MIRAJI|MADHARA YA HERSI NI MAKUBWA SANA |VAR ITAONGEZA MATUKIO |SIMUAMINI AISHI HATA LIGI DARAJA 3

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 75

  • @AllyJofrey-mg6ri
    @AllyJofrey-mg6ri หลายเดือนก่อน +10

    Namb moja leo like ata 3

  • @eliaminrashid9317
    @eliaminrashid9317 หลายเดือนก่อน +5

    Chagamba na miraji nawakubali 80% mnafanya vizuri alafu naomba mfate mzee said umuulize ashaona think you ya jobe

  • @KajingaFuraha
    @KajingaFuraha หลายเดือนก่อน +5

    Namba 2 leo

  • @PASCHALPETER-gp8ek
    @PASCHALPETER-gp8ek หลายเดือนก่อน +16

    Miraji leo anafuraha sana kusikia injinia kuachia ngazi lkn nikuhakikishie miraji injinia na gsm bado wapo sana nyie simba subilini kipigo chenu tarehe 8

    • @AishshibnShibani
      @AishshibnShibani หลายเดือนก่อน +2

      Hahahah😂😂😂 mnajifaliji nabado

    • @Hope-ok9dy
      @Hope-ok9dy หลายเดือนก่อน

      Mwambie akuelewe ongeza sauti naona hakusikii

    • @saidimwanyiro5147
      @saidimwanyiro5147 หลายเดือนก่อน +1

      Hajabisha 😂😂😂

    • @lazaroaloyce6649
      @lazaroaloyce6649 หลายเดือนก่อน +1

      Ombeni mgogoro wenu uishe kabla hatujakutana,make naona maumivu kwenu nyinyi yanga,trh 8 so mbali jiweke tayari Kwa lolote make dabi haitabiriki..

  • @deviskahamba8234
    @deviskahamba8234 หลายเดือนก่อน +1

    Hivi wee Miraji huweziongea bila kumtandika mwenzio vibao mabegani😂

  • @ManjaHisani
    @ManjaHisani หลายเดือนก่อน +4

    Nimeamini kweli viyongozi wanachama mashabiki wote hao wanamuwogopa injiniya heris bilayakuondoka hawana jeuri ya ubingwa

  • @mhehejrtv9637
    @mhehejrtv9637 หลายเดือนก่อน +4

    Wa kwanza leoo

  • @markobukuku3841
    @markobukuku3841 หลายเดือนก่อน +2

    miraji umeonyesha utoto sana yaan kisa goli tano poleni sana miraji umeonyesha udhaifu sana mbona magoli wengi wanafungwa gol nyingi tu

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 หลายเดือนก่อน +2

    Tangu usajili uanze leo ndo miraji kacheka. Hii ni wazi kuwa,adui muombee njaa. Ila nikuhakikishie miraji,ili linazidisha hasira na tunajuwa kuwa magoma anatumika.

  • @lourykibudu6180
    @lourykibudu6180 หลายเดือนก่อน

    SEMA chagamba anavumiliaga sana yaani anakula sana kipigo kwa miraji
    Mda wote anakula migumi ya mabega kinoma
    😂😂😂😂

  • @user-xq8pq2ey6t
    @user-xq8pq2ey6t หลายเดือนก่อน +1

    Familia unyama sana💪💪💪💪

  • @jimmymnuano7165
    @jimmymnuano7165 หลายเดือนก่อน +3

    Miraji sikia hiyo mnapigishwa shoti kwa ajili ya ngao ya jamii mjuwe hivyo mkizubaa Simba mtapigwa mengi hasa mkijichanganya mjuwe hivyo. Kalaga baho na ubozi wako

    • @RamadhanNgadalh
      @RamadhanNgadalh หลายเดือนก่อน

      Kwan wanao fatilia hayo mamb ni viongzi wa simba au wachezaj wa simba watajichanganya wao kwan huy ni kiongzi wetu au mwana chama wetu😂😂😂

  • @kamaratsalimsafari8838
    @kamaratsalimsafari8838 หลายเดือนก่อน

    Kweli Chagamba hajafurai😂

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 หลายเดือนก่อน +2

    Chagamba Mzee saidi Leo jamani chonde chonde

  • @FredyPeter-rq8hj
    @FredyPeter-rq8hj หลายเดือนก่อน +2

    Leo ninapata laha sana mabega yanapigwa sana😅😅

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana หลายเดือนก่อน

    Miraji pandishakofia mimi kipezi chako japo mwa yanga babaagu

  • @nurdinmfamau3493
    @nurdinmfamau3493 หลายเดือนก่อน

    Timu Rasta Huu Ndio Muda Wao Sahihi Wakufurahi Baada Yahapa Ligi Ikianza Nimauziko Nakuendelea.

