ว +2

    Makala kweli yamekuwa ya kutia fora kweli Hassan.Yamekuwa na hisia za aina yake.Kongole Sana Hassan kwa kazi njema.Hakuna kubanduka hapa Kauleni TV.

  • @vincentayua9435
    @vincentayua9435 ปีที่แล้ว +1

    Mwenyezi Mungu azidi kuilaza roho yake mahala pema peponi Amina 🙏 🙏 🙏, muandishi mwenye hadhi ya juu Sana ndani ya 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪

  • @vincentmbusiro8635
    @vincentmbusiro8635 2 ปีที่แล้ว +2

    Kazi nzuri kauleni mungu aendelee kuweka roho yake palipoa na wema siku zote.

  • @eliasmwongera4563
    @eliasmwongera4563 2 ปีที่แล้ว +1

    Makala ya kuliza 😥😥, Ahsante Hassan kwa kumbukumbu ya mwalimu wa taifa Prof Ken Walibora

  • @davisnyabuto9810
    @davisnyabuto9810 2 ปีที่แล้ว +3

    Ni kumbiukizi la huzuni mno😰 alikuwa mwandishi niliyempenda kwa uandishi wake ulofunza, burudisha, n.k Mungu ailaze roho yake pema peponi
    Asante kwa makala haya mulwa mno japo ya kuhuzunisha
    Ni Nyabuto Davis kutoka Kisii kutoka Kisii

  • @kevinochieng3430
    @kevinochieng3430 2 ปีที่แล้ว +1

    Maulana Amlaze pamema Mwandishi mashuhuri Ken Walibora
    Nawe Kielelezo changu bora, Ali Hassan Mwana wa Ali, shukran kwa makala haya

  • @Wakilimdogo1
    @Wakilimdogo1 2 ปีที่แล้ว +4

    Kazi safi 🤗

  • @JuniorGaddafi3978
    @JuniorGaddafi3978 2 ปีที่แล้ว +3

    Ken Waliaula Walibora
    Nilikuja kumjua kupitia kitabu chake cha NDOTO YA MAREKANI nikiwa darasa la sita mwaka wa 2008.
    Nakumbuka tulikisoma tukiwa na Mamangu na sote tuliishia kukipenda sote.
    Siku ya habari ya mauko yake nilimpigia Mamangu Simu Na Neno Lake La Kwaza Lilikuwa Ni "Mbulaa Ndoto Ya Marekani Uufwiye...?" {Nasikia Ndoto Ya Marekani Ameaga 😢😭💔}
    Ulichangia mno kwangu kukipenda Kiswahili na kukifurahikia hadi wa leo.
    Nitakupeza sana 😢😭.
    Waama kikombe chema hakina maisha mazuri.
    Buriani kigogo na nguli wa lugha ashirafu ya kiswahili.

  • @mercykisuya5059
    @mercykisuya5059 ปีที่แล้ว

    Rest with the angels Ken,you were so inspiring to me personally 😢😢😢😢,Nakikumbuka nkisoma kitabu chako cha Kidagaa kimemwozea ambacho 2014,Hakika kidagaa kilikuozea😢😢🙏🙏

  • @vincentmbusiro8635
    @vincentmbusiro8635 2 ปีที่แล้ว +3

    Kusema kweli haya makala ya leo yemenifanya nmelia kweli uchungu sana

  • @prof.ramioseptember349
    @prof.ramioseptember349 ปีที่แล้ว +1

    miaka takribani mitatu sasa nahisi nkama jana kiza hiki kinene kilipiga mishipa izunguzayo damu kwenye moyo wangu,hakika Ken Walibora ulipo pumzika kwa amani,nudhuma zako zinaniimarisha napo kuwazia wewe pamoja na uandishi na ubunifu wako,hakika umeacha nyayo zako katika safu ya wangoi.BURIANI GALACHA💔🕊🕊

  • @bua645
    @bua645 2 ปีที่แล้ว +3

    kazi nzuri mkuu

  • @wilsonorango3387
    @wilsonorango3387 2 ปีที่แล้ว +1

    Mungu amlaze pahala pema peponi jahili Ken...tutazidi kumkumbuka daima

  • @vannyevance5322
    @vannyevance5322 2 ปีที่แล้ว +3

    Journalism at it's best 👏👏

  • @sikumojaikuluni8552
    @sikumojaikuluni8552 2 ปีที่แล้ว +5

    Kama Kuna kazi ya sanaa ninayoenzi hadi Kwa maisha yangu ya kawaida ;ni ya bwana huyu Ken Walibora.Nilikutana na kitabu chake "siku njema" nikiwa darasa la sita shule ya msingi ya Lunza ,kule magharibi ya Kenya.Kila ukurasa niliofunua ulinipa hamu ya kusoma ukurasa mwingine ..Buriani buriani..Mbengu za falsafa zako njema zilibadilisha mkondo wa maisha yangu

  • @tomtimemediattm2873
    @tomtimemediattm2873 2 ปีที่แล้ว

    Daima hatasahaulika Ken. Kazi zake alizoziandika zitazidi kusomwa daima. Lala pema penye wema Ken. Asante sana Hassan kwa kazi nzuri unayozidi kufanya Mungu akuzidishie siku zote.

