KUMEKUCHA DIVA KUOLEWA NA MJERUMANI, AMERUDI KWENYE DINI YAKE RASMI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ก.พ. 2024
- #diva #boramedia
Ahsante kwa kufuatialia BORA MEDIA kwa habari na matukio mbalimbali kama bado huja Subscribe youtube channel yetu fanya hivyo sasa ili kuwa wakwanza kupata habari zetu kwa wakatI
Follow us on instagram at / boramedia
Follow us on facebook at / boramedia
Whatsapp no; +255 654 682 050 - บันเทิง
Karibu Diva kanisani. Tunza siri zako.
Da diva ana tatizo gani ingekuwa mimi nisingeandika hii barua ningefanya kimyakimya
Huyu kweli ni kichaa sio mzima, huyo mjerumani yuko wapi na sura yake iko wapi
Kesho yupo live na shekhe😂😂😂
Diva hana msimamo
Angefata kuolewa kimya kimya tu ila diva bado anastress za abdul akiangalia jinsi mwanaume alivyo mtia sibu mitandaoni na kumvua nguo na matukio kila uchao doo diva anamihemko .miaka 5 inamaana alikua akimdangia mumewe au? Basi asimlaumu abdul kwa kuchepuka na wanawake wengine kumbe na yeye alikua anafanya😅😅😅
Mkiambiwa muwemnasikia😂😂😂😂😂
Kwani kuolewa Sisi inatuhusu nini
Diva utamjuaje yuko ujerumani. Na huyo utakuja kutulilia. Tunza siri zako Diva, ungefunga ndoa kimya kimya ndio utuambie. Kakukoga hauwezi kumuacha labda uokoke na upate delivery
Diva anamtisha abdulazak harafu mtu mwenyewe hatishiki anajua alichokifanya mbona utatapatapa sana na huondoki kwa abdul
Labla dude lake linamuwasha jamaa ujui kumkuna vizur
😂😂😂😂😂we diva una mambo kweli😅😅 aca utani bana
Diva hata sura yake hatuijui ana sura 100
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Leo tena? Hukuwa muaminifu
😂😂😂😂😂😂kigagula
Kisha kumutumia akamupa hilo jina. Watu hawana shukrani kweli.
Mimi ni mkristo ila huyu muongo alisema yeye kubadiri dini amependa sio kwa ajiri ya abdul huyu dada anamapepo
Nami nakumbuka
Olewa Diva usitangaze
Mweeeeee diva kiukweli waende hospital akapimwe na akili ya medula obulangata maana hanielewi
Heeee makubwa 😢
sasa huo atamuticha nani mtoto hana mara nini kashindwa na mtanzanie mujelaman njo ataweza
Nyambafu watupu hao
Mweeeeeeeeee
😂😂😂😂😂
Bora media mumebadili logo ya media yenu kumbe,, nmeitafuata naona yaja kivyengine
😂😂😂😂