  • @markobukuku3841
    @markobukuku3841 หลายเดือนก่อน +3

    Kumbe na wewe miraji ni mshamba baadhi ya matukio ety mpila haupo hivyo unapotea kwenye raman

  • @Bangan-yu6sm
    @Bangan-yu6sm หลายเดือนก่อน

    Miraji mpira unaujua na pia ukwrli wa injinia na mtu mafia mpaka mnalia Simba unaujua na ndo maana leo fraha teleee😂😂😂❤

  • @user-er1dk6zj6u
    @user-er1dk6zj6u หลายเดือนก่อน

    Miraji maramoja

  • @mwankunjatyson
    @mwankunjatyson หลายเดือนก่อน

    Yaan Mahakama ishatoa hukumu lakini watu bado wapo we huogopi halaaa!!😂

  • @DanielChaula
    @DanielChaula หลายเดือนก่อน +1

    Ila RASTA noma sana wanae

  • @user-lc6te2pe2l
    @user-lc6te2pe2l หลายเดือนก่อน +2

    Chagamba mfate mzee Said Pa Omary Jobe kashapewa thanks

  • @phirimrishomandari692
    @phirimrishomandari692 หลายเดือนก่อน +1

    Yanga ana mchome,Simba ana Magoma. Ubaya Ubwela.

  • @MuddyAlly-jt8rn
    @MuddyAlly-jt8rn หลายเดือนก่อน

    Milaji uko zizuli baba

    • @MuddyAlly-jt8rn
      @MuddyAlly-jt8rn หลายเดือนก่อน

      Miraji wahambie ukweli wapinzani wetu awajitambui

  • @mwlhalimoja.ekingunza1819
    @mwlhalimoja.ekingunza1819 หลายเดือนก่อน +2

    Chagamba Leo lazima uchapwe makofi ya mabega 😅😅

  • @stevennambunga9093
    @stevennambunga9093 หลายเดือนก่อน

    Hakuna cha ubaya ubwela wala ubila!!

  • @JumaLembile
    @JumaLembile หลายเดือนก่อน +1

    Milaji manula atuache tunamshukuru Kwa aliyotutendea amini nakwambia akirudíshwa kundini makipa wengine wote tutawatukana

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb หลายเดือนก่อน

    Siyo kilaisi hovyoo uoni kama Simba amedhalishwa kingine waandishi wameibeza sana Simba mara viongozi wasimba wahuni .

  • @AbisinaRashidi-c8d
    @AbisinaRashidi-c8d หลายเดือนก่อน

    Hapa naona ngogwe wa kijani wanaongea uji wakati izo Gori Tano za kununua Simba walishawapiga sitaki Tano nne mabwabwa nyie

  • @raphaeltanzania
    @raphaeltanzania หลายเดือนก่อน +2

    hizo mambo za Yanga zitawavuruga mpk timu itayumba sana huku mnyama ndio anakuja kukiwasha zaidi

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 หลายเดือนก่อน

      Ndio kawaida ya Bongo hiyo hakuna siku wataruhusu team zote mbili ziwe kwenye ubora lazima wadhoofishe moja

    • @allykawambwa
      @allykawambwa หลายเดือนก่อน

      Sahau

    • @NellyWaKidato
      @NellyWaKidato หลายเดือนก่อน

      Oya Rafa acha kuota Mwanangu😂😂😂

  • @hamisimtupa7327
    @hamisimtupa7327 หลายเดือนก่อน +1

    Hukumu ina mwaka sasa toka ilivyotoka tatizo waandishi wa tz sio watafiti hua wanakurupuka tu sasa sijui tatizo lugha au

  • @HusseinIdrissa-ed6tl
    @HusseinIdrissa-ed6tl หลายเดือนก่อน +2

    Mm wa nne

  • @jamesmaneno2281
    @jamesmaneno2281 หลายเดือนก่อน +2

    Ha Leo 6 hahahahahahaay

  • @user-il6rm7cj1g
    @user-il6rm7cj1g หลายเดือนก่อน

    Watajibeba wawape chochote waze wao

  • @NaomySamwel
    @NaomySamwel หลายเดือนก่อน +1

    Na nyie kumbee mikunduu et,,mnaongea kishabikii kwenye suala la yanga

  • @johnmwita9370
    @johnmwita9370 หลายเดือนก่อน

    Kweli Ata mm simwamini aende tu

  • @kadirichannelonlinetv4258
    @kadirichannelonlinetv4258 หลายเดือนก่อน

    Mtasubir sana kugawanyika kwa yanga yanga ipo imara kama chuma

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 หลายเดือนก่อน

    Kingine miraji unajadili leo kishabiki hao watu walighushi saini za wadhamini

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 หลายเดือนก่อน

    Miraji viwanja vitaboreshwa kingine kuna Mobile truck ina kila kitu ndani itatembea vuwanja vyote vile ambavyo havina taa itaoneshwa mchana na vile vizuri utaoneshwa usiku

  • @mnyongeiddi2454
    @mnyongeiddi2454 หลายเดือนก่อน

    Tuko pamoja miraji mpaka mwisho huyo manura aende TU.

