Mwenzako Sheikh la kisufi limechikua kitabu cha Shekh Al Uthaimin kisha kumsemea kwa sbb ya kuto soma matokeo ndo hayo Umewahi jiuliza Imam Malik Shafi Hanafi na Hambal msimamo wao ni upi juu ya funga ya Arafa
Aslm alykm, haki ni mafuta huolea kwenye maji,uwahabi hili ni dhehebu la kuundwa na pesa zilobabaisha watu na kujenga chuki, Allah atawafungua akili zao inshallah
@@saba-gv3mj mbona na kuna tofauti ya wakati. Ama hujaagalia kwa map. Tofauti ya time ya swalah kati ya mombasa na Makka ni ndogo kuliko Mombasa na Kisumu.. tafakari hilo kama unayo akili ya kutafakari
@@adilmansur4177 tafauti sio hoja saa hii navo kuambia huku kushadhiniwa alfajiri mm niko jubel dammam OK kisumu mombasa kwadhiniwa sangapi unavo ongea ww lazima uwe na akili sasa tafakari ww na kuna nchi nyengine ndio usiku wa anzaa alafu kitu kimoja kua na ilimu usikurupukwe wanazuoni wenu kina ibn taimiya wao wenyewe hawataki kufuatwa kila nchi ufuate kivake na ndio hadithi za mtume s a w fungeni kwa kuuwona alafu saudia sana sana wafuata kalenda kama hujui sasa nyinyi mawahabi mwafuata nani mana hata mashekhe wenu hamuwafuati
Kila mtu ana team yake, kama wewe ni Man U, mwengine ni Man City ama Liverpool. Haiwezekani sote tusapori Man U. Nafkiri mushaelewa hapo, haya kalaleni hakuna cha ugonvi tena
Si kila sheikh eti yanachukuliwa maneno yake,yanachukuliwa maneno yake na inakubaliwa fatawa yake pale tu,itskapowafikiana na kitabu na sunna,na itakapo wafikiana na HAKKI!! ikiwa maneno hayo ni ya sawa basi kila itakiwa kila taifa watu wake waanze hija siku yao!yawm tarawiya yaani tarehe nane nazo zikhotalifoane!!
Ujinga ni umasikini wa fikra Rudisha akili zenu nyuma kabla ya technology waislam walikuwa wakifunga vipi na siku ya arafa walikuwa wakifuata mwezi gani ?
Hawa mawahabi hawamo msikie huyo hamza wahabi utajua tu kwa kupinga suna za mtume washazoea wamekuja kuharibu dini haya huyo sheikh wenu mkubwa wakiwahabi kila mtu afuate muandamo wake
Mawahabi wanafunga kinyume na alivyofunga Mtume Muhammad pamoja na swahaba zake
Mashallah, huu ndiyo mtazamo wa haki ila mawahabi ni wapingaji tu.
Mwenzako Sheikh la kisufi limechikua kitabu cha Shekh Al Uthaimin kisha kumsemea kwa sbb ya kuto soma matokeo ndo hayo
Umewahi jiuliza Imam Malik Shafi Hanafi na Hambal msimamo wao ni upi juu ya funga ya Arafa
@@MkindiJujan nyinyi mawahabi mnashangaza sana.kwwni sheikh uthaymeen ni sheikh wenu au la?
Maashaallah
Jazaka llahull kheri
Sasa kila mji una Arafa yake Arafa nyingiii mashallah
MashaAllah
Mashallah
Aslm alykm, haki ni mafuta huolea kwenye maji,uwahabi hili ni dhehebu la kuundwa na pesa zilobabaisha watu na kujenga chuki, Allah atawafungua akili zao inshallah
Shida vishoka vya kiwahabi vya tz havielewi vinatumia ubishi kinyume na elimu.wasaudia hawajawaambia muwafuate
Assalamualaikum warahmatu llahi wa barakatih kwa nini lakini sisi waislamu tumegawnikana
❤❤❤
Huo ndio kweli
Kwa hivyo mombasa wakiuona na kisumu usipoonekana watatofautiana?
😂😂😂😂😂
Mutafunga nyote wakenya si umeonekana mombasa wahabi huelewi ww
@@saba-gv3mj mbona na kuna tofauti ya wakati. Ama hujaagalia kwa map. Tofauti ya time ya swalah kati ya mombasa na Makka ni ndogo kuliko Mombasa na Kisumu.. tafakari hilo kama unayo akili ya kutafakari
@@adilmansur4177 tafauti sio hoja saa hii navo kuambia huku kushadhiniwa alfajiri mm niko jubel dammam OK kisumu mombasa kwadhiniwa sangapi unavo ongea ww lazima uwe na akili sasa tafakari ww na kuna nchi nyengine ndio usiku wa anzaa alafu kitu kimoja kua na ilimu usikurupukwe wanazuoni wenu kina ibn taimiya wao wenyewe hawataki kufuatwa kila nchi ufuate kivake na ndio hadithi za mtume s a w fungeni kwa kuuwona alafu saudia sana sana wafuata kalenda kama hujui sasa nyinyi mawahabi mwafuata nani mana hata mashekhe wenu hamuwafuati
Haya mskizeni Ibn Uthaymeen asemaje
th-cam.com/video/eG5guS6PM8A/w-d-xo.htmlsi=Vn-9gUqgsFb0_vkP
huyu sheikh ywapinga mawlidi,hitima,hawli etc.mskizeni pia kama nyinyi ni wakweli
Kila mtu ana team yake, kama wewe ni Man U, mwengine ni Man City ama Liverpool. Haiwezekani sote tusapori Man U. Nafkiri mushaelewa hapo, haya kalaleni hakuna cha ugonvi tena
Si kila sheikh eti yanachukuliwa maneno yake,yanachukuliwa maneno yake na inakubaliwa fatawa yake pale tu,itskapowafikiana na kitabu na sunna,na itakapo wafikiana na HAKKI!!
ikiwa maneno hayo ni ya sawa basi kila itakiwa kila taifa watu wake waanze hija siku yao!yawm tarawiya yaani tarehe nane nazo zikhotalifoane!!
😂😂😂😂
Ujinga ni umasikini wa fikra Rudisha akili zenu nyuma kabla ya technology waislam walikuwa wakifunga vipi na siku ya arafa walikuwa wakifuata mwezi gani ?
Hawa mawahabi hawamo msikie huyo hamza wahabi utajua tu kwa kupinga suna za mtume washazoea wamekuja kuharibu dini haya huyo sheikh wenu mkubwa wakiwahabi kila mtu afuate muandamo wake
Mtume alitufundisha kufwata mwezi au kufwata Saudi?
@@MarsalFarjallah kufuata mwezi sio saudia