NAIBU WAZIRI MKUU DKT. BITEKO AWAKA VIKALI, "NI MUONGO, TUMEWAONDOA/ HAIKUBALIKI KUANZIA SASA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 64

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 9 หลายเดือนก่อน +4

    Ahsante sana Biteko makamu waziri mkuu. Ni kipindi kifupi sana tangia umeingia NISHATI.
    Lakini uliyoyafanya yanafanya waliotangulia kabla yako waonekane kama watu waliokwenda pale kujinufaisha wenyewe na wezi Wenzao. Your so special before God’s presence. Keep it up my darling Brother. Surely your the BEST ❤️🙏🏾

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge8662 9 หลายเดือนก่อน +3

    Unafanya kazi sana. Hongera.

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 9 หลายเดือนก่อน

    Wow....👏👏👏👏👏👏
    Hongera sana sana Mh. Biteko..
    Mwenyezi Mungu azidi kukusimamia vema...

  • @CristopherSanga
    @CristopherSanga 8 หลายเดือนก่อน

    Hongela sana kwa ukomavu kiongozi wetu tunakukubali sana endelea hivyohivyo ipo siku utakuwa rais hongela mkuu

  • @IsakwisaMwalisu
    @IsakwisaMwalisu 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akubariki sana kaka bitego

  • @bonnymakuke3153
    @bonnymakuke3153 9 หลายเดือนก่อน +1

    Uyu jamaa nimejikuta namwelewa bule mimi ni chadema ila anasifa zote za kuitwa kiongozi nilicho kipenda hajisifu yeye kama yeye bali anapongeza wizara nzima viongozi na watendaji wake icho kitu kinawafanya watendaji wake wajione nao wanathamani na kua na molali ya kufanya kazi njema kwa taifa🙌🙌🙌🙌

  • @hamzanamahala6201
    @hamzanamahala6201 9 หลายเดือนก่อน +1

    Duuh, katika uteuzi ambao Dr Samia amefanya tangu ameingia hapa kwa Dr biteko amepatia kwa 100%❤❤❤❤❤❤, ikimpendeza awamu ijyao Mungu akipenda apewe PM kamili

    • @isacktesha6659
      @isacktesha6659 9 หลายเดือนก่อน

      Unamchonganisha na pm

  • @noeljuvenalmunishi75
    @noeljuvenalmunishi75 9 หลายเดือนก่อน +2

    Biteko is intelligent 🧠, keep it up. After Samia 2030 chukua form

  • @johnchrisbrown-b5g
    @johnchrisbrown-b5g 9 หลายเดือนก่อน +2

    U are true leader brother

  • @JamesMachuza
    @JamesMachuza 9 หลายเดือนก่อน

    Safi saana kuna kit ndan yako

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 9 หลายเดือนก่อน

    Support u as ministry who believed in action not commenting only expected the price unit will going to reduce In future bcouse is cost lower Tanzania this 350 tsh per units including several taxes especially one fused meters hip hip hip hurrreee ur amazing ministry ur followed RIP magu ❤

  • @sangararawarioba3016
    @sangararawarioba3016 9 หลายเดือนก่อน

    Big up brother

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge8662 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana, mheshimiwa Dotto Biteko. Hakika PhD uliyo nayo unaifanyia kazi.

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 9 หลายเดือนก่อน

    Mungu akuzidishie kuwa mkweli Kama unavyojieleza kuongea kwa undani ya moyo. Big up

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 9 หลายเดือนก่อน

    A very humble people....

  • @chandalamasana-sb7rm
    @chandalamasana-sb7rm 9 หลายเดือนก่อน

    Kuna mawazr wengine unampenda bure wengine wanarazimisha tuwaelewe na wanaushawi mkubwa Asante biteko ❤❤

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 9 หลายเดือนก่อน

    Dr Biteko yupo vizuri sana... ❤

  • @mmwaupete6265
    @mmwaupete6265 9 หลายเดือนก่อน +5

    Akili kubwa na uzalendo uliotukuka

  • @idrissabakari8879
    @idrissabakari8879 9 หลายเดือนก่อน

    Ee mungu akujaalie kwa matendo mema katika utumishi wako ,nakukubali na si jamii tu bali Ni Tanzania(Taifa) wewe Ni nguzo imara=Rais Samia nampongeza mno kukuteua Naibu waziri mkuu ; hongera Sana!

