Jacob Juma's Prophetic Tweets Cause Storm Online |Monday Protest Preparation
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 มิ.ย. 2024
- Subscribe To Our Sister Channel :
/ mulembenation
Join this channel to get access to perks:
/ @sturehpunchline
WhatsApp # +254708340092
M-Pesa Support # +254708340092 Charles Inangungwa Stureh
Join our WhatsApp group for instant news update |Classified Information chat.whatsapp.com/L2xxhduqkPl...
In Case you missed our previous analysis:
Dram In Nyeri As Gachagwa Orders UDA Wheelbarrow Symbol Pulled Down
• Dram In Nyeri As Gacha...
Members-Only Videos
• Members-only videos
Please Remember To : Subscribe, Like, Comment & Share
/ @sturehpunchline
Follow Us On Our Facebook Page : @Stureh Punchline
/ africapoliticspunchline
@SturehPunchline @SturehCharles @MulembeNation
---------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------------Copyright Disclaimer Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research. Fair use is a use permitted by copyright statute that might otherwise be infringing. Non-profit, educational or personal use tips the balance in favor of fair use
#sturehpunchline #ruto #railaodinga #rigathigachagua #williamruto #marthakarua #uhurukenyatta #musaliamudavadi #kalonzomusyoka #wetangula #pastorezekiel #moseskuria #marthakoome #sakaja #erickomondi #nairobi #malala #nuruokangake #georgewajackoyah #kimaniichungwah #edwinsifuna #khalwale #massaction #kithurekindiki #mutahinguny #kenya #spicefm #citizentv #ntvnews #dailynation #ktnnews #cnn #aljazeera #bbcnews #skynews #taifaleo #dailynation #dailynationalnews #kenyansinsaudiarabi
GenZs should demand drastic reductions of salaries of the president,his deputy,CSs;PSs,Senators,MPs, CMCs & other v senior government officials.It''s immoral for them to earn a fortune in a sea of poverty.
Totally concur. And also they should use public hospitals not private so that they make sure all the public hospitals are well equipped. Why are our taxes paying for their private medical cover and yet we kenyans cant afford private hospitals?
"3/4" of the Proceeds of "2024 Finance Bill" meant for "Ruto and his Family"!!!(The rest for his Cronies)"!!!.
Kudos Gen Z. Tell them as it is. May God protect you.
The head of corruption is ruto himself,and a big liar
They say they are taxing kenyans to repay debts , but have never shown all loans taken and balances , if any .It is like taking a loan with a bank. You diligently repay for a long time, but when you ask for your loan balance statement, the bank says it is confidential., and contues demanding more payments
Na sai ako church tena mbele ya mathibau,
It used to happen during Biwot's regime
kitu ambacho mjue kitu mbaya ni kudangabya watu ambao wana ona kwa mfano ruto ndie shida ya taifa na ukiangalia ni kuwa ajui kuwa hio uongo ana sema ni kitu ambacho ame sema kwa miaka kwa mfano ndio kenya tuki tako na madeni sio uongo ni ukweli kabisa kwa mfano kibaki alikopa triolioni moja kwa miaka kumi uhuru na ruto waka kopa, zaidi ya trillion tano kwa miaka chini ya tano na ukiangalia uta kuta kwamba kwa wakati mingi ruto alikuwa aki tumia migawanyiko ya kijamii na kupaka watu matope kwa kuwa anaetaka kuleta miga nyiko ndio watu waone wengine kuwa adui ya wengine kwa mfano ana sema kulipa deni nani ali kopa kwa mfano kama tunge kopa wote tunge lipa wote lakini ruto ndie ali kopa sasa yeye ndie alipe deni kwa mfano kama ni watu mishahara kenya watu wana lipa ushuru na miko kwanza mna sema wazi vizuri lakini kitu mbaya ni kuji changanya kwa mfano mikopo yote kwa asili mia sabini ziko kwa mikono ya ruto na kama taifa ndio ili kopa basi tuna faa kuwa na viwanda kathaa ambazo zina lipa watu mshahara kwa mfano naweza sema kenya kama taifa tuna weza sema deni yetu ni trillion moja nukta nane pekee lakini zingine imf na china waulize ruto sio taifa kwa mfano anapo andika mswada wa ushuru hizo fetha zita toka wapi kwa mfano biashara zime kufa na mtu ana sema simu kubwa kwa mfano simu sio gari kwa mfano ruto ako na magari mingi za aramu kitu ambacho ni mbaya ni kuwa ana tunga mambo kisha ana yafanya kuonekana kama ugombi kwa mfano kama tunge kuwa na uchunguzi huru atunge kuwa na hizi ujinga kwa mfano alichua pesa tangu wakati wake na uhuru na hio ndio una ona ako na uwezo wa kulipa kila mtu kwa mfano kitu mbaya ingine ni kuto pea watu nafasi ya kazi ukiweka biashara ana kuja ushuru na hio ndio kitu ambacho ni lazima watu wasi lipe ushuru kwa hii mwaka ndio tujue pesa ya taifa uwa ina enda wapi kwa mfano wakina murkome wana vaa saa ya pesa mingi na mshara sio hio kiwango hio ni ujinga sana kwa ni lazima watu tufanye kitu kwa ufisadi kwa mfano sasa hivi ana shika watu wa pesa ndogo na kuwacha wale wa mabilioni lazima tufanye kitu kwa ufisadi kwa mfano pesa ya ushuru sio mali ya ruto ushuru watu wana lipa kwa sababu ya uduma na ita kuwa viema kama china na imf wadai ruto moja kwa moja sio taifa kwa mfano mwaka jana ame pewa fetha ziko wapi kitu ambacho tuna pinga kwa kiwango kikubwa ni ufisadi kwa mfano ata waki weka saini mswada mtu asi lipe ushuru kwa mfano mabeki zitoee kitu kama kukata watu pesa za ushuru kwa mfano mtu aki peleka pesa yake kidogo ana pewa kuwanga tiyari pale ana fanyia kazi ame lipa hizo vitu ndizo lazima ruto pamoja na police wawache ujinga yao tuna taka mali ya taifa kwa mfano ana amusha fujo aki jua kuwa watu waki lipa ushuru kwa hio kiwango basi ni asara kwao
Are Kipchumba and " Engineer " Oscar Sudi a resurrected Nicholas Biwott ?
How about eyes 👀 contact did they drop it.