Wanaosafirisha mizigo Afrika Mashariki walalamika

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ก.ย. 2024
  • Wasafirishaji mzigo kutoka bandari ya Mombasa hadi mataifa ya ukanda wa Afrika Mashariki wanalalamikia kuongezeka kwa vikwazo vya usafirishaji mizigo ambavyo vimepelekea kukwama kwa mizigo katika barabara kuu ya mombasa kuelekea nairobi. Baadhi ya trela zimekwama katika sehemu ya kupimia mizigo katika eneo la dongo kundu kwa zaidi ya wiki moja sasa. Wanadai hali hii imewaacha wakikadiria hasara huku baadhi ya wateja wao wakitishia kuondoka nchini.

ความคิดเห็น • 27

  • @Coachbill254
    @Coachbill254 5 หลายเดือนก่อน +2

    KENHA nikupenda tu hongo

  • @mkenyamzalendo4130
    @mkenyamzalendo4130 5 หลายเดือนก่อน +3

    Kenya sio nchi tena

    • @Pablo19986
      @Pablo19986 5 หลายเดือนก่อน

      Ufisadi sio

  • @sohrabtajadin3402
    @sohrabtajadin3402 5 หลายเดือนก่อน +3

    HALAFU MUNATAKA KUWA SINGAPORE. UZEMBE, UZEMBE, USHENZI UNARUDISHA NYUMA UCHUMI.

    • @thomasmutero1911
      @thomasmutero1911 5 หลายเดือนก่อน

      Sio uzembe kaka ni hongo

  • @user-cg3vf2bl6b
    @user-cg3vf2bl6b 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mchungaji WA ngombe hawezi ongoza binadamu,aliona ata hizo Lori hajui maana zake , wakenya na ujuwaji wao waliamua kuchagua wachungaji WA mifugo, sasa oneni vile inchi unayumbayumba,lakini ukifika NI mambo ambayo inahusidhia Joe biden ,ruto anajua Sana kufatilia kama sasa Haiti ,GMO LGBTQ na retrangement anafanya vizuri Sana plus taxes

  • @adamkitara3014
    @adamkitara3014 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kenya utapeli mwingi sana

  • @elphaskiplagat6461
    @elphaskiplagat6461 5 หลายเดือนก่อน

    Its true

  • @rosemarymungai2415
    @rosemarymungai2415 5 หลายเดือนก่อน +3

    What is kenya gaining by sabotaging other neighbouring countries cargo !! if you don't feel well doing business with them just tell them you're not ok with their business and give them reasons !

  • @user-py9sr5zx4v
    @user-py9sr5zx4v 5 หลายเดือนก่อน

    Vp Mgomo wa Madaktari Umeisha?

  • @BernardoKibunja-yw6nc
    @BernardoKibunja-yw6nc 5 หลายเดือนก่อน

    Vopo

  • @kariuki5308
    @kariuki5308 5 หลายเดือนก่อน +1

    How do they intend to pay Euro-bond if they keep sabotaging businesses that bring in revenue.

  • @omararale7962
    @omararale7962 5 หลายเดือนก่อน +1

    Corruption corruption corruption

  • @kibetcollins4963
    @kibetcollins4963 5 หลายเดือนก่อน

    Government should be serious and keep off killing Her economy by poor management and poor service delivery.
    @murkomen @ president Ruto

  • @MansaMusa001
    @MansaMusa001 5 หลายเดือนก่อน +1

    This is both annoying and frustrating. It shouldn't be happening in this day and age.

  • @gakahuruko2331
    @gakahuruko2331 5 หลายเดือนก่อน

    Port incompetence is destroying business

  • @kesterkanyala7718
    @kesterkanyala7718 5 หลายเดือนก่อน

    TIMES IS MONEY....I DON'T KNOW AND WHY AFRICANS, ESPECIALLY, TANZANIANS....THEY DON'T KNOW THE IMPORTANT OF TIME'S AND HOW TO USE IT

  • @ronaldodyra5799
    @ronaldodyra5799 5 หลายเดือนก่อน

    Hii ndiyo serikali ya mama mboga na bodaboda in action. Tunabadilisha maisha yenyu...😢😢😢 What is the logic of delaying cargo na kuongeza ushuru then you think you are gaining...

  • @monixmoni5307
    @monixmoni5307 5 หลายเดือนก่อน

    Pengine hunjapeana kitu kidogo

  • @jesusbrother7684
    @jesusbrother7684 5 หลายเดือนก่อน

    Sasa sehemu yenyewe ina itwa “DONGO KUNDU” 😅! Lazima mizigo ikwame 😂! Una jua maana ya “DONGO KUNDU 🤣?

    • @aamaasm2141
      @aamaasm2141 5 หลายเดือนก่อน

      Wewe ni mtu wa bara hujuui nana yake mchanga mwekundu kwa kiswahili

  • @danielmussa6944
    @danielmussa6944 5 หลายเดือนก่อน

    Davido anawashitaki media za kenya,wakenya wanazomea otile,wasafirishaji wanataka kusepa what a confused nation you are jiran😅