  • @malackedson7706
    @malackedson7706 5 หลายเดือนก่อน

    Tunataka tuone vitendo awamu ya 5 umeme haukatiki mashine zilikua mpya.

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hadi raha

  • @athumankaswaga605
    @athumankaswaga605 9 หลายเดือนก่อน

    Kanda ya ziwa kuna vichwa aiseee😅😅😅😅

  • @kiwambasaid4012
    @kiwambasaid4012 9 หลายเดือนก่อน

    Brilliant leader

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 9 หลายเดือนก่อน

    Waziri wewe unajuwa kumuogopa mungu uzidishiwe beri balikiwa sana😊

  • @maranduleshira3727
    @maranduleshira3727 9 หลายเดือนก่อน

    Tanesco ingieni kwenye biashara ya internet. Kwani mnamiundo ya nguzo nchi nzima.changamkeni.

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 9 หลายเดือนก่อน

    Ahsante Waziri kwa hotuba, pamoja na maelezo mengi mazuri uliyotoa lakini upande wa Tanesco bado kuna uzembe sana haswa kwenye preventive maintenance.Utakuta mara kwa mara hizo transformers zinalipuka ni kwa sababu hazifanyiwi ukaguzi inavyotakiwa kwa kubadilisha vipuri vilivyo haribika as per schedule. Halafu watu kuiba transformers- cables-oil ,wanashindwa nini kuzungusha Uzio wa waya na kuweka tangazo kwa asiyehusika asisogelee hapo.Halafu mnaweza kufunga GPS kwa kila transformer na watu watehama wakawa wanafuatilia hatua kwa hatua. Ni aibu kwa kifaa kizito kama transformer kuibiwa kirahisi halafu watendaji bado wapo kazini.Na hizo nguzo inabidi ziwe zinakaguliwa kwa uimara wake mara kwa mara.

  • @DEUSJOHN-ln9jz
    @DEUSJOHN-ln9jz 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera naibu waziri mkuu unatosha na kubaki chapa Kaz Dua zetu utafika mbali sana

  • @GosbertKibira
    @GosbertKibira 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mweshimiwa wambie wananchi wa vijijini gharama za kuunganishiwa ni sh ngapi maana Tanes co wanasema hakuna wa sh 27000 pili wambie kutolewa kwenye sarv is charge nii bei Gani maana tunapigwa na watumishi wasio waminifu

  • @Robust78
    @Robust78 9 หลายเดือนก่อน +2

    You are very serious and determined to contain the power instability in our country. Be more creative, now the Government should allow private sector to also participate in the distribution of electricity as we did in telecommunication services.

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 9 หลายเดือนก่อน

      pia ni muwazi kabisa

    • @EdwardJohn-xz5oi
      @EdwardJohn-xz5oi 9 หลายเดือนก่อน

      Kwenye hili la kuruhusu sector kuingia kwa upande wa tanesco uko sawa kabisa mbn inawezekana tu??

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 9 หลายเดือนก่อน

      Not really

  • @OttoChiduo
    @OttoChiduo 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa nini kungoja kitu kuchakaa hadi out of date and no more in use ? No maintenance and no replacement ?

  • @kanjostjastin884
    @kanjostjastin884 9 หลายเดือนก่อน

    Nishati Ni uchumi+Afya
    Tunaomba kupata unafuu wa bei kwa huduma ya nishati.

