ขนาดวิดีโอ: 1280 X 720853 X 480640 X 360
แสดงแผงควบคุมโปรแกรมเล่น
เล่นอัตโนมัติ
เล่นใหม่
Sema huyu jamaaa hataman kutoka tanzania
Huyu na ahmed Ali jora moja mshono tu tofauti
Njoo na Makolo fc
Yaan msemaj wa prison, namungo nk, siwajui afu huyu nimemfahamu ndan ya wiki moja!Huyu jamaaa anadrama aisee!!
Jamaa namuelewa yupo fair sana anajua kwamba timu yake haina uwezo,ni mtu wa mpira.
Safe kivyake asimuhusishe simba simba yenyewe one mashindano kama yao hatutafuti sapoti popote tunajiamini
Jaman duh 😢😢😢😢 tukutane kesho mda kama huuu
We in shogaa unajibu
Hao wenyewe walikula 7
Kaja kua comedyan uwoo😂😂😂😂😂
Yes huyu jamaa anambinu
Huyu nae Thom boy nae apewe mimba sana
Mwenyewe kavaa yanga damudamuu😂😂😂
Huyo bwana yuko vizuri kwa promoted kwa maana Ali kamwe Anatumia nguvu kidogo kupromote match
Anaa team ya kufunga yanga...boya sema anataki kiki Tanzania na tumbo lake
Hahaha 😂😂😂😂😂😂❤❤
acheni afurahi kuongeya kwa furaha ni haki yake jamaani
Kweli huyu jamaa ni comedian
Nanyie Wapenzi Wa Simba Hamuoni Haya Kukaa Na Mtu Kama Huyu Nenda Wendako Wewe Bakora Tuu Nawewe Unauza Tiem...
Ila huyu msemaji wa vitalo ananifurahisha sana alafu anajidai sana anajiachia kwenye nchi ya uhuru kwao hawezi kuongea Kwa uhuru kama TZ
Mnaombeza huyu jamaa hamjajua huyu jamaaa anajua kusherehesha na kutembea na upepo
Kumbe Simwanamme Unaomba Usaidiwe Na Team Za Simba Wao Wenyewao Wamepiga..Wakiaambiwa Mechi Wanaogopa 😂😂😂
Mziwanda mchukue wifi yako..mpeleke tandale pale pafyum..hana jipya..
Bad saan hata mkiungana😂yanga nomaaa
Kavaa jezi ya yanga
We chizi iyo t-shirt ni yanga? Kumanyoleko
Kabisa huyu atakuwa shabiki wa yanga huyu.🤣🤣
comedi 😎
Ajaolewa uyo mchukuwe😂😂😂
Hahaaaa jaman mpeni huyo msaada bac jamn muungane
Ameshakuwa comedian sasa kuzungumza na hawa Kolo Ubwela na ww upunguze hilo tumbo ndipo utaweza kumfunga yanga
Hawa wachaw"utopolo wachaw wachaw saaaana
Uyo unaongea nae alikula mkono njoo na madunduka wote mnara lazima isimame mnajifarij tu apo eti mara gali 2 mara wachezaji wanakuja tofauti jipe moyo
K Mziwanda alikuwa na shida ya namba.
Kweli kichwa zero eti Aende zenji MLANDEGE ndio wampe mbinu za kumfunga Yanga,, huu mdomo qake atapigwa 8-0 Jumamosi we muache
Hao unaowaomba msaada nao waliletwa 5-1 yani hapo ni pwagu na pwaguzi
Uyu shabiki wa Yanga tu tushamshutukia 😂😂, mbona iyo t-shirt ya njano aivui inaenda week sasa😂.Kwani vital'o awana jezi ?