  • @JumaKigambo
    @JumaKigambo หลายเดือนก่อน

    Kuna watuuu wanalipenda bakuli inawezekana wanafaida nalo miraji (mwanakulitafuta mwanakulipata)

  • @user-gy6ru6dw1b
    @user-gy6ru6dw1b หลายเดือนก่อน

    Miraji bega la chagamba litadondoka 😅😅

  • @essaumapunda5766
    @essaumapunda5766 หลายเดือนก่อน

    Nssf hoi kwa magoma

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 หลายเดือนก่อน

    Mmechelewa wanasheria wa Yanga wamefafanua au we chagamba hukuwepo kwenye mkutano klabuni Yanga. Mgawanyiko hakuna watu wa Yanga wanajielewa tulipofika ni pakubwa usishangilie miraji viongozi wanaendelea kesi ile iliwahusu baraza la wadhamini siyo viongozi

    • @user-yz6ds9hn9l
      @user-yz6ds9hn9l หลายเดือนก่อน

      Mta haha sana vote vibaya mlivyokuwa mnatusemea vinawarudia wenye na midomo yenu inakunyakunya kama bata watumie mawaziri wa yanga si mmefanya serikali yakwenu

  • @RabsonSalmon-ys7bf
    @RabsonSalmon-ys7bf หลายเดือนก่อน +1

    Uakika

  • @bobbyfiasco4311
    @bobbyfiasco4311 หลายเดือนก่อน

    Manula. Mtu taja goal alofungwa la kwake. Pale. Katika 5. Zile Tano. Chuki sio miraji. 😂

  • @saidikalendo5117
    @saidikalendo5117 หลายเดือนก่อน

    Chagamba mfate mzee said pa omary jobe ametoka fanya mambo bro

  • @TofaMtofalike
    @TofaMtofalike หลายเดือนก่อน

    Punguza shobo milaji

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u หลายเดือนก่อน

    Tena amechelewa mno tunasubili lini tunaambiwa anatoka

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 หลายเดือนก่อน

    Miraji ana ndoto za alinacha ,yaaani wana simba wana tamaaa ya fisi

  • @benadethajohn2696
    @benadethajohn2696 หลายเดือนก่อน

    maramoja unatisha kaka madini yenyewe kabisa

  • @peterstewart9935
    @peterstewart9935 หลายเดือนก่อน

    Mgawanyiko utokee wapi miraji wakati hakuna atayekubali Hersi ashuke?!

  • @DindoAbwe-ze8yx
    @DindoAbwe-ze8yx หลายเดือนก่อน

    Twambie kuhusu clamon yupo kikosini au?

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 หลายเดือนก่อน

    Mzeee saidi alisema chagamba ni yangaaa haaaaah haaaaah

  • @TofaMtofalike
    @TofaMtofalike หลายเดือนก่อน

    Tukutane saa nane

  • @ArafaHamadiFonda
    @ArafaHamadiFonda หลายเดือนก่อน

    sa yale mamilion ya chama atamlipa nani kweli ubaya ubwela

  • @abdulazizmpilla5605
    @abdulazizmpilla5605 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂😂

  • @GucciJackson-sw6pg
    @GucciJackson-sw6pg หลายเดือนก่อน

    Ivi nyie wenzangu hua mnawaambia nini wanawake adi wanakubali kua wapenzi wenu 🤔 nataka nioe

  • @user-dy7pc4tm6u
    @user-dy7pc4tm6u หลายเดือนก่อน +1

    Ongea kama mtu wa mpila wewe.unamuongelea mchezaji aliyekupa mafanikio miaka minne.sasa mtafungwa mpaka matako yenu yapige filimbi

    • @dicksonmapunda7836
      @dicksonmapunda7836 หลายเดือนก่อน

      0 🧠

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 หลายเดือนก่อน

      Matusi hayajengi brother

    • @fatumasophu5855
      @fatumasophu5855 หลายเดือนก่อน

      Heeeh jamani hivi kukoment ni lazima kaaaah

    • @denischemba
      @denischemba หลายเดือนก่อน

      Yatapiga filimbi ya babaako

    • @MrishoMindu-zq7mz
      @MrishoMindu-zq7mz หลายเดือนก่อน

      Ukiona mtu ana isifia mvua ya leo kubwaa ujue ime mnyeshea ukiona mpuuzi kama huyu anaongelea uzuri wa kupiga filimbi ujue alisha jaribu kupiga philimbi na akajua ladha yake. Hawa watu wa Bara hawana adabu kabisa. Sijui wana akili gani wengi wao vijana