Aslma alkm sheikh ridden kuishi yani mm sijasoma elimu ya quruni sana lakin katika moyo wangu nabidika kosoma na kujisitiri na aya yote napitiya kwako nakupenda kwa ajili ya Allah
Nilianzaa kusikiliza mawaidha ya sheikh nurdeen kishi 2019 na mm natoka kenya yani elimu nimuhimu japo niko na dungu walisoma lakin mm sikupata bahati na mpka sai mm nasikiliza sheikh wangu
Mashaallah kweli nyinyi madaai kila mtu anaujuzi wake bora muwe wengi kabisa wallahi ilikuwa mara yangu ya kwanza kusikia zinaa nideni na nalizima deni hiyo familia ilipe kama uliifanya baba au mama bas lazima watoto au ndugu zako. Sikuwahi kujua kabla wallah allah awaongoze mkono kwa mkono hadi peponi ishaallah
Masha Allah ,nimefurahi sana kuwaona na kuwasikia makishk wa mikoani. Ni vijana wa kislam wanajitahidi kumuiga mtu mwema wa mihadhara ya shekhe Kishki. Allah akujalia na kukinga kila aina ya shari.
Mashaallah mwenyezi mungu awajaze iiman zaidi na awape umri mrefu wanye faida na jamani mim pia nilikuwa napenda sana mawadha yako nalizaa mtoto nikamwita nurudini wallahi nakupenda kwaajili ya allah
Asalam alaikum mimi nimefurahi sana ALLAH awaongezee mapenz fidunia wal akhera naomba ALLAH anijaalie mtoto wa kiume nayeye afuate nyayo za shekh inshaallah..
Watot wa mazigira ya kwetu machafu yani sheikh mm niliamuwa na wazazi wangu pamoja na ndugu zangu kuelimisha watot wa majirani yani penye natoka sheikh hatri watot wanaaribika
😂😂😂Abdallah Masawe na rafkiyke Allah awahifadhi mumenifanya nafurahi sana Allah atupeher na baraka za wageni au jarsa hilo la makishk Allah awaendereze awadhidishie wawe wengi mfano wenu 💞💞na wapenda nyote kwa Ajili ya Allah Mtukufu 💞💕
Huyo jamaa alitoka Imam Shafi ni mwongo tena mwongo sana, hakua na lolote hakuna aliyekua anayemfuata kwa ajili ya khutba au mihadhara!!! Alikua ni kituko tu
Nipo Mozambique, Allhah awaifadhi ma kiski wa mikoani pamoja na Sheikh Nurdeen kiski.
Aslma alkm sheikh ridden kuishi yani mm sijasoma elimu ya quruni sana lakin katika moyo wangu nabidika kosoma na kujisitiri na aya yote napitiya kwako nakupenda kwa ajili ya Allah
MashaAllah Jazakhallahu kheiri
Hii ni Dawa tosha Nimependa saaaana kutoka Mozambique. Endeleyeni.
Nilianzaa kusikiliza mawaidha ya sheikh nurdeen kishi 2019 na mm natoka kenya yani elimu nimuhimu japo niko na dungu walisoma lakin mm sikupata bahati na mpka sai mm nasikiliza sheikh wangu
MAASHALLAH MMASAI HADI RAHA MWILI WOTE UNASISIMKA .JAMANI UISLAM RAHA KWELI
Mashallah mashallah allah awajaliye masheikh wetu kila lakheri allah awaifadhi allahuma meen 🤲
Allah yahfadhuka yaa sheikhanal habib Nurudin Kishki...pale unakosea Allah akuelekeze na ❤❤❤ akuongozee
Mashallah Allah akuhifadhi na akumpe umri mrefu sheikh kishk wetu
Mashaallah kweli nyinyi madaai kila mtu anaujuzi wake bora muwe wengi kabisa wallahi ilikuwa mara yangu ya kwanza kusikia zinaa nideni na nalizima deni hiyo familia ilipe kama uliifanya baba au mama bas lazima watoto au ndugu zako. Sikuwahi kujua kabla wallah allah awaongoze mkono kwa mkono hadi peponi ishaallah
MASHA ALLAH MUNGU AWAHIFAZII
Moyo alioo onesha sheikh nurdin kishki mwenyezi mungu amlipe Kila la kheri
MashaAllaah tabaraAllaah yaani khery Allaah azidi kutuhifadhia masheikh zetu wabadayeh kishki wamejaa kwa Neema za Allaah
Masha Allah ,nimefurahi sana kuwaona na kuwasikia makishk wa mikoani. Ni vijana wa kislam wanajitahidi kumuiga mtu mwema wa mihadhara ya shekhe Kishki. Allah akujalia na kukinga kila aina ya shari.
