Waaah watu hawalali jamani mmmmh haya basi mimi nimefika nko hapa haya kama unafuatilia hii movie gonga like hapa tukisonga mbele❤❤❤❤❤❤❤from kenya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Candy anafurahisha jamani 🤣🤣 Baad ya kumaliz kuomba msamaha aondoke mamaake atamfikiria yeye anamjubu shombk Tena kisa kamkatalia kumsamehe 😂😂😂 hii movie tamu sana
Hhhhhh makubwa zuu kawaweka kumtari wote wadangaji daa nyiye wote mna piga magoti daa aaa wapi sio kweli mnaiga tu sio kawaida yenu kendy na rafiki take mmmmh na Cheka tu mie hhhhhhh adabu muhim acheni ujeuri hhhhhhh
Yap kabxa anacheza part yake Masha'Allah site tunatambua hii ni movie tuu japo ina uhalisia ndani yake ni big big big movie I say hongera kw washiriki wote ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwani yeye alitegemea nini?? Hivi kweri kuipeleka caisse kwa ndugu wa mme unategemeaa watakuskiaa kuliko mtoto wawo na ndio maana wifi kamupa kicambo cakueleweka hiii filamu inamafunzo sanaa
Mama uyo shida usimsamehe kabisa anahitaji tu mambo yake yaende sawa uyo hana adabu tu hhhhhh hhhhh nimecheka apo alivo vuwa hizo ganga kweli kendi kiboko hhhhhhh
Chiko kitakuja kumlamba mm nipo ap wanaoamin chiko kitamlamb nomben like zenu jmn
Wanaomkubali Tasha gonga like tujuane
Wanaosem mke wachiko sio mgumba twanga like ap❤😂😂
Kabisaa chiko kinamramba sio mda mrefu🤣🤣
Wanawake wakiona mwanaume haeleweki wanagoma kushika mimba
Ukiwa unafatilia kwl hii movie unajua waz km chiko hana mbegu😂😂😂😂😂
Ww wifi siku yako yaja unafurahia mateso ya wifi yako ilhali ww ni mwanamke na umeolewa
Tunajua kabsaaa mke wa chiko wala sio mgumba ila chiko ndo ana shida😢😢
Jamani neno uvumilivu kumbe Lina uzito namna hiii😢😢candy jamani utawezana kweli ?? Team zuuh njooni tuungane hapa 🫂🫂🫂❤❤🎉🎉
🌹🌹🌹🌹👏
Jamaan like kama zote kwa zuuuh ❤❤
❤❤❤❤❤
Anaeungana nakuona kabisa candy anaenda kuzurumiwa nyumba na Dada ake masozy gonga like
😂😂😂🎉🎉
Nyiee kama namwona mandevu yule
Nyumba imeenda Kwa madevu tiyari
Nyumba ishachukuliwa nadevu mchana kweupe
Ambao jana walisubiri adi saa sita like hapa tujuwane 😂😂😂
😂😂😂jamani caddy huyu anavituko loo shukran nyote Mr Tasha kua makini nyoka huyo ajificha tu mambo moto thnx all muko sawa
Umejuajeeeeee😂😂😂🎉
Tupo😂😂😂😂😂
Maskini Sania😭😭😭
Nipo nlikaa had saa7😢😂😂😂
Waaah watu hawalali jamani mmmmh haya basi mimi nimefika nko hapa haya kama unafuatilia hii movie gonga like hapa tukisonga mbele❤❤❤❤❤❤❤from kenya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Candy shida yako huwez kunyenyekea hilo ndo tatizo huwez kujishusha
Ok
Sania utaman kumuingiza box tasha lakin tasha anakwepa sana
👏👏👏👏👏👍👍👍🫂
Anaye amini Tasha na zatiti wataoana gonga like hapa
Maji yameshagaza kila mumoja
😂😂😂😂😂😂ilasania ana Force bwana 😂😂
🤫🤫
Wanaofurahia candy kutopewa msamah gonga hapa like
Next episode plz ❤❤❤❤❤❤❤
Jaman wewe chiko na dada yako hiyo mutawumbuka kweri😮😮😮
Ndokufika nilikwa maandamano 🇰🇪 🇰🇪 nipeni likes 🎉🎉🎉🎉🎉
Wa Kwanza kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nipeni like 🔥🔥🔥🌍🌍🌎
Niko nyuma yako😂😂
❤❤❤❤❤
Candy anafurahisha jamani 🤣🤣 Baad ya kumaliz kuomba msamaha aondoke mamaake atamfikiria yeye anamjubu shombk Tena kisa kamkatalia kumsamehe 😂😂😂 hii movie tamu sana
Hhhhhh makubwa zuu kawaweka kumtari wote wadangaji daa nyiye wote mna piga magoti daa aaa wapi sio kweli mnaiga tu sio kawaida yenu kendy na rafiki take mmmmh na Cheka tu mie hhhhhhh adabu muhim acheni ujeuri hhhhhhh
