Visa vya uhalifu katika sekta ya bodaboda vyarejea

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
  • Maafisa wa usalama jijini Nairobi wanawazuilia washukiwa 28 na pikipiki 200 kufuatia kuongezeka kwa visa vya wizi na wahalifu wanaotumia pikipiki hapa jijini Nairobi. Oparesheni hiyo iliyoanza jana ilijiri baada ya mhudumu mmoja wa Mpesa na mhasibu mmoja kupigwa risasi na kuuawa na wezi hao maeneo ya Mountain View na Donholm wiki jana.

ความคิดเห็น • 29

  • @bANana-yf1qm
    @bANana-yf1qm ปีที่แล้ว +3

    Uhunye carried blame , insulted for trying to tame these guys. Wacha tuone government ya bodaboda na mama mbogas.

  • @MichaelMengo
    @MichaelMengo ปีที่แล้ว +8

    Sakaja alisema waachiliwe so msitete freedom is here😂

    • @bANana-yf1qm
      @bANana-yf1qm ปีที่แล้ว

      Freedom is here. Everyone keep calm.

  • @RK-xv1si
    @RK-xv1si ปีที่แล้ว +5

    I don’t know why Ruto is abandoning special unit thugs are clapping!

  • @johnmwangi1493
    @johnmwangi1493 ปีที่แล้ว +4

    Dube my deskmate back in highschool .....may who ever did this to you never have peace .....RIP G

  • @djk3-kenya.
    @djk3-kenya. ปีที่แล้ว +8

    This was the work of SSU that was banned by Ruto.

  • @hagaitina7645
    @hagaitina7645 ปีที่แล้ว +5

    Boda boda every where are composed of thugs

  • @stephenmwangi9311
    @stephenmwangi9311 ปีที่แล้ว +2

    Hawaendangi mbali, ni siku tu wanahesabu waondoke

  • @daveparko3519
    @daveparko3519 ปีที่แล้ว +4

    Its sad that we continue to hear about such cases of people losing their lives due police laxity, inability to fight crime, feckless leaders who promise heaven but deliver nothing. There needs to be strict reforms in the boda boda sector to weed out criminals. I highly doubt Kithure Kindiki is the man to do reforms in boda boda sector. Pathetic.

    • @danielmlewa4936
      @danielmlewa4936 ปีที่แล้ว +1

      Police wakifanya kazi mnalalamika tena

  • @jeffowinostv3981
    @jeffowinostv3981 ปีที่แล้ว +4

    Celebrated wen SSU was disbanded xaxa machozi imeanza

  • @tobiasorimba176
    @tobiasorimba176 ปีที่แล้ว +3

    This is because the Governor has allowed them back in CBD. It's a mess na bado.

  • @nairobinightlifetv6560
    @nairobinightlifetv6560 ปีที่แล้ว +2

    People steal everywhere even with private vehicles it doesn't mean every rider is a thief.

  • @technician139
    @technician139 ปีที่แล้ว +1

    There is a point being driven to the public that if police don't continue using guns in the name of special branch then we are not safe media always want you to see what they want to drive a point

  • @samuelndegwamburu3273
    @samuelndegwamburu3273 ปีที่แล้ว +3

    This is a gang, even in Mwihoko is the same

  • @mwash7777
    @mwash7777 ปีที่แล้ว +2

    Hawa ndio wanatetewa na serikali ya ruto wanapondai ssu iliua kiholela

  • @johnstoneolefa913
    @johnstoneolefa913 ปีที่แล้ว +1

    In ruai I was robbed at 7 pm at gun point na nilipigwa sana and when I traced my phone the last location showed it is in komarock estate but the ruai police station and the DCI offices have not taken action up to date. Yet the same thugs are terrorising this area daily even at 8 in the morning and the ruai police station is only 1km away. Already in this area we have lost more than 4 youths from thugs. Hao wezi ni vijana watatu with a motorbike armed with ak47 and a revolver. Commander was police anasema amepokea visa nne tu.... And in ruai the day I reported I got that day there were almost 12 cases and mine was the 13th case.

  • @Liberated_african
    @Liberated_african 3 หลายเดือนก่อน

    Reasoning yenyu iko down tu sana, mko mbali from liberation. West livity inawasumbua sana. Reporting yenyu iko chini

  • @mikemuchene2045
    @mikemuchene2045 ปีที่แล้ว +3

    The freedom is back as they were promised.

  • @rachaelw580
    @rachaelw580 ปีที่แล้ว

    Si heli wangechukua pesa na simu then wamuuache hai

  • @ceciliahmwangi497
    @ceciliahmwangi497 ปีที่แล้ว +1

    Weka wao chini

  • @lambezofficial1
    @lambezofficial1 ปีที่แล้ว +1

    Hawa watu wanatuharibia kazi Sana nkt🙄

  • @topscorer9836
    @topscorer9836 ปีที่แล้ว

    back to default settings

  • @chaulisi
    @chaulisi ปีที่แล้ว

    Ma hustler wamekujia zai

  • @amedeogikonye4694
    @amedeogikonye4694 ปีที่แล้ว +2

    Freedom they were promised has come.