Wabunge waomba msamaha kwa kupitisha mswada wa fedha
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- Naibu Rais Rigathi Gachagua sasa anawataka vijana ambao wamegadhabishwa na hatua ya wabunge kupitisha mswada tata wa fedha kuwasamehe na kuwaruhusu kutekeleza majukumu yao. Kauli ya naibu rais inajiri baada ya baadhi ya wabunge kutatizwa na wapiga kura wao katika hafla mbalimbali na kuwalazimu wengine kutokwenda nyumbani huku wakiomba msamaha.
Endeni mwanzo mfufue walioulia alafu muombe msamaha.Nyinyi bado ni wauwaji na hatujasahau
Kutoka 207 Hadi vita vya Gen z
Kenya will change now
Msamaha n mbinguni
This country must be fixed, kila mtu asalamiwe, lazima
Tafadhali naomba wakenya, never ever! Ever! allow these stupid politicians to come n talk to u!! May the spirit and blood of the young guys that were killed coz of just asking to be heard snc they were hungry haunt all these politicians and their families.. May they never have peace!!
😢😢😢😢😢
The blood of our young people cries out to God like the blood of Abel, and this is what The LORD says;
It is mine to avenge; I will repay. In due time their foot will slip; their day of disaster is near and their doom rushes upon them." Deutronomy 32.:35.
True
True
Wamalize waende..no apology.
I agree 💯 with you, 2027 we do the necessary, but hii story ya kuresign itatuweka mahali mbaya kama taifa
Walifanya watoto wetu kuliwa 😢😢
@@lucymwai7645 it's true dear, they have done wrong to the nation, but let's calm down for the sake of young souls and we sent them home 2027
😂😂😂😂😂😂😂
They should leave the office that's the only way watoke kwa izo offisi atutaki watu waku bribiwa
Hawa ni mangaa , wakuje ground watusalimie , lazima tuwarekebishe , chuma chao ki motoni , never go against ur boss adhabu ya msaliti ni
We're no longer stupid!to hell with this government!...they knew what they were doing!....
Twawangoja huku mashinani tuwasalmie
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
Salamu alheikum
Hallelujah
They should first and urgently return the money they greedily enriched themselves with.
This is the condition for partial forgiveness, otherwise watoto wetu wataendelea kuwasalimia
😂😂😂😂😂😂
Forgive them ONLY if they bring back to life all the youth who died because of them. Had they listened to you, these youths wouldn't have died.
Lazima wasalimiwe wapate funzo
Na wale mmeua nayo tutamusamehe aje sasa malizeni muende
Ni salamu hakuna kitu ingine
Gachagwa waache hao wanaviburi waendw kabisa
Pia yeye usimfiche
Genz power 💪💪🔥
Msamaha wa nini?
Waishi Nairobi .
Mtatusikiza vizuri 2027
Hawa ni mangaa , wakuje ground watusaimie
Hata wewe gachagua hakuna mtu atakupigia kura
The same guys who later on voted for KDF to be deployed on the streets....smh
gachagua should go home with his boss he keeps annoying us by singing about him and he massacred women girls children in githurai hiding bodies to hide evidence we want justice women in the market were not at any maadamano duale must go to icc
Hatuezi sahau wale watu waliuawa kama kuku our fellow gen Z
Lazima Emmanuel Wangwe, Ikana na Aseka wasalimiwe😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Hapo sawa kiongos
Unasahau Malulu Injendi😂😂
@@flilechi Ambieni MP wa Lurambi Bishop Khamala Niko na KDF yake 💪💓💓💓
@@wafulacollins6010 Hawa ndo watu tutamulika 2027... Aah Wangwe kiboko yake alikuwa Hayati Hamisi Muganda
Wameaza kuchora cartoon
Watoto waliokufa
Release all abducted young people you have taken.
Hakuna msamaha , mpaka kila kitu kisawazishwe!
Voters are not foolish no one needs you right apologies .. The ship has already sank poleni sana
Watoto wetu mwenye Alikufa, Mungu iwekewe Roho zao pahali pema peponi. Walikufa kama Babu zao wa Freedom fighters. We salute them. Even if we're not okay. Nyinyi politicians mukijua vile roho zetu ziko na mchunguu.
watu wazima wasamehewe na nani
Hawa watu hata hawana aibu
It's too late for them.