Tunaompenda zuu gong like
Kandy unanifuraishaa😂😂😂Huna subira hata kidogo kwa mama duuh!binafsi unanifuraisha kazi Zurich safi
SI hizi move sometimes Huwa za kweli mungu wangu usiruhusu niyapitie haya
Chiko anavyo jishauwa ss ngoja limshuke baada ya kuambiwa mimba sio yakr😂
Atajuwa ajui
Ni navyo subir sana pia mm😂😂
Mmmh Candy umenishinda tabia kumbe msamaha wenyewe unaomba kinafiki
Wale kwa kusoma comment movie ikiendelea kuja hapa kuto na gumzo😅😅anyway kazi nzuri guys 🎉🎉❤kutoka kenya
Hakuna viumbe mnaoboa kama hawa waomba like yaani mnaniudhi adi siyo poa badala msaport kazi mnakuja kuomba like
Mm wananitoa hata kwenye mood
Mm wamenisinya kweli
Kusoma comment mpka kuna kera
Tuko pamoja jamani, yaani mimi wananiuzi vibaya mno🙄
Yaani sana kama hawajielewi
Niwamwisho kutoka Kenya kama wampenda zuu na Kai wakiowana gonga like 🎉🎉🎉
Leo nimewahi jamaneeey mwaga like kwa busati tv plz❤❤❤
Kai km hujavaa hayo masuti yako unapendeza mashallah
Wangapi wanamkubali zuu kwa heshima yake mmi nkiwa wakwanza ❤❤🎉🎉
Tuliopenda msimamo wa mama shida tujuane
🇨🇩🇨🇩 siye ndo wakwanza mikono yulu
Wooow 🎉🎉Acha nikae sasa nisikize mafunzo ya leo❤❤
naomben like jaman 🎉🎉pamoja n kuchelewa
Watu hawalal wanasubir kwa hamu ongezeni hata dakika jamani❤❤
Asalamualeykum kai usitumie jazba tumia busara sawa babangu😊❤❤❤❤🎉
Anapendeza hafu nimzur kwel yan dah!
Like Leo naziomba mweeeeeh 🎉
Busati TV mko vizuri ❤
Hebu ngoja kidogo. Hivi huyu anae taka kuitwa shangazi vpi alizaa ama ni wale kuolewa aaaah 😂😂😂
😂😂😂😂 ndio mawifi zetu jmn😂😂😂
Yani achatu
Cand canda😂😂😂😂😂jaman utaniuwa we mtoto nawapenda nyote kaz nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Tunawapenda nsana jaman wote ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Daah watu wanalala TH-cam 😂😂😂 jamani
Mmmh mawizooo tunao natunatambanao😅
🤣🤣nampenda kaka ake candy yaan huyu muhun kwel
Mhun hasw
Kwhy mambo yanapoenda vbaya ndo unaenda kuomba samahan
Jamani naombeni like hta 10 wenzangu mnaoangalia movie yetu pendwa
We ndo umeigiza me mnanishangaza badala kuwapa moyo waigizajinata mpewe like mtupishe huko
@@user-ij2po2jw2f wewe makasiriko yanini?
Kuomba like tu kuoga aaahh
@@officialbasheer13_tz😅😅😅
Nmewahi namimi leooo😊😊
Waaaaah Sania umenweza leo Tashaaaaa kula chumaichoooo na ww kai wangojwa harkish ukafurahikie uwep wa mchumbaaa
Mashallah ❤❤❤❤❤
❤my favourite movie jana nilisubiri sana
Watu hawalali jaman ❤❤❤❤ kazi nzuri
Jana sijala 😂😂😂😂Hadi saa saba ila kai amempata zuuu wanawake wote duniani tumuigeni zuuu ❤❤
Oya Leo nimewahi kidogo team Khai tujuane kwa comment
Aiii mbona mnasukuka tu mahali moja
Nipo wallah hongereni
Sania sania sania upo vzr ngoja namimi nimuoge zuuu😁😁😁
Nipo Leo mapema kutoka kenya
Tujuane kwa salamu Leo jamani❤
Namaste
Anae mpenda candy ujue nayeye anatabia za candy yaan simpendi Kwa kweli😂😂😂😂😂😂😂😂
❤❤😂😂🎉
Hakika tasha ni rafiki wa kweli marafiki kam hao ndo wakuwa nao kwan wanakuwa nawe kwenye shida na raha mauwa yako tasha🌷🥀🌻🌸💖♥️❣️
😂iyo simu ya dada ake chiko kama remote
😂😂😂😂
😅😅😅😅yeye mwenyewe anakaa kama hiyo sm
haaah Sania umeishiwa kwa kweli 😂 hivi inafikia ku hali ya kuomba tasha Uwe house girl wake duuh maisha bwana😢😢
Nilitaka nishangae shida huyu huyu amalize salama karogwa au 😂😂😂😂😂😂😂😊
Msamaha ni kitu kidogo ktamka lkn nikikubwa ukifanikiwa
Namkubal sana Mr Tasha❤❤
Leo mapemaaa 😀 kama unaielewa house girl gonga like apa 😊
Jamani! To be honest mimi nampenda sana Candy kwa uhusika wake... Hongera kwakeeee