Ukituma Ahmed Ally online 😂😂😂😂
Ushakua maarufu bongo😂hamia bongo bro pamekukubali
Kibonge tapeli,, sasa hivi anataka kucharge kapiga nae picha eti
Safi bonge😅
Apewe mke huyoo
Bucuti piga kichwani bado anapumua utopolo 🐸🙃 dah🐸😂😂😂😂ila huyu bora uwe msemaji wa azam
Njoo na hao makolo
nanyie wasndishi wa habar wa hovyo kweli
Ay tutakuja mujiandae na 2 t
Uyu jamaa comedy sana
Tatizo wanarudisha mechi kwenye kale ka uwanja cha Umitashumta
Kwanni yanga mliwanyima maji jaman😂😂😂
Unae mombasa msaada nae tume mla 7
Huyu jamaa kageuka komedi hapa tz yaani simwelewi anatapa tapa maneno
Uhuru umemzidia huyu
Hao unao omba ushauri nao wameliwa kote kote
Ataolewa bongo
HUYU HARNDI KWAO TENA ANATAFUTA UENYEJI KAONA MAZINGIRA YA TANZANIA ATAPATA AJIRA YA USEMAJI WA TIMU ZA TANZANIA
Kumbe nanyi mlinyimwa maji
Huyu ni taahira
Saido mtu wewe,acha MVP SIMBA
kumbe na maji waliomba😊😊
Kashapata bwana bongo
Unae muomba akusaidie kachezea Tano unaakili kweli
Wadada wa bongo mmmmmmh
Hili jamaa linatafuta kiki kilasehem aendako habu wachezaji wetu huyumtu akomeshwe kwa kichapo kizito
Hamsikiki kabisa
Tipwatipwaa😂😂😂😂😂 yanga ikuogope wewe unajichimbia kaburi lako wewe mwenyewe!😂
SIMBA NA AZAM WAMETAFUTA WAKILI
Pipa na mfuniko,mmoja kachezea Tano na mwingine nne
Mziwanda anataka bwana
Wewe huyo unaemwmbia bwege Kama wewe yeye mwenyewe amechezea Mara tatu mfululizo halafu nimeamini watu wenye vichwa Kama wewe wengi ni vichaa
K Mziwanda kapata Dume anauliza aliko fikia
Unahangaika tuu na hao walokutuma wote unaowaita hawaiwezi yanga. Simba na wenzake wote wanapigwa na wewe unavyoongea na hao ndo unachochea upuuzi ya ga wakunyuke
Mpelekeni karume au steshen hyo 😅😅😅😅
Kwao hawezi kuongea kwa Uhuru wangemminia virungu Kiunoni. Huku kwetu anaongea kwa kwa kujidai. K Mziwanda ataomba kuelewa
Ya kweli hayo?
Kuelewa au kuolewa?
@@damianmcba9525 . Kuolewa
Comedy
Tuungane virabu vyote hapa tanzania yunapigwa na yanga.
😂😂😂😂😂😂
Hao simba wenyewe wanataka wasaidiwe nyote nyie ni wafu 😂😂😂😂
Tom b.............y
Umekwisha wewe utapigwa nyingi tu
Jiungen wote mtoe timu moja na bado tutawapiga
Hana lolote anatafuta kiki tu
Sasa hao unaowaomba msaada arikula 7
Mbona we ulikula sita za Raja casambulaka
Apo akuna anae furahi mazuri ya yanga juu wote hawooo tumewalawa kama pilau
We Kay umetoka nae wapi uyo😂😂
Mjinga sana kabisa 😂😂😂comediane
Sema huyu jamaaa hataman kutoka tanzania
Huyu na ahmed Ali jora moja mshono tu tofauti
Njoo na Makolo fc
Yaan msemaj wa prison, namungo nk, siwajui afu huyu nimemfahamu ndan ya wiki moja!
Huyu jamaaa anadrama aisee!!
Jamaa namuelewa yupo fair sana anajua kwamba timu yake haina uwezo,ni mtu wa mpira.
Safe kivyake asimuhusishe simba simba yenyewe one mashindano kama yao hatutafuti sapoti popote tunajiamini
Jaman duh 😢😢😢😢 tukutane kesho mda kama huuu
We in shogaa unajibu
Hao wenyewe walikula 7
Kaja kua comedyan uwoo😂😂😂😂😂
Yes huyu jamaa anambinu
Huyu nae Thom boy nae apewe mimba sana
Mwenyewe kavaa yanga damudamuu😂😂😂
Huyo bwana yuko vizuri kwa promoted kwa maana Ali kamwe Anatumia nguvu kidogo kupromote match
Anaa team ya kufunga yanga...boya sema anataki kiki Tanzania na tumbo lake
Hahaha 😂😂😂😂😂😂❤❤
acheni afurahi kuongeya kwa furaha ni haki yake jamaani
Kweli huyu jamaa ni comedian
Nanyie Wapenzi Wa Simba Hamuoni Haya Kukaa Na Mtu Kama Huyu Nenda Wendako Wewe Bakora Tuu Nawewe Unauza Tiem...
Ila huyu msemaji wa vitalo ananifurahisha sana alafu anajidai sana anajiachia kwenye nchi ya uhuru kwao hawezi kuongea Kwa uhuru kama TZ
Mnaombeza huyu jamaa hamjajua huyu jamaaa anajua kusherehesha na kutembea na upepo
Kumbe Simwanamme Unaomba Usaidiwe Na Team Za Simba Wao Wenyewao Wamepiga..Wakiaambiwa Mechi Wanaogopa 😂😂😂
Mziwanda mchukue wifi yako..mpeleke tandale pale pafyum..hana jipya..