Mashallaah hongereni sana Allah awasimamie kwao hilo
Mashaallah mwenyezi mungu awajaze iiman zaidi na awape umri mrefu wanye faida na jamani mim pia nilikuwa napenda sana mawadha yako nalizaa mtoto nikamwita nurudini wallahi nakupenda kwaajili ya allah
Umewanasihi kweli kweli Mungu akulip kila la kheri
Mmasai kanifurahisha sana aisee
Allah akiniruzuku mtoto wa kiume ntamuita Nurdin kishki insha Allah
inshaallah ALLAH atakufanyia wepes utapata
@@mahmoodalghefeili5370 Ameen
Mashallah
ALLAH AKUPE MWISHO WA KAULI YA LAAILAAHA ILLA LLAH MUHAMMAD RASUULULLAH
Allahumma Aaaamin ya Allah🤲🤲🤲
Dahh masai yupo vzr 🌹🌹
Bissmillah. Natokwa na chozi la furaha wallah, tujifananishe na walio wema huenda tukawa miongoni nwao
ماشاءاللہ
Mashaallah leo nimefulai sana allah awaongoze katika njia iliyo yoka amiin
Allaah Akuhefadhi sheikh kishki.ninaafuraha kusikiza mawaidha yako na kuelimisha watu wengi.Allaah Akuhefadhi na kukupa umriey mwemaa
mm ni kishiki khut nakupenda kwa ajil ya allah natamani nikuletee mwanagu apate elimu
Nimefurahi mpaka mchozi wangu wa furaha umedondoka
Mashaa Allah tabarakallah allah awaongoze makishki wote
Ma sha Allah ma sha Allah ma sha Allah tabaraka Allah Allah atulindie ma kishki wetu watupe elimu juu ya elimu insha Allah
MashaaAllah TabarakaAllah
Mashaallah mungu awangoze vijana wetu mupate Elimu muzidi kutufahamisha
Maa shaa Allah tabarakallah Alhamdullilah
Maa sha Allah
Maa sha Allah
Maa sha Allah
Uislam raha sana
Allah awahifadhi
Assalam Alykum warahmatullah wabarakatuh shekh kishk taka kupe mwanangu unisomeshee Quran
Maa shaa Allah shukran sana sheikh wetu mungu akuzidishie inshaa Allah
Asalam alaikum mimi nimefurahi sana ALLAH awaongezee mapenz fidunia wal akhera naomba ALLAH anijaalie mtoto wa kiume nayeye afuate nyayo za shekh inshaallah..
Manchallha allhah t abencoe naterr e no jan
Mashaala allah Mashaala allah 🙏 💖 ❤️ ♥️ 💓 💕 🙏 💖 ❤️ ♥️ 💓 💕 🙏 💖 ❤️ ♥️ 💓 💕 🙏
Nyie mnao unlike mtabaki na roho za kisokorokwinyo. Sheikh kishk atabaki kua hivyo.... Nampenda kwa hekma yake Allah azidi kukulinda sheikh
Amiin
MashaAllh MashaAllh
MASHAALLAH Allah awazidishie
Nimefurai sana kukuta pachaza kishki
Bismillah mashallah mashallah ❤
Mashaallah Allah Allah awahifadhi
Walahi sheik tuna kupenda sana kwa ajili ya Allah
Mashaallah mashaallah mwenyezi mungu akupeni Maisha marefu makishik nyote na kishki mkuu piya hadi rahaa
Mashaallah masai kaua👌👌
Maa shaa Allah Tabaraka Allah
Mashaallah Mashaallah ogereni sana
Maashallah
Mashaa Allah Allah awakhifazi nyinyi wote na roll model wenu
MashaAllah MashaAllah MashaAllah Allah awaongoze makishki wote nimefurah sana mmefanya Dawwa kubwa sana ya kutembeleana
Shukran sana
ma shaa Allah,,,na wengne wamefanana na kishikh mwenyewe
Mashallah tabarakallah
Allah akuhifadh shekh nurdin
Nashuruku Allah kwakutuletea makishk ktk hii Dunia Allah awahepushe na shari za majini na watu
Asalam aleykoum masha'Allah Allah awalide ma sheikh nawa penda kwa ajili ya Allah
Mashaallah mashaallah thabarakaallah wallai inapendeza sana Sheikh kishk Allah akuhifadhiii dunia fil Akhera
Maa shaa Allah hata mm napenda sana pamoja na sheikh Othman Maalim wa Zanzibar Allah awahifadhi
Kama mimi Ma sha Allah Tabaarakallah 😍 😍 😍
Àaaaamina Kwa niaba yao
Ma shaa Allah tabarakallah
Mashallah.
