Amerudi kwȧo ulitaka aongee kiingereza? anaongea Kisukuma kwa watu wake na kiswahili ili wote tuelewe hii ni nzuri. Elimu hoyeee sio kama wengine kusifia mtu flani.
Kwani huyu mbunge wa Tanzania? Anaongea na watu wake anaijua lugha yao so yupo huru kuwasilisha kwa lugha wanayoielewa. Ukitaka kuwaelewa tafuta mkarimani
Broo Mpina nipo na wewe . Nakupenda buree
Mpina tunakwelewa sana❤❤❤
Mpina yuko vizuri.
MUNGU akulinde akupe maisha malefuu
Mpina ulishakuwa waziri kuwa na hisani umelelewa ndani ya ccm, okopejwa milimo chagi soni balomolomo okopondansoni
Jembe Kama jembe mpinaa
Mpina Luhaga
Jembe
Hotuba imejaa maneno ya kisukuma Sasa sisi tutaelewaje
Mpina kuwa mtanzania
Alikuwa anasalimia ndugu zake kwa kilugha , usiwe na homa
Amerudi kwȧo ulitaka aongee kiingereza? anaongea Kisukuma kwa watu wake na kiswahili ili wote tuelewe hii ni nzuri. Elimu hoyeee sio kama wengine kusifia mtu flani.
Kisa hajasema Samia anaupiga Mwingi?😂😂 MACHAWA bana
Kwani huyu mbunge wa Tanzania? Anaongea na watu wake anaijua lugha yao so yupo huru kuwasilisha kwa lugha wanayoielewa. Ukitaka kuwaelewa tafuta mkarimani
@@geey7893🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️🏃🏿♂️
ona hata hasemi ccm oyee najua umeelewa
Huku gisambala hanang katesh watu wamekufa wengi na kipindupindu
Punguza kisu........kuma
KWANI WEWE NI CHAWA WA MTU? MBONA MBUNGE AMENYOOKA SASA HAYO MATUSI NI YA NINI? MPINA NI MBUNGE BORA KWA TAIFA HILI.
Obed huna maadili
Mpina kisu
Obed unataka awe kabila gan??
@@zebedayokatamaduni9676hakika
Mpina huko uliko hufanani hamia upande unaoendana nao
Ahamie kwa vichaa? Na wasio na staha?
Baba ako mwizi nini serekalini ?