Davan nakuheshim sana koz usiseme mashabiki ndio wanasemaje nyinyi amuelewan coz fido alikudis sana na wew ukatupa jiwe sasa msituongize mashabiki kwenye uwaki wenu
Mnasahau Kenya kuna uswahilini na the other part ya kiingereza. Kuna Tz n Kenya under one roof. Mtaitana Davan hata wasanii 800 na mtazikwa kama blackbone wa Nigeria.
I like this guy Fido Vato that's the way hip hop game should be done...OG the King...East African Love (EAL)👊👊
Fido anajifanya serious na in the look of things hana content the og shall be respected forever
Og the king remember small kids
Fido,,,, khali graph hana time na ww bro we mdiss tu i will coming for you
Fido vato huna kitu huku Kenya hatukujui na Kwanza isingekua Rayvan hatungekujua wasumbuliwa na banging nyingi na manga tu😅😅😅😅😅
Khaligraph Jones ndio Ndovu alafu Fido ndio muchwa kwa wakenya tutawapaa mazishi
Respect mbabe fido vatooo
Ajaribu kizungu kidogo coz OG ni billions
Davan nakuheshim sana koz usiseme mashabiki ndio wanasemaje nyinyi amuelewan coz fido alikudis sana na wew ukatupa jiwe sasa msituongize mashabiki kwenye uwaki wenu
OG ako juu bana acheni ngwengwe zenu hamuna k2
Nunulieni huyu jamaa sanduku ya kumzika ashajichimbia kaburi 😂😂😂😂enyewe huyu ni Beyonce wa Arusha.Respect the OG
Mm sijui Ngoma ya huyo sijui Fido htaa mmoja
Fido ni msani hajitambui.....toa kitu kama vile mex
Hawo walevi two
Hamna mashabiki kenya nyinyi...mnatafta kiki....ww nahuyo beyonce wa arushaaa
@@duruboyzofficial wameona huyo ndio njia ya kuokoka kwenye mziki
Kuropokwa mingi, Jones hana time yako
Wwe unalilia show,wkt khali ana chumba kubwa na range kadhaa fido huna kitu.sio lazima khali afanye show tz
Watoto wadogo sana og Baba loa😅😅😅😅
Fido alipiga na lavosti 🇰🇪 big tune
Hamna kitu apa asee
simba habishani na ngamia.
Vato umeogopa huwezi pound to pound tough to tough two in one pia hamja tosha OG amewakilisha east africa rap
Sema mwatuogopa ndomaana mukachukua bendera yetu mafala
Inbox nakuhitaj😊
Hawa ni wachumba tu hakuna kitu wote wachumba tu mashebeduu
Ni kina nani hawa...?
Yaan hawa jamaa kuchana hawajui halaf wana mdiss kaligraph??😂😂 Achen utoto Rosaree pekee anawakalisha
Fido Acha shobo kwa papa johnes🙌🙌😁.. Mwanzo wampotezea time bana
Kitu nimegundua kwa Fido ni fan mkubwa Sana wa khaligraph Jones 😅😅,ila anatembelea nyota
Mnasahau Kenya kuna uswahilini na the other part ya kiingereza. Kuna Tz n Kenya under one roof. Mtaitana Davan hata wasanii 800 na mtazikwa kama blackbone wa Nigeria.
Beyonce wa arushaa😅😅😅
Alafu hawa bwana Wana za ovyo mwanzo huyu ajichubua kama mke
Mutaeza kwa OG
Fido Vado ni mwanamke asiyekuwa na akili
Papah Jones Mkali hamumuezi... Mbwa Koko nyinyi 🖕
Mwamuogopa that's why mwaungana,one man army anawapeleka mbio😂😂
Ata wewe aujulikani Kenya bro
Fido we bdo n mtoi na khali ndo baba lao.kiswahili sio lazima, khali anafanya show Nigeria,we hujuligani
Watoto warudi shule..hamtoshi mboga kwa OG
Kutamba tu kuimba ahahhah OG ni hatar
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mwana kulitafuta mwana ulipata chungen ujio wa disss truck ya OG huenda ikawa funzo kubwa kwenu.
Ata Khaligraph mki mdisi atawajib coz ata amjulikan so mnataka fame 😂 OG is the best rapper of Africa... respected the OG
Acha roho ya kichawi sapoti harakati Respect 255🇹🇿 Rapper wakali ni hawa
mnachokoza papa mtamezwaa🥸🥸
Sio Kwa ubaya,Mimi siwafahamu
hao niwajinga watafuta njia ya kujulikana OG is de best hata waungane rappers kumi kwa OG pekeake
Duuuh..acheni kuwavunja myoyo wenzenu bana😂😂@@coolbz133
Pia Mimi siwajui kindly anianbie nani hawa
😂😂😂
Abdullatif Ramadan Topiwala nimekubali A.K.A Fido Vato
Nimekubali Keep Going