Usajili wa Boka Chadrack Yanga wachambuliwa Viwanjani 08/07/2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ต.ค. 2024
- VIWANJANI | Sikiliza maoni ya wachambuzi Ayubu Hinjo na Michael Hyera kuhusu usajili wa beki wa kushoto , Chadrack Boka ndani ya kikosi cha Yanga akitokea St. Loi Lupopo ya DR Congo.
Je, ni mali!? Je, ataongeza nini Yanga!?
Usikose #VIWANJANI Jumatatu hadi Ijumaa saa 3:00 asubuhi hadi saa 6 mchana
Yanga oyeeeeeeeee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Yanga wanaweka formation kulingana na team pinzani ndugu zangu
Boka