  • @francismartial8460
    @francismartial8460 2 ปีที่แล้ว +5

    May his soul continue resting in peace 💔

  • @jacintamuinde3426
    @jacintamuinde3426 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Hassan Kwa kazi zuri watufanya tukipende Kiswahili.

  • @abdirahmanbabou8066
    @abdirahmanbabou8066 2 ปีที่แล้ว +4

    Chozi lingali lalengalenga. Kovu lipo kama jana. Kisa hiki kweli kinaliza

  • @clintonnobert7696
    @clintonnobert7696 2 ปีที่แล้ว +2

    Nataka kuwa mswahili kama wewe hakika nakipenda na kukienzi kiswahili

  • @maryirungu3980
    @maryirungu3980 2 ปีที่แล้ว +3

    Yaliza kweli! HILO PENGO HALIZIBIKI

  • @alvinnyongesa5206
    @alvinnyongesa5206 ปีที่แล้ว +1

    Mwandishi ambaye nilimuenzi, daima nitakukumbuka😢😢😢

  • @daphineonsongo4762
    @daphineonsongo4762 2 ปีที่แล้ว +3

    Kweli kila nafsi itayaonja mauti.Mola azidi kumlaza mahali pema peponi

  • @michealsimiyu3973
    @michealsimiyu3973 2 ปีที่แล้ว +2

    Great work Ali💯✨🎩

  • @abelkadima4210
    @abelkadima4210 11 หลายเดือนก่อน

    We the people of Kitale generously gave Prof. to the world. He was a gift.

  • @bonfacejalenga7089
    @bonfacejalenga7089 2 ปีที่แล้ว +1

    Kwa kweli ni uchungu mno kwa kumpoteza gwiji wa Kiswahili bwana ken walibora.R.I.P.

  • @omaritv1127
    @omaritv1127 2 ปีที่แล้ว +2

    Hassan natamani kuwa Kama wewe sijui Kama ninacho kipaji au nalazimisha naomba uthibitishe

  • @johnmwazemba7757
    @johnmwazemba7757 2 ปีที่แล้ว +2

    Kazi safi.

  • @djibriladamu
    @djibriladamu ปีที่แล้ว

    Ali Hassan, Kazi nzuri

  • @Kacheze90.
    @Kacheze90. 4 หลายเดือนก่อน

    Makala mazuri haya. Mungu Ailaze roho yake pema peponi.

  • @kevinochieng3430
    @kevinochieng3430 2 ปีที่แล้ว +2

    Ni yule niliyepaswa kumuona na kumlaki mie kama mswahili. Walakini Aandikavyo ndivyo huwavyo, Rabana Amlaze Mahala mema.
    Kwako mkono wa tahania Hassan Mwana Wa Ali, kwa kumbukumbu hizi

  • @davidgimonge
    @davidgimonge 2 ปีที่แล้ว +5

    ❤️❤️❤️❤️❤️👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼 ..

  • @briankudiba9810
    @briankudiba9810 2 ปีที่แล้ว +2

    Mwenyewe marehemu katika riwaya ya kidagaa alisema kuwa maisha nikama mshumaa... Kweli, pumzi kwa amani nguli.

  • @erickabuga4809
    @erickabuga4809 2 ปีที่แล้ว +2

    Kazi safi

  • @uhondotv7335
    @uhondotv7335 2 ปีที่แล้ว

    Kutoweka kwenye uso wa dunia kulinipa pigo sana, ndoto na ari ya kutamani kukutana naye kama nilivyopata fursa ya kumlaki Guru Ustadh Wallah Bin Wallah ulitoweka kama ukungu. Siku ulipotoweka kwenye uso huu wa dunia, nitasema sikuona siku njema tena. Zidi kupumzika ila leo, kesho na kesho kutwa nikipata fursa nitakutabarukia kitabu changu hata kama ni Diwani yangu ambayo iko jikoni inaandaliwa, natumai itakufaa galacha Ken Walibora. Zidi kupumzika penye wema Profesa Ken Walibora.

