Hongera, hongera, hongera. Sifa na Utukufu ziende kwa Mwenyezi Mungu. Utaongoza vizuri kwani MKONO wa Mwenyezi Mungu uko juu yako. Congrats Mtanganyika Mzalendo.
Hongera sana kwa ushindi ulioupata wa kuwa rais wa TLS. Tunamshukuru Mungu kwa kukuwezesha kushinda katika uchaguzi huu. Tunawapongeza na kuwashukuru wana TLS kwa kutuletea mzalendo huyu. Tunamtakia Mwabukusi ufanisi mwema katika utekelezaji wa majukumu yake mapya. Tafadhali usiwaangushe waliokuamini, kukuombea ushindi, na kukupigia kura ya ushindi. Watanganyika wana matarajio makubwa ya mabadiliko chanya ktk TLS, ulinzi wa rasilimali za nchi, na utekelezaji wa haki nchini. Chini ya uongozi wako tunalo tumaini la kupata Katiba mpya na kurejea kwa Tanganyika. Mungu akubariki na akupe hekima ya kuongoza vema!
Haki ukiisimamia haki inalipa heshima pia itakiinua chama chenu umoja wakudumisha amani na kuvumiliana na. Kusameheana kutaongeza utu na ungwana na watakia heri busara hekima hayo yawe mavazi yenu kwa jamii na kazini kwenu ndani ya nchi na nje ya nchi. Amina
🎉mungu mwema ninakushukuru kwa ajiri ya mtumishi wako uliemlidhia naomba umpe hekima ulinzi na maalifa akutumikie kea uaminifu sifa na utukufu tunakurudishia wewe mungu amen
Hivi televisheni za Tanzania Zina matatizo Gani Hadi jambo kubwa kama hili wanashindwa kurusha hewani. Mbona mambo mengi Sana ya ovyo kama izinduzi wa vyoo wanaonesha? Acheni ubaguzi sisi jatupendi hata kidogo msione tumenyamaza hata hatutazamagi huo ushenzi
Hongera Mwabukusi. Sasa tutaiona taasisi ya TLS ikitekeleza wajibu wake.
Hongera, hongera, hongera. Sifa na Utukufu ziende kwa Mwenyezi Mungu. Utaongoza vizuri kwani MKONO wa Mwenyezi Mungu uko juu yako. Congrats Mtanganyika Mzalendo.
MUNGU AMETENDA KWA WAKATI. NI SIFA NA UTUKUFU KWA MUNGU
Watanzania tunakuamini Mwabukusi, hongera kwa ushindi wako. Watanganyika tunaamini utatuvusha.
Hongera sana kwa ushindi ulioupata wa kuwa rais wa TLS. Tunamshukuru Mungu kwa kukuwezesha kushinda katika uchaguzi huu. Tunawapongeza na kuwashukuru wana TLS kwa kutuletea mzalendo huyu. Tunamtakia Mwabukusi ufanisi mwema katika utekelezaji wa majukumu yake mapya. Tafadhali usiwaangushe waliokuamini, kukuombea ushindi, na kukupigia kura ya ushindi. Watanganyika wana matarajio makubwa ya mabadiliko chanya ktk TLS, ulinzi wa rasilimali za nchi, na utekelezaji wa haki nchini. Chini ya uongozi wako tunalo tumaini la kupata Katiba mpya na kurejea kwa Tanganyika. Mungu akubariki na akupe hekima ya kuongoza vema!
Naiona kesho njema~Mwabukusi ❤❤❤❤❤
HONGERA MWABUKUSI kumbe shida zote zile ni Mungu alikuwa anakuonyooshea njia
Hongera Sana mwabukusi, Kamata mikoba
Hongera baba,tunakuomba ukadai katiba mpya.
Mungu AWABARIKI sana MAWAKILI MMETENDA KWA HAKI
Mungu akujalie katika majukumu yko leader.
Hongera Wakili Mwabukusi. Tunakutegemea kuleta mabadiliko.
Hongera sana sana. Nimefurahi utafikiri ni Mimi nimeshinda. Unatoa funzo Kwa wale wanaopambania kile wanachoamini. Mimi nikiwa mmojawapo. Hongera sana
Mungu ni mwema sana jamaa walimuondoa kugombea kumbe Mungu amemchagua aisee...hongera sana ndugu Mwabukusi
Mungu ni fundi❤
Hongera mwabukusi nenda kasimamie rasilimali kama ulivyojinadi
Vizazi vijavyo vinakutegemea. Unaenda kulinda rasilimali za Taifa 🎉🎉
Haki ukiisimamia haki inalipa heshima pia itakiinua chama chenu umoja wakudumisha amani na kuvumiliana na. Kusameheana kutaongeza utu na ungwana na watakia heri busara hekima hayo yawe mavazi yenu kwa jamii na kazini kwenu ndani ya nchi na nje ya nchi. Amina
Omba urais 2025 Mwabukusi jina limetakata hilo
That is what we want ooooh congratulation Mwambukusi very good
Hongera Mwabukusi Roho Mtakatifu akuongoze na Damu Takatifu ya Yesu Kristo ikulinde na kukutunza wakati wote uwapo Rais wa TLS
Amina
Hongera sana. MWABUKUSI MWAMBA.MUNGU AKUTUMIE.