Amecheza ipasavyo
Ni kweli kabisa
Yap kabxa anacheza part yake Masha'Allah site tunatambua hii ni movie tuu japo ina uhalisia ndani yake ni big big big movie I say hongera kw washiriki wote ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mr tasha the genius mwenyewe hongera sana broo kwa kuwashauri wenzako ili jambo lifanikiwi
Nakupendasana Tasha ❤❤nawapa ongera sana wangu awawezeshe da zuu usi ace kupigagoti❤
Nilikuwa naosha nyumba naomba like hata mm hapa😅😅😅
it's candy si mwingne 😂😂😂 hajui kunyenyekea
Zuuu unajuwa kuigiza kbs nakupenda sana ubarikiwe❤❤🥰🇧🇮
Ivi chiko na Dada yako zamu yenu ipo subiri kicha Candy aanze kuwa mwagia uga ndomta jua kua Ndondo siomboga zakulia ugali . Candy! siomvumilivu atakido subira uvuta kheri. Zuu! fulahia penzi lako muke mwenzako yupo kuhanga ikakuomba ladhi kwamzazi wake inashindikana jivunie uwepo wa Kay! Mungu ayibariki Ndoa enu. Sania! Ndoa tamu umea mua kuomba u HOUSE GIRL . Pole sana mpenzi mbashala🎉🎉❤❤
Walahi akuna mtu amenipendesa kaa Sania ❤❤❤❤
Wifi acha ubaya sio poa Leo kwa wifi Yako kesho kwako ma wifi mh hayo ndio mambo yenu
Kwani yeye alitegemea nini??
Hivi kweri kuipeleka caisse kwa ndugu wa mme unategemeaa watakuskiaa kuliko mtoto wawo na ndio maana wifi kamupa kicambo cakueleweka hiii filamu inamafunzo sanaa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sania 😂😂😂😂😂 anatafuta mbinu 😂😂apate mume 😂😂
Namuona zuu Mrs Kay naipenda hii couple❤
Sijawahu omba laki ata moja ila kama unasema Tasha atakunali ombi la Sania gonga lafiki hapa
Kila siku huchelewa tu mm team strong 💪 twendeni tukaoshe hamamu 😁😁😁
Cendy huna adabu bado,,Kaa mjinga upate radhi ya mama😂
😂😂😂😂 candy akili zako zikoje 😂 unaombasaha kibabe jaman we kiboko akili zako na jins ulivyo mnafanana du hatar😂
Zuu kaumbika jamani alfu mungu kampa sura yakuigizia😂😂😂 nkupenda zuuuuuu
Watat jaman naombni lik
Nimefurahia filamu
Hi naitazama naupendo wadati❤❤hongera sana
Candy keshachemka duh huyu jeuri imepitiliza hatobarikiwa ng,o
Leo kidg nimewahi pongez kwen wan busat TV bila kusahau kuomba omb like namim😅😅😅
kwan like zinàfaida gani 😂
😂😂😂 jmn Sania Leo kapiga gotiii😂😂😂😂
Mama uyo shida usimsamehe kabisa anahitaji tu mambo yake yaende sawa uyo hana adabu tu hhhhhh hhhhh nimecheka apo alivo vuwa hizo ganga kweli kendi kiboko hhhhhhh
😂😂😂😂😂😂🎉🎉
Watu mbona hawalali jamani 😂😂 nipeni like na mimi basi
Watu wa kuomba like mnabo😅
Zuu ndie mke sahihi kwako kai😊
Ahsantee sana mwendelezo tafazali brother
Namba one today
Yani lisubiri na kuchungulia umu kila muda kama nasubiri mume wangu jamani kahi ww❤❤🎉
Jamani hivi huyu candy atakua lini chini ya mamake kweli anavyo lipika kwa mama bt hakuna kama mama
Kwa kweli mwenye alipea candy hiyo part kwa kweli alijua anajua kuingiza kazi nzuri candy
Wewe 😂😂😂 Leo Cha asubuhi timu zuu and kai😅😅😅🎉🎉
❤❤❤
Jamami nimefika 🎉🎉🎉🎉
Nimechelewa lakini ndio mimi uyo❤
Tatizo candy uwezi kuvumilia ata dakika kumi usemwe 😂😂 iyo ndio shida yako Kama jina lako
Hahaha 🎉🎉🎉kamukonde wew unataka kazi ya ndani 🎉🎉🎉
Leo candy kajiita shida😂chakunifurahisha kasahau nayenye ya memubeba😂😂😂
Huyu wif na kakake wataumbuka vibaya. Usilolijua ni sawa na usiku wa giza
Wooow jmn mbona house girl tamu
Ila sijui ratiba maana sijui kina peperushwa juma ngapi naomba usaidizi wenu
Jamani dakika 4 nimekua wa 40😢yani kunawatu hamulalami ikiingiya tu munayo haya twende kazi busati tv hatulali🎉🎉🎉🎉🎉