  • @malackedson7706
    @malackedson7706 5 หลายเดือนก่อน

    Hatutaki maneno tunTaka tuone

  • @danielmulesi4025
    @danielmulesi4025 9 หลายเดือนก่อน

    MUNGU Akutunze Waziri Biteko. Ulikuja kwa Makusudi wakati huu. Umetufaa

  • @AbdulMajid-kj5bi
    @AbdulMajid-kj5bi 9 หลายเดือนก่อน

    Safi sana mkuu wetu

  • @gregoryRukiza
    @gregoryRukiza 9 หลายเดือนก่อน

    Unadamu ya ukeli😅😅😅Mfuatilie ndugu yako Rais Kagame, Kumbe CCM KUNA VICHWA AMBACYO HAVIKULEWA UNAFIKI? BIG UP BITEKO.

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 9 หลายเดือนก่อน

    Kiongozi huyu mungu akubaliki amen 🙏

  • @FairJohn
    @FairJohn 9 หลายเดือนก่อน

    Aliyenyamaza hajuti, nimeichukua hiyo inanisaidia mbeleni

  • @EmayNgayda-in9gx
    @EmayNgayda-in9gx 9 หลายเดือนก่อน

    Wizi: teknolojia itumike, computer na cctv

  • @bungesabaya8062
    @bungesabaya8062 9 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli we mweshimiwa unajitadi kwa nafasi yko

  • @PauloSheppy
    @PauloSheppy 9 หลายเดือนก่อน

    Biteko piga kazi waone malezi ya mzee magu yabavyoikomboa Tanzania

  • @aminatambi9831
    @aminatambi9831 9 หลายเดือนก่อน

    Where he from ?

    • @JoyceStive
      @JoyceStive 8 หลายเดือนก่อน

      Geita

  • @MalandoJilala
    @MalandoJilala 9 หลายเดือนก่อน

    Tajiri wa akili !wakomboe watanzania!

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 9 หลายเดือนก่อน +1

    HUYU NDIO RAIS SASA MAKONDA ATULIE

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 9 หลายเดือนก่อน

      ana hekima sana

    • @ananiachelesi1486
      @ananiachelesi1486 9 หลายเดือนก่อน

      Makonda atakuwa sehem ya selikal hiyo

    • @justinmwamloso7559
      @justinmwamloso7559 9 หลายเดือนก่อน

      Linda sana mhemko hasa pale unapo furahishwa na mtu anayekupa furaha ndiye anayeweza kukuhudhunisha hivo TUWAOMBEE VIONGOZI WETU.

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 9 หลายเดือนก่อน

    anakubaliana na wabunge

  • @OttoChiduo
    @OttoChiduo 9 หลายเดือนก่อน

    Nauli mlipandisha mzigo kwa wananchi

  • @kilimanjaro695
    @kilimanjaro695 9 หลายเดือนก่อน

    Katika Mawaziri kichwa kwenye CCM ni Biteko, Jerry Slaa, Hussein Bashe , Innocent Bashungwa,January Makamba , Simba Chawene, Kajaji Ashatu, waziri wangu wa Fedha ni Professor Assad( not Mwigulu at all )Ummy Mwalimu.Hawa watu vichwa sana

    • @ananiachelesi1486
      @ananiachelesi1486 9 หลายเดือนก่อน

      Kwa januali umechemka

    • @kilimanjaro695
      @kilimanjaro695 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂 toa hoja usiseme tu nimechemka

    • @athumankaswaga605
      @athumankaswaga605 9 หลายเดือนก่อน

      January tupa huko🗑️

    • @RobertsKibasa
      @RobertsKibasa 9 หลายเดือนก่อน

      Ni hao mawaziri watatu wa mwanzo, wengine ni kawaida sana.

    • @ngisamakaranga
      @ngisamakaranga 9 หลายเดือนก่อน

      Kwa makamba mhu

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward 9 หลายเดือนก่อน

    Maisha ya mfumo njaa.

  • @justinmwamloso7559
    @justinmwamloso7559 9 หลายเดือนก่อน

    Sasa mfano tamko la Rais na tamko la spika lipi linatakiwa kufwatwa? Hapo kwenye muda wa kutaka kero ya kuondokana na ukatikaji wa umeme