Dudu Baya ni mwanaume Rijali haswa anajituma na anakula kwa jasho lake japo bado anaumwa ni heshima kubwa kwako brother, ,lakini siyo hao wanaume suruali machawa wa bongo wanakula kwa kufanya uchawa kwa wanaume wenzao, Yaani inasikitisha sana kuona wanaume wazima wamekalia uchawa badala ya kufanya kazi na kula kwa jasho lao.
Ila mr nice haustaili hayo maisha zamani ulikuwa kama diamond sijuwi kilicho fanya usiwe na maisha ya kifahari kwasasa,juu mziki wako ulitetemeshaga est africa na kati.labda wezi walikuwaga wengi serikali ikashindwa kukupa ulinzi sahihi,mziki wako haujakutendeya haki ipaswavyo.
Nimeipenda hiyo wajomba
Nímependaaaa iyoooo wakubwaaa wenzanguuu
Nice umesahau kua dudu alikupiga ezi zenu
nakubali sana wazee wa kazi
Hapo kwa kumtaja Albino mmekosea.
Mnajifajili et sindio
Chama na Mkude ndani ya Vyura fc😂😂😂😂
Oyaaa maambaa Kuna mafala wanatumia video zako kupiga hela washtaki upige hela ...angalia channel inaitwa connection TV
Safi sana ,
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 daaaaah nimecheka kwasauti mbaka Jamii imeshangaa
😂😂😂😂😂😂ila dudu eti wote unaenda kuwapiga pumb daah
Oraa ma legend
General Dudu Baya nakubali sana kaka
mr nice kapata kafara ya mwezi huu
Saf sana malegand rudin kwenye game
😂😂nakubali wazee
Daaah😢
Nawakubaliiiiii
Huyu Jamaa huwaga anaongeaga vitu vya kulalamika siku zote
Jo inivyo takiwa bifu zingine za kisenge tunahachanazo wazze
mungu awaweke sana sana nyinyi wakong🔥🔥💪
Mungu/MUNGU sio mungu
Konki Anakwambia,,Wote Ulienda kuwapiga PUMBU😂😂😂😂
Eeeti kunawakati Dudu ulikuwa mpaka na albino 🤣😂
Nakubali
Dudu Baya ni mwanaume Rijali haswa anajituma na anakula kwa jasho lake japo bado anaumwa ni heshima kubwa kwako brother, ,lakini siyo hao wanaume suruali machawa wa bongo wanakula kwa kufanya uchawa kwa wanaume wenzao, Yaani inasikitisha sana kuona wanaume wazima wamekalia uchawa badala ya kufanya kazi na kula kwa jasho lao.
Awa jamaa wauni wa zamani
Kabisa 😂😂😂
uyu jamaa alikua anaumwa figo saivi kapata pesa kidogo kaanza kula biaa
Nimependa
🎉🎉🎉🎉🎉saf sana
Mbona nyinyi ndo kwanza mko mchana ila mnajilazimiza et mpo jioni 😂😂 nyinyi bado sana
nakubali 💯
😂😂😂😂😂😂😂
Mambas 24 we live or life man
I am konk Konk konki master
Vibabu vikikumbushia enzi za ujana
😂😂😂😂
Wahasimu wameshikana leo ama kweli ya dunia tuyawache hapa hapa duniani
Aka katv hakafiki mbali, katafungiwa
🎉🎉🎉🎉🎉
😅Mamba anasema kawakojoza sana
👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽👍🏽
Wajinajipatia tu moyo ila wenyewe wanajua walishapitwa na wakati 😂😂😂
Wanasema ukweli, lazima wakumbushie ya ujanani, kwani wewe hautazeeka!
ungeliaza na ku like mwanzo
Wazee
Matajiri wataafu😢
Konk mastar💪💪💪
😂😂😂toeni wimbo bas
😂😂😂 saiv mmekoma..... Ukicheza na maisha lazma yakunyooshe.... Anyway!! Muda upo
Wahuni
Tunafurahi kuwaona pamoja
Bab kubwa
Dudu amelewa amekunywa bapa 😂😂😂😂
Dudu kweli umevuluga adi alibino 😂😂😂😂 hapo watasubili sana😅😅😅😅
Daah hapo mbavu ndo zina vunjika 😀😊
😂😂😂😂 nyie jamaa
Sasa hapo nimecheka yaani kuna mwingine alimoiga mwenzake halafu saizi anamwambia hawajapoteza😂
Wasani wangu nikiwa mdogo 😂
Mlishachelewa ,,,mlishindwa kipindi kile,,,nyie mmeshalost
Ila mr nice haustaili hayo maisha zamani ulikuwa kama diamond sijuwi kilicho fanya usiwe na maisha ya kifahari kwasasa,juu mziki wako ulitetemeshaga est africa na kati.labda wezi walikuwaga wengi serikali ikashindwa kukupa ulinzi sahihi,mziki wako haujakutendeya haki ipaswavyo.
Mr Nice
Yule Dem aliyecheza kikulacho yupo wapi siku hizi?😂
😂😂😂😂
Alafu mpost hio show sio ikawa ni maneno ya pombe 😂😂😂 tunakupenda sana dudu me nko mombasa
Konki konkii
Kumbe nyie marafiki
Dudu baya miaka 44, ila umekokoroka
Muongo uyo kapunguza
Kapunguza sana huyo ni 50 na zaidi"
Kwel wewe ni konki upo vizuri
Nakubali