No apologies they failed us big time.They can't be forgiven at all costs.gikaris awache conmanship
THE BIG QUESTION IS, WHOM DO THEY REPRESENT IN PARLIAMENT? KENYANS DONT BE LIED TO! OUR COUNTRY IS ROTTEN IN THE HANDS OF THESE LEADERS! A CHAMELEON REMAINS A CHAMELEON
Hatuwezi wasamehee coz walifanya watoto wetu wauliwe. Our Hearts are bleeding 😭😭😭😭😭 Munaua Kizaazi chetu. Manashughulikia tu Matumbo zenyu.
Kumbe akili zenu hazifanyi kazi hadi viboko?
Ha😂😂😂
No more dirty games😅😅😮
😅😅😅 let them stay in hotels
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Asente Kwa kutuonyesha Hawa ni km tulikuwa tumewasahau,we gonna deal with them very bad
😂😂😂😂😂🎉
😂😂😂
Ombeni Mungu msamaha, yetu imeungua.
Sisi tuko site lazima mtii.
No apology
Hatutaki waende nyumbani na raisi wao
Wafanye kazi ama waendelee na wizi? YOU ARE ALL FIRED 🔥!
😂😂😂Kenya ni filamu
Lazima wafunzwe adabu na jinsi ya kuheshimu wananchi waliowapa kazi sio kufurahisha wakubwa wao ambao hawana haja na wakenya
They did not listen to their constituents! They have never listened. They should step down!
I'm sorry nimependa hiyoo I'm watching from daressalaam Tanzania 🇹🇿
Shida ni ata apology zao ni uwongo tupu nextweek back to default settings hatutaki. RecallyourMP
Noo waay hamuwezi Rudi bungeni noo way ,Just go home mkalime mashamba we don't need you any more 😢😢😢😢😢🔥🔥🔥🔥🔥🔥msamaha hatuwezi kibali after you have killed our kids noo waay big noo 🙄🙄🙄🤔🔥🔥🔥🔥🔥
Na kama atungetoka tungefuckiwa na hiyo financial bill yenu
Ask those who get a f***. They enjoy immensely. Be decent bro.
They should resigh 🙄
MPs terms should be reduced to 3 years. Warudi waombe kura wajue wanafanyia wananchi kazi sio president!!
A bunch of thieves. Hakuna nafasi watapewa. Ata wewe mwongo kama boss wako tu. Wote nyumbani. Gen. Zs - stay alert. Don’t give them peace.
Lazima tusalimiane walai
Nani alimfanya huyu Sharehoder sanitizer.He is also our problem.
We shall not forget 2027 mtatii tukianza na wewe ruto turn up 100% kukutoa verry early in the morning labda dollar ikuwe imerudi mpaka 70bob 😂
Let the not be allowed in their constituency...Waende wakae Kwa Zakayo sugoi..
Bado ruwaida obo watu walamu muache kulala gen_z no way for another chance
hakuna msamaha hapo, ni kujifanya tu, tupatane mashinani
How comes wote wameanza kua wazuri,from Ruto.Something is cooking
Ruto should Call kasarani meeting with the youth ,people have no faith with these dogs in power so direct dialogue with the citizens ..Gachagua is a dog himself ATI wapewe nafasi ya kuendelea kuhongwa milioni mbili na kuiba
hawa hawarudi hatuwataki
Reverse psychology
Mulituuza million mmbwa nyinyi
No apology we want wamalize waende will never forget
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Majuto Ni Mjuku...
You had your say, let us have our way. We reject you in totality. You have clearly proven to us that we don't matter cos of cheap handouts. Tutawasalimia one by one.
Rigathi asking Kenyans to be fair, shame on you, so many innocent soul were murdered like dogs
Hiyo ni ujinga. They voted three times. Once,Twice,third,zote walipiga Yes eti sahizi wanaomba msamaha. Bure Kabisa
Warudishie ruto Hella zake !wasaliti wao!wapy makilap mp wa baringo ?
Wambunge wanaomba musamaha wafufue vinjana waliopigwa risasi la sivyo waache kukijeli wakenya
Every decision has a consequence wamalize waende
Acheni ujingaa si mlithani mlichaguliwa na Mr Arap mashaba , aki wa hongaa na 2millions each...tume wangoja sanaa huku nyubani lazima tuwatembelee sisi Kama ma Gen z
wabunge waende nyumbani..,.wanafanyia nani kazi?Wanapewa hongo ya kupitisha miswada dhalimu,walikatazwa wanajiona wenye nguvu Sana na kukaidi agizo la mabosi wao,wananchi!Wanafanyia nani kazi?