Bad saan hata mkiungana😂yanga nomaaa
Kavaa jezi ya yanga
We chizi iyo t-shirt ni yanga? Kumanyoleko
Kabisa huyu atakuwa shabiki wa yanga huyu.🤣🤣
comedi 😎
Ajaolewa uyo mchukuwe😂😂😂
Hahaaaa jaman mpeni huyo msaada bac jamn muungane
Ameshakuwa comedian sasa kuzungumza na hawa Kolo Ubwela na ww upunguze hilo tumbo ndipo utaweza kumfunga yanga
Hawa wachaw"utopolo wachaw wachaw saaaana
Uyo unaongea nae alikula mkono njoo na madunduka wote mnara lazima isimame mnajifarij tu apo eti mara gali 2 mara wachezaji wanakuja tofauti jipe moyo
K Mziwanda alikuwa na shida ya namba.
Kweli kichwa zero eti Aende zenji MLANDEGE ndio wampe mbinu za kumfunga Yanga,, huu mdomo qake atapigwa 8-0 Jumamosi we muache
Hao unaowaomba msaada nao waliletwa 5-1 yani hapo ni pwagu na pwaguzi
Uyu shabiki wa Yanga tu tushamshutukia 😂😂, mbona iyo t-shirt ya njano aivui inaenda week sasa😂.
Kwani vital'o awana jezi ?
Ukituma Ahmed Ally online 😂😂😂😂
Ushakua maarufu bongo😂hamia bongo bro pamekukubali
Kibonge tapeli,, sasa hivi anataka kucharge kapiga nae picha eti
Safi bonge😅
Apewe mke huyoo
Bucuti piga kichwani bado anapumua utopolo 🐸🙃 dah🐸😂😂😂😂ila huyu bora uwe msemaji wa azam
Njoo na hao makolo
nanyie wasndishi wa habar wa hovyo kweli
Ay tutakuja mujiandae na 2 t
Uyu jamaa comedy sana
Tatizo wanarudisha mechi kwenye kale ka uwanja cha Umitashumta
Kwanni yanga mliwanyima maji jaman😂😂😂
Unae mombasa msaada nae tume mla 7
Huyu jamaa kageuka komedi hapa tz yaani simwelewi anatapa tapa maneno
Uhuru umemzidia huyu
Hao unao omba ushauri nao wameliwa kote kote
Ataolewa bongo
HUYU HARNDI KWAO TENA ANATAFUTA UENYEJI KAONA MAZINGIRA YA TANZANIA ATAPATA AJIRA YA USEMAJI WA TIMU ZA TANZANIA
Kumbe nanyi mlinyimwa maji
Huyu ni taahira
Saido mtu wewe,acha MVP SIMBA
kumbe na maji waliomba😊😊
Kashapata bwana bongo
Unae muomba akusaidie kachezea Tano unaakili kweli
Wadada wa bongo mmmmmmh
Hili jamaa linatafuta kiki kilasehem aendako habu wachezaji wetu huyumtu akomeshwe kwa kichapo kizito
Hamsikiki kabisa
Tipwatipwaa😂😂😂😂😂 yanga ikuogope wewe unajichimbia kaburi lako wewe mwenyewe!😂
SIMBA NA AZAM WAMETAFUTA WAKILI
Pipa na mfuniko,mmoja kachezea Tano na mwingine nne
Mziwanda anataka bwana
Wewe huyo unaemwmbia bwege Kama wewe yeye mwenyewe amechezea Mara tatu mfululizo halafu nimeamini watu wenye vichwa Kama wewe wengi ni vichaa
K Mziwanda kapata Dume anauliza aliko fikia
Unahangaika tuu na hao walokutuma wote unaowaita hawaiwezi yanga. Simba na wenzake wote wanapigwa na wewe unavyoongea na hao ndo unachochea upuuzi ya ga wakunyuke
Mpelekeni karume au steshen hyo 😅😅😅😅
Kwao hawezi kuongea kwa Uhuru wangemminia virungu Kiunoni. Huku kwetu anaongea kwa kwa kujidai. K Mziwanda ataomba kuelewa
Ya kweli hayo?
Kuelewa au kuolewa?
@@damianmcba9525 . Kuolewa
Comedy
Tuungane virabu vyote hapa tanzania yunapigwa na yanga.
😂😂😂😂😂😂
Hao simba wenyewe wanataka wasaidiwe nyote nyie ni wafu 😂😂😂😂
Tom b.............y
Umekwisha wewe utapigwa nyingi tu
Jiungen wote mtoe timu moja na bado tutawapiga
Hana lolote anatafuta kiki tu
Sasa hao unaowaomba msaada arikula 7
Mbona we ulikula sita za Raja casambulaka
Apo akuna anae furahi mazuri ya yanga juu wote hawooo tumewalawa kama pilau
We Kay umetoka nae wapi uyo😂😂
Mjinga sana kabisa 😂😂😂comediane
Wadada wa bongo mmmmmmh