Mashallah ALLAH ahifadhi
Manshallaah mashallah manshallaah Kazakh Allah kher
Mashaallah
Maa shaa Allah baraka Allah fiq
Na Burundi kuna ma kishik wengi sn shekh ,yn wakuache
Maashaa Allah
Ma SHA Allah
Amiin Amiin Amiin Alhamdulillah RabilAalamiin
Mansha Allah sheikh Allah awaongo na atuongoze sote
Aaaamina ya Rabby 🤲 🤲 🤲
Mashaallah Mashaallah Mashaallah
Maashallah maashallah maashallah
Masha Allah
Mm ni kishkllathiii nakupenda kwa ajili ya Allah
😂😂😂😂😂😂😂
Asalam alaykum Warahmatullaah Wabarakatuh maashaallah tabarakallaah.
@@bintyibrahim4891 😂😂😂jmn
Mashallah Allah
Wanao kuchukiy Mungu awaongoz
Mashalla
mashallah mwenyezi mungu awazidishie
Mashaa'Allah Mashaa'Allah Mashaa'Allah Allah awatunze yarabiy
mashallah mashallah mashallah masai umenifuraishaa sanaaa😂😂😂👏👏👏👏
Ma sha allah
Allah ibariki fiikum
Mashaallah!
Ma'a shaa allah
Masai ni comedian 😂😂
Allah akbar ma sha allah😂😂😂 nafurahi Sana Alhamdulillah RabilAalamiin
Maasai umenichekeshaaaa
Maa shaa Allah mmasai Allah baariq wewe pamoja na crow nyote mlokuja hapo kwa shekh kishki pamoja na yeye
Shekh yani mm nigependa hata kwa sehum ninayo kaaa kupatikane moja mwenye yuko na sifa kama zako
kweli kabisa Shekhe Kishki anatuelimisha mno pia na Katibu wake Shekhe Masawa na street Daawa zake
Allah akuongoze shehk unanitoa machozi kweli wewe
Watot wa mazigira ya kwetu machafu yani sheikh mm niliamuwa na wazazi wangu pamoja na ndugu zangu kuelimisha watot wa majirani yani penye natoka sheikh hatri watot wanaaribika
Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh.
😂😂😂Abdallah Masawe na rafkiyke Allah awahifadhi mumenifanya nafurahi sana Allah atupeher na baraka za wageni au jarsa hilo la makishk Allah awaendereze awadhidishie wawe wengi mfano wenu 💞💞na wapenda nyote kwa Ajili ya Allah Mtukufu 💞💕
Kunawatu wahusda
Jifunze quran kusom kuandik gusa pich yang hapo kama hautjl
Maa
00o bi
Moo moo
Ni
Ss ww hawakupend watakupelek wap mbon Allah kasha kupend 🤷♂️hat mm nakupend wanawo kuchukiy Allahuu yallamuu
Shehee nataka kama unadalasa naomba kujiuga ili nipate elim
Vv
🤣allah karim
masai kawa kishki hhahahhahahhaha eti htakama umekula riba
Huyo jamaa alitoka Imam Shafi ni mwongo tena mwongo sana, hakua na lolote hakuna aliyekua anayemfuata kwa ajili ya khutba au mihadhara!!! Alikua ni kituko tu