  • @leahmunji8781
    @leahmunji8781 ปีที่แล้ว

    Mola azidi kuilaza roho yake pema penye wema ...ni mbunifu na mchambuzi wa lugha ya kiswahili .'siku njema'' riwaya iliyonisisimua zaidi ..alikuwa mwenye ukwasi wa lugha.jalali jalia mpe Ken pumziko lenye kheri INSHALLAH.

  • @victermutethia1016
    @victermutethia1016 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwa kweri Sisi duniani ni abiria

  • @PatrickPepela
    @PatrickPepela 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu ailaze roho yake.kweli ni mazito

  • @danielosoro7535
    @danielosoro7535 2 ปีที่แล้ว +3

    👏👏👏💪

  • @dkmedia1551
    @dkmedia1551 2 ปีที่แล้ว +3

    Makala haya yameniliza na kunihusunisha. Humu duniani lazima tuonje mauti

  • @timtimwaithaka5690
    @timtimwaithaka5690 4 หลายเดือนก่อน

    Love the channel,

  • @godfreyshikuku494
    @godfreyshikuku494 2 ปีที่แล้ว +3

    Kamwe hutasahaulika Ken! RIP.

  • @kakadabby4017
    @kakadabby4017 2 ปีที่แล้ว +2

    Pumzika pema gwiji 😭🙏

  • @abdihakimalio9559
    @abdihakimalio9559 ปีที่แล้ว

    Mungu amlaze roho yake pahali panapo stahili

  • @fadhilifarjala427
    @fadhilifarjala427 2 ปีที่แล้ว +2

    Walibora alikuwa mtu zaidi ya mtu.
    Zidi kupumzika Professa.

  • @williammungaikariuki130
    @williammungaikariuki130 6 หลายเดือนก่อน

    Natamani sana siku moja atajitokeza mtu atakaye andika wasifu wa Prof hususan kuhusu maisha yake ya utuuzima au maisha yake ya kitaaluma😢

  • @kenyanews1216
    @kenyanews1216 2 ปีที่แล้ว +2

    Mchango wake katika ukuaji wa lugha ya Kiswahili ni wazi, mkubwa sana. Twatumai kwamba haki itatendwa kama si hapa duniani, kule waendako binadamu wakiaga dunia. Hassan Mwana wa Ali, koja!

  • @athmankandui5025
    @athmankandui5025 2 ปีที่แล้ว +1

    Game Akhiyari Mtoto wa nyumbani. Kumbukumbu Tosha.

  • @simonomondi488
    @simonomondi488 2 ปีที่แล้ว +1

    "Nizike ningali hai"...RIP prof 😭😭😭😭😭

  • @clarakiptum2598
    @clarakiptum2598 4 หลายเดือนก่อน

    Endelea kupumzika salama ndugu Ken Walibora.

  • @bonventrychevai5183
    @bonventrychevai5183 ปีที่แล้ว

    Gwiji mtajika kwenye lugha ya Kiswahili, yaani mwandishi, mtangazaji na mwalimu na nk. Ila kifo chake kimepakia chozi kubwa kwa wapenzi wake hasa katika uandishi wa fasihi kwa jumla.

  • @ericmoindi5578
    @ericmoindi5578 ปีที่แล้ว +1

    Kazi yako ya kidagaa kimemwozea inanifanya nakuhenzi sana chapo ulituaga.Burian gwiji, mwalimu na mwanafasii Hayati - ken walibora

  • @beatricenaliaka7640
    @beatricenaliaka7640 2 ปีที่แล้ว +1

    Kaka zidi kumpuzika kwa Amani. 😭😭😭😭

  • @kemboibriancs0102
    @kemboibriancs0102 2 ปีที่แล้ว

    Waniliza sana Hassani,Mola ailaze roho yake pahali pema peponi

  • @KowakhKowakh
    @KowakhKowakh 2 ปีที่แล้ว +2

    Kwetu njia sote

  • @stevemuendo9135
    @stevemuendo9135 2 ปีที่แล้ว +1

    Yaliza kweli. Profesa zidi kupumzika

  • @martinkaizer
    @martinkaizer 2 ปีที่แล้ว +2

    😐😐💖

  • @griffineosaka6931
    @griffineosaka6931 ปีที่แล้ว

    Nimesoma riwaya kadhaa ila sijawahi kuona riwaya nzuri kama , siku njema

  • @CynthiaOmwenga-d7m
    @CynthiaOmwenga-d7m 4 หลายเดือนก่อน

    Roho yake ilazwe pema peponi.nitazidi kukupenda sana

  • @AMBUBIWILLIS
    @AMBUBIWILLIS ปีที่แล้ว

    KENNEDY WALIAULA WALIBORA AKULAZE PEMA

  • @teddyoparanya6482
    @teddyoparanya6482 2 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri.

