Mungu wangu wajua ni kiasi gani nimeguswa na wimbo huu 😭 Baba naomba uendelee kumpaka mafuta mja kazi wako asije akaanguka maana shetani yupo kazini kuwarudisha nyuma walio wako
God bless you, that's true peoples doesn't want to hear about repentance. Nice message. Only Jesus Christ can save us. No Jesus Christ,no peace and no repentance no Jesus Christ.
Today I came across this song I must say, you're a talented brother, your songs are full of spiritual teachings.Keep going brother,God bless you, bless others through your songs❤❤❤
God bless you brother 🙏 but pokea magari siyo lugha yetu ila ni ya Dunia ya leo, also adui wa mkristo siyo mkristo ila ni wapagani. Msamahani kurebisha hapo kidogo🙏🙏
Mungu wangu wajua ni kiasi gani nimeguswa na wimbo huu 😭 Baba naomba uendelee kumpaka mafuta mja kazi wako asije akaanguka maana shetani yupo kazini kuwarudisha nyuma walio wako
@@lifeofvicky91 amen amen
Huu wimbo umegusa ubalikiwe kaka Amen nyingi mtu angekua anafanya like mala nyingi ningefanya
Nakumbali brother follow w.m gospel music ❤❤❤❤🎉🎉
Mungu Anakupenda Sana Zidi Kutaka akuongoze KATIKA kuimba na Mungu Akubariki sana Kwa Ujumbe nzuri
Brother God bless you. Kwa kazi
Nzri sana sana aice kweli dunia sio lafiki kabisa
Kweli hii Dunia nishinda tu mungu atusaidie kabisa
Hiiih ndo dunia ya leo ususani vijana hali ni tete saaaaaaaana 😢😢 MUNGU atu saidie saaaaaaaana
MUNGU aku bariki saaana Godfrey
God bless you, that's true peoples doesn't want to hear about repentance. Nice message. Only Jesus Christ can save us. No Jesus Christ,no peace and no repentance no Jesus Christ.
Amen my best gospel song 🙏🏾🙏🏾🙏🏾❤❤ be blessed 💕🙏🏾
Love it
Bwana akubariki sana kwa wimbo huu.Dunia ndivyo ilivyo leo.ningetamani wimbo huu kuwa na dakika zaidi ya 10
Wow 🙏🏾🙏🏾🙏🏾 barikiwa
Amène sana kaka Ubarikiwe 🎉❤
Skiliza wimbo uhu kwaumakini utajifunza kitu ❤
Amen amen ❤❤ Mungu akubariki sana ndio ni kweli ❤❤
Ubarikiwe sana 😢brother ahise mwenyezi MUNGU azidi kukuinuwa kwa kazi yako Dunia ya sasa 😢🤲🙏
Amina Amina barikiwa sana
Huruma Sana kwa walimwengu. Wimbo umeongea reality tunayo ishi kabisa. Ubarikiwe.
Tume barikiwa kwa wimbo Kaka angu 🙏😢
Daa ubarikiwe sana brother nyimbo zako uwa Zina fundisha sana, mungu aku bariki sana🙏... uwa napenda sana kusikiliza nyimbo zako🙏
Amen
Bro huu wimbo uwa unanitoa machozi siku mzima unarikiwe sana
Unaimba nyimbo zuri sana na zakuelemisha watu🎉🎉😢
Kaka omba Sana una kitu ndani yako usiache kuomba 😭🙏🙏
Kaka mungu akuzidixhe kipawa chakoo akika iii nyimboo imenibarikii
Today I came across this song I must say, you're a talented brother, your songs are full of spiritual teachings.Keep going brother,God bless you, bless others through your songs❤❤❤
Amen amen amen I’m humbled
Amen Amen ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana
Nimejifunza kitu kwenye maisha yangu mungu akubariki
Mungu anajuwa jisi nime guswa na wimbo huu amen
Napenda nyimbo zako sana kaka natamani sikumoja nikuone laivu,uyo mwengin dasa wako mrefu ananikoshag mungu awape Maisha marefu❤🙏
Be blessed mtumishi 🙏👏🥰
Amena mke wangu❤️
Amen 🙏🏽 brother wimbo umenigusa kweli
Barikiwa sana mtumishi 🙌
Keep it my kaka . Mufanyiye Mungu kazi . Utuimize sisi wa Christu
Wimbohuhu naupenda kuliko nyimbo note hapa TH-cam.