Wajinga waliisha kenya,, hakuna vile utavote yes baada ya kukatazwa na wananchi alafu ukuje uombe msamaha.. an eye for an eye..let them feel the way we felt baada ya hao kupitisha. Salamu ni lazima!
Sisi sio wajinga...we can see through the lies
Hakuna cha makundi tayari wameshasema wanacho taka kuteua wawakilishi nikutafuta kumaliza watetezi wa wanyonge kabisa.
Hakuna msamaha kwa wasaliti.....wametusaliti mara mbili kupitisha mswada wakutukandamiza nakupitisha Amri yakuketwa wanajeshi mitaani,...watajua hawajui
Akuna musamaha hapo vile walilipwa 2m kwakila mmoja mbona hawakukataa hizo pesa waende wawalipie wale wenye mahandamano ili wa ffect kenyatta hospital bill , hizo ni pesa za uma nizatumika vibaya . Gez shikilie tu hapo hapo
After baadhi ya wandamanaji kuwawa na wengine kujeruhiwa na ma-askari walio fuata oder kutoka kwenu sasa ndio mnaomba msamaha, huo wenu ni unafiki tunawajua na tushawapea X 2027 tukutane kwenye debe
AKUNA KUWASAMEHE YAN MTU ANAHONGWA 2M ILI KUTUUMIZA SISI? HUO MSWADA UNGEKUA MZURI WASINGEHONGWA WANGEPITISHA KWA HIYARI YAO TU...
HUYO GASAGWA PIA NI HAKUNA KITU ANAFAA KUTUAMBIA MKORA MKUBWA PRETENDER. HATA ILE ALIKYA ANAJIFANYA ETI WAMEKOSANA NA BOSS WAKE NDIE ATUINGIZE BOX , UKWELI WA MAMBO NI KWAMBA ENTIRELY KK REGIME ARE THE SAME...
Hakuna msamaha lazima tumasalimie kuja nyumbani tutajua venye iko na Genz Z izo matumbo zenu mlipeka kwa president kama yeye ndiye alikuchangua mkasahau ya kwamba raia ndio waliwasidia ukafika apo so kuwa tayari kusalamiwa na Genz Z
Hii ni kukejeli wananchi. Yafaa wajihusulu mara moja coz hawajui wajibu wao, Kisha wangaramikie waliokufa wakitafta haki.
Hao wabunge waede kabisa..
Kwani hawakuwa wanajua wanamaliza wakenya..
Wakakae statehouse
We can't forgive Since tumbo yenu do inatamaa,,, dustbin
Hakuna msamaha tunaeza sikiliza kunyeshe kusinyeshe lazima tuwazike wale waliuwawa kwa sababu yenu lazma mtawafuata tukiazia na kimani Ichungwa my friend ur days are limited in this world labda ukae kwa nyumba usitoke
They should not be apologizing but explaining to the people why they voted yes.This a country apologizing make me feel more disgusted than ever!
Wajinga yote nyinyi we're tired of you all.nkt
Eti tuwape nafasi ndio wazidi kupora pesa zetu wakijua 2027 hawarudi kwa kiti sisi siwajinga
Wasalimiwe tu juu ya kiburi Chao . Wamefanya watoto wa watu wamekufa bure.
wasamehewe nini ,
Saitan
Mlikula rushwa ,mkageuka kama lumbui ,kiasi kwamba kinyonga mkatembea aste aste na hiyo tabia ni mbaya kua mola maulana, sasa piga pusu chumba uakilishi na tia tamati na kuaeri ya kuonana .muhula hii kila aliye mkatupa mbao ,mbiu ya mgambo ni tarumbeta ,ondoka sasa wenye nji wakalie maskan ,wakule ,walale watembee vile walivyio
Ni kisasi yenye orodha eruvi ya tamati
Kuwani gachagwa yeye ana jidai ati ako msafi,hata ruto amekuja hivyo
Hao niwapumbavu sana kama ruto angekumbli je
nawaomba ndugu zangu wakenya msiwasamehe katu.
wao ndio sababu ya maumivu yote pamoja na vifo vya raia wasio na hatia.
When Trust is Broken Sorry Means Nothing
Hakuna msamaha wajinga hao.Watajua mwananchi ndyo kusema.
Wakuje in public waombe msamaha
Kitambo mwananchi akuite mheshimiwa,,,,hawana hata aibu
Youths tunajuwa ni Game plan 🏃🏃🏼♀️