  • @lobaalfred1220
    @lobaalfred1220 2 ปีที่แล้ว

    Makala mazuri sana ya kumbukizi za Profesa Ken.

  • @henryntome2343
    @henryntome2343 ปีที่แล้ว

    Buriani kigogo😩♥️

  • @ismailtsembea-md6jl
    @ismailtsembea-md6jl ปีที่แล้ว

    Innalilah waina ilaihi rajiun

  • @mwalimumomanyi4852
    @mwalimumomanyi4852 2 ปีที่แล้ว +1

    😭😭😭 inalillahi wa inalillahi rajiuun 😭

  • @rahmaraa1649
    @rahmaraa1649 2 ปีที่แล้ว +1

    Wlibora 🥰

  • @zerulo_luttah
    @zerulo_luttah ปีที่แล้ว

    Apumuzike pema Bingwa Walibira siku zote nitamwenzi

  • @shakilayusuf7802
    @shakilayusuf7802 2 ปีที่แล้ว

    Nakumbuka hadithi yake ya Maskini babu yangu katika mkisanyiko was hadithi fupi...

  • @annewasike7255
    @annewasike7255 2 ปีที่แล้ว +1

    Mlumbi wa kipekee! Kumpata mwingine kufu yako itakuwa nadra. Endelea kulala palipo pema.

  • @nathanieldennis5461
    @nathanieldennis5461 2 ปีที่แล้ว

    Inachoma kweli, haki itapatikana lini

  • @titusngozire6552
    @titusngozire6552 ปีที่แล้ว

    Pengo kubwa kwenye Sanaa na lugha

  • @rahmaraa1649
    @rahmaraa1649 2 ปีที่แล้ว +1

    Kumbukumbu

  • @miriammuller2845
    @miriammuller2845 ปีที่แล้ว

    😢

  • @danielsikawa5828
    @danielsikawa5828 2 ปีที่แล้ว

    May his soul continue resting in peace

  • @museepasclia7706
    @museepasclia7706 ปีที่แล้ว

    May his soul rest in peace Ken 😭😭😭your death reminds me the death of my lovely grandma 2020 broke my heart so much 😭😭😭

  • @fredrickamani8381
    @fredrickamani8381 2 ปีที่แล้ว

    Kweli naikumbuka siku yenyewe kama jana ,kila roho itaioja mauti
    Pumzika kwa Amani Gwiji Ken Walibora
    Maisha ni kama ndoto

  • @OSCAHKIMTAI
    @OSCAHKIMTAI ปีที่แล้ว

    INANIWIA VIGUMU KUAMINI KUWA KINARA AMETUTOKA

  • @Ustadhcyrus
    @Ustadhcyrus 2 ปีที่แล้ว

    Mola amlaze pema, penye Wema Ndugu ken. Hakika ni chozi😔

  • @RONNYTVKE
    @RONNYTVKE 2 ปีที่แล้ว

    Nitaanzaje 😢😢😢😢

  • @kenseret5453
    @kenseret5453 2 ปีที่แล้ว +1

    Endelea kupumzika salama kwenye wema Jagina.

  • @thee_afrikan_teacher6877
    @thee_afrikan_teacher6877 2 ปีที่แล้ว

    Nikushukuru vipi gwiji ,mwanahabari Na Mwalimu Ali Kauleni kwa ustadi uliokolea 🐐 Daima taishi kukumbuka kwa juhudi zote hizi kuhakikisha lugha ashrafu ya Kiswahili bado yapepea Na kukolea

  • @mwinyimsamohammed92
    @mwinyimsamohammed92 2 ปีที่แล้ว

    😭😭😭😭😭😭😭

  • @abelndiwa4569
    @abelndiwa4569 2 ปีที่แล้ว

    Endelea kupumzika palipo wema gwiji, hayati Ken Walibora

  • @jacintamuinde3426
    @jacintamuinde3426 2 ปีที่แล้ว

    Let him RIp he inspired many.

  • @mainadommy1346
    @mainadommy1346 2 ปีที่แล้ว

    th-cam.com/video/1FEYPiAQO1I/w-d-xo.html
    Ken utaishi katika mawazo ya wengi

  • @powdril
    @powdril 2 ปีที่แล้ว

    Mchango wake katika makuzi ya lugha ya kiswahili hauna mfano. Mola ailaze roho yake penye wema.