Ubarikiwe Sana nilikataliwa na Mme wangu waNdoa akidai simfai na akidai Mimi Ni mgonjwa! Baada ya week moja alipatwa na Ugonjwa wa sukari ya kupanda,ninajiuliza Nani alinilipizia kisasi? Ni MUNGU au shetani,?mwanamke alievunja Ndoa yangu yupo anauguza badala ya kubebishwa! Naomba jibu Mchungaji Nani kanilipia kisasi? Ubarikiwe na Bwana!
Amen
Amina Babangu nimekuelewa sana,nimeimarika
Amen amen , Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu Rose Muhando. Neema ya Bwana izidi sana kwako.
Ubarikiwe Sana nilikataliwa na Mme wangu waNdoa akidai simfai na akidai Mimi Ni mgonjwa! Baada ya week moja alipatwa na Ugonjwa wa sukari ya kupanda,ninajiuliza Nani alinilipizia kisasi? Ni MUNGU au shetani,?mwanamke alievunja Ndoa yangu yupo anauguza badala ya kubebishwa! Naomba jibu Mchungaji Nani kanilipia kisasi? Ubarikiwe na Bwana!
Sio kisasi mpenzi, Mungu alikuepusha na balaa
Amina Mchungaji kazi yako ni njema
Amina Amina!
Ujumbe unarudisha matumaini kwa tuliokata tamaa.
Zidi kubarikiwa Mchungaji
Amen amen amen, Mpendwa wangu. Mungu akubariki daima