Ongera sana, Mungu akutunze❤❤
Hongera Mwambukusi mungu akulinde
Asante mungu chaguo wetu limetimia mungu umejuwa kupokea maombi yetuasante mungu kwa kuwa bado unaitetea nchi yetu
Hongera mno mno
Mungu akutangulie ukatende haki kwa wote usirudi nyuma tunatambua harakati zako.
Hongera mwambukusi kwa ushindi, sasa kazi tu katika kutenda haki kwa maendeleo ya nchi.
🎉mungu mwema ninakushukuru kwa ajiri ya mtumishi wako uliemlidhia naomba umpe hekima ulinzi na maalifa akutumikie kea uaminifu sifa na utukufu tunakurudishia wewe mungu amen
Hongera sana shujaa mwabukusi
Mungu halinganishwi kabisa Mwabhukusi tumpe utukufu Mungu Amen
Hongera sana. Tunasubiri kazi iendelee. Tunaimani nawe. Never giveup
Hongera sanaa msema kweli usiyetetereshwa usipenda maonevu mikataba ya ovyo mwisho
Nimefurahi sana ,hongera MWABUKUSI
Congratulations, we will closely watch your performance brother, you work begins today
Mungu akubariki sana uendelee kutetea wanao lala hoi
Hongera mwamba
Hongera Sanaa kiongozi wa kweri
2025 Lissu awe Rais na Mwabukusi awe Waziri Mkuu nchi itabadilika na kusonga mbele haraka sana.
Mimi binafsi nimefurahia ushindi wa Mwambukusi, Mungu akuongoze
Msema kweli mwabukusi nampenda sana anateteya mpaka machangu na bandari
Hongera saa'ana
Hongera mwamba
HONGERA SANA KAKA MWABUKUSI TUNAKUAMINI SISI WANANCHI
Hivi televisheni za Tanzania Zina matatizo Gani Hadi jambo kubwa kama hili wanashindwa kurusha hewani. Mbona mambo mengi Sana ya ovyo kama izinduzi wa vyoo wanaonesha? Acheni ubaguzi sisi jatupendi hata kidogo msione tumenyamaza hata hatutazamagi huo ushenzi
Ongera sana kk umepigania haki yako
Hongera brother
Hongera baba ww ni mtu na nusu
HONGERA SANA MH.
Amen God is good
Mwabukusi rudisha bandari yetu ❤❤❤❤❤❤❤❤😅
Hero Mwabukusi
Mungu ni mwema
nakukubali kijana enda ukaupige unao uwezo chunga tumbolako usiskilize haramu
Usie mpenda kaja
Wao
Wanasheria wote Mwabukuzi kashinda, wanasiasa feki tulieni tuwanyoe
Ongera mkuu tutavuka
hoñgera sana mpigania haki
Hakuna lenye mwazo.lisilokuwa.na.mwinsho.mungu.akikuinua.hata.waangaike.vipi.ni.bure.tuu.mungu.akubariki.sana.muheshimiwa..si.mlijifanya.tumemfutia.uwakili?.Mungu.karudisha.Kubwa.kuliko.chukueni.na.huo.tuone.sasa..hamuwezi.kushindana.na.mungu
Tulikuhitaji tunasubiri matarajio yetu yaonekane hatutaki mbwela tena za tulikotoka.asante mungu.
Mungu ni Mkuu kwa Kumfanikisha Wakili Msomi Mwabukusi kuwa Rais wa TLS Hongera sana sana sana
Safi.sana.
❤❤❤
Mambo ni mwemwele. Ongela mwabukusi
Na lazima utafute ubunge mbeya mjini aisee
Neema ya mngu imetimia
Saaaaaf kabisa
Ooh my god
Shujaa mwabukusi hooooyeee
Sijui kama ni kweli maana lile fukuto lilikuwa kali over.
Safi Sanaa sitahili kabisa
Nimefurahi mpaka basi!
Yule anastahili kunisaidia serikali hasa kuingia mikataba ya wazi
Tls mmefanya kitu
Ivi nikweli ameshinda naomba mnihakikishie niende kula bata kwa furaha
unachoeleza kinaendana na kichwa cha habari??
Haleruya
Saaaaaf saaana
nimeamini kumbe mawakili wapo timam
Huyo nimtu sahihi
Mwabukusi Hilo ni jembe
Teteeni watanzania wapo watu miyo yao inalia huku wanatembea
Honhera mwabukusi
Liongo ilo
Muongo mama ako aliekupa baba ako bandia ndo maana ukakosa akiri
Yuko vizuli
saf san
Kajujumele
WHO CARES
Is up to you
I care❤
Hongera baba ww ni mtu na nusu