| UKUMBI | Mikakati ya Rais Ruto baada ya maandamano ya Gen Z [Part 3]

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • Rais Ruto ameahidi kufanya mabadiliko serikalini
    Bajeti za ofisi za mkewe rais na wa naibu rais zaondolewa
    Serikali ilitangaza hatua za kupunguza matumizi
    Rais amevunja mashirika 47 yenye kazi zinazofanana
    Rais aahidi kupunguza washauri wake kwa 50%
    Deni la taifa lilikuwa ksh.10.398t kufikia mwezi machi
    Rais ameteua jopo la kutathmini madeni ya taifa
    LSK yasema ni kazi ya ofisi ya mhasibu mkuu

ความคิดเห็น • 10

  • @lucafrica123
    @lucafrica123 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kenya 🇰🇪 will not be the same again. God be with all taking part in this revolution. Kenya belongs to all of us and not only for politicians.

  • @BramBram-bp8br
    @BramBram-bp8br 3 หลายเดือนก่อน +2

    Nothing else ni Ruto must go

  • @samuelkioko669
    @samuelkioko669 2 หลายเดือนก่อน +1

    Let mps take salary cuts

  • @JuliusKirui-t8j
    @JuliusKirui-t8j 3 หลายเดือนก่อน +3

    nitafurai kama rais ataondoa ofisi ya mkewe. swali ni hiyo ofisi yake niya kazi gani???

  • @saidiosore10
    @saidiosore10 3 หลายเดือนก่อน +1

  • @samuelkioko669
    @samuelkioko669 2 หลายเดือนก่อน

    For sure we are over represented by a big team of politicians who are paid a lot of money

  • @blessedmarsmith9913
    @blessedmarsmith9913 3 หลายเดือนก่อน

    The president should put the leaders who are very active in work

  • @Esendi564
    @Esendi564 3 หลายเดือนก่อน

    Ukweli akuna kitu rutto amefanya tangu akalie kiti kwani alienda km ajui job ya prezzo

  • @totalburuburu
    @totalburuburu 3 หลายเดือนก่อน

    Uwueh😂

  • @LucySimba
    @LucySimba 3 หลายเดือนก่อน

    Mimi sioni chamsingi anacho kipanga kwa sasa