Nakupenda uwimbo sana nakumbuka sana
Amina kubwa mtumishi. Ujumbe mkubwa sana 🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Good message brother, Dunia haina wema!
Ubarikiwe sana kwa nyimbo zako kuwa furaha kwangu
Yesu Kristo akuimarishe Kaka
Amina
Asante sana mwanangu nimejifunza mengi kupitia nyimbozako kwa iyo naitaji niongee na wewe iyo ndio Adress raisi ili tupatane kwa Imani.
Noma kabisa 😭😭😭dunia ya leo hatariiii
Adui WA mkiristo ni mkisto tunaenda wapi mungu wangu tuokoe watu wako tunaangamia,bro mungu akupe kila njia uzidi kututoa gizani ❤
Other hit songs in city.stay bless brother G
From congo🇨🇩🇨🇩 nakukubali sana
Kipaji kizuli Mbinvguni tutaimba Mungu Akujaze utukufu wake
Amen amen ubarikiwe sana 🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Ubarikiwe sana! Hii ni kweli kabisa.! Mungu amejuwa kukupa maono juu ya wimbo huu
Yani huyo mwimbo umetoka kwa mungu
Powerful song addressing realities of people. May you continue to be blessed 🙌🏾
What a message God bless you bruh 🙏🙏🙏 big up
God bless you brother 🙏🏾❤️
Amen amen I received 🙏🏾🙏🏾
Blessing song to me surely,
😭😭😭😭😭😭Mungu niokoe pamoja na jamii yangu kwa hii dunia ya unafiki
😢😢😢 busara tupu wimbo mzuri , barikiwa
uki skiya mtu ana kipaji cha kuimba iki ndo kipaji na siyo mauzo kaka ubarikiwe
AMINA kijana wangu hakika unaweza
Nakupenda bure
God be with you my brother I love your song I just see it today and I really like it
God bless y ma brother ❤️
Amen
😢😢😢😢 Acha niseme tu Mungu akubariki kaka
Song been here for a year and just heard it today what a powerful words ❤❤❤
Ubarikiwe sana 🙏
This song is great ❤❤❤❤❤
Lovely song
Amen brother may God bless you
Ubarikiwe kaka ❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
amen sana kiongozi 👏👏👏
Amen brother be blessed so much
Thank you
Amena ibarikiwe 🎉🎉
Thank you for this song brother be blessed
Another one,be blesd son
Bro, you’re just amazing.. God bless you!!
Blessing brother
Inabariki sana ❤🎉
Ameen, wanadamu hatueleweki kabisaa....Mungu akubariki brother Godfrey
Amen God bless you my brother
God bless you 👏👏👏🤝🤝🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Thank you for the strong message God bless you keep up
God bless you, brother 🔥🔥🔥
🙏🏾❤️
🎉🎉
Touching my heart😢be blessed ❤❤❤
Big up br
Ubari kiwesana kaka 🙏🙏
Dunia ndivyo ilivyo😢😢😢
Nice song God bless you
God bless you 🙏 ❤️
Thanks a lot be blessed as well 🙏🏾
Ubarikiwe sana
❤❤❤amen brother good song
Amen GOD bless you bless so much.
God bless you brother ❤
God bless you🔥🙌
God bless you brother 🙏 but pokea magari siyo lugha yetu ila ni ya Dunia ya leo, also adui wa mkristo siyo mkristo ila ni wapagani.
Msamahani kurebisha hapo kidogo🙏🙏
Mbarikiwa
Hit from heaven 👌
Indeed 🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Big love❤
Amen God blessing ❤
Amina mtumishi
Nc sana
Iyo ndio dunia kweli 😢.
Real gospel
Amen truthful
Amen brother 🙏 ❤
kaka unajua kutugusa
Nice song ❤❤❤❤❤❤
Uuu Blessings to u sir
Amen 🎉🎉❤💯💯